Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 78
    1. #1
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Post Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Hapa naomba tujadiliane kati ya hawa wawili bila kutumia hasira. Na ninaomba mtu akikomenti atoe sababu.
      1. Kiongonzi shupavu mwenye mtazamo chanya si kigeugeu.
      2. Aweza akawa Rais na kuiongoza nchi vyema.
      3. Sio dictator.
      Haya jamani tujadiliane.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    2. Miaka 50

    3. #2
      Dangire's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : Dar
      Posts : 179
      Rep Power : 421
      Likes Received
      35
      Likes Given
      3

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      kwa mujibu wa vigezo vyako, yeyote kati yao anaweza kuwa.ila kwa kuongezea tu, tunahitaji mtu mwenye mtazama sahihi wake binafsi na chama chake (maana ndicho kitakachoongoza nchi), awe mpambanaji kwelikweli, asiyehadaika na magamba, mwenye 'political will' ya kweli. mchapakazi. asiyeonea haya mafisadi. katika vigezo hivyo, mbowe anaibuka kidedea.
      kumb. urais sio 'level ya elimu' nk. ni dhamira ya dhati ya kuliletea taifa mabadiliko stahiki. kati ya hawa wa2, wanatanguliwa na Dr. slaa. huyu ni kiboko.
      Mkono likes this.

    4. #3
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Dangire
      kwa mujibu wa vigezo vyako, yeyote kati yao anaweza kuwa.ila kwa kuongezea tu, tunahitaji mtu mwenye mtazama sahihi wake binafsi na chama chake (maana ndicho kitakachoongoza nchi), awe mpambanaji kwelikweli, asiyehadaika na magamba, mwenye 'political will' ya kweli. mchapakazi. asiyeonea haya mafisadi. katika vigezo hivyo, mbowe anaibuka kidedea.
      kumb. urais sio 'level ya elimu' nk. ni dhamira ya dhati ya kuliletea taifa mabadiliko stahiki. kati ya hawa wa2, wanatanguliwa na Dr. slaa. huyu ni kiboko.
      Mimi sijamtaja Slaa kwani Slaa ndio nani huyo?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    5. #4
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,518
      Rep Power : 4643
      Likes Received
      1261
      Likes Given
      880

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Unamfananisha Mbowe kamanda na Lipumba wapi na wapi? Mbowe ni jembe la ukweli.
      Halafu mbona umeanza kwa kujihami coz unajua majibu ni yepi. Yan unadhani mtu ukiwa na elimu kubwa ndo unauwezo wa kuongoza? Tazama chama lake ccm b linamfia huku akiona.

    6. #5
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,355
      Rep Power : 12597
      Likes Received
      5872
      Likes Given
      781

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Kiongozi bora ni yule mwenye elimu, kwa upande wa elimu Mbowe ni form 4 na Prof Lipumba PhD...na wote walishawahi kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Prof Lipumba alishika nafasi ya pili na Mbowe alishika nafasi ya tatu.


    7. #6
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      dogo! Si bure kuna kitu,maana leo posti zako zote ulizotuma ni za kipuuzi....afu upo bize kupost bila kupumua,inaonekana posho yako leo umevuta ndefu sana

    8. #7
      Navy SEAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Posts : 347
      Rep Power : 508
      Likes Received
      37
      Likes Given
      4

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      unafananisha jua na mwezi?

    9. #8
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Lipumba kitaaluma ni mzuri hasa katika mambo ya kiuchumi tatizo lake kubwa ni MTU WA JAZBA sana hasa anapotibuliwa kidogo na CCM wamekua wakiufahamu udhaifu wake ndio maana wanamchezea kama mtoto mdogo kwa upande wa mbowe si mtu wa jazba japo kielimu hajamfikia lipumba.. hii inamfanya awe na advantage over lipumba..

      Lakini all in all katika masuala ya uongozi maproffesa si wazuri sana kutokana na elimu zao .. nchi za wenzetu watu kama hawa huwa hawapewi uongozi wa siasa huwa wanaachwa watumikie taifa kwa elimu zao

      SO GENERALLY MBOWE NI KIONGOZI MZURI KULIKO LIPUMBA

    10. #9
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      CCM HAWAACHI KUOTA MCHANA KWEUPE,KATIKA KAMPENI ZAO ZA KUWAPUUZA WATANZANIA WAMEANDAA ULAGHAI MWINGINE ILI WAPATE KURA ZA WAPUMBAVU.
      1.KUANZISHWA BENKI YA WAKULIMA
      2.KUANZISHA BENKI YA VIJANA
      KATIKA UANZISHWAJI BENKI HIZO SERIKALI INA MPANGO WA KUWAHADAA WATZ KWA KUWAAMBIA WATAWAKOPESHA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU,KUANZIA MILLION 1MPAKA 15.LAKINI KATIKA UOMBAJI HUO UNAHUSISHA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KAMA MAWAKALA WAO ILI UPATE MKOPO,CHA KUCHEKESHA ZAIDI INAAMINIKA CCM IMEJIPANGA KUTUMIA KITAMBULISHO CHA URAIA NA HASA CHA KUPIGIA KURA KAMA MTAJI WA KUWAPATA HAO WALENGWA.NA KUHAKIKISHA WANAOCHUKUA MIKOPO WOTE WATAIPIGIA CCM UCHAGUZI KUANZIA UDIWANI WA 2014 NA UCHAGUZI MKUU 2015.LAKINI WAJUMBE WENGI WANA WASIWASI KUWA VIJANA WALIO WENGI WAMEELEVUKA SANA NA WATAKULA PESA ZAO NA KUWAPIGIA WAPINZANI.CCM ILITUMIA MKUTANO WA JANGWANI KAMA KIPIMA JOTO SASA WAMEANZA KUINGIWA NA WASIWASI MAANA MKUSANYIKO ULE HAUKUKAMILIKA BILA YA PESA SASA WANAJIULIZA BILA VIKINDI VYA SANAA KWELI WATAKUBALIKA,MJUMBE ALIYE KARIBU NA NAPE KASEMA CHADEMA INAWANYIMA USINGIZI KULIKO HATA MAGONJWA YA WAZAZI WAO AU WANANDOA WAO.
      BINTI MREMBO LUMUMBA CCM

