Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki!

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 73
    1. #1
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki!

      Siku ya jumamosi tarehe 09.06.2012 CCM (M) Dar es salaam ulifanya mkutano wake wa kihistoria ulio hudhuriwa na maelfu lukuki ya watu. Ila katika siku hiyo sikupendezewa na mambo yafuatayo ambayo naweza kusema siku nyingine wasirudie kufanya mkutano kama huo tena.
      • Kuweka coverage yakutosha kwa vituo viwili vikubwa vya ITV na TBC kuonyesha LIVE bila chenga, ambapo kila mtu aliona
      • Ofisi ya CDM makao makuu siku hiyo ilifungwa kuanzia asubuhi tofauti na kawaida yao ambapo hufunguliwa nakufanya kazi. Wadadisi wa mambo walipo fuatilizia, mlinzi aliyekuwepo alidokeza kwa kusema ‘ hujui wenye Dar es salaam leo wanafanya mkutano wao’.
      • Mpangilio mzuri wa mkutano, yaani : uhamasishaji, uhudhuriaji wa umati wa watu tofauti na mkutano uliopita wa cdm wa kijiumati, mpangilio mzuri wa mkutano , kujibu kwa ufasaha wale wazungumzaji wote kwenye mambo ya msingi na kumaliza mkutano kwa amani na utulivu.
      • Ni ukweli usiopingika CC Mina jeshi kubwa na lenye vipaji , kwani mkutanoni waliletwa wanajeshi wachache tu i.e Wassira, Mwakyembe, Maghembe, Tibaijuka na Magufuli. Lakini cheche zake zilisambaa Tanzania nzima. Hii inadhihirisha kuwa wakitawanya jeshi lote, hata sisimizi hawezi kupona.
      • Kupendeza kwa uwanja, kwani siku hiyo Dar es salaam nzima ilikuwa kijani na njano. Na hapa ni kuwa uwezo wa vyama vingine kuwahudumia wanachama wao kwa kuwapa promotion material km T-shirt ni mdogo sana na hawawezi, ila wao wameweza. Kwani tumeshuhudia mashirika ya serikali na watu binafsi wakiwatengenezea wateja wao T- shirt kama njia yakujitangaza , CCM wamefanya hivyo , HUSDA ya CDM imejionyesha.
      • Mitandao yote ikiwamo JF ilikuwa ni CCM tu inazungumziwa. Japokuwa baadhi ya thread za CCM ziliondolewa kwa sababu zisizo za msingi na MODS. Hii inaleta mushkiri kwenye mustakabali wa JF, kwa za CDM kitu km hicho ni nadra sana kutokea. Tujirekebishe , heshima yetu mbele ya jamii inazidi kuyeyuka km theluji ya mlima Kilimanjaro kwa mambo kama haya.

      Kwa hayo machache nahitimisha kwa kusema , siku nyingine CCM msifanye hayo, wenzenu wali beep , nyie mmepiga kabisa, CCM hamtaniwi? Wenzenu walikuwa wanafanya utani tu.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Kimbito nyama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 156
      Rep Power : 390
      Likes Received
      38
      Likes Given
      19

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Dumela Mbegu
      Wangefikaje mkutanoni bila usafiri ? ulitaka waje na ungo au ?. Hapa tukionacho ni HUSDA na uwezo wa vyama vingine ikiwamo CDM kuwahudumia wanachama wake, na kuna sehemu zingine matawi na mashina wali arrange usafiri wao na kutoa pesa zao, je kufanya hivyo ni vibaya?. Acheni HUSDA ndugu zangu , jitahidini na nyie mtafikia uwezo kama walio nao CCM
      Hoja ya kwanza ni ilikuwa ni kuwasubiria mliuowabeba kuwapeleka mkutanoni ili kuwarudisha majumbani mwao, na pili ni kuweka mwenyekiti wa usafiri-Hata Nape angeweza fanya hilo jukumu. Gamba ni gamba tu, hata mdogoo!

    4. #22
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By MESTOD
      Too sad. Jaman halafu mijitu bila hata chembe ya aibu inasifia kutoa rushwa kwa watu ili wajaze mikutano.
      Hivi nyie mnamdanganya nani? Hakina dhambi yenu ni kubwa sana.
      Nenda kasome sheria vizuri aisee, watu wameji organize pamoja wamekodisha bus kwa pesa yao, hiyo ni rushwa ? Na isitoshe hata km ccm inawarudishia hela ya usafiri hiyo ni rushwa? nipe sasa kipengele cha sheria kinacho sema hiyo ni rushwa. Hapa hakuna lolote zaidi ya uwezo wa chama kuwahudumia wanachama wake, ndio maana nikasema ni husda

    5. #23
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !






























