Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bob Makani is no more!

    Report Post
    Page 4 of 14 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 264
    1. #1
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 673
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Bob Makani is no more!

      Habari za uhakika muda mchache uliopita nimepata taarifa ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kabla ya Mbowe... Mzee Bob Makani amefariki.

      R.I.P Bob Makani

      Kwasababu ya msiba huu, CHADEMA wamesitisha Operesheni Okoa Kusini na wanarejea Dar kwa shughuli ya msiba.

      Source: Kutoka kwa ndugu zake.

      UPDATES...




      Bendera ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikipepea nusu mlingoti katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaa kufuatia kifo cha Mwasisi wa chama hicho, Mahmoud 'Bob' Makani
      Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu, Mahmoud 'Bob' Makani

      Baadhi ya waombolezaji


      DAR ES SALAAM, Tanzania

      Aliyekuwa Naibu Gavana wa Tanzania na mwasisi wa Chama cha Demokrasia (Chadema) marehemu, Mahmoud Nyange Makani maarufu Bob Makani, anatarajiwa kuzikwa katika kijiji cha Negezi kilichopo mkoani Shinyanga.

      Kwa mujibu wa mdogo wa marehemu, Hassan Makani amesema kuwa, marehemu Makani ameacha mke na watoto saba na wajukuu wanane na anatarajiwa kuagwa rasmi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kesho. kwa hisani ya Kiganyi


    2. #61
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,850
      Rep Power : 873
      Likes Received
      476
      Likes Given
      213

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.I.P Mzee wetu..
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....

    3. #62
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,261
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      527
      Likes Given
      202

      Default Re: Bob Makani is no more!

      pumzika kwa amani mzee wetu tutakuenzi

    4. #63
      mikela's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2010
      Posts : 1,855
      Rep Power : 846
      Likes Received
      329
      Likes Given
      85

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Penshena
      Quote By Saint Ivuga View Post
      Rip Bob Makani.kafa akiwa na umri gani?
      Mtanzania Halisi

    5. #64
      Bangoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,792
      Rep Power : 5804
      Likes Received
      456
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob Makani is no more!

      upumzike kwa amani kamanda, tunatambua mchango wako mkubwa ktk chama, umeacha chama kikiwa imara.

    6. #65
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,177
      Rep Power : 2893
      Likes Received
      777
      Likes Given
      723

      Default Re: Bob Makani is no more!

      dah!...tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi,Pumzika kwa amani Makani


    7. #66
      mzurimie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Location : Mtaa Mmoja
      Posts : 870
      Rep Power : 562
      Likes Received
      376
      Likes Given
      97

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.I.P Mzee Makani. Poleni wafiwa tupo pamoja nanyi.
      jisome tabia, jibadili ikiwa duh na raha utapata sana tu.

    8. #67
      Rweza's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th June 2011
      Posts : 48
      Rep Power : 414
      Likes Received
      21
      Likes Given
      3

      Default Re: Bob Makani is no more!

      These are real sad news. RIP Nyanga bob Makani. Utakumbukwa daima na wapenda mageuzi.

    9. #68
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,919
      Rep Power : 1703
      Likes Received
      1368
      Likes Given
      284

      Default Re: Bob Makani is no more!

      pole zimuendee Dr makani mtoto wa mzee bob makani[kama sikosei]

      RIP mzee wetu.

    10. #69
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 564
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.i.p kamanda wetu hakika tutafuata nyayo zako katika kulikomboa taifa hili.

    11. #70
      IGUDUNG'WA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd October 2011
      Location : iborogero
      Posts : 559
      Rep Power : 498
      Likes Received
      117
      Likes Given
      88

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Bob Makani
      umelala mauti wakati nyota ya mabadiliko ikianza kung'ara juu ya anga la Tanzania, wana wanchi hawatasahau mchango wako hakika mwendo uliupiga kazi umeimaliza pumzika kwa amani baba.
      POLENI CHADEMA na taifa zima la wapenda maendeleo

    12. #71
      jouneGwalu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Location : Studio
      Posts : 2,348
      Rep Power : 974
      Likes Received
      1320
      Likes Given
      1762

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Tunamshukuru Mungu kwa matendo yake, na vile ulitumika kwa nafasi yako na leo sehemu ya matunda yanaonekana!
      Utaendelea kuwa shujaa wetu....
      Pumzika kwa amani Bob.

    13. #72
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,382
      Rep Power : 884
      Likes Received
      389
      Likes Given
      310

      Default Re: Bob Makani is no more!

      poleni sana wafiwa
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    14. #73
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,348
      Rep Power : 720
      Likes Received
      308
      Likes Given
      157

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Kamanda Bob Makani... Poleni ndugu jamaa pamoja na marafiki....
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    15. #74
      Yusuphsabury's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Arusha
      Posts : 78
      Rep Power : 444
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.i.p mzee makani

    16. #75
      Maliasili's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : Jyvaskyla, Finland
      Posts : 33
      Rep Power : 445
      Likes Received
      13
      Likes Given
      14

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Aah R.I.P Mzee Makani. Niliwish sana uishi na kuja kuona ukombozi wa nchi chini ya M4C!

      We will meet you there one day!
      ‘...Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya udhaifu wa Rais Jakaya Kikwete,....., na tumefika hapa tulipo kwa sababu ya upuuzi wa CCM​..'


    17. #76
      Bantugbro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2009
      Posts : 2,435
      Rep Power : 1013
      Likes Received
      494
      Likes Given
      1525

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Bob
      Just because presidents screws around, it doesn't make a president for screwing around..

    18. #77
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,838
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      295

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Innalillah wainna ilayhi raj'uun


      Kwa hakika aya ndio mawaidha ya aina yake.

      Dunia ni kama safari, na ni lazima ufike unapoenda, hiil ni kumbukumbu kwa wale waishio kama ndio wamefika duniani.
      Wajameni tufanyeni ibada, wajameni tusidhulumiane, wajameni tumche mola wetu.

      Poleni wanafamilia na muwe na subra, na poleni wale mliomtelekeza..........


      Note:
      Haya pia ni mawaidha kwa muasisi wetu! .............

    19. #78
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,782
      Rep Power : 23601
      Likes Received
      7157
      Likes Given
      11581

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Pole kwa wafiwa wote,

      RIP Mzee Makani....
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    20. #79
      GATZBY's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 405
      Likes Received
      5
      Likes Given
      3

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Harakati za ukombozi wa kweli ziendelee na hiyo ndiyo namna pekee ya kumuenzi comrade Bob Makani. R. I. P Makani.

    21. #80
      SIMBA WA TARANGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2012
      Location : Kapugi-Tukuyu
      Posts : 976
      Rep Power : 566
      Likes Received
      209
      Likes Given
      150

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Mungu akulaze Kamanda.

    Page 4 of 14 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...