    11. #10
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Ruhazwe JR
      dogo! Si bure kuna kitu,maana leo posti zako zote ulizotuma ni za kipuuzi....afu upo bize kupost bila kupumua,inaonekana posho yako leo umevuta ndefu sana
      Kubwa. Hebu nipe maelezo post ipi ya kipuuzi na nikwann ni ya kipuuzi. Usiibane akili yako iache ifikirie. ndio maendeleo hayo. Halafu nani kanipa posho unadhani mimi nategemea posho mimi ni kijana nimepewa nguvu na Mungu nakula kwa nguvu zangu.

      Mimi nataka maendeleo sio maneno maneno sawa?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    12. #11
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,037
      Rep Power : 588
      Likes Received
      126
      Likes Given
      17

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Professor Ibrahim LIPUMBA

    13. #12
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By andrews
      CCM HAWAACHI KUOTA MCHANA KWEUPE,KATIKA KAMPENI ZAO ZA KUWAPUUZA WATANZANIA WAMEANDAA ULAGHAI MWINGINE ILI WAPATE KURA ZA WAPUMBAVU.
      1.KUANZISHWA BENKI YA WAKULIMA
      2.KUANZISHA BENKI YA VIJANA
      KATIKA UANZISHWAJI BENKI HIZO SERIKALI INA MPANGO WA KUWAHADAA WATZ KWA KUWAAMBIA WATAWAKOPESHA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU,KUANZIA MILLION 1MPAKA 15.LAKINI KATIKA UOMBAJI HUO UNAHUSISHA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KAMA MAWAKALA WAO ILI UPATE MKOPO,CHA KUCHEKESHA ZAIDI INAAMINIKA CCM IMEJIPANGA KUTUMIA KITAMBULISHO CHA URAIA NA HASA CHA KUPIGIA KURA KAMA MTAJI WA KUWAPATA HAO WALENGWA.NA KUHAKIKISHA WANAOCHUKUA MIKOPO WOTE WATAIPIGIA CCM UCHAGUZI KUANZIA UDIWANI WA 2014 NA UCHAGUZI MKUU 2015.LAKINI WAJUMBE WENGI WANA WASIWASI KUWA VIJANA WALIO WENGI WAMEELEVUKA SANA NA WATAKULA PESA ZAO NA KUWAPIGIA WAPINZANI.CCM ILITUMIA MKUTANO WA JANGWANI KAMA KIPIMA JOTO SASA WAMEANZA KUINGIWA NA WASIWASI MAANA MKUSANYIKO ULE HAUKUKAMILIKA BILA YA PESA SASA WANAJIULIZA BILA VIKINDI VYA SANAA KWELI WATAKUBALIKA,MJUMBE ALIYE KARIBU NA NAPE KASEMA CHADEMA INAWANYIMA USINGIZI KULIKO HATA MAGONJWA YA WAZAZI WAO AU WANANDOA WAO.
      BINTI MREMBO LUMUMBA CCM
      Dio nini sasa? halafu font nyekundu sio nzuri inaumiza macho.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    14. #13
      mama-lokatare's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th February 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 369
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      akili v/s nguvu.

    15. #14
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Navy SEAL
      unafananisha jua na mwezi?
      Kama huna cha kusema si lazima
      Unaposema mwezi na jua una maanisha nini?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    16. #15
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Jakaya Mrisho Kikwete

    17. #16
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By mama-lokatare
      akili v/s nguvu.
      Toa maelezo unamaanisha nini?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    18. #17
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Angel Msoffe
      Jakaya Mrisho Kikwete
      out of point
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    19. #18
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,978
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Kama uongozi ni elimu basi mwenye elimu yake anajulikana,Ila kama ni kipaji basi mwenye kipaji chake anajulikana
      Ringo Edmund likes this.

    20. #19
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,932
      Rep Power : 5065
      Likes Received
      3204
      Likes Given
      2665

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Kiongozi bora ni mbowe hapo kwani ameweza kuongoza cdm mpaka kuwa chama makini kikuu cha upinzani na kinachoaminiwa na wa-tz kwa sasa,pia ameweza kuwajenga wanachama na viongozi ktk maadili ya uongozi bora kwahyo mbowe anamzidi lipumba kwa asilimia nyingi tu mbowe yupo segera njia panda arusha-tanga wakati lipumba yupo mbezi louis.
      Ringo Edmund and hasan124 like this.

    21. #20
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25470
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      MBOWE ni zaidi ya LIPuMBA na JK kwa kila kitu

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...