Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 78
    1. #1
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Post Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Hapa naomba tujadiliane kati ya hawa wawili bila kutumia hasira. Na ninaomba mtu akikomenti atoe sababu.
      1. Kiongonzi shupavu mwenye mtazamo chanya si kigeugeu.
      2. Aweza akawa Rais na kuiongoza nchi vyema.
      3. Sio dictator.
      Haya jamani tujadiliane.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    2. Miaka 50

    3. #41
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,689
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1591
      Likes Given
      676

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Angel Msoffe
      nimekutafunia na kumeza nikumezeshe!!!?namimi nakuuliza KATI YA GHARIB BILLAL NA AGUSTINO MREMA NANI KIONGOZI BORA?
      Bora ya Mrema kuliko huyo mbeba Mikasi

    4. #42
      BigMan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2007
      Posts : 535
      Rep Power : 734
      Likes Received
      57
      Likes Given
      10

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Mdundulizaji
      kuanzia mwaka 2005 kwa mujibu wa sheria, mgombea urais ni lazima awe na angalau shahada (degree) ya kwanza ya chuo kikuu, hivyo kudai kuna mtu aligombea akiwa na elimu ya form 4 ni UWONGO MKUBWA!
      unamfahamu dovutwa ? haja kuingia katika mjadala usiohufahamu mbowe ni kilaza,kama mmezoea kuwaita wenzenu vilaza sasa katika chama chenu wapo kibao badala yake leo mnaibuka oooh uongozi siyo elimu mbona siku zote mnawakandia viongozi wenye elimu ya kawaida ? kama mbowe ni form four basi elimu yake ina mashaka hafahi kupewa nchi labda yule mwenye ph.d ya dini anaweza kuwa afadhali

    5. #43
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,484
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4302
      Likes Given
      1248

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Mbona unapambanisha watu wenye level tofauti?

      Ni bora lipumba ukampambanisha na shibuda au wassira, mbowe siyo size yake, this is not fair competition

    6. #44
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By ruttashobolwa
      Mbona unapambanisha watu wenye level tofauti?

      Ni bora lipumba ukampambanisha na shibuda au wassira, mbowe siyo size yake, this is not fair competition
      Hivi unajua maana ya neno shibuda?

      Mimi nataka useme nani zaidi sijaongelea Shibuda hapa?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    7. #45
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,484
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4302
      Likes Given
      1248

      Default

      Quote By Annael
      Tatizo ni nini mimi nataka kujua je watu wanapenda chama, mtu au wanataka wapate maendeleo? MIMI KUSEMA KWELI SIO MUUMINI WA CHAMA CHOCHOTE NA SIMUABUDU MTU YOYOTE. Sawa? Ahsante kwa kufuatilia post zangu. Firia theme ili ndani ya hizo post sawa?
      utuletee nyingine ya shibuda na nape. Kama hotonyimwa posho

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By ruttashobolwa
      utuletee nyingine ya shibuda na nape. Kama hotonyimwa posho
      Sawa je Shibuda na Nape yupi zaidi?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    10. #47
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1387
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Annael
      Hapa naomba tujadiliane kati ya hawa wawili bila kutumia hasira. Na ninaomba mtu akikomenti atoe sababu.
      1. Kiongonzi shupavu mwenye mtazamo chanya si kigeugeu.
      2. Aweza akawa Rais na kuiongoza nchi vyema.
      3. Sio dictator.
      Haya jamani tujadiliane.
      wote siwaamini. ungeongeza majina ningekwambia. Mbowe pamoja na kazi anazofanya, laikini si bora, lipumba naye king'ang'anizi
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    11. #48
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      lipumba king'ang'anizi wa kuwa rais tangu enzi za mrema. na 2015 atagommea tena. Mbowe ni mwanadiplomasia anayepima maji ya mto kabla ya kuvuka. ILA mbowe yupo ktk chama bora , lipumba ni CCM B

    12. #49
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Mkuu vithread kama hivi huwa unavipenda sana. Lakini mwisho wenu utafika pale mtakapo jaribu kumshika yule mwamba wa kaskazini lowassa mtafutika kwenye hii medani ya siasa
      Mie wewe? Mfuatilie vizuri Ritz thread zote nipo.

    13. #50
      COWARD's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 362
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Mkeo ndo anatufaa

    14. #51
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By COWARD
      Mkeo ndo anatufaa
      Acha kutukana wewe! toa pointi. Kama huna cha kuandika kaa kimya. Unamjua mke wangu wewe?
      Matusi hayo hayafai. Umemkosea heshima mke wangu. Angalau nitukane mimi sawa?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    15. #52
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Unauliza makalio ya mbuzi na mkia unauona?In the last 10 years cuf na chadema kipi chama bora?
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    16. #53
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Lipumba nadhani ndiye wa ukweli zaidi. Sina sababu rasmi kwa mawazo hayo.
      The unseen is illustrated by the seen.

    17. #54
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Hawa walimu vodafasta tabu tupu.........ukishajua ili iweje?

    18. #55
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,484
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4302
      Likes Given
      1248

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Ndio !!! Kaskazini kwa anayetokea yule mwamba anaeitwa Edward lowassa ambaye hamna yeyote ndani ya magamba mwenye uwezo wa kukohoa mbele yake vinginevyo atakisawazisha hicho chama cha majambazi
      muonee huruma ritz,nape,rejao wanmuogopa sana huyo mwamba wa kaskazini,huto muona tena ritz kwenye hii thread. Pole ritz kwa kushikwa pabaya.

    19. #56
      Kipimbwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 269
      Rep Power : 449
      Likes Received
      29
      Likes Given
      20

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Ha ha ha kama sanamu yako tu

    20. #57
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,190
      Rep Power : 1954
      Likes Received
      2997
      Likes Given
      13635

      Default

      Mfu na aliye hai nani kiongozi bora makini?

    21. #58
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Annael
      Kama huna cha kusema si lazima
      Unaposema mwezi na jua una maanisha nini?
      Umezoea kutafuniwa, ndio maana hujui maana ya hata usemi wa kawaida kama huu!

    22. #59
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Barnabas Shadrack
      Lipumba nadhani ndiye wa ukweli zaidi. Sina sababu rasmi kwa mawazo hayo.
      The unseen is illustrated by the seen.
      Kama huna sababu wewe ni mke wake?Na thread zote humu si ungesepa tu?
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    23. #60
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,342
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Annael
      Mimi sijamtaja Slaa kwani Slaa ndio nani huyo?
      e

      Wewe unaugua usisiem, kwani hamtaki ukweli.... Ni mTZ wa ajabu sana ambaye hamfahamu Dr Slaa anayepambana na ufisadi tangu 1995 hadi leo bila kuchoka...

      Mimi nashangaa kwanini watu wanafikiri Lipumba anafaa kuwa Rais wakati chama chake kashindwa kukiongoza...
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...