Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 68
    1. #1
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Kusema kweli baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipotosha ukweli na kujaribu kuwadanganya wale wasikuwa na elimu ya uelewa.

      Kuna watu wanaosema Muungano ukivunjika basi waZenji au WaZanzibari nao wafungishwe virago na kurudi kwao ,hivi watu hawa wanaieleawa Zanzibar ni ipi ? Wanaijua mipaka ya Zanzibar kabla ya wao kuzaliwa ?

      Mmasai hawezi kuwa ni mZanzibari lakini Mbongo ,Mtanga ,waPwani au kule Mtwala hawa wote ni watu wa Zanzibar au tatizo hamuelimishwi mnaachwa kama mlivyo mkiaminishwa kuwa WaZanzibari ni watu wa Unguja na Pemba.

      Tatizo ni la wale wahamiaji wanaotoka mikoani ambao asili zao ni kutoka Zaire na kuhamia mikoa ya pwani halafu wao kujifanya ndio wenyeji na wenye uchungu na hii iitwayo Tanganyika ,watu hawa hawana kabisa ule uasili wa wao kuwa ni waTanganyika kwani ukifuata ujio wao wanakuwa ni wahamiaji ,waliokutwa na biashara ya utumwa.Aidha waliachwa kwenye mataa na wenzao kupelekwa uarabuni uhindini na amerika.

      Hivyo mnaposema Muungano ukivunjika Wazenji warudi kwao basi wekeni akili zenu timamu.

      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      yani we ni kiazi full, unatukana watu kwa hoja za kipuuzi,

    4. LAT
      #3
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      yaani Mwiba amerudi humu jamvini ..... usitegemee cha maana kwake huyu ..... maji taka tuu

    5. #4
      mysteryman's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th August 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 987
      Rep Power : 0
      Likes Received
      164
      Likes Given
      39

      Default

      Quote By Angel Msoffe
      yani we ni kiazi full, unatukana watu kwa hoja za kipuuzi,
      nilitaka kumwambia the same.......shukrani kwa kunisaidia.......

    6. #5
      OLESAIDIMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,242
      Rep Power : 733
      Likes Received
      494
      Likes Given
      470

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      1. Ashakum si matusi ila maneno yenyewe.......Rai hii peleka kwenu huko mnakowasha utambi ilhali hamjui mpasuko wa bomu utakuwa na impact kwa circumference ipi!!!!!!
      2. Huku Tanganyika suala la origin ya mtu sisi haitusumbui asilan abadaan maadam ni mbantu na mzaliwa au ame acquire uraia kihalali noooooo doubt...nooooo problem......usitupangie nini la kufanya na Tanganyika yetu.....mkapange huko msikoutaka huu makwenu....mchambuane kisha mtajipanga upya

      Eti unataka kuleta historia hapa....tunaijua na tulishaikubali ndo maana sisi Watanganyika tunasonga mbele bila kujali hiyo factor....kazi kwenu huko mnakoendekeza historia

      Take home assignment kwako;Circle the best answer please....to let the bygones....or this time you go for good!!!!!!
      Hegemony is unlikely ever to be complete (A. Gramsci)

    7. Miaka 50

    8. #6
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,978
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Una maanisha watu ambao asili yao sio ya pwani ndio wazaire tehe ngoja waje wenyewe mimi napita

    9. #7
      primestar's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 359
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Watu kama nyie ndio mnasababisha nchi yetu isiendelee sababu ya akili zenu zilizodumaa, nani alieweka hiyo mipaka???!! bado unatawaliwa na sultan?? kumbe bado mpo watu wenye akili za kitumwa mpaka leo..
      remember whatever happen, the people concerned will be the one to make decisions as to which side they belong

    10. #8
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,414
      Rep Power : 993
      Likes Received
      776
      Likes Given
      261

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Kama lengo la wazanzibar ni kuvunja muungano ili wayachukue na maeneo yote ya mwambao wa Tz na Kenya, hawatafanikiwa kamwe na wataendelea kutawaliwa na Tanganyika hadi kisiwa chao kitakapomezwa na bahari miaka 200 ijayo.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    11. #9
      yaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 677
      Rep Power : 535
      Likes Received
      211
      Likes Given
      67

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Quote By Mwiba
      Kusema kweli baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipotosha ukweli na kujaribu kuwadanganya wale wasikuwa na elimu ya uelewa.

