Wadau,
Kuthibitisha tu kwamba even our mashirika ya umma na public firms ziko kisiasa zaidi, leo umeme hautazimika hata iweje nchi nzima ili kupisha propaganda za chama tawala. it is more likely to happen
Wasiwasi wangu ni precedent tunayoi-set hapa... kwani hizi luxury ukizizoea siku ya siku ikija zikaanza kuondoka utahisi unaonewa, napata wazo kwa sauti kuhusu siku CCM core wakiwa kwenye receiving end ya ubazazi kwa vitu kama kukata umeme ili ku-deny wengine access to deliver message nk. we saw it during CDM meeting
Ushauri tu kwa TANESCO na wengine, wahusika wa hizi hujuma wajue kabisa hata kama ni wataalam kiasi gani, when changes come, they will go with "mabwana zao" kwani wanakua wameweka weledi pembeni
Time is now and the wind of change is blowing at 120 miles per hour; no matter what message today, warning to CCM if you dont change now and refuel, you are heading to empty in 3 years!!

Reply With Quote
Follow Us Here