Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 127
    1. #1
      salisalum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2010
      Posts : 308
      Rep Power : 500
      Likes Received
      68
      Likes Given
      4

      Default Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Tuko hapa kwenye kutoa heshima za mwisho kwa Kiongozi aliyetukuka mwanamaendeleo Bob Nyanga Mohammed Makani. MC alitoa nafasi kwa mwakilishi wa CCM kutoa rambirambi. Akainuka Mkama akazoza kama kawaida yake. Anasema Marehemu makani alikuwa mtu safi na mwenye hekima, kama Chadema wangefuata mfano wake ingekuwa vizuri sana. Halafu akasema umakini na umahiri wake unathibitishwa na ukweli kwamba Makani aliweza kufanikiwa kuwa Katibu Mkuu miongoni mwa watu tisa waliotoka kanda moja ya nchi hii. Yaani kwamba pamoja na ukanda bado Makani aliweza kuchaguliwa kuwa katibu mkuu. Mkama alitaka wana msiba tuingie kwenye mambo ya kisiasa na kutuaminisha kuwa Chadema ni chama cha ukanda na ukabila.

      Mwenyekiti Mbowe kwa utulivu na hekima ya hali ya juu, wakati wa zamu yake alitoa ufafanuzi wa kurekebisha kauli hiyo akisema, ''Mdomo huumba, si vema kauli hiyo iachwe hivi hivi bila kurekebishwa''. Mbowe alianza kutaja mtu mmoja mmoja kwa wale waanzilishi wa Chadema waliokuwepo siku ile ya kumpata katibu mkuu. Ilikuwa orodha ndefu kwa kweli, katika orodha hiyo walioonekana kutoka kanda ya kaskazini walikuwa ni Mzee Mtei, Mzee Kimesera na yeye Mbowe wakati huo akiongoza vijana.

      Mkama ametia aibu sana kwanza kugeuza mahali pa msiba pawe pa malumbano ya kisiasa, pili alikuwa amevaa kofia ya kihuni kwenye hafla ya heshima na ibada kama hii, tatu kusema uongo, Nne kamdhalilisha Rais Kikwete ambaye zamu yake ilipofika yeye hakutaka kujiingiza kwenye ujinga wa katibu wake. Yeye amesema, ''Hapa ni mahali pa msiba, tumekuja kuwapa pole wafiwa na kuwaombea subira''.

      Ninashauri CCM katika uchaguzi wao mkuu wafikirie kupata mtu mwenye hekima atakayeweza kubeba dhamana ya chama badala ya kubeba aibu ya chama. Vinginevyo tutaamini kuwa Chama chetu hakiwezi tena kuaminika kupewa dhamana ya kuongoza nchi. IMEKUWA AIBU SANA.
      Jasusi, kiraia, Shwari and 15 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      MAKAWANI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 375
      Likes Received
      27
      Likes Given
      21

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Mkama hana talent ya uongozi kwenye siasa, kwanza ni mtu wa jazba na pili anaonekana siasa alijifunzia ukubwani sema tu ana bahati! Sishangai kusikia hivyo!

    4. #3
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 636
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Ndio maana Mukama haingei sana, bora hata angeongea Nape. Maana Mukama inaonekana hana busara ya kutosha..

    5. #4
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,425
      Rep Power : 5041
      Likes Received
      786
      Likes Given
      1804

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Huyu jamaa alitakiwa awe nyumbani kwake analisha ng'ombe! sijui kwa nini walimteua kuwa katibu mkuu! jamaa hafai hata ukatibu kata!! Vapour zote za CCM kumbe yeye ndiyo huwa anamtuma katibu wa itikadi na uenezi.
      Saint Ivuga likes this.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    6. #5
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      mkama mvi nyingi kichwani lakini hamna kitu enzi zetu tulikua tunaambiwa "AKILI YAKO HAINA AKILI" ccm kama itaendela kujisifia hazina ya wazee na wazee wenyewe ni kama MKAMA, MAKAMBA na KINA MKAPA kazi wanayo

    7. Miaka 50

    8. #6
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,705
      Rep Power : 1917
      Likes Received
      1597
      Likes Given
      678

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Mimi sijawahi kumuona Mukama aki kamua mimi huwa namuona na vikofia vyake utafikiri sokomoko wa kwenye gazeti la udaku la Sani
      Saint Ivuga likes this.

