Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Namlilia Bob Nyanga Makani

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 66
    1. #1
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 525
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Namlilia Bob Nyanga Makani

      Nakulilia Bob Nyanga Makani! Kuna wanasiasa wengi lakini Mzee Makani ni wa aina ya pekee! Kuna wanasheria wengi lakini si wa aina ya Bob Makani!

      Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako! Naamini Mungu atainua mwingine wa aina yako au zaidi yako, akiokoe Chama chako, ili kwa pamoja tujenge Demokrasia ya kweli nchini!

      TANZANIA KWANZA, UZALENDO KWANZA!

      Nape Moses Nnauye
      Chama Cha Mapinduzi
      Katibu wa Itikadi & Uenezi Taifa
      zomba and Ndahani like this.


    2. #2
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,661
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By Nnauye Jr View Post
      Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako!

      Nape Moses Nnauye
      Chama Cha Mapinduzi
      Katibu wa Itikadi & Uenezi Taifa
      Nape,
      That is what I like most about politicians...they are all the same and sometimes it is difficult to know which is which..
      Ericus Kimasha likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    3. #3
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By Nnauye Jr View Post
      Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako!
      Kwenye red sikubaliani na wewe Gamba. Nape naona mnataka kutafuta haki miliki ya huu Msiba kama wa kanumba
      Ericus Kimasha likes this.

    4. #4
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,021
      Rep Power : 2645
      Likes Received
      2321
      Likes Given
      2103

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Nape, kwa hili leo tuko pamoja, tuweke mambo ya siasa kando tuangalie msiba kwanza, tuko pamoja kwa hili tu. Pumzika kwa amani Mzee Makani
      Ndahani likes this.
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    5. #5
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,661
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By Elli View Post
      Nape, kwa hili leo tuko pamoja, tuweke mambo ya siasa kando tuangalie msiba kwanza, tuko pamoja kwa hili tu. Pumzika kwa amani Mzee Makani
      Kitu cha msingi ni kumuombea mapumziko mema yenye raha Marehemu Makani. Lakini naona katibu mwenezi amepiga siasa kidogo pale.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson


    6. #6
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,972
      Rep Power : 6859
      Likes Received
      2414
      Likes Given
      3175

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By Nnauye Jr View Post
      Kuna wanasheria wengi lakini si wa aina ya Bob Makani! Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako!

      Kwenye maandishi RED naomba ufafanuzi kidogo sijui kama ilikuwa ni lazima kuandika uliyoandika.
      sulphadoxine likes this.

    7. #7
      El Toro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2009
      Location : Here in Bongoland
      Posts : 5,060
      Rep Power : 1864
      Likes Received
      476
      Likes Given
      370

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Karibu CDM wewe
      Don't be a WOMAN that needs a man but the WOMAN a man needs



    8. #8
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 987
      Likes Received
      709
      Likes Given
      400

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Ujinga mwingine hovyo kabisa!

      Unaleta siasa taka katika msiba??

      Stupidity & Idiocy@ its best!

    9. #9
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,972
      Rep Power : 6859
      Likes Received
      2414
      Likes Given
      3175

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Imani yangu inakataa kuwaombea marehemu kwenda mbunguni [mapumziko mema] tunaamini kama ulitenda vyema wakati wa uhai wako unastahili mapumziko mema kama ulitenda mabaya unastahili moto wa milele hata watu wakikuombea mchana na usiku haitosaidia kitu.

      Quote By Ndahani View Post
      Kitu cha msingi ni kumuombea mapumziko mema yenye raha Marehemu Makani. Lakini naona katibu mwenezi amepiga siasa kidogo pale.
      jmushi1 and Ndahani like this.

    10. #10
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3109
      Likes Given
      4232

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Nape jifunze ustaarabu..........huwezi kujifanya kumsifia marehemu huku unakiponda chama chake at the same time. This is typical immature behaviour and cant be tolerated.

      Wewe ni nani uyajuaye ya ndani ya CHADEMA kuliko wenyewe wanaCHADEMA? Stop this nonsense utterances!!!

      GROW UP or SHUT UP.

      Quote By Nnauye Jr View Post
      Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako! Naamini Mungu atainua mwingine wa aina yako au zaidi yako, akiokoe Chama chako, ili kwa pamoja tujenge Demokrasia ya kweli nchini!
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    11. #11
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3109
      Likes Given
      4232

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By Ngongo View Post
      Kwenye maandishi RED naomba ufafanuzi kidogo sijui kama ilikuwa nilazima kuandika uliyoandika.
      That is typical Nape asiyejua aongee nini na wapi kwa wakati gani.
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    12. #12
      SJUMAA26's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 343
      Rep Power : 630
      Likes Received
      69
      Likes Given
      2

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By Nnauye Jr View Post
      Kuna wanasiasa wengi lakini Mzee Makani ni wa aina ya pekee! Kuna wanasheria wengi lakini si wa aina ya Bob Makani! Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako! Naamini Mungu atainua mwingine wa aina yako au zaidi yako, akiokoe Chama chako, ili kwa pamoja tujenge Demokrasia ya kweli nchini!
      Wee, mbona haya hukuwahi kuyasema au kumsifia Bob Makani wakati akiwa hai? Hii inasaidia nini kwake au hata kwetu? Pili, hivi huoni wanasheria uchwara kwenye Chama chenu cha Majambazi?

      Jaji Werema humuoni kama ni Majitaka ktk tasnia ya Sheria nchini? Huoni akina Chenge, pamoja na kusoma vyuo mashuhuri duniani alivyo? Kwa Bob umeona nini hadi unajipendekeza? Kama ni kuomboleza, wewe omboleza tu kama Mtanzania mwingine yeyote yule, kuingiza siasa kwa kuongelea vyama wakati tuko kwenye msiba ni UJUHA!

