Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bob Makani is no more!

    Report Post
    Page 2 of 14 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 264
    1. #1
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 669
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Bob Makani is no more!

      Habari za uhakika muda mchache uliopita nimepata taarifa ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kabla ya Mbowe... Mzee Bob Makani amefariki.

      R.I.P Bob Makani

      Kwasababu ya msiba huu, CHADEMA wamesitisha Operesheni Okoa Kusini na wanarejea Dar kwa shughuli ya msiba.

      Source: Kutoka kwa ndugu zake.

      UPDATES...




      Bendera ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikipepea nusu mlingoti katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaa kufuatia kifo cha Mwasisi wa chama hicho, Mahmoud 'Bob' Makani
      Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu, Mahmoud 'Bob' Makani

      Baadhi ya waombolezaji


      DAR ES SALAAM, Tanzania

      Aliyekuwa Naibu Gavana wa Tanzania na mwasisi wa Chama cha Demokrasia (Chadema) marehemu, Mahmoud Nyange Makani maarufu Bob Makani, anatarajiwa kuzikwa katika kijiji cha Negezi kilichopo mkoani Shinyanga.

      Kwa mujibu wa mdogo wa marehemu, Hassan Makani amesema kuwa, marehemu Makani ameacha mke na watoto saba na wajukuu wanane na anatarajiwa kuagwa rasmi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kesho. kwa hisani ya Kiganyi

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default

      R.I.P Bob Makani
      Quote By Mtambuzi


      RIP Mzee Bob Makani
      Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi

      Amina

    4. #22
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Poleni sana wana Chadema wote kwa msiba wa kiongozi wenu mstaafu.
      The unseen is illustrated by the seen.

    5. #23
      mashami's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 168
      Rep Power : 388
      Likes Received
      23
      Likes Given
      1

      Default Re: Bob Makani is no more!

      mungu pokea roho ya mpambanaji wetu.amen
      MUNGU IBARIKI CHADEMA

    6. #24
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,506
      Rep Power : 46711
      Likes Received
      16373
      Likes Given
      8453

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Tunamshukuru Mungu sana kwa maisha yake na utumishi wake kwa taifa letu. Mungu aifariji familia yake yote, ndugu jamaa na marafiki na kuwatuliza wakati huu wa majonzi makubwa. Namwombea apumzike kwa amani, Amen.
      Sn2139 and sunshine1 like this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    7. #25
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Mtambuzi


      RIP Mzee Bob Makani
      Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi

      Amina
      Aaaah!!!! RIP comred umetangulia nasi tutafuata.

    8. Miaka 50

    9. #26
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Inna Li Llahi wa Inna Illahi Rajiun.

      Poleni watoto, ndugu, jamaa na marafiki. Poleni CHADEMA, Poleni CCM, Poleni Taifa.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    10. #27
      engmtolera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 3,610
      Rep Power : 1331
      Likes Received
      780
      Likes Given
      655

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.i.p mzee wetu
      "The person who says it cannot be done should not interrupt the person doing it."

    11. FJM
      #28
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,174
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5323
      Likes Given
      4587

      Default Re: Bob Makani is no more!

      oh that's very sad. Tunakushukuru kwa mchango wako wa hali na mali kwa taifa ili watoto na wajukuu wa taifa hili wawe na maisha bora. Japo safari haijakamilika lakini mizizi umeacha na kwa mapenzi ya mungu tunaamini itakamilika. Pumzika sasa ukijua wana wa taifa hili wanautambua mchango wako. Mwenyezi mungu akupe malazi mema peponi.

      Poleni sana wanafamilia.

    12. #29
      Sobangeja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 121
      Rep Power : 435
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP mzee wetu Bob Makani!

    13. #30
      Mapi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 571
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      141

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Mungu akupumzshe kwa amani

    14. #31
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,324
      Rep Power : 36530
      Likes Received
      7479
      Likes Given
      4604

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP mzee wetu, tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi.....kazi ya Mungu haina makosa!
      Life without problems never make a strong and good person!

    15. #32
      Blandes's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th September 2011
      Posts : 109
      Rep Power : 409
      Likes Received
      12
      Likes Given
      4

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Kafiwa Aga khan hospital,R.I.P KAMANDA

    16. #33
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,718
      Rep Power : 720
      Likes Received
      290
      Likes Given
      260

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Mzee wetu!

    17. #34
      Young zee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 279
      Rep Power : 415
      Likes Received
      67
      Likes Given
      30

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP mzee Bob makani. Mungu akupe pumziko la amani.

      Poleni ndugu. Jamaa na marafiki. Pia pole kwa wana CDM wote kwa kumpoteza m/kiti mstaafu. Hakika ushauri wake bado ulikuwa unahitajika na chama.
      Mungu ametoa, Mungu ametwaa.

    18. #35
      Sobangeja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 121
      Rep Power : 435
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP mzee wetu Bob Makani!

    19. #36
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Poleni familia.

      RIP Mzee Mkani.

      Mpelekee Mwalimu taarifa jinsi majitu yake yanavyochemka huku. Mjulishe jisi majitu yake yalivyokosa hekima na busara yamebaki na matusi tu. Mwambie hawana sera tena bali kujibu mapigo hata leo wamefanya hivyo. Mtaarifu kile chama ulichoshiriki wewe Makani kukiasisi ndicho tegemeo na tumaini la waTanzania na kimeenea nchi nzima. Mwambie lile lichama lake lilishakufa siku nyingi.

      Mpumzike kwa amani wapendwa wetu - AMINA.
      Kilasara likes this.

    20. #37
      Kingmairo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 778
      Rep Power : 514
      Likes Received
      234
      Likes Given
      80

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP mzee wetu! We appreciate your contribution.

    21. ALF
      #38
      ALF's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 94
      Rep Power : 428
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi Amina.

    22. #39
      Young zee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 279
      Rep Power : 415
      Likes Received
      67
      Likes Given
      30

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP mzee Bob makani. Mungu akupe pumziko la amani.

      Poleni ndugu jamaa na marafiki. Pia poleni wana CDM wote kwa kumpoteza m/kiti mstaafu. Hakika ushauri wake bado ulikuwa unahitajika katika chama.
      Mungu ametoa, Mungu ametwaa.

    23. #40
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,765
      Rep Power : 1221
      Likes Received
      430
      Likes Given
      818

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Mungu alize mahali pema amen



      LAKINI HUU MZIMA UNAWEZA KUINUFAISHA SERIKALI
      MAANA SERIKALI YETU INAENDESHWA KWA MISIBA MATUKIO YA AJABU

      STAY TUNED MTAONA.......................

    Page 2 of 14 FirstFirst 123412 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...