    9. #7
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,385
      Rep Power : 12714
      Likes Received
      2195
      Likes Given
      1820

      Default

      Quote By MAKAWANI
      Mkama hana talent ya uongozi kwenye siasa, kwanza ni mtu wa jazba na pili anaonekana siasa alijifunzia ukubwani sema tu ana bahati! Sishangai kusikia hivyo!
      Mkama hana tofauti na Nape wote wanatia kichefuchefu kabisa wakiongea. Asubuhi Nape kaanzisha uzi asubuhi na kuweka katikati maneno ya chuki, fitna na uchongonganishi.

      CCM wasiwawaangalia kwa jicho la makini watajikuta pabaya zaidi.

    10. #8
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Quote By salisalum
      Tuko hapa kwenye kutoa heshima za mwisho kwa Kiongozi aliyetukuka mwanamaendeleo Bob Nyanga Mohammed Makani. MC alitoa nafasi kwa mwakilishi wa CCM kutoa rambirambi. Akainuka Mkama akazoza kama kawaida yake. Anasema Marehemu makani alikuwa mtu safi na mwenye hekima, kama Chadema wangefuata mfano wake ingekuwa vizuri sana. Halafu akasema umakini na umahiri wake unathibitishwa na ukweli kwamba Makani aliweza kufanikiwa kuwa Katibu Mkuu miongoni mwa watu tisa waliotoka kanda moja ya nchi hii. Yaani kwamba pamoja na ukanda bado Makani aliweza kuchaguliwa kuwa katibu mkuu. Mkama alitaka wana msiba tuingie kwenye mambo ya kisiasa na kutuaminisha kuwa Chadema ni chama cha ukanda na ukabila.

      Mwenyekiti Mbowe kwa utulivu na hekima ya hali ya juu, wakati wa zamu yake alitoa ufafanuzi wa kurekebisha kauli hiyo akisema, ''Mdomo huumba, si vema kauli hiyo iachwe hivi hivi bila kurekebishwa''. Mbowe alianza kutaja mtu mmoja mmoja kwa wale waanzilishi wa Chadema waliokuwepo siku ile ya kumpata katibu mkuu. Ilikuwa orodha ndefu kwa kweli, katika orodha hiyo walioonekana kutoka kanda ya kaskazini walikuwa ni Mzee Mtei, Mzee Kimesera na yeye Mbowe wakati huo akiongoza vijana.

      Mkama ametia aibu sana kwanza kugeuza mahali pa msiba pawe pa malumbano ya kisiasa, pili alikuwa amevaa kofia ya kihuni kwenye hafla ya heshima na ibada kama hii, tatu kusema uongo, Nne kamdhalilisha Rais Kikwete ambaye zamu yake ilipofika yeye hakutaka kujiingiza kwenye ujinga wa katibu wake. Yeye amesema, ''Hapa ni mahali pa msiba, tumekuja kuwapa pole wafiwa na kuwaombea subira''.

      Ninashauri CCM katika uchaguzi wao mkuu wafikirie kupata mtu mwenye hekima atakayeweza kubeba dhamana ya chama badala ya kubeba aibu ya chama. Vinginevyo tutaamini kuwa Chama chetu hakiwezi tena kuaminika kupewa dhamana ya kuongoza nchi. IMEKUWA AIBU SANA.
      Amekosea nn sasa kusema ukweli ? hakuna kitu hapo kwenye thread yako aiseee

    11. #9
      Megawatt B's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 199
      Rep Power : 431
      Likes Received
      44
      Likes Given
      1

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Hata mzee Kisumo alishalieleza hili mapema, kwamba Mkama ni Kimeo

    12. #10
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,243
      Rep Power : 1279
      Likes Received
      537
      Likes Given
      406

      Default

      Quote By MAKAWANI
      Mkama hana talent ya
      uongozi kwenye siasa, kwanza ni mtu wa jazba na pili anaonekana siasa
      alijifunzia ukubwani sema tu ana bahati! Sishangai kusikia
      hivyo!
      Huyu mustach wake tu unaonyesha jinsi alivyo mjinga!
      Tabia zake za hovyo ikiwemo kutembea na wake za watu nidiyo ilikuwa sifa yake kuu alipokuwa jiji.

