Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,055
      Rep Power : 16331
      Likes Received
      2228
      Likes Given
      1267

      Smile Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Juzi nilikuwa nimekaa mahali fulani nikaona mabasi ya mepambwa bendera za CCM yakisubiri wananchi wapande ili wapelekwe kwenye mkutano nikawa sielewi ni kwa nini na hii siyo mara kwanza kwangu!

      Siku nyingine nikiwa katika mihangaiko yangu nikiwa pale Karatu nikielekea Mbuli nikakutana na maroli,mengi yamebeba wananchi nilipo uliza nikaambiwa wanapelekwa kwenye mkutano wa uchaguzi!!!
      Nikajiuliza maswali lakini sikupata jibu!!

      Inamaana CCM hawawezi kwenda kwenye mahali husika na kufanya mkutano kuliko kuwasomba wananchi kama magunia? Je, hawaoni kama wanaweza kuwasababishia ajali wananchi? CCM kwanini msiwaige CHADEMA wananchi ndiyo wanafata mkuta siyo mkutano unawafata wananchi!!Je hii inaashiria nini kwa chama tawala?
      KOMBESANA likes this.
      Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,259
      Rep Power : 965
      Likes Received
      610
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Waige cdm waone kama hawatabaki na spika uwanjani

    4. #3
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,497
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1263

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Hawawezi kutumia njia ya cdma hata mara moja,kama ujawai kushuhudia Nape akilia hadharani ndio itakuwa siku hiyo watakapo hamua wananchi wafuate mkutano.

    5. #4
      Bumpkin Billionare's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Location : Msangabunyesa
      Posts : 1,280
      Rep Power : 697
      Likes Received
      557
      Likes Given
      198

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Hata hii ya kuwabeba kuna wakati inafeli. Kule Mbinga Nape alikwenda na msafara wa pikipiki na magari 40, lkn kufika mkutanoni, audience ilikuwa watoto wa shule tu na masweta yao. The rest ni waliokuwamo msafarani, mm nikashangaa kwa nini hakuwahutubia huko huko kama ni wenyewe tu
      An Idea isn't responsible for the people who believe in it.
      Donald Robert Marquis (1878 - 1937)
      American Writer


    6. #5
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      unataka wahutubie miti siku hiyo eti
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    7. Miaka 50

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,497
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1263

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Pole nape.

    9. #7
      KakaKiiza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Location : Here Where you see me!!
      Posts : 6,055
      Rep Power : 16331
      Likes Received
      2228
      Likes Given
      1267

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Kwamaana hiyo wakipanga mkutano ni lazima watenge pesa ya PA,Pesa ya kusafirisha wanachama!!....kweli hii nikali ya mwaka!!unachumbia na na kujilipia mahali!!bwana kaka!!
      Its only crazy who will be against to CDM!,only a fool who will fly CCM flag while is hungry!!

    10. #8
      zaratustra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 633
      Rep Power : 630
      Likes Received
      85
      Likes Given
      116

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Quote By Bumpkin Billionare
      Hata hii ya kuwabeba kuna wakati inafeli. Kule Mbinga Nape alikwenda na msafara wa pikipiki na magari 40, lkn kufika mkutanoni, audience ilikuwa watoto wa shule tu na masweta yao. The rest ni waliokuwamo msafarani, mm nikashangaa kwa nini hakuwahutubia huko huko kama ni wenyewe tu
      Hadi wawape buku mbili mbili + tshirt + kofia ndo wanakubali!

    11. #9
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,953
      Rep Power : 754
      Likes Received
      281
      Likes Given
      147

      Default

      Quote By Marire
      Waige cdm waone kama hawatabaki na spika uwanjani
      muiga kunya kwa tembo..............!!

    12. #10
      sammosses's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Location : Shinyanga
      Posts : 918
      Rep Power : 605
      Likes Received
      168
      Likes Given
      238

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Shinyanga waliwahonga waendesha boda boda na waendesha baiskeli,wakawabeba watu walipofika uwanjani wananchi wakatimka kuelekea kwenye mkutano wa CDM.

