Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bob Makani is no more!

    Report Post
    Page 10 of 14 FirstFirst ... 89101112 ... LastLast
    Results 181 to 200 of 264
    1. #1
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 669
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Bob Makani is no more!

      Habari za uhakika muda mchache uliopita nimepata taarifa ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kabla ya Mbowe... Mzee Bob Makani amefariki.

      R.I.P Bob Makani

      Kwasababu ya msiba huu, CHADEMA wamesitisha Operesheni Okoa Kusini na wanarejea Dar kwa shughuli ya msiba.

      Source: Kutoka kwa ndugu zake.

      UPDATES...




      Bendera ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikipepea nusu mlingoti katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaa kufuatia kifo cha Mwasisi wa chama hicho, Mahmoud 'Bob' Makani
      Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu, Mahmoud 'Bob' Makani

      Baadhi ya waombolezaji


      DAR ES SALAAM, Tanzania

      Aliyekuwa Naibu Gavana wa Tanzania na mwasisi wa Chama cha Demokrasia (Chadema) marehemu, Mahmoud Nyange Makani maarufu Bob Makani, anatarajiwa kuzikwa katika kijiji cha Negezi kilichopo mkoani Shinyanga.

      Kwa mujibu wa mdogo wa marehemu, Hassan Makani amesema kuwa, marehemu Makani ameacha mke na watoto saba na wajukuu wanane na anatarajiwa kuagwa rasmi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kesho. kwa hisani ya Kiganyi

    2. Miaka 50

    3. #181
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,166
      Rep Power : 12558
      Likes Received
      5736
      Likes Given
      748

      Default

      Quote By Mungi
      Aliitumikia Tanzania, akaijenga CDM na upinzani Tanzania, na sasa Mungu amemtanguliza mbele ya haki. R.I.P. Comrade Makani. Ukifika msalimie Nyerere, mweleze kuwa CDM itaichukua nchi 2015.
      Maombelezo mengine bana.

    4. #182
      kimalando's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 97
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7
      Likes Given
      23

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Bob Makani.

    5. #183
      gollocko's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 397
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.I.P the worrier!

    6. #184
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 4,852
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1158
      Likes Given
      908

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Bob Makani

      Chama
      Gongo la Mboto DSM

    7. #185
      sammosses's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Location : Shinyanga
      Posts : 905
      Rep Power : 602
      Likes Received
      167
      Likes Given
      238

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Kazi uliyoianzisha kuleta mabadiliko sasa imepemba moto,Kijana uliyetupa kuongoza harakati za mabadiliko amefanya kazi yake barabara.Hivyo basi kijiti ulichomkabidhi imeonyesha jinsi gani ulivyokuwa think tank ya CDM na mabadiliko kutoka uatawala wa kifedhuli kwenda utawala wa wananchi.Hakika tutakukumbuka na kukuenzi.

      R.I.P Mohamed Bob Nyanga Makani

    8. FemaTV & Radio

    9. #186
      Helper's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th December 2011
      Posts : 85
      Rep Power : 392
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Raha ya milele umpe Eebwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani amina

    10. #187
      Highlander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 1,362
      Rep Power : 639
      Likes Received
      390
      Likes Given
      478

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Quote By Mtambuzi


      RIP Mzee Bob Makani
      Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi

      Amina

      Amina. Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.



      Yatasemwa mengi sana mazuri kuhusu Bob Makani katika medani ya siasa. Na yatakuwa ya kweli. Niongeze hili moja tu kuhusu Mzee Makani ambalo aliniambia akiwa katika ofisi yake eneo la Co-Cabs pale Kidongo Chekundu: kwamba siasa inahitaji Uvumilivu mkubwa sana.

      Alisema hili akiwa katika shida kubwa sana kifedha, baada ya mapato yake binafsi kuyumba kwa sababu ya kuhujumiwa na waliotaka Chadema kuyumba miaka ya mwanzoni--yaani miaka ya 1993 - 96 hivi. Wateja wake wengi katika Practice yake ya Law walikuwa Wahindi. Wahindi hao walipewa onyo na taasisi fulani za serikali kwamba wakiendelea kumtumia Mzee makani kama mwanasheria wao, basi taasisi hizo zingechukua hatua ambazo zingeathiri biashara za Wahindi wale, na wahindi wengi wakaondoa mahitaji yao ya huduma za kisheria kutoka kwa Mzee Makani na kusababisha njaa kubwa kwa mwanachadema huyu.

      Shughuli nilizokuwa nikifanya wakati huo zilinileta karibu na Bob Makani kiasi cha kutosha akanisimulia habari hii kwa uchungu sana ofisini kwake; lakini alichokisema mwishoni kikawa kwamba Siasa hataiacha kwa sababu ya hujuma hiyo, kwa kuwa Tanzania ilihitaji mabadiliko.


      Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.
      Last edited by Highlander; 10th June 2012 at 09:44.
      Sn2139 likes this.