      Kuna watu wanaosema Muungano ukivunjika basi waZenji au WaZanzibari nao wafungishwe virago na kurudi kwao ,hivi watu hawa wanaieleawa Zanzibar ni ipi ? Wanaijua mipaka ya Zanzibar kabla ya wao kuzaliwa ?

      Mmasai hawezi kuwa ni mZanzibari lakini Mbongo ,Mtanga ,waPwani au kule Mtwala hawa wote ni watu wa Zanzibar au tatizo hamuelimishwi mnaachwa kama mlivyo mkiaminishwa kuwa WaZanzibari ni watu wa Unguja na Pemba.

      Tatizo ni la wale wahamiaji wanaotoka mikoani ambao asili zao ni kutoka Zaire na kuhamia mikoa ya pwani halafu wao kujifanya ndio wenyeji na wenye uchungu na hii iitwayo Tanganyika ,watu hawa hawana kabisa ule uasili wa wao kuwa ni waTanganyika kwani ukifuata ujio wao wanakuwa ni wahamiaji ,waliokutwa na biashara ya utumwa.Aidha waliachwa kwenye mataa na wenzao kupelekwa uarabuni uhindini na amerika.

      Hivyo mnaposema Muungano ukivunjika Wazenji warudi kwao basi wekeni akili zenu timamu.

      Mkuu, sasa hapo ndiyo unataka kuzungumzia nini hasa?
      Maana mada yako na picha au sijui niite ramani uliyoiweka wala haina uhusiano na mada yako.

      Aidha katika hiyo picha yako hakuna kisiwa kinachoitwa Unguja, sasa sijui utasemaje?

      Isitoshe mkuu, yaonekana historia uliikimbia skuli japo si somo gumu, ni sawa na kutamba hadithi uliyosimuliwa na kutoa tafakuri.
      Ninasema hivyo kwa sababu umeshindwa kutafsiri hizo njia za biashara na za watumwa enzi hizo, ukafikiri Tanganyika lilikuwa ni pori kubwa lisilokuwa na wakaazi isipokuwa wanyama!

      Pole sana.

    12. #10
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,910
      Rep Power : 11208
      Likes Received
      7066
      Likes Given
      5296

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      mnanichosha na hilo li stori lenu lisilo na mashiko muungano
      KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

    13. #11
      Tukundane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 876
      Rep Power : 806
      Likes Received
      138
      Likes Given
      0

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Mleta hoja hii anaonekana ni mtu anaeishi bara lakini ni mzenji ndio maana anaomba huruma ya kubaki tanganyika pindi.muungano utakapo vunjika.hoja ya kuvunja muungano ni ya wazenji.sasa kama muungano ukivunjika wazenji wanabaki kufanya nini tanganyika?.wakati wazenji hawawataki wa tanganyika kwao wanawachomea hata makanisa yao.kwamba watanganyika wanahuruma sana pengine hata kuliko mungu mpaka wawarusuhusu wazenji kuendelea kuishi tanganyika?.kwanza wazenji wamefanya kosa kubwa sana wanapodai zenji yao ili takiwa wawahamishe wazenji wote wanaoishi bara ili wakadai zenji yao vizuri wakiwapamoja.wafanyekama taifa moja linapokosana na taifa lingine si huwa wanawarudisha mabalozi wao.

