Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

    Report Post
    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast
    Results 81 to 100 of 103
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6152
      Likes Given
      22273

      Default Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Wanabodi,

      Kufuatia chokochoko ya kuuchokoa Muungano ilioanzishwa na kikundi cha Uamsho huko Zanzibar, zimeanza kutolewa hoja mbalimbali ikiwemo Watanzania tupewe fursa kuujadili Muungano na ikibidi ipigwe kura ya maoni kuwauliza Watanzania na Wanzanzibari kama wanautaka muungano, jee wanataka muungano wa aina gani, na endapo hawautaki, process ya kuuvunja rasmi aianze.

      Wako wengi wanaupenda muungano na wangependa uendelee ila uboreshwe!. Pia wako wanao ona sasa imetosha na muungano uvunjwe!.

      Maudhui ya mada hii ni kuwaeleza wanabodi, jambo muhimu liitwalo "kuridhia" ambapo serikali zote zilipaswa kuuriidhia huo muungano kwa utaratibu unaoitwa "RATIFICATION" ambapo ni serikali ya Tanganyika pekee ndio iliyofanya process rasmi ya "ratification", Zanzibar, haikufanya process bali ilitamka tuu kwa maneno ya mdomo bila tamko lolote rasmi la maandishi, na badala yake, hati ya ratification ya Zanzibar, iliwasilishwa kwenye bunge la Tanganyika na dunia kutangaziwa muungano uliridhiwa pande zote!.

      Kwa vile Zanzibar, haikuuridhia rasmi Muungano, kama ni kweli hizi chokochoko za Uamsho ni uthibitisho kuwa sasa Zanzibar inataka kujitoa katika muungano wetu huu adhimu, kisheria, mlango uko wazi, yaani wide open for Zanzibar to just walk out, with no regret and no strings attached kwa sababu hawakuuridhia ule mkataba wa muungano in then first place!, hivyo mkataba huo hauko binding kwao!.

      Mada yangu hii inakuwa na sehemu zifuatazo.

      1. Kuridhia ni Nini (Ratification).
      2. Rafication Hufanyikaje.
      3. Mikataba ya Kimaifa ni nini? na Jee Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni Mkataba wa Kimataifa?.
      4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
      5. Process ya Ratification kwa Upande wa Tanganyika.Process ya Ratification kwa Upande wa Zanzibar.
      6. Hadaa ya Ratification ya Zanzibar, ilipangwa na nani na kwa nini?.
      7. Kukosekana kwa ratification upande wa Zanzibar kunamaanisha nini.
      8. Pamoja na kutokuwepo ratification, Jee Muungano ni halali?
      9. A Way Forward 1:Tudumishe Muungano?, Muungano wa Aina Gani?.
      10. A Way Forward 2:Tuuvunje Muungano?. What are the Consequences?.

      1. Kuridhia ni Nini (Ratification).
      Kuridhia, au ratification, ni process inayofanywa kwa nchi husika kuridhia mikataba ya kimaifa ili kuipa uhalali wa kisheria kutumika katika nchi husika. Mfano mzuri ni mkataba wa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ni nchi, na Zanzibar ni nchi, hivyo ule mkataba wa muungano ni mkataba wa kimataifa.

      Jee kila mkataba wa kimataifa ni lazima uridhiwe?. Jibu ni hapana, sio kila mkataba wa kimataifa ni lazima uridhiwe, ili mkataba wa kimataifa uridhiwe lazima mkutaba husika uwe na kipengele kinacholazimisha mkataba huo kuridhiwa. Tukirudi kwenye mfano wetu wa mkataba wa muungano, kipengele cha VIII cha Articles of Union, kinalazimisha process ya ratification lazima ifanyike ili kuuhalalisha mkataba ule.

