Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 78
    1. #1
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Post Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Hapa naomba tujadiliane kati ya hawa wawili bila kutumia hasira. Na ninaomba mtu akikomenti atoe sababu.
      1. Kiongonzi shupavu mwenye mtazamo chanya si kigeugeu.
      2. Aweza akawa Rais na kuiongoza nchi vyema.
      3. Sio dictator.
      Haya jamani tujadiliane.
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    2. Miaka 50

    3. #21
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Annael
      out of point
      uongozi na usomi ni vitu vi 2 tofauti japo vinaingiliana kwa %flani

    4. #22
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Angel Msoffe
      uongozi na usomi ni vitu vi 2 tofauti japo vinaingiliana kwa %flani
      Sasa yupi sasa kiongozi makini na anayeweza kuongoza?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    5. #23
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      bwana mdogo Annael !
      Kwanza wewe si mpenda maendeleo,mpenda maendeleo unakuja na post za
      • Mbowe akihamia CUF utafanyaje?
      • CUF na CHADEMA kipi chama makini?
      • Sasa umekuja na Mbowe na Lipumba
      Hizi si hoja za maendeleo,wala si hoja za ki great thinker,unakulupuka kuanzisha post zisizo na mashiko.
      Mkono likes this.

    6. #24
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 726
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Go east, go west Mbowe is the best!
      Lipumba chama chake mwenyewe kinamshinda tukimpa nchi itakuaje?

    7. #25
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Ruhazwe JR
      bwana mdogo Annael !
      Kwanza wewe si mpenda maendeleo,mpenda maendeleo unakuja na post za
      • Mbowe akihamia CUF utafanyaje?
      • CUF na CHADEMA kipi chama makini?
      • Sasa umekuja na Mbowe na Lipumba

      Hizi si hoja za maendeleo,wala si hoja za ki great thinker,unakulupuka kuanzisha post zisizo na mashiko.
      Tatizo ni nini mimi nataka kujua je watu wanapenda chama, mtu au wanataka wapate maendeleo? MIMI KUSEMA KWELI SIO MUUMINI WA CHAMA CHOCHOTE NA SIMUABUDU MTU YOYOTE. Sawa? Ahsante kwa kufuatilia post zangu. Firia theme ili ndani ya hizo post sawa?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,237
      Rep Power : 12572
      Likes Received
      5791
      Likes Given
      758

      Default

      Quote By Manyanza
      MBOWE ni zaidi ya LIPuMBA na JK kwa kila kitu
      Unaongelea Kaskazini au Tanzania?

    10. #27
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By ritz
      Unaongelea Kaskazini au Tanzania?
      Bwagamoyo

    11. #28
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Annael
      Sasa yupi sasa kiongozi makini na anayeweza kuongoza?
      kusikia unasikia lakini huelewi, na kutazama unatazama lakini huoni, sasa mi nikusadieje?

    12. #29
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Angel Msoffe
      kusikia unasikia lakini huelewi, na kutazama unatazama lakini huoni, sasa mi nikusadieje?
      Unamaana gani? kwani unaogopa kusema Lipumba au Mbowe na kutoa kwann?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    13. #30
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By Annael
      MIMI KUSEMA KWELI SIO MUUMINI WA CHAMA CHOCHOTE NA SIMUABUDU MTU YOYOTE. Firia theme ili ndani ya hizo post sawa?
      [b]bwana mdogo! Annael , wewe ni mwanachama na mpenzi wa CCM,kwa nini unalikwepa hili?unaogopa nini au unataka nikuthibitishie ni post ipi umethubutu kujionesha kuwa wewe ni mpenzi wa magamba?
      Ok!umesema unataka kujua watu kama wanapenda maendeleo,alafu ukijua?je wewe unadhani kukaa chin na kufatilia watu wanapenda mtu au

    14. #31
      BigMan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2007
      Posts : 534
      Rep Power : 733
      Likes Received
      57
      Likes Given
      10

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By tedo
      Unamfananisha Mbowe kamanda na Lipumba wapi na wapi? Mbowe ni jembe la ukweli.
      Halafu mbona umeanza kwa kujihami coz unajua majibu ni yepi. Yan unadhani mtu ukiwa na elimu kubwa ndo unauwezo wa kuongoza? Tazama chama lake ccm b linamfia huku akiona.
      DJ Mbowe ? haja majaribio katika kuongoza taifa

