Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lema aushukia Mwenge

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 516
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Lema aushukia Mwenge

      Akizungumza katika mikutano ya hadhara katika kata za Chienjele na Likunja katika Wilaya ya Ruangwa, Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema alisema ni aibu kwa Serikali kukimbiza Mwenge kwa gharama ya Sh bilioni moja na kwenda kufungua zahanati ya kijiji isiyozidi Sh10 milioni.

      Alisema ni muafaka kwa Serikali kujitathmini kama suala hilo la kukimbiza Mwenge linahitajika wakati huu ambao nchi inakabiliwa na mfumuko mkubwa wa bei huku wananchi wakiendelea kukosa huduma za msingi.

      Alisema kama wabunge wa mikoa ya Lindi na Mtwara wangekuwa na nia ya kuwatumikia wananchi ipasavyo, wangekataa nafasi za uwaziri walizopewa kwa kuwa haziwasaidii chochote wananchi wao zaidi ya kuwafunga midomo wabunge waliotumwa kuwasemea katika shida mbalimbali za majimbo yao.


      Source: Mwananchi
      Crashwise likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,207
      Rep Power : 954
      Likes Received
      598
      Likes Given
      0

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Waeleza jembe Lema,mwenge unaeneza njaa sitakagi kuona hata picha yake.

    4. #3
      Kimbito nyama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 156
      Rep Power : 389
      Likes Received
      38
      Likes Given
      19

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Quote By Man KKK
      Akizungumza katika mikutano ya hadhara katika kata za Chienjele na Likunja katika Wilaya ya Ruangwa, Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema alisema ni aibu kwa Serikali kukimbiza Mwenge kwa gharama ya Sh bilioni moja na kwenda kufungua zahanati ya kijiji isiyozidi Sh10 milioni...
      Hivi wakimbiza mwenge wanapatikanaje?
      anders batta likes this.

    5. #4
      Hebron Caleb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 171
      Rep Power : 383
      Likes Received
      43
      Likes Given
      3

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Mh. Lema, haya maneno yako yananiumiza moyo wangu sana na ukizingatia nalipa kodi ya PAYE hata kabla ya mshahara wangu kunifikia na hivi ndivyo zinavyotumika yaani kutumia mabilioni kufungua vitu vidogo vidogo kama hivi. Mungu tusaidie. God bless Godbless Lema. Amen.

    6. #5
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 516
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      mbaya zaidi kwa kule vijijini wanawatoza elfu tano eti ya mchango wa mafuta ya mwenge jamani watu walivo na shida kule bado mnawatoza na ela this is not fair kwakweli...yani kuna watu ata motoni wakipelekwa bado wanapendelewa sijui ata wawekwe wapi

    7. Study Abroad

    8. #6
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default

      Kwanza huu mwenge unatuangazia nini, sisi kitambo tumeshaiona nuru iliyotufunua tukawamulika maaudi wa maendeleo ya nchi.
      Watoto walale na njaa, baba anajenga kitambi bar.
      May God Bless Godbless Lema.

    9. #7
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default

      Quote By Man KKK
      mbaya zaidi kwa kule vijijini wanawatoza elfu tano eti ya mchango wa mafuta ya mwenge jamani watu walivo na shida kule bado mnawatoza na ela this is not fair kwakweli...yani kuna watu ata motoni wakipelekwa bado wanapendelewa sijui ata wawekwe wapi
      Tena iyo elfu tano mzazi akishindwa kulipa mtoto anatolewa darasani mpaka pesa ipatikane.
      Tunajenga tuna bomoa??

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      hasan124 likes this.

    10. #8
      Rejao's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,756
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3343
      Likes Given
      2878

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Huku Lindi watu wana mwamko mkubwa sana na mwenge wa uhuru. Jana tuliipokea vyema hapa stand. Leo ndio tunausindikiza. Huu mwenge unajenga sana umoja wetu kitaifa.

    11. #9
      IKHOIKHOI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Location : Bustani ya Eden
      Posts : 344
      Rep Power : 436
      Likes Received
      34
      Likes Given
      34

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      mbio za mwenge ni wizi wa wazi wazi. Hautusaidii kitu, kuna mtu aliwahi kusema akiwa rais kitu cha kwanza ni kuuweka mwenge kwenye jumba la makumbusho. Si hoja ya Lema ni ya kweli, kuuendekeza mwenge ni kuwazidishia watanzania matatizo
      Crashwise likes this.
      ora et labora

    12. #10
      Losomich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Posts : 370
      Rep Power : 454
      Likes Received
      69
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By Rejao
      Huku Lindi watu wana mwamko mkubwa sana na mwenge wa uhuru. Jana tuliipokea vyema hapa stand. Leo ndio tunausindikiza. Huu mwenge unajenga sana umoja wetu kitaifa.
      Huu mwenge unajenga sana umoja wa matumbo yetu kitaifa.
      Crashwise likes this.