      (viii) These Articles shall be subject to the enactment of laws by the Parliament of Tanganyika and by the Revolutionary Council of the Peoples' Republic of Zanzibar in conjunction with the Cabinet of Ministers thereof, ratifying the same and providing for the Government of the united Republic and of Zanzibar in accordance therewith.


      Nyerere na Karume wangeweza kuamua wakishasaini makubali yale iishie hapo, ingekuwa hivyo hivyo hitaji la kuridhia lisingekuwepo!.

      2. Rafication Hufanyikaje?.
      Kwa vile mikataba yote ya kimataifa ni lazima iwe ni ya maandishi, vivyo hivyo, ratifikation lazima ifanyike kwa maandishi na sio kwa kauli.

      Kwa bunge letu, masharti ya kuridhia hufanywa kwa mujibu wa kifungu cha 63(3)(e) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kinachotamka kuwa, Bunge litajadili na kuridhia Mikataba yote inayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa na kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni ya 114(11) ya 2007.
      1. Waziri husika huwasilisha mezani kwa spika mkataba husika
      2. Spika ataipa kamati husika kupata maoni yake
      3. Kambi ya upinzani itapewa fursa ya kuandaa maoni yake.
      4. Mkataba huo utatangazwa rasmi kwenye order paper ya siku ya kuwasilishwa
      5. Waziri atawasilisha, kisha maoni ya kamati, maoni ya kambi ya upinzani na majadiliano.
      6. Bunge litakaa kama kamati kupitia kifungu kwa kifungu
      7. Bunge litarudi kama bunge na kuridhia mkataba husika
      8. Mkataba huo unakuwa sehemu ya sheria za nchi,
      9. Unasainiwa na rais na kutangazwa katika gazeti za serikali GN.
      10.Ndio unakuwa umeridhiwa, yaani ratified!.

      3. Mikataba ya Kimaifa ni nini? na Jee Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni Mkataba wa Kimataifa?.
      Mkataba wa Kimataifa, ni mkataba kati nchi moja na nchi nyingine, au mikataba yote ya jumuiza za kimataifa ambayo nchi ama hutakiwa kuridhia, au kulazimishwa kuiheshimu hata kama haikuridhia. Mikataba hii au itifaki mbalimbali (protocals), hupaswa kuridhiwa kabla haijawa sheria kwa nchi husika.

      Mfano Tanzania iliridhia mkataba wa mahakama ya kimataifa ya Biashara, ICC. Dowans iliposhinda ile kesi, imepaswa kuisajili hukumu hiyo kwenye mahakama zetu (ratification), ili hukumu hiyo igeuke sheria zetu, (domestic law) na kutekelezwa. Watu humu walipiga sana kelele, nilipouangalia mkataba ule humu jf, nikawaambia wana jf wenzangu, hatuna pa kutokea, tozo ile italipwa tuu mara baada ya tozo hiyo kusajiliwa, kinachoendelea sasa ni delaying tactics ambayo nayo tutailipia dearly!.

      Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, ni mkataba halali wa kimataifa wenye sifa muhimu za mkataba, japo una mapungufu mengi kubwa likiwa ni kitu kinachoitwa "Privity of Contrac" ambapo mkataba ulikuwa kwa lugha ya Kiingereza na signatory mmoja alikuwa msomi anaejua kusoma na kuandika kiingereza, wakati signatory wa pili hakujua kusoma, kuandika wala kiingereza, hivyo alisaini kwa dole gumba!.

      Ufafanuzi zaidi kuhusu Muungano kuwa ni mkataba wa kimataifa, unapatikana pia katika ukurasa wa kwanza wa andiko la
      Prof. Shivji kwenye kitabu cha "The Legal Foundation of the Union in Tanzania and Zanzibar Constitution, DUP, 1990.

