Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

    Report Post
    Page 6 of 6 FirstFirst ... 456
    Results 101 to 118 of 118
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,390
      Rep Power : 10868
      Likes Received
      3772
      Likes Given
      426

      Default Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Waziri wa mambo ya nje Bernard Membe amekitabiria ushindi chama cha Demokrasia na maendeleo-CDM katika uchaguzi mkuu unaokuja.

      Waziri Membe amesema chama cha CDM kimetokea kupendwa na wananchi katika kila kona ya nchi na hata operesheni yao ya kusini imekitikisa chama tawala.

      Waziri Membe aliyasema hayo katika chakula cha mchana alichowaandalia viongozi wa CDM nyumbani kwake waliokuwa katika jimbo lake la Mtama.

      Viongozi hao ni mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema,kamanda James Millya na viongozi wakuu waandamizi.

      Waziri Membe aliwaambia viongozi hao ameishi nchi mbalimbali duniani zenye demokrasia ya hali ya juu hivyo hatashangazwa hata kidogo CDM kuingia Ikulu.

      Kuhusu kesi iliyotengua ubunge Lema waziri Membe amedai kushtushwa na kusema kwa vile amekata rufaa anaamini mahakama ya rufaa itamrejeshea ubunge wake.


      Source:
      Mtanzania Jumapili.

      Updates......
      Katika taarifa ya habari ITV saa mbili usiku waziri Membe ameonyeshwa akiwakaribisha viongozi wa CDM nyumbani kwake kijijini Jimboni Mtama na kukaririwa akiwashutumu wabunge wanaolalamika kuvamiwa na CDM majimboni mwao katika vuguvugu la M4C.

      Membe amesema wabunge hao hawajui ni nini maana ya siasa ya vyama vingi.
      Last edited by Molemo; 10th June 2012 at 22:31.
      IFUNYA likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #101
      Kizamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 389
      Rep Power : 465
      Likes Received
      97
      Likes Given
      3

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Mh, lakini huyu Membe si ndo anatarajiwa kuwa mgombea uraisi kwa magamba 2015? Au kashaona hana lake! Anway tunamkaribisha.

      Tunategemea maneno kama hayayenye busara na upeo mkubwa wa kuchambua mambo kutoka kwa Ndugu yetu Bwana Nape.

    4. #102
      rugumye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 424
      Rep Power : 517
      Likes Received
      94
      Likes Given
      1

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Chelewa chelewa utamkuta mwana si wako, wapi naweza kupata kadi ya CDM kabla hazijaisha? wana jamii nisidieni mi ni mkeleketwa wa CDM lkn si mwanachama.

      Nawakilisha.

    5. #103
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 582
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Quote By MwanaCBE
      Bila kung'ata maneno hii habari ni uwongo uliotungwa na gazeti la akina Lowasa ili kumchonganisha Membe na chama chake cha MAGAMBA. Nasema hii habari ni ya UWONGO....
      kweli bana,hata mie nilimsikia kwenye taarifa ya itv na nilimuona ni yeye kabisa.ila uso wa aibu alikuwa nao maana hali ya jimboni kwake ni tete,ahadi lukuki,utekelezaji 0.

    6. #104
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      wana ccm wanaanza taratibu kujikosha...na bado ikifika 2014 nishaona mawaziri kujiuzulu nafasi zao
      Thanda likes this.
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    7. #105
      mabhuimerafulu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th May 2012
      Posts : 89
      Rep Power : 368
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Hizo ndo siasa. Ni ukomavu wa hali ya juu wa kisiasa Membe. Kweli wewe ni mwanadiplomasia. Hakika kwa hili umenikuna. Kuna wanasiasa kama Wassira na Nape ambao wanadhani siasa ni ugomvi







      Quote By Molemo
      Waziri wa mambo ya nje Bernard Membe amekitabiria ushindi chama cha Demokrasia na maendeleo-CDM katika uchaguzi mkuu unaokuja.

      Waziri Membe amesema chama cha CDM kimetokea kupendwa na wananchi katika kila kona ya nchi na hata operesheni yao ya kusini imekitikisa chama tawala.

