Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

    Report Post
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast
    Results 81 to 100 of 123
    1. #1
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,699
      Rep Power : 722
      Likes Received
      877
      Likes Given
      123

      Default BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Bob Nyanga Makani,Mwenyekiti wa pili na Katibu Mkuu wa kwanza wa CHADEMA,amefariki dunia jana.Ninaomoyo mnyenyekevu kuwapa pole wote wanaohusika kwa namna moja au nyingine na msiba huu mkubwa.Mungu awape ustahamilivu na ujasiri mkubwa.Bwana alitoa,Bwana ametwaa...jina lake LIHIMIDIWE! Amina.

      Hayati Bob Nyanga Makani alikuwa wa kipekee.Pamoja na kuwa Mwanasheria(baadaye Wakili wa Mahakama Kuu tangu tarehe 4/4/1986 na kupewa Nambari 131 ya Uwakili),alikuwa ni Naibu Gavana wa Kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania.Baadaye,kutokana na kutoridhishwa na utendaye Serikalini,Bob Nyanga Makani akishirikiana na wanamageuzi wengine chini ya Edwin Isaac Mtei,walianzisha CHADEMA mwaka 1992 naye kuwa Katibu Mkuu wa kwanza.

      Neno 'Bob' humaanisha,pamoja na vitu vingine,kutikisa(hasa kichwa) kuanzia chini kwenda juu.Huonyesha usikivu wa kufuatilia na kukubaliana na jambo la msingi linaloelezwa.

      'Nyanga' katika lugha ya Nyanja ya pale Zambia(ambayo hufanana na lugha nyingine za kibantu hapa kwetu) humaanisha pembe ya ndovu.Hii inaonyesha kuvuma na kuwa maarufu sana.Yeye pia alikuwa hivyo.

      'Makani' kwa Kinyanja hichohicho,humaanisha upinzani wa kimaneno au kimatendo.Hapa sina haja ya kutoa maelezo marefu.Kila mtanzania anajua.Alikuwa mpinzani wa kweli.

      Huyo ndiye Bob Nyanga Makani.Pumzika kwa amani Wakili Msomi na Mpambanaji 'Msikivu Mvumaji Mpinzani wa kweli'...
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    2. FemaTV & Radio

    3. #81
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By hoyce
      Umesahau jina la kwanza, Mohamed
      Hivi huyo Mohamed anazikwa lini? Maana wenye maji kama hayo huzikwa siku hiyo hiyo au kesho yake. na watoto wake majina ni akina nani?

    4. #82
      Ibambasi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th July 2007
      Location : Iponyamakalai - Isungang'holo
      Posts : 724
      Rep Power : 753
      Likes Received
      118
      Likes Given
      762

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By ritz
      Hivi mbona mnataka kuleta uhuni kwenye majina ya watu sijui kwa nini hamtaki kuliweka jina lake la Mohamed..
      As if jina litabadili chochote!

    5. #83
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,962
      Rep Power : 1641
      Likes Received
      1127
      Likes Given
      408

      Default

      Quote By Sn2139
      Nyie wote ni wasukuma mikokoteni tu na siyo wa-Sukuma kama kabila. Kisukuma kina wingi wa kila neno ukitaka. Kisukuma kina lahaja za kikanda pia, Mwanza kuna lahaja zaidi ya 6, Shinyanga zaidi ya 4 na Tabora zaidi ya 4 pia. Sasa unabisha nini hapo Salum?
      mwambie huyo. mi nimezaliwa alipozaliwa makani. kishapu hospital ijumaa tarehe 16. usiku.
      Sn2139 likes this.

    6. #84
      SIERA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 369
      Rep Power : 483
      Likes Received
      52
      Likes Given
      86

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By KANYIMBI
      Nilichojifunza hapa ni kuwa Mwanzilishi wa CHADEMA hakuwa mkristo, wala hakuwa mchaga. Hivyo kwa mtazamo wangu ni dhahiri kuwa hiki chama sio cha wachaga wala hakifungamani na wakristo kama Magamba walivyopotosha ukweli. Nadhani hiki chama kimempoteza mwana uhamsho mwanzilishi aliyekuwa na uchungu na maisha ya wananchi..RIP Baba wa taifa wa Chadema- MAKANI
      Hat a muazilishi wa CUF hakua muislam lakini mwisho wasiku kikawa chaa.......jibu unalo
      Kimbunga and KANYIMBI like this.

    7. #85
      kwamwewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 854
      Rep Power : 5404
      Likes Received
      99
      Likes Given
      125

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By ng'wanangwa
      uamsho
      kiboko ya Pengo &.Co.