    13. #11
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,806
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Quote By Man KKK
      Akizungumza katika mikutano ya hadhara katika kata za Chienjele na Likunja katika Wilaya ya Ruangwa, Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema alisema ni aibu kwa Serikali kukimbiza Mwenge kwa gharama ya Sh bilioni moja na kwenda kufungua zahanati ya kijiji isiyozidi Sh10 milioni.
      Alisema ni muafaka kwa Serikali kujitathmini kama suala hilo la kukimbiza Mwenge linahitajika wakati huu ambao nchi inakabiliwa na mfumuko mkubwa wa bei huku wananchi wakiendelea kukosa huduma za msingi.
      Alisema kama wabunge wa mikoa ya Lindi na Mtwara wangekuwa na nia ya kuwatumikia wananchi ipasavyo, wangekataa nafasi za uwaziri walizopewa kwa kuwa haziwasaidii chochote wananchi wao zaidi ya kuwafunga midomo wabunge waliotumwa kuwasemea katika shida mbalimbali za majimbo yao.

      Source: mwananchi
      Lema tangia avuliwe ubunge akili yake haiko sawa, mara waraka wa ikulu na ikulu walivyo makini wala hawakumjibu chochote kwani walimjua ni hamnazo. Leo amekuja na mwenge. Mwenge kwa mwaka huu unategemea kufungua miradi ya nchi nzima yenye thamani ya Tshs 93 bilioni. Sasa ww Lema ukitumia Tshs 1 bn , kuleta miradi ya Tshs 93 bn shida iko wapi ?

    14. #12
      UPOPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 342
      Rep Power : 455
      Likes Received
      104
      Likes Given
      45

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Hongera Lema kwa kuliona hilo.Cha Muhimu na mshauri Lema na CDM wakomboe nchi washike dola hayo mambo yote watayarekebisha.

    15. #13
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,806
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Quote By IKHOIKHOI
      mbio za mwenge ni wizi wa wazi wazi. Hautusaidii kitu, kuna mtu aliwahi kusema akiwa rais kitu cha kwanza ni kuuweka mwenge kwenye jumba la makumbusho. Si hoja ya Lema ni ya kweli, kuuendekeza mwenge ni kuwazidishia watanzania matatizo

      Sasa HATOKUWA !

    16. #14
      UPOPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 342
      Rep Power : 455
      Likes Received
      104
      Likes Given
      45

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Quote By Dumela Mbegu
      Lema tangia avuliwe ubunge akili yake haiko sawa, mara waraka wa ikulu na ikulu walivyo makini wala hawakumjibu chochote kwani walimjua ni hamnazo. Leo amekuja na mwenge. Mwenge kwa mwaka huu unategemea kufungua miradi ya nchi nzima yenye thamani ya Tshs 93 bilioni. Sasa ww Lema ukitumia Tshs 1 bn , kuleta miradi ya Tshs 93 bn shida iko wapi ?
      Hapo kwenye red ,umtakeradhi Lema please sio kauli nzuri

    17. #15
      Mujwahuzia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 137
      Rep Power : 406
      Likes Received
      31
      Likes Given
      3

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Quote By Marire
      Waeleza jembe Lema,mwenge unaeneza njaa sitakagi kuona hata picha yake.
      Heti nini?

    18. #16
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,806
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Quote By UPOPO
      Hongera Lema kwa kuliona hilo.Cha Muhimu na mshauri Lema na CDM wakomboe nchi washike dola hayo mambo yote watayarekebisha.
      Huwa mnaota ndoto za alinacha mpaka raha !


    19. #17
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Lema ana hasira za kubwagwa ubunge kwa lugha yake chafu. Ajifunze na asiendelee na lugha zake za utata yakaja mkuta mengine.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    20. #18
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,806
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Lema aushukia Mwenge

      Quote By UPOPO
      Hapo kwenye red ,umtakeradhi Lema please sio kauli nzuri
      Ndio ukweli , na ukweli lazima usemwe !


    21. #19
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,230
      Rep Power : 1537
      Likes Received
      764
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Rejao
      Huku Lindi watu wana mwamko mkubwa sana na mwenge wa uhuru. Jana tuliipokea vyema hapa stand. Leo ndio tunausindikiza. Huu mwenge unajenga sana umoja wetu kitaifa.
      unapokeshea ngono hufanyika kuliko kawaida hivyo unaeneza ukimwi. Mwaka 2006 kijiji cha Kisorya Bunda uliacha kondomu zilizotumika nyingi mpaka shuleni watoto wakaokota siku nzima! So pathetic
      Crashwise likes this.

    22. #20
      dudupori's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 227
      Rep Power : 1434
      Likes Received
      66
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Dumela Mbegu
      Lema tangia avuliwe ubunge akili yake haiko sawa, mara waraka wa ikulu na ikulu walivyo makini wala hawakumjibu chochote kwani walimjua ni hamnazo. Leo amekuja na mwenge. Mwenge kwa mwaka huu unategemea kufungua miradi ya nchi nzima yenye thamani ya Tshs 93 bilioni. Sasa ww Lema ukitumia Tshs 1 bn , kuleta miradi ya Tshs 93 bn shida iko wapi ?

      Hivi mkuu, bila huo mwenge miradi haiwezi kuzinduliwa?

    23. Miaka 50
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...