Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bob Makani is no more!

    Report Post
    Page 12 of 14 FirstFirst ... 21011121314 LastLast
    Results 221 to 240 of 264
    1. #1
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 673
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Bob Makani is no more!

      Habari za uhakika muda mchache uliopita nimepata taarifa ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kabla ya Mbowe... Mzee Bob Makani amefariki.

      R.I.P Bob Makani

      Kwasababu ya msiba huu, CHADEMA wamesitisha Operesheni Okoa Kusini na wanarejea Dar kwa shughuli ya msiba.

      Source: Kutoka kwa ndugu zake.

      UPDATES...




      Bendera ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikipepea nusu mlingoti katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaa kufuatia kifo cha Mwasisi wa chama hicho, Mahmoud 'Bob' Makani
      Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu, Mahmoud 'Bob' Makani

      Baadhi ya waombolezaji


      DAR ES SALAAM, Tanzania

      Aliyekuwa Naibu Gavana wa Tanzania na mwasisi wa Chama cha Demokrasia (Chadema) marehemu, Mahmoud Nyange Makani maarufu Bob Makani, anatarajiwa kuzikwa katika kijiji cha Negezi kilichopo mkoani Shinyanga.

      Kwa mujibu wa mdogo wa marehemu, Hassan Makani amesema kuwa, marehemu Makani ameacha mke na watoto saba na wajukuu wanane na anatarajiwa kuagwa rasmi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kesho. kwa hisani ya Kiganyi


    2. #221
      Chuck j's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Location : DAR ES SALAM/KINONDONI
      Posts : 448
      Rep Power : 494
      Likes Received
      54
      Likes Given
      5

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Du ni msb mkbwa

    3. #222
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,641
      Rep Power : 25274
      Likes Received
      1747
      Likes Given
      1149

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Mzee wetu

    4. #223
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,880
      Rep Power : 2982
      Likes Received
      484
      Likes Given
      320

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Rip bob
      Just a charcoal, don't expect anything white

    5. #224
      kibiloto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 47
      Rep Power : 405
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Poleni

    6. #225
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,590
      Rep Power : 5183
      Likes Received
      2875
      Likes Given
      237

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Makani..


    7. #226
      Highlander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 1,796
      Rep Power : 730
      Likes Received
      560
      Likes Given
      640

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Quote By GeniusBrain View Post
      R.I.P mzee wetu , ila huyu mzee cdm walimtupa na hawakumpa hata matibabu apart from mchango mkubwa alioutoa kwenye chama

      Kama hii comment inao ukweli wowote ule ndani yake, basi naomba uongozi wa chama uitumie comment hii kama onyo la kujikosoa. kuna nahau muhimu mbili uongozi wa chama unatakiwa kuzingatia katika jambo hili, yaani kama ni kweli Mzee Makani alisahauliwa na chama kiasi hicho: Moja, kila mpandangazi hushuka! Pili, "be nice to the people you meet on your way to the top, because you might need them on your way down."

    8. #227
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6511
      Likes Received
      1253
      Likes Given
      538

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.I.P Bob Mkani. Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi. Ulifanya kazi kwa utumishi uliotukuka mno.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    9. #228
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 987
      Likes Received
      709
      Likes Given
      400

      Default Re: Bob Makani is no more!


      RIP KAMANDA MKUU

    10. #229
      baraka moze's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 84
      Rep Power : 377
      Likes Received
      3
      Likes Given
      12

      Default Mzee Bob Makani Afariki Dunia

      Habari zilizothibitishwa na uongozi wa CHADEMA ni kuwa Mzee Bob Makani,mwenyekiti mstaafu wa chama hicho amefariki dunia jioni ya tarehe 9 june 2012.Mjengwablog inaungana na familia yake,chama chake na watanzania wote kuomboleza msiba wa mwanaharakati huyu.Mungu amlaze mahali pema paradiso
      source mjengwa blog

    11. #230
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,182
      Rep Power : 27036
      Likes Received
      8458
      Likes Given
      17777

      Default Re: Mzee Bob Makani Afariki Dunia

      baraka moze kuna uzi tayari uliowekwa tangu jana kuhusu taarifa hizi, ni vyema ukachangia kule kama una taarifa mpya