    6. #24
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,580
      Rep Power : 949
      Likes Received
      693
      Likes Given
      131

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Dumela Mbegu
      Ukiisha ona mtu kujibu hoja kumemshinda jua AMEFILISIKA KIMAWAZO NA KIFIKRA
      Hivi na nyie mnajiona bado mna hoja za kujibu matatizo ya wananchi? Mkitaka muone taswira halisi ya nyie ni kina nani, itisheni mikutano na bila kutupa hiyo sh 5,000 muone kama mtapata watu.
      Huku kwetu jumamosi nusura mtoane macho maana mliahidi sh 10,000 wakapewa sh elf tano.

    7. #25
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Kimbito nyama
      Hoja ya kwanza ni ilikuwa ni kuwasubiria mliuowabeba kuwapeleka mkutanoni ili kuwarudisha majumbani mwao, na pili ni kuweka mwenyekiti wa usafiri-Hata Nape angeweza fanya hilo jukumu. Gamba ni gamba tu, hata mdogoo!
      Jamani ndio nasema husda zinawamaliza cdm siku zote, ukiona mwenzako ana muhudumia mwanachama wake vizuri nyie mnaumia na kuleta hoja zisizo na mashiko kabisa. Kwani kwa magari kuwasubiria ni vibaya ? na je una uhakika wote hawakurudi nyumbani ? na mbona siku ile watu wengi tu walienda kupanda usafiri wa kawaida wa ma bus? toeni hoja za mashiko wakuu

    8. Miaka 50

    9. #26
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4736
      Likes Given
      2652

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !


      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    10. #27
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,580
      Rep Power : 949
      Likes Received
      693
      Likes Given
      131

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Dumela Mbegu
      Nenda kasome sheria vizuri aisee, watu wameji organize pamoja wamekodisha bus kwa pesa yao, hiyo ni rushwa ? Na isitoshe hata km ccm inawarudishia hela ya usafiri hiyo ni rushwa? nipe sasa kipengele cha sheria kinacho sema hiyo ni rushwa. Hapa hakuna lolote zaidi ya uwezo wa chama kuwahudumia wanachama wake, ndio maana nikasema ni husda
      Sheria kawasomeshe hawa hapa chini.



      Na vile vile mkumbuke kuwa mnatakiwa kutimiza ahadi zenu siyo porojo za majukwaani maana nyie siyo wapinzani.

    11. #28
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,580
      Rep Power : 949
      Likes Received
      693
      Likes Given
      131

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Dumela Mbegu
      Jamani ndio nasema husda zinawamaliza cdm siku zote, ukiona mwenzako ana muhudumia mwanachama wake vizuri nyie mnaumia na kuleta hoja zisizo na mashiko kabisa. Kwani kwa magari kuwasubiria ni vibaya ? na je una uhakika wote hawakurudi nyumbani ? na mbona siku ile watu wengi tu walienda kupanda usafiri wa kawaida wa ma bus? toeni hoja za mashiko wakuu
      Mkuu hawa hapa chini siyo wanachama wenu?

      Mbona hawa hamuwahudumii japo kaptula kufika ubinadamu wao? Nyie kweli mna kansa ya akili!

    12. #29
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By MESTOD
      Sheria kawasomeshe hawa hapa chini.



      Na vile vile mkumbuke kuwa mnatakiwa kutimiza ahadi zenu siyo porojo za majukwaani maana nyie siyo wapinzani.
      Hukusikia utekelezaji wake? Au ndio yale yale mna macho hamuoni na mna masikio hamsikii?

