Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 118
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Waziri wa mambo ya nje Bernard Membe amekitabiria ushindi chama cha Demokrasia na maendeleo-CDM katika uchaguzi mkuu unaokuja.

      Waziri Membe amesema chama cha CDM kimetokea kupendwa na wananchi katika kila kona ya nchi na hata operesheni yao ya kusini imekitikisa chama tawala.

      Waziri Membe aliyasema hayo katika chakula cha mchana alichowaandalia viongozi wa CDM nyumbani kwake waliokuwa katika jimbo lake la Mtama.

      Viongozi hao ni mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema,kamanda James Millya na viongozi wakuu waandamizi.

      Waziri Membe aliwaambia viongozi hao ameishi nchi mbalimbali duniani zenye demokrasia ya hali ya juu hivyo hatashangazwa hata kidogo CDM kuingia Ikulu.

      Kuhusu kesi iliyotengua ubunge Lema waziri Membe amedai kushtushwa na kusema kwa vile amekata rufaa anaamini mahakama ya rufaa itamrejeshea ubunge wake.


      Source:
      Mtanzania Jumapili.

      Updates......
      Katika taarifa ya habari ITV saa mbili usiku waziri Membe ameonyeshwa akiwakaribisha viongozi wa CDM nyumbani kwake kijijini Jimboni Mtama na kukaririwa akiwashutumu wabunge wanaolalamika kuvamiwa na CDM majimboni mwao katika vuguvugu la M4C.

      Membe amesema wabunge hao hawajui ni nini maana ya siasa ya vyama vingi.
      Last edited by Molemo; 10th June 2012 at 22:31.
      IFUNYA likes this.


    2. #2
      PMNBuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 907
      Rep Power : 611
      Likes Received
      120
      Likes Given
      28

      Default

      Tunamkaribisha kwenye M4C
      Ngambo Ngali, IFUNYA and Thanda like this.

    3. #3
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 489
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Mnafiki, mzabizabina, nyoka wa mdimu......!
      saddam likes this.

    4. #4
      Lisa Rina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Location : everywhere...
      Posts : 455
      Rep Power : 524
      Likes Received
      101
      Likes Given
      10

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Makubwa!
      BAK, ndyoko, Sangarara and 1 others like this.

    5. #5
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,125
      Rep Power : 1251
      Likes Received
      671
      Likes Given
      80

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      CCM woooooote wanalitambua hilo wala halihitaji phd kulielewa.
      Mawenzi, IFUNYA and Thanda like this.


    6. #6
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,593
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      537
      Likes Given
      411

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      [QUOTE=PMNBuko;4027674]
      Quote By Molemo View Post
      Waziri Membe aliyasema hayo katika chakula cha mchana alichowaandalia viongozi wa CDM nyumbani kwake waliokuwa katika jimbo lake la Mtama.

      Tunamkaribisha kwenye M4C
      Inanikumbusha enzi za professa mkuu wa Siasa huko Kwa watani wetu Kenya. Enzi hizo ukikaribishwa ugali, jioni nyumbani kwa Rais Moi, kinachofuata ni kuhama chama.

      Sasa masikio yetu yapo juu juu , je ni lini BENARD MEMBE atahamia chadema?????

      Stay tuned and let's take a political break as opposed to a commercial break.
      Dar_Millionaire likes this.
      Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.

    7. #7
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 843
      Rep Power : 532
      Likes Received
      167
      Likes Given
      60

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Hatuna sababu ya kumshambulia Benard Membe, hakuna mtu anayekuwa mtenda dhambi wa milele, isipokuwa shetwani! Ameongea maneno yenye upako wa Mungu, tuyaheshimu na kuyafanyia kazi kwa tahadhali ya hali ya juu. Ubarikiwe Membe.
      Sikonge and Thanda like this.