      Kwa faida ya wasoma kimombo, tembelea
      http://www.scribd.com/doc/45109599/T...A-AND-ZANZIBAR

      4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
      Kila mtu anaelewa Mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, ulitiwa saini na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Abeid Amani Karume, Aprili 22, 1964, Mjini Zanzibar Hapa nitawapa tuu ilivyokuwa kabla na kilichofuata.
      Baada ya Mapinduzi ya Zanzibar, na Nyerere kumsaidia Karume kumshughulikia Johh Okello, Karume alikuwa bado ana wasiwasi wa kudumu kwake kama Mwenyekiti wa BLM, kwa kuzingatia Karume hakushiriki mapinduzi yale, Kiongozi wa mapinduzi alikuwa ni John Okello, Karume alikimbilia bara kujificha! (Japo ilikuja kutangazwa ati alikuwa akiwapeleka wanae Amani na Ali waliokuwa wakisoma kwao Karume (Malawi). Okelo ndie alikuwa Mwenyekiti wa BLM na alimuita Karume kuwa mtangazaji kufuatio kuwa na Kiswahili safi. Karume akamzunguka Okello na kwa kusaidiwa na Nyerere, Okello alishughulikiwa na Karume kuitwaa nafasi ya Mwenyekiti wa BLM!.Kwa vile Karume hakushiriki actively kwenye mapinduzi halisi, alikuwa na wasiwasi wakati wote kuwa wale makamanda wangemrudi!, thanks kwa ulinzi wa askari 300 wa Nyerere, vinginevyo hata hiyo 1971, asingefika!.

      Mwezi Machi, 1964, Nyerere alizungumza na Karume kuhusu Muungano, Karume alikubali hapo hapo na kutaka Press Conference iitishwe siku hiyo hoyo watangaze kuwa wameshaungana na kuwa nchi moja, Nyerere Rais, Karume Makamo. Mwalimu alimgomea Karume na kumwambia afanye siri ili taratibu zifuatwe.

      Mwanzoni mwa Aprili, Mwalimu alimuita AG waTanganyika, Rowland Brown na kumwambia aandae mkataba wa muungano na uwe siri. Kule Zanzibar, Karume akampa likizo AG wa Zanzibar, Wolfgang Dourado ili isitie kauzibe. Akatafutwa Mwanasheria wa Uganda, Daniel Wadada Nabudere (kakaye mwandishi mashuhuri, David Wadada Nabudere) kutoa ushauri kwa Karume kuhusu muungano.

      Tarehe, 22 April, 1964 Nyerere aliyeandamana na Rashidi Kawawa, Oscar Kambona na Job Lusinde walitua ghafla Zanzibar na kwenda moja kwa moja Ikulu ya Zanzibar, wakiwa na hati za muungano na Karume alitakiwa azisaini. Wakati wa utiaji saini huo, ulishuhudiwa pia na Abdallah Kassim Hanga, Abdul-Aziz Ali Twala na Salim Rashidi.

      Karume alitaka kumtumia mwanasheria huyo wa Uganda kusaini kwa niaba ya mwanasheria mkuu wa Zanzibar, ila Nabudere akakataa na kusisitiza lazima zisainiwe na Mwanasheria wa Zanzibar!. Ndipo Rowland Brown akatinga na Solicitor General wa Tanganyika, PRN Fifoot aliyesimama nafasi ya Dourado!. Hati za muungano zikasainiwa!. Baada ya hapo Nyerere na ujumbe wake wakawaa pipa lao na kurejea Dar!.

      Mkumbuke mpaka Karume anasaini, hajaliambia chochote BLM, siku hiyo jioni Aboud Jumbe aliyekuwa Pemba, ndipo akaelezwa na Karume kilichotokea asubuhi, akashangaa sana!. Jambo kubwa kama hilo limefanyika vipi, BLM, hawajui kitu!.

      Ni baada ya kusainiwa, Bunge la Tanganyika likatunga sheria ya Muungano, ili kuuthibitisha hati zile, 'ratification', na BLM nalo lilipaswa kukaa na kuridhia hati zile!.