    13. #30
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By MESTOD
      Hivi na nyie mnajiona bado mna hoja za kujibu matatizo ya wananchi? Mkitaka muone taswira halisi ya nyie ni kina nani, itisheni mikutano na bila kutupa hiyo sh 5,000 muone kama mtapata watu.
      Huku kwetu jumamosi nusura mtoane macho maana mliahidi sh 10,000 wakapewa sh elf tano.
      Uwezo chama kinao, sasa kwa nini wasipewe ? CDM uwezo huo hamna na ndio maana mnaishia kupiga kelele kwa funika bovu la juzi, msilie sana na nyie mtafikia huko

    14. #31
      Mzee Wa Rubisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : Chini ya mgomba
      Posts : 1,285
      Rep Power : 691
      Likes Received
      208
      Likes Given
      267

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Safari_ni_Safari
      Kusomba watu na kuwalipa posho

    15. #32
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,269
      Rep Power : 3044
      Likes Received
      3057
      Likes Given
      4144

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Dumela Mbegu
      Jamani ndio nasema husda zinawamaliza cdm siku zote, ukiona mwenzako ana muhudumia mwanachama wake vizuri nyie mnaumia na kuleta hoja zisizo na mashiko kabisa. Kwani kwa magari kuwasubiria ni vibaya ? na je una uhakika wote hawakurudi nyumbani ? na mbona siku ile watu wengi tu walienda kupanda usafiri wa kawaida wa ma bus? toeni hoja za mashiko wakuu
      MESTOD, Mafie PM, zaleo and 1 others like this.
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    16. #33
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,269
      Rep Power : 3044
      Likes Received
      3057
      Likes Given
      4144

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Dumela Mbegu
      Uwezo chama kinao, sasa kwa nini wasipewe ? CDM uwezo huo hamna na ndio maana mnaishia kupiga kelele kwa funika bovu la juzi, msilie sana na nyie mtafikia huko
      Mwamwongu village - Tanzania ni hii ya CCM yenye uwezo. Bullshit!!


      This is what CCM is proud of...............manyang'au kabisa!!
      Mafie PM likes this.
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    17. #34
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Chama Cha Mauaji [Bujibuji]
      Nimeangalia hizi picha roho inaniuma. Nakumbuka siku mwanangu wa miaka minne aliponiambia, "Baba, nikiwa mkubwa sitaki kuwa CCM." Nilimpuuza kwa kudhani ni maneno ya kitoto, kumbe aliona mbali kuliko mimi.
      Yaliyafika wazee wetu ndiyo wanayoishi vijana wetu na ndiyo yanayowasubiri vizazi vyetu.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    18. #35
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 12,014
      Rep Power : 24158
      Likes Received
      4736
      Likes Given
      2652

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Mafie PM and zaleo like this.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    19. #36
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,580
      Rep Power : 949
      Likes Received
      693
      Likes Given
      131

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Dumela Mbegu
      Hukusikia utekelezaji wake? Au ndio yale yale mna macho hamuoni na mna masikio hamsikii?

      Akili mfu hizi! Kwa hapa hata ukiwa na macho huwezi ona!

    20. #37
      Mafie PM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 1,213
      Rep Power : 661
      Likes Received
      182
      Likes Given
      1212

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By FREDOMFIGHTER
      Kweli mkuu kuna kiumbe kimetoweka huko Gombe.
      Nyara za Serikali ni Stephen Wassira au? maana ile sura ni kama ya Sokwe!
      FREDOMFIGHTER likes this.

    21. #38
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Dumela Mbegu
      Hukusikia utekelezaji wake? Au ndio yale yale mna macho hamuoni na mna masikio hamsikii?
      wanaotaka kusomeshwa ndo walisikia au muuliza swali?
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    22. #39
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,968
      Rep Power : 2608
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By KOMBAJR
      Haya ndiyo walikuwa wanatakiwa kuyazungumzia siyo story.....hali ni mbaya down to business siyo kuwapa watu 5000
      Maisha bora kwa kila mTz.Babu kanikosha na huyo tetere dah.......

    23. #40
      zaleo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 795
      Rep Power : 536
      Likes Received
      235
      Likes Given
      528

      Default Re: CCM msirudie haya tena, hayapendezi na hayavumiliki !

      Quote By Kimbito nyama
      Naomab kuongeza: Pia kuwabeba watu kwenye mabasi ni jambo zuri lakini ni ni vizuri kuwasubiria hadi mkutano ukaisha kwani nilipta taarifa kwamba kuna mabasi yalisomba watu asubuhi kuwapleka CHADEMA SQUARE, baada ya mkutanao wakawa hawayaoni. Wakati mwingine lazima kuwe na Mwenyekiti wa Usafiri.
      Dume la mbegu hawezi kuiona hiyo kwa sababu ametumwa kueleza wanayofikiri ni positive tu. CCM kwao wanajua hawakosei. Ndio ugonjwa uliotufikisha hapa tulipo tunaugulia third degree illness.
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” by Hon Lema, MP - Arusha

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...