    8. Study Abroad

    9. #86
      Eddie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2008
      Posts : 355
      Rep Power : 605
      Likes Received
      63
      Likes Given
      4

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Bob Makani alikuwa mkristo, kama wakristo wengine wa Chadema. Kwenye Uislam hakuna mambo ya kuanika mwili kwa ajili ya "kuaga"

    10. #87
      Wilawela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 80
      Rep Power : 395
      Likes Received
      28
      Likes Given
      454

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Uling'wanangwa Ng'hana!

    11. #88
      Wilawela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 80
      Rep Power : 395
      Likes Received
      28
      Likes Given
      454

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Oh mara CDM chama cha wakristo!

    12. #89
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,018
      Rep Power : 637
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1266

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By Mrdash1
      Na vipi yule binti yake Dr Julie Makani??
      Hili ni suala tatanishi na nifundisho kwa uamusho kwamba uislam na ukristo wa watanzania umejichanganya sana katika jamii ni tofauti na jamii zingine kama za kisomali, kioman nk ambazo huwezi kuta dini zote mbili ndani ya familia moja
      Huyu dada nilisikia story yake nisingependa niiweke humu, aliolewa na mtoto wa Iddi Simba kuna kitu kuhusu Dini yake alikifanya baadae kilimletea shida , ulizia vizuri ndugu yangu.

    13. #90
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,018
      Rep Power : 637
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1266

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By Ng'wanangwa
      tumia akili yako vizuri mkuu. kwani Makani ni mwarabu? we vipi?

      hayo majina ya uamsho hukohuko Bububu na Mwanakwerekwe.
      Mbona amezikwa KIUAMSHO UAMSHO? mbona hilo hamlikatai? Jeneza limefunikwa na Khitma kasomewa , acheni mambo ya kubagua dini hapa, mwacheni mzee wa watu apumzike, ALLAH amuondolee adhabu ya Kaburi ampumzishe salama, INNA LILLAH WA INNA ILAIHI RAAJIUUN, kwa MWenye Ez Mungu na kwake tu ndio marejeo yetu .... Allah amrehem

    14. #91
      Bazazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2008
      Location : Mzururaji
      Posts : 1,312
      Rep Power : 810
      Likes Received
      338
      Likes Given
      110

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By zomba
      Unawezaje kutafsiri majina ya mtu ukawacha jina lake la mwanzo? kwi kwi kwi teh teh teh!
      Unaonaje wewe ukitafsiri hilo jina MOHAMED maana yake nini? Tusijiingize katika mgogoro wa kidini bila sababu ya maana?
      Bahati mbaya Bazazi haamini jina linabeba IMANI yake (dini). Kwangu kuna majina ya Kiarabu (yananasibishwa na Uislamu) na majina ya Kizungu (yananasibishwa na Ukristo). Huu ni umbilikimo wa fikra ambao ni mbaya sana.

      Plz Be a greater thinker! THINK LOUD & OUT OF THE BOX.

      Bazazi ni Bazazi!
      Bibie! Usijisifu Kuwa Una Mimba: Msifie Aliyekupa Mimba.

    15. #92
      zaleo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 791
      Rep Power : 534
      Likes Received
      234
      Likes Given
      528

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Bob Nyanga Makani,Mwenyekiti wa pili na Katibu Mkuu wa kwanza wa CHADEMA,amefariki dunia jana.Ninaomoyo mnyenyekevu kuwapa pole wote wanaohusika kwa namna moja au nyingine na msiba huu mkubwa.Mungu awape ustahamilivu na ujasiri mkubwa.Bwana alitoa,Bwana ametwaa...jina lake LIHIMIDIWE! Amina.

      Hayati Bob Nyanga Makani alikuwa wa kipekee.Pamoja na kuwa Mwanasheria(baadaye Wakili wa Mahakama Kuu tangu tarehe 4/4/1986 na kupewa Nambari 131 ya Uwakili),alikuwa ni Naibu Gavana wa Kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania.Baadaye,kutokana na kutoridhishwa na utendaye Serikalini,Bob Nyanga Makani akishirikiana na wanamageuzi wengine chini ya Edwin Isaac Mtei,walianzisha CHADEMA mwaka 1992 naye kuwa Katibu Mkuu wa kwanza.

      Neno 'Bob' humaanisha,pamoja na vitu vingine,kutikisa(hasa kichwa) kuanzia chini kwenda juu.Huonyesha usikivu wa kufuatilia na kukubaliana na jambo la msingi linaloelezwa.

