Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Shamra shamra za mkutano wa CCM zimeanza

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 79
    1. #1
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,705
      Rep Power : 1917
      Likes Received
      1597
      Likes Given
      678

      Default Shamra shamra za mkutano wa CCM zimeanza

      Wanabodi nipo mbagala maeneo ya kizuiani ile kampeni jaza uwanja imeanza gari lenye vipaaza sauti linasumbua wananchi Wana lalamika huu ni muda wa kazi wao hamasisha jangwani mbona mbona Hawawi watulivu Kama wenzao chadema watu Wana waonyesha vidole viwili . Wengine wanasema Chama tawala kinatakiwa kutekeleza ahadi zake wala sio kwenda kukusanya watu jangwani huu ni muda wa vitendo na wala siyo maneno
      Last edited by Precise pangolin; 9th June 2012 at 06:43.
      NGOWILE likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,342
      Rep Power : 873
      Likes Received
      382
      Likes Given
      310

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Quote By Precise pangolin
      Wanabodi nipo mbagala maeneo ya kizuiani ile kampeni jaza uwanja imeanza gari lenye vipaaza sauti linasumbua wananchi Wana lalamika huu ni muda wa kazi wao hamasisha jangwani mbona mbona Hawawi watulivu Kama wenzao chadema watu Wana waonyesha vidole viwili . Wengine wanasema Chama tawala kinatakiwa kutekeleza sera zake wala sio kwenda kukusanya watu jangwani huu ni muda wa vitendo na wala siyo maneno
      ili ueleweke vizuri sema AHADI ZAKE
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    4. #3
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,342
      Rep Power : 873
      Likes Received
      382
      Likes Given
      310

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      kwa wale wanao fahamu hesabu ndogo ndogo signature yangu itatafaslika vizuri
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    5. #4
      Hakikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Posts : 1,108
      Rep Power : 2654
      Likes Received
      147
      Likes Given
      18

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Mtu atakaye kwenda jangwani atakuwa mwanawazimu mkubwa, kwani ccm ni chanzo cha umaskini tulio nao hapa tz (poverty generator)

    6. #5
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Quote By Duble Chris
      kwa wale wanao fahamu hesabu ndogo ndogo signature yangu itatafaslika vizuri
      Hicho ndio nini?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe


    7. #6
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 561
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Huo ubwabwa wao nani atakula? Watu wananjaa sana na shida tupu kwa hyo lazma waende tu lakini mapenz yao yako chadema

    8. #7
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,068
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      670
      Likes Given
      467

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Quote By BigMan
      kauli za uoga hizo,tusubiri saa nane kama kujamba umeanza saa hii basi njioni ni uaro
      Usijekuta anayeandika hiki ni University graduate.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    9. #8
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 780
      Rep Power : 516
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Waacheni wafu wawazike wafu wao. Siku ya kufa kwa nyani miti yote hutereza ! Watahangaika weeee! Mwishowe watajajua kuwa Watanganyika TUMEWACHOKA & HATUWATAKI TENA !

    10. #9
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      mbona hawapiti mbezi na msasani??

      wanajua huko kuna ma yakhe wengi ndo maana

    11. #10
      LEGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Location : Mwenge dar es salaam
      Posts : 1,057
      Rep Power : 596
      Likes Received
      208
      Likes Given
      145

      Default

      Quote By Havizya
      Waacheni wafu wawazike wafu wao. Siku ya kufa kwa nyani miti yote hutereza ! Watahangaika weeee! Mwishowe watajajua kuwa Watanganyika TUMEWACHOKA & HATUWATAKI TENA !
      siku ya kufa nyani nyani mwenyewe ndio huteleza na siyo miti bhana kwani siku zote huishi na kucheza kwenye hiyo hiyo miti.

    12. #11
      mbezibeach 2's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Posts : 97
      Rep Power : 419
      Likes Received
      32
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By BigMan
      kauli za uoga hizo,tusubiri saa nane kama kujamba umeanza saa hii basi njioni ni uaro
      Naona ndio wameku-release asubuhi hii...wamekutumia usiku kucha halafu..very sory.

    13. #12
      mashambaJr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Location : Loading....
      Posts : 368
      Rep Power : 426
      Likes Received
      58
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By Hakikwanza
      Mtu atakaye kwenda jangwani atakuwa mwanawazimu mkubwa, kwani ccm ni chanzo cha umaskini tulio nao hapa tz (poverty generator)
      CCM aiwezi kuwa chanzo cha umaskini hapa Tanzani sababu Vijana wengi wa Tanzania awapendi kufanya kazi,wengi uishia kuvuta bangi na kukaa kwenye vijiwe.kwa hiyo wewe unategemea CDM hiki chukua madaraka itafanya kuwagawia pesa,watu wanaoshinda vijiweni ili kuinua Hali nzuri za Wananchi.Mkuu kuwa great thinker acha ukilaza.

