Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Najua leo umeme utawaka muda wote wa mkutano wa ccm nchi nzima

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      Janjaweed's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,700
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1416
      Likes Given
      1585

      Default Najua leo umeme utawaka muda wote wa mkutano wa ccm nchi nzima

      Wadau,

      Kuthibitisha tu kwamba even our mashirika ya umma na public firms ziko kisiasa zaidi, leo umeme hautazimika hata iweje nchi nzima ili kupisha propaganda za chama tawala. it is more likely to happen

      Wasiwasi wangu ni precedent tunayoi-set hapa... kwani hizi luxury ukizizoea siku ya siku ikija zikaanza kuondoka utahisi unaonewa, napata wazo kwa sauti kuhusu siku CCM core wakiwa kwenye receiving end ya ubazazi kwa vitu kama kukata umeme ili ku-deny wengine access to deliver message nk. we saw it during CDM meeting

      Ushauri tu kwa TANESCO na wengine, wahusika wa hizi hujuma wajue kabisa hata kama ni wataalam kiasi gani, when changes come, they will go with "mabwana zao" kwani wanakua wameweka weledi pembeni

      Time is now and the wind of change is blowing at 120 miles per hour; no matter what message today, warning to CCM if you dont change now and refuel, you are heading to empty in 3 years!!


    2. #2
      Janjaweed's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,700
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1416
      Likes Given
      1585

      Default Re: Najua leo umeme utawaka muda wote wa mkutano wa ccm nchi nzima

      Jamani umeme wameshakata wapi na wapi?

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...