    15. #32
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Ruhazwe JR
      [b]bwana mdogo! Annael , wewe ni mwanachama na mpenzi wa CCM,kwa nini unalikwepa hili?unaogopa nini au unataka nikuthibitishie ni post ipi umethubutu kujionesha kuwa wewe ni mpenzi wa magamba?
      Ok!umesema unataka kujua watu kama wanapenda maendeleo,alafu ukijua?je wewe unadhani kukaa chin na kufatilia watu wanapenda mtu au
      Hivi kwann unilazimishe kuwa mimi ni mwanachama wa CCM? Hivi una PartMeter? MIMI NINACHOTAKA SI KELELE YA VYAMA MBALIMBALI AMBAZO SINAWAFAIDISHA WACHACHE. MIMI NILIPIGIA KURA CHADEMA TENA NILISAFIRI SAFARI NDEFU SANA MPAKA SASA SIJAPATA FAIDA YA KURA YANGU. Hivi unatakuniambia nini hapo?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    16. #33
      Nyangomboli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Mwisenge
      Posts : 886
      Rep Power : 607
      Likes Received
      121
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Annael
      Hapa naomba tujadiliane kati ya hawa wawili bila kutumia hasira. Na ninaomba mtu akikomenti atoe sababu.
      1. Kiongonzi shupavu mwenye mtazamo chanya si kigeugeu.
      2. Aweza akawa Rais na kuiongoza nchi vyema.
      3. Sio dictator.
      Haya jamani tujadiliane.
      None of them. Ila kama ni uwaziri mkuu na rais akawa Slaa sawa.

    17. #34
      Dangire's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : Dar
      Posts : 179
      Rep Power : 420
      Likes Received
      35
      Likes Given
      3

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Annael
      Mimi sijamtaja Slaa kwani Slaa ndio nani huyo?
      humjui slaa kwa kuwa ni kiboko ya mafisadi, na wewe unaelekea kuwa ni gamba.

    18. #35
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,675
      Rep Power : 1910
      Likes Received
      1571
      Likes Given
      676

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By ritz
      Kiongozi bora ni yule mwenye elimu, kwa upande wa elimu Mbowe ni form 4 na Prof Lipumba PhD...na wote walishawahi kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Prof Lipumba alishika nafasi ya pili na Mbowe alishika nafasi ya tatu.
      Mkuu vithread kama hivi huwa unavipenda sana. Lakini mwisho wenu utafika pale mtakapo jaribu kumshika yule mwamba wa kaskazini lowassa mtafutika kwenye hii medani ya siasa

    19. #36
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Dangire
      humjui slaa kwa kuwa ni kiboko ya mafisadi, na wewe unaelekea kuwa ni gamba.
      So LIPUMBA na MBOWE yupi zaidi?
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    20. #37
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,675
      Rep Power : 1910
      Likes Received
      1571
      Likes Given
      676

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By ritz
      Unaongelea Kaskazini au Tanzania?
      Ndio !!! Kaskazini kwa anayetokea yule mwamba anaeitwa Edward lowassa ambaye hamna yeyote ndani ya magamba mwenye uwezo wa kukohoa mbele yake vinginevyo atakisawazisha hicho chama cha majambazi

    21. #38
      Mdundulizaji's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 456
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By ritz
      Kiongozi bora ni yule mwenye elimu, kwa upande wa elimu Mbowe ni form 4 na Prof Lipumba PhD...na wote walishawahi kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Prof Lipumba alishika nafasi ya pili na Mbowe alishika nafasi ya tatu.
      kuanzia mwaka 2005 kwa mujibu wa sheria, mgombea urais ni lazima awe na angalau shahada (degree) ya kwanza ya chuo kikuu, hivyo kudai kuna mtu aligombea akiwa na elimu ya form 4 ni UWONGO MKUBWA!

    22. #39
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Annael
      Unamaana gani? kwani unaogopa kusema Lipumba au Mbowe na kutoa kwann?
      nimekutafunia na kumeza nikumezeshe!!!?namimi nakuuliza KATI YA GHARIB BILLAL NA AGUSTINO MREMA NANI KIONGOZI BORA?

    23. #40
      Annael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 1,258
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      235
      Likes Given
      237

      Default Re: Lipumba Na Mbowe yupi kiongozi bora na makini?

      Quote By Angel Msoffe
      nimekutafunia na kumeza nikumezeshe!!!?namimi nakuuliza KATI YA GHARIB BILLAL NA AGUSTINO MREMA NANI KIONGOZI BORA?
      Umeshindwa kujibu swali dogo hilo je tukikupa uwaziri utaweza? hivi 3 + 4 =? vile
      MTU MPUMBAVU HATA UKIMTWANGA KWENYE KINU PAMOJA NA NGANO UPUMBAVU WAKE HAUMTOKI

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...