    14. Zhu
      #13
      Zhu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 151
      Rep Power : 470
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      watanzania ni mskini kwa sababu ya CCM. Na vijana matajari hapa Moshi ni kwa sababu ya CDM

    15. #14
      Adolph's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 374
      Rep Power : 699
      Likes Received
      155
      Likes Given
      85

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Ccm wazee wa kucopy na kupaste cdm ilianza vua gamba vaa gwanda ccm ikaja na vua gamba na gwanda vaa uzalendo na "ufisadi".cdm wakaamua kufanya mkutano jangwani uwanja uliokua unakimbiwa na vyama vya siasa ccm nao hao..cdm wameuita jangwan chadema square sikilizen sasa kama magamba hayajaja na jina

    16. #15
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,923
      Rep Power : 11210
      Likes Received
      7070
      Likes Given
      5296

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Niko maeneo ya Kimbiji, mabasi ya mekodiwa yanaenda vijijini kuchukua raia.
      CCM bila majeshi ya kukodi ni aibu kubwa Jangwani
      KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

    17. #16
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,671
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Leaderssssssssssssssss powersssssssssssssssssssssssss ss
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    18. #17
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,188
      Rep Power : 24275
      Likes Received
      4682
      Likes Given
      2300

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Quote By Duble Chris
      ili ueleweke vizuri sema AHADI ZAKE
      1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora

      1. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini
      2. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria-Igunga
      3. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU)- Shinyanga
      4. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini- Dodoma
      5. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono-Dodoma mjini
      6. Kuwapatia trekta wakulima -Kata ya Mrijo, Dodoma
      7. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi-Kagera
      8. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi-Kagera
      9. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba-Bukoba Mjini
      10. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
      11. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda- Kagera
      12. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme- Kagera
      13. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu-Kagera
      14. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino- Mbeya
      15. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba-Kagera
      16. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
      17. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika-Mwanza
      18. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu-Mwanza
      19. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani- Geita
      20. Kulinda muungano kwa nguvu zote-Pemba
      21. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa-Morogoro
      22. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa-Mbeya mjini
      23. Kujenga bandari Kasanga –Rukwa
      24. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
      25. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira -Mbeya
      26. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama- Tanga
      27. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini- Iringa
      28. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani –Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi -Dar es salaam- Same mkoani Kilimanjaro
      29. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same-Same Mjini
      30. Kuboresha barabara za Igunga -Tabora
      31. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu- Kisesa Magu
      32. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya- Mbeya Mjini
      33. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN)-Hydom Manyara
      34. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa- Musoma
      35. Kulinda haki za walemavu- Makete
      36. Kujenga baabara ya Njombe- Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109- Iringa mjini
      37. Kujenga barabara Musoma–Mto wa Mbu Arusha-Arusha
      38. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
      39. Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma– Kaliua,Tabora
      40. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi-Arusha Mjini
      41. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa,mpaka Singida-Dodoma
      42. Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009- Longido 45.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria-Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
      43. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha –Arusha mjini
      44. Kukopesha wavuvi zana za kilimo-Busekera, Wilaya ya Musoma, .
      45. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido- Longido
      46. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
      47. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri- Mbulu mkoani Manyara
      48. Kusambaza maji nchi nzima-Babati vijijini
      49. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015-Babati vijijini Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha.-Iringa
      50. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika- Iringa
      51. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania-Iringa
      52. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi-Ifunda
      53. kutokomeza malaria 2015-Bunda,mkoa wa Mara
      54. kuwapa wanawake nafasi zaidi-Kilolo ,Iringa
      55. ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii-Kibandamaiti Mjini Zanzibar
      56. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa-Kabandamaiti mjini Zanzibar
      57. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada-Kibandamaiti
      58. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay-Ruvuma
      59. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400-Mbambabay Ruvuma
      60. kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga(MBICU) –Ruvuma
      61. Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania –Ruvuma
      62. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
      63. Mtwara kuwa mji wa Viwanda –Mtwara
      64. Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu-Kibaha
      65. Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa-Kibaha
      66. Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda -Kibaha


      Bila shaka hapo utakuwa umeridhika na ahadi ya serikali ya ccm!

      ​kwa hisani ya mtu wa Tanganyika
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    19. #18
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 850
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Mkutano wa leo wa CCM ni karata yao nzuri ya kujichimbia kaburi endapo hawatakuwa na majibu yatayowaingia wananchi juu ya mustakabali mzima wa maisha na taifa kwa ujumla.

      Yangu macho, nasubiri saa sita tulitoahidiwa tuanze kuona nini kinajiri uwanjani.

    20. #19
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,482
      Rep Power : 682
      Likes Received
      360
      Likes Given
      53

      Default

      Quote By BigMan
      kauli za uoga hizo,tusubiri saa nane kama kujamba umeanza saa hii basi njioni ni uaro

      una undugu na Lusinde nini!?
      Naona wote mnayapenda haya maneno ''kujamba'' na ''uharo'' sana.

    21. #20
      peter tumaini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : DSM
      Posts : 575
      Rep Power : 484
      Likes Received
      86
      Likes Given
      54

      Default Re: Shamra shamra za mkutano wa ccm zimeanza

      Quote By Gagnija
      Usijekuta anayeandika hiki ni University graduate.
      Elimu za dot com ndo faida ya kuwa na CCM kwa miaka 50

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...