    14. #12
      segwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 1,349
      Rep Power : 684
      Likes Received
      341
      Likes Given
      0

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Ngoja nicheke kiganda kwanza.He he heiy! Nyie nyau mbona hamtulì kila siku nyaunyau.Mjiondoe kwenye muungano bas

    15. #13
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      huku kwetu hatuna haja ya kujua wewe ni wa wapi ispokua kila anayezungumza kiswahili huyo ni ndugu yetu..
      hii hoja ya kuleta mipaka ya 1886 wakati tuko 2012 ni uozo wa akili kwani league of nations ilipoundwa tayari tanganyika ilijulikana na mipaka yake ndo hii ya saa hizi.. poleni sana "NDOA NI NGUMU ILA KAZENI BUTI TANGANYIKA TUNAJUA KUOA TU KUACHA HATUJUI"

    16. #14
      Red Giant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 730
      Rep Power : 3611
      Likes Received
      233
      Likes Given
      282

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      kumbe hadi mombasa mnaitaka? Mwiba naomba uweke ramani ya 1961
      COAL UNDER PRESSURE BECOMES DIAMOND

    17. #15
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,610
      Rep Power : 4403
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      977

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Very fun......... mnatafuta excuse ya kutaka kuendelea kubaki bara mikoa ya pwani?
      Kama mmechoka muungano peteleeni zenu visiwani kwenu ebooooo
      Independent thinker
      Humu jf baadhi yetu wametengeneza haki miliki ya they way they think, you have to think like them and have drawn a line of where one has to belong, you are either "with us" or "against us", if you don't sail the same boat then you are an enemy!. -Pasco wa JF

    18. #16
      mluga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 606
      Rep Power : 559
      Likes Received
      176
      Likes Given
      240

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Quote By Mwiba
      Kusema kweli baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipotosha ukweli na kujaribu kuwadanganya wale wasikuwa na elimu ya uelewa.

      Kuna watu wanaosema Muungano ukivunjika basi waZenji au WaZanzibari nao wafungishwe virago na kurudi kwao ,hivi watu hawa wanaieleawa Zanzibar ni ipi ? Wanaijua mipaka ya Zanzibar kabla ya wao kuzaliwa ?

      Mmasai hawezi kuwa ni mZanzibari lakini Mbongo ,Mtanga ,waPwani au kule Mtwala hawa wote ni watu wa Zanzibar au tatizo hamuelimishwi mnaachwa kama mlivyo mkiaminishwa kuwa WaZanzibari ni watu wa Unguja na Pemba.

      Tatizo ni la wale wahamiaji wanaotoka mikoani ambao asili zao ni kutoka Zaire na kuhamia mikoa ya pwani halafu wao kujifanya ndio wenyeji na wenye uchungu na hii iitwayo Tanganyika ,watu hawa hawana kabisa ule uasili wa wao kuwa ni waTanganyika kwani ukifuata ujio wao wanakuwa ni wahamiaji ,waliokutwa na biashara ya utumwa.Aidha waliachwa kwenye mataa na wenzao kupelekwa uarabuni uhindini na amerika.

      Hivyo mnaposema Muungano ukivunjika Wazenji warudi kwao basi wekeni akili zenu timamu.

      Hivi una akili timamu? samahani kwa swali hili

    19. #17
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,265
      Rep Power : 3568
      Likes Received
      3074
      Likes Given
      463

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Quote By Mwiba
      Kusema kweli baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipotosha ukweli na kujaribu kuwadanganya wale wasikuwa na elimu ya uelewa.

      Kuna watu wanaosema Muungano ukivunjika basi waZenji au WaZanzibari nao wafungishwe virago na kurudi kwao ,hivi watu hawa wanaieleawa Zanzibar ni ipi ? Wanaijua mipaka ya Zanzibar kabla ya wao kuzaliwa ?

      Mmasai hawezi kuwa ni mZanzibari lakini Mbongo ,Mtanga ,waPwani au kule Mtwala hawa wote ni watu wa Zanzibar au tatizo hamuelimishwi mnaachwa kama mlivyo mkiaminishwa kuwa WaZanzibari ni watu wa Unguja na Pemba.