      'Nyanga' katika lugha ya Nyanja ya pale Zambia(ambayo hufanana na lugha nyingine za kibantu hapa kwetu) humaanisha pembe ya ndovu.Hii inaonyesha kuvuma na kuwa maarufu sana.Yeye pia alikuwa hivyo.

      'Makani' kwa Kinyanja hichohicho,humaanisha upinzani wa kimaneno au kimatendo.Hapa sina haja ya kutoa maelezo marefu.Kila mtanzania anajua.Alikuwa mpinzani wa kweli.

      Huyo ndiye Bob Nyanga Makani.Pumzika kwa amani Wakili Msomi na Mpambanaji 'Msikivu Mvumaji Mpinzani wa kweli'...

      Good analysis.
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” by Hon Lema, MP - Arusha

    16. #93
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By Bazazi
      Unaonaje wewe ukitafsiri hilo jina MOHAMED maana yake nini? Tusijiingize katika mgogoro wa kidini bila sababu ya maana?
      Bahati mbaya Bazazi haamini jina linabeba IMANI yake (dini). Kwangu kuna majina ya Kiarabu (yananasibishwa na Uislamu) na majina ya Kizungu (yananasibishwa na Ukristo). Huu ni umbilikimo wa fikra ambao ni mbaya sana.

      Plz Be a greater thinker! THINK LOUD & OUT OF THE BOX.

      Bazazi ni Bazazi!
      Mleta mada ndio anatakiwa atoe tafsiri, sio anaruka majina ya mtu. Mohammed.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    17. #94
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,409
      Rep Power : 5036
      Likes Received
      780
      Likes Given
      1778

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Jina la Mohammed lilikoma siku alipoapa na kubadili jina kisheria kwa 'Deed Poll' .Hata kwenye Roll of Advocates, ambapo nawe upo,anaitwa Bob Nyanga Makani.Tazama nambari 131.Hilo ndilo jina lake.
      Siyo "Deed Poll" ni "Deep Poll"
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    18. #95
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,699
      Rep Power : 722
      Likes Received
      877
      Likes Given
      123

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By WA-UKENYENGE
      Siyo "Deed Poll" ni "Deep Poll"
      Niko sahihi Mkuu...
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    19. #96
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,736
      Rep Power : 1917
      Likes Received
      1168
      Likes Given
      951

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Kifupi BOB ni jina lake la skuli na kiulaji. Lakin jina lake la asli alopewa na wazazi wake ni Mohammed.
      Kumbukeni zamani kulikuwa na jila skuli (kama ukirudia darasa unabadili jina) na jina la kuzaliwa na kupewa na wazazi.

      Inna Lillah wainna Illaihi Rajihunna.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    20. #97
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,453
      Rep Power : 1978
      Likes Received
      1797
      Likes Given
      59

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Kwa Wamarekani Bob ni Robert. Mbona zile sifa zingine za huyu Mzee hazisemwi? Yeye na Jaji Waryoba wawezadhani ni ndugu!

    21. #98
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,736
      Rep Power : 1917
      Likes Received
      1168
      Likes Given
      951

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By mkomatembo
      Huyu dada nilisikia story yake nisingependa niiweke humu, aliolewa na mtoto wa Iddi Simba kuna kitu kuhusu Dini yake alikifanya baadae kilimletea shida , ulizia vizuri ndugu yangu.
      Ameolewa na Said Iddi Mohammed Simba na kama utabaini aliyekuwa mshenga ni Eng Abdullah Saleem Al harthy ambaye alikuwa classmate wa Iddi Simba na rafiki mkubwa sana wa Bw Mohammed Makani. Mimi nilikuwepo kwenye harusi hiyo.
      mkomatembo likes this.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    22. #99
      Mpanzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 418
      Rep Power : 506
      Likes Received
      93
      Likes Given
      7

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By ritz
      Ndugu yangu JF sio sehemu ya porojo kitu kama hujui kitu kaa kimya! Hivi mtoto wa marehemu Bob Makani, Mohamed Makani akisikia hii kauli sidhani kama atajisikia vizuri kweli.
      Siku zote si mnasema Chadema ni chama cha kanisa katoliki? sasa Makani anakuwaje muislam? Mi siku zote najua Bob Makani ni Mkatoliki kutoka Kaskazini.
      Matola likes this.

    23. #100
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: BOB MAKANI na uhalisia wa JINA LAKE...

      Quote By Kyaiyembe
      Mbona unaniuliza Jakaya tu hata Mrisho na Kikwete yote sijui. Naomba kujua mie!.
      Jakaya = Imekujia dalili (sign) njema.
      Mrisho = Wa ki Mauritius
      Kikwete = Hili la kiasili sijui maana yake.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    24. Miaka 50
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...