      Waziri Membe aliyasema hayo katika chakula cha mchana alichowaandalia viongozi wa CDM nyumbani kwake waliokuwa katika jimbo lake la Mtama.

      Viongozi hao ni mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema,kamanda James Millya na viongozi wakuu waandamizi.

      Waziri Membe aliwaambia viongozi hao ameishi nchi mbalimbali duniani zenye demokrasia ya hali ya juu hivyo hatashangazwa hata kidogo CDM kuingia Ikulu.

      Kuhusu kesi iliyotengua ubunge Lema waziri Membe amedai kushtushwa na kusema kwa vile amekata rufaa anaamini mahakama ya rufaa itamrejeshea ubunge wake.


      Source:
      Mtanzania Jumapili.

      Updates......
      Katika taarifa ya habari ITV saa mbili usiku waziri Membe ameonyeshwa akiwakaribisha viongozi wa CDM nyumbani kwake kijijini Jimboni Mtama na kukaririwa akiwashutumu wabunge wanaolalamika kuvamiwa na CDM majimboni mwao katika vuguvugu la M4C.

      Membe amesema wabunge hao hawajui ni nini maana ya siasa ya vyama vingi.

    8. Study Abroad

    9. #106
      Thanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Multiple Destination
      Posts : 1,890
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      566
      Likes Given
      1522

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Umenikumbusha mbali...1928 alipozaliwa Ernesto Che Guevara, katika kitongoji cha na mji mkongwe wa Rosario kule Argentina....dahhh safi sana

    10. #107
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 387
      Likes Received
      61
      Likes Given
      96

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      maumivu ya kichwa huanza taratibu.....

    11. #108
      Rare's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st February 2011
      Posts : 126
      Rep Power : 442
      Likes Received
      18
      Likes Given
      84

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Quote By Molemo
      Tunasubiri kauli ya Nape kwa.matamshi haya ya Membe
      Nape ni nani katika nchi hii? Tunawapa watu heshima na sifa wasizostahili.

    12. #109
      MpigaKelele's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 2,190
      Rep Power : 956
      Likes Received
      486
      Likes Given
      1415

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Mh.Membe mejiandaa kweli kwa haya unayoyafanya...? maana najua hujatumwa na chama chako.
      Curiosity.........
      A well tight cornered rat can bite a Cat...

    13. #110
      kitero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Kaskazini
      Posts : 516
      Rep Power : 468
      Likes Received
      97
      Likes Given
      48

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Kama kweli kam afanya kwa dhamira safi basi abarikiwe sana maana ni kiongozi wa kwanza kwa upande wangu kusikia amewakaribisha wapinzani ndani ya jimbo lake na kuwandalia chakula na kuzungumnza nao.Siasa safi na yakuigwa iliyo onyeshwa na Membe.Mungu akukirimie upendo ukarimu na utendaji mzuri siku zote za maisha yako Mh.

    14. #111
      Trustme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 505
      Rep Power : 525
      Likes Received
      94
      Likes Given
      27

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Quote By Head teacher
      Mnafiki, mzabizabina, nyoka wa mdimu......!

      Kwa hiyo we Mwalimu Mkuu, huamini kama CDM watashinda? Basi utabaki na matusi yako ifikapo 2015! Watu wanaona mbali bana, membe kashayaona haya, sasa kama unafikri ni unafiki ila alishawamaliza nguvu wapambe wake kwa kutamka hivyo na wananchi waliomchagua nao wamemsikia so na wao wanajua kuwa 2015 CDM itashinda kwa hiyo hawataenda kupiga kura kwa CCM
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend.
      A successful woman is one who can find such a man.

    15. #112
      WEMBE WENGE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Posts : 100
      Rep Power : 439
      Likes Received
      28
      Likes Given
      27

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Quote By MD25
      Membe ameongea yaliyo moyoni kwake. Pia, ameonyesha busara. Hata Maige ameshatoa kauli kama hii zaidi ya mara 1. Mwendawazimu Nepi ndio amebaki kichwa ngumu.

