Kwa wale wanaokumbuka usumbufu na taabu tuliyopata madaktari walipogoma mapema mwaka huu naamini leo mna hamu kujua katakachojiri.Meza ya majadiliano kati ya docs na serikali imekuwa ya usiri mno na naamini kimya kingi kina mshindo mkuuu.....let wait and see

Reply With Quote
Follow Us Here