    13. #11
      Safhat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 270
      Rep Power : 407
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By KakaKiiza
      Juzi nilikuwa nimekaa mahali fulani nikaona mabasi ya mepambwa bendera za CCM yakisubiri wananchi wapande ili wapelekwe kwenye mkutano nikawa sielewi ni kwa nini na hii siyo mara kwanza kwangu!

      Siku nyingine nikiwa katika mihangaiko yangu nikiwa pale Karatu nikielekea Mbuli nikakutana na maroli,mengi yamebeba wananchi nilipo uliza nikaambiwa wanapelekwa kwenye mkutano wa uchaguzi!!!
      Nikajiuliza maswali lakini sikupata jibu!!

      Inamaana CCM hawawezi kwenda kwenye mahali husika na kufanya mkutano kuliko kuwasomba wananchi kama magunia? Je, hawaoni kama wanaweza kuwasababishia ajali wananchi? CCM kwanini msiwaige CHADEMA wananchi ndiyo wanafata mkuta siyo mkutano unawafata wananchi!!Je hii inaashiria nini kwa chama tawala?
      hii inashiria ukosefu wa wanachama walokuwa nao hawakidh mahtaji ya viwanja wanaofanyia mikutano.hi ni aibu coz haiwezkan chama kilichopo madarakan kukosa wakereketwa wakusitiri viwanja vyao..WHAT IS WITHIN BEHIND THE SCENE?!!

    14. #12
      mangikule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2012
      Posts : 930
      Rep Power : 536
      Likes Received
      176
      Likes Given
      239

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Quote By KakaKiiza
      Juzi nilikuwa nimekaa mahali fulani nikaona mabasi ya mepambwa bendera za CCM yakisubiri wananchi wapande ili wapelekwe kwenye mkutano nikawa sielewi ni kwa nini na hii siyo mara kwanza kwangu!

      Siku nyingine nikiwa katika mihangaiko yangu nikiwa pale Karatu nikielekea Mbuli nikakutana na maroli,mengi yamebeba wananchi nilipo uliza nikaambiwa wanapelekwa kwenye mkutano wa uchaguzi!!!
      Nikajiuliza maswali lakini sikupata jibu!!

      Inamaana CCM hawawezi kwenda kwenye mahali husika na kufanya mkutano kuliko kuwasomba wananchi kama magunia? Je, hawaoni kama wanaweza kuwasababishia ajali wananchi? CCM kwanini msiwaige CHADEMA wananchi ndiyo wanafata mkuta siyo mkutano unawafata wananchi!!Je hii inaashiria nini kwa chama tawala?
      Na nyamapori na ugali na posho ya 5000/-

    15. #13
      SUWI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 491
      Rep Power : 537
      Likes Received
      21
      Likes Given
      65

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Hiki chama sijui kitakubali lini kuwa hakiitajiki tena kwa wananchi,,,, Jmosi nilikuwa naelekea kigambo kufika feri nikawaona kundi la kina mama wenye kujichubua (mkorogo.. na ni kwa wote waliokuwepo) nikamuuliza mmoja wanasubiri nini maana kama ni mkutanoni mbona mabasi yamejaa hawapandi akaniambia wanasubiri usafiri ulioandaliwa!!!!!!!!!!!!Waliku wepo kuna baba wachache dizaini za waleeee wacheza bao vibarazani.... hawa ndo wanachama waliobaki wa ccm (waganga njaa)

    16. #14
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Hivi CCM hii ndiyo style yenu ya mikutano?

      Ipo siku hao wanao bebwa watajitambua
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    17. #15
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Mende0
      Ipo siku hao wanao bebwa watajitambua
      Hasa wa kwenye marori watakapobwagwa kama kokoto na kuumia ndio watajua CCM ni watu au manyang'au?

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...