      Please please when you want to be serious with issues never mention these names:
      1) Nape (Nepi)
      2) Mukama
      These two figures are always dreaming and they are on a very rubbish/foolish slip.
      Their vivid stupidity is so bright.

    16. #113
      iron2012's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2012
      Location : Dar es Salaam-Tanzania
      Posts : 309
      Rep Power : 427
      Likes Received
      58
      Likes Given
      53

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Quote By Molemo
      Waziri wa mambo ya nje Bernard Membe amekitabiria ushindi chama cha Demokrasia na maendeleo-CDM katika uchaguzi mkuu unaokuja.

      Waziri Membe amesema chama cha CDM kimetokea kupendwa na wananchi katika kila kona ya nchi na hata operesheni yao ya kusini imekitikisa chama tawala.

      Waziri Membe aliyasema hayo katika chakula cha mchana alichowaandalia viongozi wa CDM nyumbani kwake waliokuwa katika jimbo lake la Mtama.

      Viongozi hao ni mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema,kamanda James Millya na viongozi wakuu waandamizi.

      Waziri Membe aliwaambia viongozi hao ameishi nchi mbalimbali duniani zenye demokrasia ya hali ya juu hivyo hatashangazwa hata kidogo CDM kuingia Ikulu.

      Kuhusu kesi iliyotengua ubunge Lema waziri Membe amedai kushtushwa na kusema kwa vile amekata rufaa anaamini mahakama ya rufaa itamrejeshea ubunge wake.


      Source:
      Mtanzania Jumapili.

      Updates......
      Katika taarifa ya habari ITV saa mbili usiku waziri Membe ameonyeshwa akiwakaribisha viongozi wa CDM nyumbani kwake kijijini Jimboni Mtama na kukaririwa akiwashutumu wabunge wanaolalamika kuvamiwa na CDM majimboni mwao katika vuguvugu la M4C.

      Membe amesema wabunge hao hawajui ni nini maana ya siasa ya vyama vingi.
      anajitahidi kusoma alama za nyakati anatakiwa kuangaliwa kwa macho mawili asije kuwa anawapaka mafuta kwa mgongo wa chupa

    17. #114
      Himawari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Somewhere in this world
      Posts : 666
      Rep Power : 681
      Likes Received
      75
      Likes Given
      56

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Angalau Mh. Membe amefunguka kwa kauli iliyojaa busara na si kama mzee wa Gombe anayeamka na kuropoka mf. CDM kitakufa 2013! Lol!!

    18. #115
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 954
      Rep Power : 557
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By lm317
      Na iwe hivyo Amen
      some time Membe ni mwanadiplomasia kwelikweli.

    19. #116
      George Maige Nhigula Jr.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Posts : 464
      Rep Power : 667
      Likes Received
      142
      Likes Given
      235

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Its all about smart politics, he is playing it safe! huh....Time will tell
      "We cannot walk alone, we must pledge once more to march into the future. Let us keep that promise and in the words of Scripture hold firmly, without wavering to the hope that we confess."

    20. #117
      Manumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2009
      Location : Close to U
      Posts : 1,127
      Rep Power : 723
      Likes Received
      259
      Likes Given
      760

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      kwangu mimi hizi kauli na kitendo cha kuwakaribisha wahasimu wako wa kisiasa nyumbani kwako pasipo kificho wala vijembe, ni ukomavu wa kisiasa! Ni kama shabiki mkubwa wa simba kumkaribisha mwenzake wa yanga huku akisifu usajili wao (yanga) kuwa msimu ujao timu yao itafanya vizuri na huenda ikachukua ubingwa! For once, hongera Membe kwa ukweli wako.
      Last edited by Manumbu; 13th June 2012 at 12:35.
      "Falling Down does not mean being Buried" - Manumbu on 1st June 2011

    21. #118
      LOVI MEMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 514
      Rep Power : 464
      Likes Received
      79
      Likes Given
      5

      Default Re: Waziri Membe aitabiria ushindi CHADEMA uchaguzi mkuu ujao

      Quote By pmnbuko
      tunamkaribisha kwenye m4c
      anasoma alama za nyakati huyo

    22. Miaka 50
    Page 6 of 6 FirstFirst ... 456

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...