      Magamba hawana watu, kiongozi gani huyu mpuuzi hivi!

    13. FJM
      #11
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,182
      Rep Power : 2570
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Watanzania sasa tumepata confirmation juu nani muasisi wa siasa za kugawa wananchi kwa ukanda. Nilidhani yalikuwa maneno ya Nape lakini kwa kauli ya Mukama basi ni wazi propaganda hizi zimesukwa toka ngazi ya juu. Ni jambo la kusikitisha sana kuona Mukama anahubiri siasa za kibaguzi, siasa za kugawa watanzania na mbaya zaidi anahubiri huu upuuzi kwenye msiba - mbele ya mwili wa marehemu! Huu ni utamaduni mbaya sana na kila mtanzania anayeitakia mema hii nchi ni vema akalaani kauli ya Mukama.

      NB: Ni Mukama huyu huyu aliwatangazia watazania wakati wa uchaguzi mdogo Igunda kuwa CHADEMA wameleta makomandoo toka Libya na Pakistan ili waje kuchafua nchi! Sijui kwa nini CCM wanaona huyu mzee bado anafaa kuongoza chama!
      Jasusi likes this.

    14. #12
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,509
      Rep Power : 4641
      Likes Received
      1260
      Likes Given
      880

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Aibu iliyoje..

    15. #13
      Makirita Amani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 109
      Rep Power : 372
      Likes Received
      56
      Likes Given
      23

      Default

      Quote By ndenga
      Ndio maana Mukama haingei sana, bora hata angeongea Nape. Maana Mukama inaonekana hana busara ya kutosha..
      kwani nape ndio mwenye busara??

    16. #14
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      1122
      Likes Given
      649

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Mi nadhani Kauli yake ndio imemuumbua kuwa kumbe CDM haina ukabili muda mrefu... look here Mkani ndio alikuwa Katibu mkuu wa kwanza wa CHADEMA, ambaye ni MSUKUMA, akawa mwenyekiti MSUKUMA sasa hapo inakuwaje kuitwa ni chama cha kikabila?
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    17. #15
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      huwa anaongea ovyo sana huyu jamaa huku akirusha mate..
      I'm Naturaly Evasive..

    18. #16
      Jallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 289
      Rep Power : 418
      Likes Received
      37
      Likes Given
      37

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Anawakilisha kundi kubwa la viongozi wa CCM, uwezo wao wa kufikiri ndio umefikia hapo

    19. #17
      255Texter's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st August 2007
      Location : Tandahimba
      Posts : 154
      Rep Power : 630
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Huu ni uthibitisho dhahiri kwamba CHADEMA imewashika pabaya hawa magamba. Endapo kiongozi wa chama tawala anaamua kuacha decency na ustaarabu wetu wa kiafrika na kuanza kutoa mashambulizi ya kisiasa kwenye kadamnasi ya wafiwa, ujue mambo yanazidi kuwa magumu kwa CCM. Same stupidity has been written by Nape Nnauye kwenye post yake moja humu JF. CCM = Chama Mfu.
      FJM likes this.
      Ipo siku tu, Bongo lazima kitaeleweka!