    11. #188
      Bushloiaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 386
      Rep Power : 510
      Likes Received
      135
      Likes Given
      51

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.Amina

    12. #189
      Mbinga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 371
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Makani, wewe ni shujaa, kazi yako imetunufaisha watanzania wote na tutakukumbuka daima. RIP baba Makani.

    13. #190
      nyamemba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 157
      Rep Power : 412
      Likes Received
      15
      Likes Given
      196

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.I.P Mzee wetu.

    14. #191
      Konya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 811
      Rep Power : 565
      Likes Received
      79
      Likes Given
      1

      Default Re: Bob Makani is no more!

      R.I.P mpiganaji wa kweli kwa siasa za upinzani Tz

    15. #192
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,100
      Rep Power : 6358
      Likes Received
      1450
      Likes Given
      407

      Default Re: Bob Makani is no more!

      When we loose such a special person in our life, time seems to stop. However, it is important that we start to live again with a smile on your face so that we can make his soul happy, as he is still looking at us even if we can’t. R.I.P BOB MAKANI.
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    16. #193
      MLETAHOJA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 73
      Rep Power : 445
      Likes Received
      27
      Likes Given
      72

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Quote By Mapi
      Mungu akupumzshe kwa amani
      RIP Bob Makani. Uzalendo wako utadumu mioyoni mwetu.

    17. #194
      Nyangomboli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Mwisenge
      Posts : 886
      Rep Power : 607
      Likes Received
      121
      Likes Given
      4

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Mzee Makani. Pole sana wafiwa hasa rafiki yangu Antony. Its all about GODs plan.

    18. #195
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,806
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mzee wa njaa
      Habari za uhakika muda mchache uliopita nimepata taarifa ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kabla ya Mbowe... Mzee Bob Makani amefariki.

      R.I.P Bob Makan

      Kwasababu ya msiba huu, CHADEMA wamesitisha Operesheni Okoa Kusini na wanarejea Dar kwa shughuli ya msiba.

      Source: Kutoka kwa ndugu zake.
      R.I.P mzee wetu , ila huyu mzee cdm walimtupa na hawakumpa hata matibabu apart from mchango mkubwa alioutoa kwenye chama

    19. #196
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      283

    20. #197
      Mgelukila's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 224
      Rep Power : 395
      Likes Received
      42
      Likes Given
      2

      Default

      R.I.P Bob Makani we loved but God loves u more. We will continue to remember u for all things u done to us so as to fight for liberation movement of new colonialism.

    21. #198
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,977
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1076
      Likes Given
      554

      Default Re: Bob Makani is no more!

      RIP Makani. Poleni Familia ya Makani, Poleni CDM
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    22. #199
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,061
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      667
      Likes Given
      465

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Quote By Highlander
      Amina. Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.



      Yatasemwa mengi sana mazuri kuhusu Bob Makani katika medani ya siasa. Na yatakuwa ya kweli. Niongeze hili moja tu kuhusu Mzee Makani ambalo aliniambia akiwa katika ofisi yake eneo la Co-Cabs pale Kidongo Chekundu: kwamba siasa inahitaji Uvumilivu mkubwa sana.

      Alisema hili akiwa katika shida kubwa sana kifedha, baada ya mapato yake binafsi kuyumba kwa sababu ya kuhujumiwa na waliotaka Chadema kuyumba miaka ya mwanzoni--yaani miaka ya 1993 - 96 hivi. Wateja wake wengi katika Practice yake ya Law walikuwa Wahindi. Wahindi hao walipewa onyo na taasisi fulani za serikali kwamba wakiendelea kumtumia Mzee makani kama mwanasheria wao, basi taasisi hizo zingechukua hatua ambazo zingeathiri biashara za Wahindi wale, na wahindi wengi wakaondoa mahitaji yao ya huduma za kisheria kutoka kwa Mzee Makani na kusababisha njaa kubwa kwa mwanachadema huyu.

      Shughuli nilizokuwa nikifanya wakati huo zilinileta karibu na Bob Makani kiasi cha kutosha akanisimulia habari hii kwa uchungu sana ofisini kwake; lakini alichokisema mwishoni kikawa kwamba Siasa hataiacha kwa sababu ya hujuma hiyo, kwa kuwa Tanzania ilihitaji mabadiliko.


      Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.
      RIP mzee Makani. Hata siku ambazo NCCR walionekana kuwa na nguvu chini ya Mrema, CCM na serikali yake walijua chama tishio kwao kitakuja kuwa CDM, kwani pamoja na hujuma zao zote bado walishindwa kukisambaratisha.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    23. #200
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Bob Makani is no more!

      Galatians 6: "For each one shall bear his own load."

      2 Timothy 4:6-7 "For i am already being poured out as a drink offering, and the time of my departure is at hand. I have fought the good fight, I have finished the race, I have kept the faith."
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    24. Study Abroad
    Page 10 of 14 FirstFirst ... 89101112 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...