    12. #231
      Sungurampole's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 17th November 2007
      Posts : 718
      Rep Power : 735
      Likes Received
      125
      Likes Given
      578

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.I.P Mzee wetu Makani
      Poleni wanachadema wote
      What a coincidence - Katika kalenda ya CDM - picha yake kama kiongozi mstaafu(Mwenyekiti wa pili) wa CDM ipo katika page ya June 2012

      Maneno haya yanasomeka katika ukurasa huo: "CHADEMA inaamini kwamba ili tuweze kutoka hapa tulipo, panahitajika uongozi wenye maono ya Kizalendo, uadilifu, makini na wenye upeo ambao utasimamia kikamilifu ufutailiaji na uvunaji wa rasilimali za nchi kwa manufaa ya nchi na watu wake"

      Tunaamini wewe ulitupa hayo na uliiandaa vijana wakuitoa nchi hapo ilipo.
      Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi
      Highlander likes this.
      There is a higher court than courts of justice and that is court of conscience.

      It supersedes all other courts.
      Mohandas Gandhi

    13. #232
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 5,413
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1196
      Likes Given
      199

      Default

      Quote By GeniusBrain View Post
      R.I.P mzee wetu , ila huyu mzee cdm walimtupa na hawakumpa hata matibabu apart from mchango mkubwa alioutoa kwenye chama
      huna akili wewe,sokoine alivyofia morogoro alitupwa?huyu marehemu ndiye wakili wa sabodo, jiulize mzee sabodo alishindwa kumpeleka india kwa matibabu?ugonjwa kama cancer hata uende wapi utakufa tuu

    14. #233
      baraka moze's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 84
      Rep Power : 377
      Likes Received
      3
      Likes Given
      12

      Default Re: Mzee Bob Makani Afariki Dunia

      thanx sikuwa fresh jana sikufuatilia kitu na sikuwa hewan kwa mda

    15. #234
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,790
      Rep Power : 5478
      Likes Received
      1987
      Likes Given
      2657

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.I.P Bob Makani
      Raha ya Milele umpe ee Bwana na Mwanga wa Milele Umwangazie Apumzike kwa Amani
      Amina

    16. #235
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: Mzee Bob Makani Afariki Dunia

      Quote By baraka moze View Post
      Habari zilizothibitishwa na uongozi wa CHADEMA ni kuwa Mzee Bob Makani,mwenyekiti mstaafu wa chama hicho amefariki dunia jioni ya tarehe 9 june 2012.Mjengwablog inaungana na familia yake,chama chake na watanzania wote kuomboleza msiba wa mwanaharakati huyu.Mungu amlaze mahali pema paradiso
      source mjengwa blog
      Mkuu hebu tuondolee historia hapa changia uzi wa wenzako ambao upo tokea jana

    17. #236
      mzamifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2010
      Location : IN SPACE
      Posts : 947
      Rep Power : 661
      Likes Received
      213
      Likes Given
      182

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Asafiri salama nasi tuendeleze mapambano.

    18. #237
      Kyindokyakombe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 97
      Rep Power : 379
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Nasikitika ameondoka kabla ya kuona CDM ikichukua nchi.Mola aiweke mahali pema peponi.

    19. #238
      Aggrey86's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 717
      Rep Power : 547
      Likes Received
      81
      Likes Given
      90

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Pumzika kwa amani mzee wetu!

    20. JS is online now
      JS
      #239
      JS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2009
      Posts : 2,047
      Rep Power : 3370
      Likes Received
      450
      Likes Given
      310

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Mungu akulaze mahali pema peponi Bob Makani....
      JF Rocks!!!!!!!!!!!!

    21. #240
      Bongolander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Location : Tandale
      Posts : 4,044
      Rep Power : 1423
      Likes Received
      614
      Likes Given
      44

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Quote By Invisible View Post
      Confirmed!

      Mohamed Nyanga (Bob) Makani is no more... Katutoka muda si mrefu
      Just curious guys, does name Bob mean Robert or? What does name Bob here mean?

    Page 12 of 14 FirstFirst ... 21011121314 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...