    20. MTK
      #18
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 939
      Rep Power : 4497
      Likes Received
      303
      Likes Given
      333

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Quote By salisalum
      Tuko hapa kwenye kutoa heshima za mwisho kwa Kiongozi aliyetukuka mwanamaendeleo Bob Nyanga Mohammed Makani. MC alitoa nafasi kwa mwakilishi wa CCM kutoa rambirambi. Akainuka Mkama akazoza kama kawaida yake. Anasema Marehemu makani alikuwa mtu safi na mwenye hekima, kama Chadema wangefuata mfano wake ingekuwa vizuri sana. Halafu akasema umakini na umahiri wake unathibitishwa na ukweli kwamba Makani aliweza kufanikiwa kuwa Katibu Mkuu miongoni mwa watu tisa waliotoka kanda moja ya nchi hii. Yaani kwamba pamoja na ukanda bado Makani aliweza kuchaguliwa kuwa katibu mkuu. Mkama alitaka wana msiba tuingie kwenye mambo ya kisiasa na kutuaminisha kuwa Chadema ni chama cha ukanda na ukabila.

      Mwenyekiti Mbowe kwa utulivu na hekima ya hali ya juu, wakati wa zamu yake alitoa ufafanuzi wa kurekebisha kauli hiyo akisema, ''Mdomo huumba, si vema kauli hiyo iachwe hivi hivi bila kurekebishwa''. Mbowe alianza kutaja mtu mmoja mmoja kwa wale waanzilishi wa Chadema waliokuwepo siku ile ya kumpata katibu mkuu. Ilikuwa orodha ndefu kwa kweli, katika orodha hiyo walioonekana kutoka kanda ya kaskazini walikuwa ni Mzee Mtei, Mzee Kimesera na yeye Mbowe wakati huo akiongoza vijana.

      Mkama ametia aibu sana kwanza kugeuza mahali pa msiba pawe pa malumbano ya kisiasa, pili alikuwa amevaa kofia ya kihuni kwenye hafla ya heshima na ibada kama hii, tatu kusema uongo, Nne kamdhalilisha Rais Kikwete ambaye zamu yake ilipofika yeye hakutaka kujiingiza kwenye ujinga wa katibu wake. Yeye amesema, ''Hapa ni mahali pa msiba, tumekuja kuwapa pole wafiwa na kuwaombea subira''.

      Ninashauri CCM katika uchaguzi wao mkuu wafikirie kupata mtu mwenye hekima atakayeweza kubeba dhamana ya chama badala ya kubeba aibu ya chama. Vinginevyo tutaamini kuwa Chama chetu hakiwezi tena kuaminika kupewa dhamana ya kuongoza nchi. IMEKUWA AIBU SANA.
      No wonder chama chenyewe kinaporomoka kwa kasi ya ajabu; yatakuwa maajabu ya Musa kutegemea mtu kama huyu mkama kukisaidia chama kuimarika. anyway the rule the game is "ONE MISTAKE ONE GOAL" acha waendeleee kufanya makosa ndio mtaji wa CDM.

    21. #19
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,740
      Rep Power : 5465
      Likes Received
      1962
      Likes Given
      2652

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Unbelievable!
      Kabsa! Kwa mara ya kwanza leo namsifu Kikwete kwa uungwana aliouonyesha....
      Siasa gani hizi hadi kwenye misiba....shame on you Mkama
      Jasusi, mmbangifingi and FJM like this.

    22. #20
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default re: Mukama: Katibu Mkuu wa CCM atia aibu kwenye Msiba wa Bob pale Karimjee

      Quote By ndenga
      Ndio maana Mukama haingei sana, bora hata angeongea Nape. Maana Mukama inaonekana hana busara ya kutosha..
      Mkuu, Nape naye amekuja na ujinga huo huo!Som hapa!

      Quote By Nnauye Jr
      Nakulilia Bob Nyanga Makani! Kuna wanasiasa wengi lakini Mzee Makani ni wa aina ya pekee! Kuna wanasheria wengi lakini si wa aina ya Bob Makani! Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako! Naamini Mungu atainua mwingine wa aina yako au zaidi yako, akiokoe Chama chako, ili kwa pamoja tujenge Demokrasia ya kweli nchini! TANZANIA KWANZA, UZELENDO KWANZA!

      Nape Moses Nnauye
      Chama Cha Mapinduzi
      Katibu wa Itikadi & Uenezi Taifa

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...