    8. #8
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1202
      Likes Received
      402
      Likes Given
      47

      Default

      Quote By Head teacher View Post
      Mnafiki, mzabizabina, nyoka wa mdimu......!
      Hakuna cha unafiki hapo ndugu. Siasa si uadui, Chama kimoja kinatawala leo kesho kinatawala kingine.
      IFUNYA and Thanda like this.

    9. #9
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Ccm wanajua hila ya jk, wanajua 2015 hapatoshi wamebaki kufanya mipasho bora membe amesaliti amri.

    10. #10
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Ibrah View Post
      Hakuna cha unafiki hapo ndugu. Siasa si uadui, Chama kimoja kinatawala leo kesho kinatawala kingine.
      Ni kweli mkuu tusimshambulie.Membe amesema ukweli hata kama unauma kwa chama chake
      Thanda likes this.

    11. #11
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Havizya View Post
      Hatuna sababu ya kumshambulia Benard Membe, hakuna mtu anayekuwa mtenda dhambi wa milele, isipokuwa shetwani! Ameongea maneno yenye upako wa Mungu, tuyaheshimu na kuyafanyia kazi kwa tahadhali ya hali ya juu. Ubarikiwe Membe.
      Tunasubiri kauli ya Nape kwa.matamshi haya ya Membe
      Thanda likes this.

    12. #12
      Expedito Mduda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2009
      Posts : 269
      Rep Power : 549
      Likes Received
      32
      Likes Given
      33

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Kama kweli amefanya hivyo, basi ni mtu mkweli asiyetaka kuficha ukweli kwa mgongo wa kukipendezesha chama kinachoshindwa kuangalia maslahi ya umma. Ubinafsi mpaka kwenye masaburi.
      Thanda likes this.

    13. #13
      MD25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 2,051
      Rep Power : 931
      Likes Received
      566
      Likes Given
      156

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Membe ameongea yaliyo moyoni kwake. Pia, ameonyesha busara. Hata Maige ameshatoa kauli kama hii zaidi ya mara 1. Mwendawazimu Nepi ndio amebaki kichwa ngumu.
      saddam and Thanda like this.

    14. #14
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Wana CCM wote wanatambua kuwa CHADEMA inachukua dola 2015,lakini ni wanaCCM wachache wanaoweza kutamka hili japo moyo wanajua ukweli!wengine wanashindwa kutamka kwa kuhofia ugali wao,wengine kuhofia posho.ROHO I RADHI,LAKINI MWILI NI DHAIFU
      Thanda likes this.

    15. #15
      Amwesiga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 55
      Rep Power : 401
      Likes Received
      12
      Likes Given
      2

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Thanx bro kwa faraja uliyonipa Membe ameonyesha demokrasia ya fikra.
      Thanda likes this.

    16. #16
      NICE LAMECK's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 212
      Rep Power : 406
      Likes Received
      27
      Likes Given
      37

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      MH, Membe ni mwana siasa aliyekomaa kama amewakaribisha wapinzani wake katika chakula na kuongea hivo tutegemee makubwa hapa katikati kabla ya 2015
      Thanda likes this.

    17. #17
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 822
      Rep Power : 563
      Likes Received
      275
      Likes Given
      0

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Akiiona Nape hii anazimia!!
      Utamsikia akiny** mdomoni "wanaokisariti chama cha mapinduzi wawajibishwe!!" Subirini muone...!

    18. #18
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 934
      Rep Power : 576
      Likes Received
      258
      Likes Given
      245

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      nani atakua mgombea wa CDM 2015?
      Thanda likes this.

    19. #19
      kamtu33's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2012
      Location : mjini kati
      Posts : 433
      Rep Power : 452
      Likes Received
      71
      Likes Given
      90

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Membe we ni shujaa kwa kusema ukweli japo wengine roho zinawauma but no way out, sema tu bro.
      Thanda likes this.

    20. #20
      elly1978's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th April 2009
      Posts : 166
      Rep Power : 550
      Likes Received
      30
      Likes Given
      5

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Sina neno, hakawii kusema kalishwa maneno

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...