      Juzi pale Jangwani hukumaliza maneno yako hadi uyalete kwenye msiba wa mwenzio? Au hukupata wasikilizaji?

    13. #13
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,661
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By Ngongo View Post
      Imani yangu inakataa kuwaombea marehemu kwenda mbunguni [mapumziko mema] tunaamini kama ulitenda vyema wakati wa uhai wako unastahili mapumziko mema kama ulitenda mabaya unastahili moto wa milele hata watu wakikuombea mchana na usiku haitosaidia kitu.
      Ngongo,
      Usifanye kitu kinyume na imani uliyonayo. Hata hivyo wengine imani zetu hazina shida kwenye hilo. Na kwa kuwa thread si ya upande gani uko sahihi katika unaloliamini na kulifanya, basi kwangu mimi, bado ntaendelea kuomba na kusema RIP Mzee Makani.
      Ngongo likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    14. #14
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 9,021
      Rep Power : 2645
      Likes Received
      2321
      Likes Given
      2103

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Nakanusha usemi wangu, sikuwa nimesoma between lines, Nape huo ugomvi uliuona wapi? Umeharibu maana nzima ya thread yako
      Quote By Elli View Post
      Nape, kwa hili leo tuko pamoja, tuweke mambo ya siasa kando tuangalie msiba kwanza, tuko pamoja kwa hili tu. Pumzika kwa amani Mzee Makani
      Dingswayo and Bigirita like this.
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    15. #15
      nashy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : MANG'ORA
      Posts : 665
      Rep Power : 560
      Likes Received
      134
      Likes Given
      124

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Hawa ndio aina ya viongozi wa ccm ilionao hivi sasa, hata kwenye masuala yanayopaswa kuweka itikadi ya vyama pembeni na kuungana pamoja ktk kuomboleza msiba wao wanaendekeza kupiga vijembe na umbeya chadema tu. Ni aibu kwa chama chochote kuwa na kiongozi wa juu mwenye upeo mdogo wa mambo kama alivyo nape nnauye.

      Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana kaka, nadhani kwenye siasa ulivamia tu, siyo mahali pako. ushauri wangu wa bure, ungefikiria aina nyingine ya kazi ya kufanya, siasa achia wenyewe mnafiki mkubwa wewe.
      Kama unataka mabadiliko ya kweli katika Taifa hili hamia CHADEMA hujachelewa bado

    16. #16
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,825
      Rep Power : 1940
      Likes Received
      1231
      Likes Given
      1193

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Nimeshtuka kidogo kusikia muswiba wa Mohamed Makani au wengi walivyozoea kumuita (Bob Makani). Kwa kweli ni mswiba mkubwa sana na Tz wamepoteza jabali lisiloteteleka wala kutingisika.

      Binafsi nilimfahamu Mohammed Makani mwaka 1974 wakti huo akija nyumbani kwa ammi yangu marhum Eng. Abdullah Salem Al harthy, mtaa wa mazengo upanga ambaye alikuwa rafiki yake kipenzi sana na walipenda sana kuongea kisukuma.

      Na alinisaidia sana katika utendaji wangu wa Kazi wakti nikiwa Wizara ya fedha na hata nilipopelekwa Mwanza wakti akiwa BOT kama naibu gavana (Bara) na vile akiwa naibu wanasharia mkuu.

      Ni mtu makini sana na asiyyemung'unja maneno na masema kweli daima. nakumbuka mara ya mwisho nilikutana nae siku nilipokwenda Mbazi beach kumwangalia Brig General Mwakanjuki mwezi mei 2011 nilipita mpaka kwake jioni na tuliongea sana. Nakumbuka neno lake la mwisho ni kuwa lazima Tanzania itabadilika na ukweli utawala. WaTz wameshaelimika na kuchagua ukweli kuachana na batili.

      Nakukumbuka sana Mohamed Makani.

      Inna Lillahi wainna illaihi rajihunna.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    17. #17
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,646
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      1558
      Likes Given
      1029

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By El Toro View Post
      Karibu CDM wewe
      Una uhakika atapokelewa?
      Haiwezekani Kabisa Twiga kupakiwa ndani ya ndege tayari kupelekwa nje ya nchi bila Polisi na Usalama wa Taifa kujua....

    18. #18
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,521
      Rep Power : 24929
      Likes Received
      2234
      Likes Given
      1829

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By Ngongo View Post
      Kwenye maandishi RED naomba ufafanuzi kidogo sijui kama ilikuwa nilazima kuandika uliyoandika.
      Yaani hawezi kuandika kitu ambacho kina mantiki bila ya kuharibu, hivi kati ya CCM na CDM ipi yenye siasa za chuki, ubabaishaji, uongo, uzandiki na kila aina ya ghilba?



    19. #19
      nderingosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2011
      Posts : 869
      Rep Power : 1462
      Likes Received
      451
      Likes Given
      130

      Default Re: Namlilia Bob Nyanga Makani

      Quote By Nnauye Jr View Post
      Naamini Mungu atainua mwingine wa aina yako au zaidi yako, akiokoe Chama chako, ili kwa pamoja tujenge Demokrasia ya kweli nchini!
      again...hypocrisy at its very very best......typical also of what JK does.. when attending virtually all funerals in town....
      ....real change begins with PEOPLE.......

    20. #20
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default

      Poor Nape. Hukuhitaji kuikashifu CDM kwa kiwango hiki. Jaribu hekima za watu kama Membe na Mwakyembe.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...