      Tatizo ni la wale wahamiaji wanaotoka mikoani ambao asili zao ni kutoka Zaire na kuhamia mikoa ya pwani halafu wao kujifanya ndio wenyeji na wenye uchungu na hii iitwayo Tanganyika ,watu hawa hawana kabisa ule uasili wa wao kuwa ni waTanganyika kwani ukifuata ujio wao wanakuwa ni wahamiaji ,waliokutwa na biashara ya utumwa.Aidha waliachwa kwenye mataa na wenzao kupelekwa uarabuni uhindini na amerika.

      Hivyo mnaposema Muungano ukivunjika Wazenji warudi kwao basi wekeni akili zenu timamu.


      Sasa ni kabla ya Hapo kama Unajua Historia hiyo Sultani alipewa baada ya BERLIN CONFERENCE 1886 na Unajua Bagamoyo yalikuwa ndio Makao Makuu ya Mjerumani.

      Kabla ya Hapo Sultani alikuwa hana hiyo Pwani alikuwa tu anaendesha Biashara ya Utumwa, Mreno Biashara ya Meno ya Tembo n.k lakni Mjerumani ndiye aliyekuwa ana Madaraka Maeneo Mengi ya Tanganyika.

      Sultani wa Zanzibar aligawiwa Pwani ili aache hiyo biashara yake ya kishenzi ya WATUMWA, alikuwa anatesa sana Waafrika.

      Na hayo Waliyafanya kugawiana kwenye Karatasi. Sisi weusi ndio tuliokuwa tunachorwa kama ng'ombe sasa kama wewe ndie unayefurahia Sultani akutawale sawa

      Unajiona Uko Karibu na Sultani kwasababu alikupa DINI, na kukufanya USAHAU KABILA LAKO hivyo haujui MILA NA DESTURI ZA KIAFRIKA, Sasa unaufurahia UARABU.
      sweke34 and BULOLE BUKOMBE like this.

    20. #18
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,256
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      katiba mpya ya Zenj unaipinga? JWTZ hawana kazi, kwenye vita general Shimbo ndo anakula, mabomu hayana kazi huku! Anza harakati tu! Good luck!

    21. #19
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Mwiba, hiyo ramani ya mkoloni umeisoma legend vyema ama ni utumwa wa akili?Naona umepotea kiaina na haya majitaka yako.

      Kwenye kijani,ni himaya za sultanate na siyo kwamba ni himaya za Zanzibar.Kwa kifupi Zanzibar ambayo ndipo makao makuu ya utawala wa sultan nayo ilikuwa himaya ya sultan kama zilivyokuwa Bagamoyo,Malindi,Pwani,Dar etc.

      Kama wenye nia ya kujitenga mnafikiria kuirudisha hiyo mipaka mtakuwa mnaota ndoto ya mchana kweupee!
      Ndahani and sweke34 like this.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    22. #20
      BULOLE BUKOMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2011
      Posts : 361
      Rep Power : 484
      Likes Received
      60
      Likes Given
      287

      Default Re: Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

      Quote By asigwa
      huku kwetu hatuna haja ya kujua wewe ni wa wapi ispokua kila anayezungumza kiswahili huyo ni ndugu yetu..
      Hii hoja ya kuleta mipaka ya 1886 wakati tuko 2012 ni uozo wa akili kwani league of nations ilipoundwa tayari tanganyika ilijulikana na mipaka yake ndo hii ya saa hizi.. Poleni sana "ndoa ni ngumu ila kazeni buti tanganyika tunajua kuoa tu kuacha hatujui"
      huyu mleta mada mara ya mwisho nimemkuta akipewa ruhusa pale milembe hospital ya vichaa hivi ameshapona? Au karudishwa wodini maana mada yake inaonyesha bado yuko milembe sijui wenzangu mwasemaje 1800 kwa 2012???????????????!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!!!! Sielewi kabisa

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...