      Muungano Ulithibitishwa rasmi na Bunge la Tanganyika kwa kutungiwa sheria na na ikatolewa uthibitisho mwingine uliosainiwa na Fifffoot kuonyesha kuwa BLM liliketi na kuridhia, lakini kiukweli BLM halikukaa, kujadili, wala kupitisha chochote kule Zanzibar!. Kila kitu kilifanywa bara!.

      Aprili 27, 1964 Nyerere na Karume, walitinga katika ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Dalaam kubadilishana hati za Muungano zilizosainiwa na Nyerere na Karume, na documents za ratification na tangu hapo Tanganyika na Zanzibar kuwa dola moja kwa misngi inayotambulika kimataifa. Baada ya kuungana, Mwalimu Nyerere alikuwa rais wa kwanza na Karume alikuwa makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

      Siku hiyo ya Aprili 27, 1964 ndio siku wajumbe saba wa Baraza la Mapinduzi waliapishwa kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Watanganyika na Zanzibar ambao ni Amani Karume, Kassim Abdallah Hanga, Abdulrahman Babu, Hassan Nassor Moyo, Aboud Jumbe, Hasnu Makame na Idris Abdul Wakil. Kati yao, Aboud Jumbe na Hassan Nassor Moyo wangali hai. Baada ya hapo, Bunge la Muungano likakamata madaraka yote!.

      5. Process ya Ratification kwa Upande wa Tanganyika.Process ya Ratification kwa Upande wa Zanzibar.
      1.
      Msingi mkuu wa ratification mkataba wa muungano ni kifungu hiki kwenye hati za muungano.

      Article VIII of the Articles of Union provides:“ These Articles shall be subject to the enactment of laws by the Parliament of Tanganyika and by the Revolutionary Council of the Peoples Republic of Zanzibar in conjunction with the cabinet of ministers thereof, ratifying the same and providing for the Government of United Republic and of Zanzibar in accordance therewith2. Lengo la kifungu hicho, ni kwa vile muungano ni mkataba wa kimataifa, ili mkataba huo upate uhalali wa kisheria katika nchi husika, lazima mkataba huo uridhiwe na nchi husika, hivyo kifungu hicho kilimaanisha bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi, walipaswa waridhie mkataba huo kwa kuutungia sheria mahsusi ili kuuhalalisha kisheria ndani ya nchi zao!.

      2. Kuridhia au kutoridhia, hakuondoi uhalali wa mkataba, bali unaondoa uhalali wa kisheria, pale yule ambaye alikosa uhalali wa kisheria pale mwanzo, akiamua hautaki tena ule mkataba, hawajibiki kuuvunja mkataba, but he can just walk away!.

      3. Baada tuu ya hati za Muungano kutiwa saini ile Aprill 22 kule Zanzibar, Mwanasheria Mkuu Tanganyika enzi hizo, Rowland Brown aliandaa ratification na kupelekwa kwenye kikao cha bunge la Tanganyika, likapitisha ratification ile asubuhi ya Aprili 26, 1964 kwa kutunga sheria No. 243 ambayo ilitangazwa kwenye gazeti la serikali ya Tanganyika, GN No. hivyo kutimiza matakwa ya kile kifungu namba viii cha mkataba wa muungano.

      4. Wakati hayo yakiendelea huku Tanganyika, Zanzibar nao kupitia Mwanasheria Wake Mkuu, Wolfgang Dourado, alipaswa kuandaa hiyo sheria ya ratification kule ikiitwa Decree, ili Baraza la Mapinduzi likae na kuipitisha hivyo kuutambua rasmi muungano kisheria. Hili halikufanyika lkwa sababu Dourado alipewa likizo ya siku 7 akapumzike nje ya nchi!. Aliporudi, seven day leter, akakuta game over!. Akaishia kulalamika kichini chini maana angetoa sauti, sijui kama hata unywele ungepatikana!. Ushahidi ni kauli ya Dourado Mwenyewe “I myself have been the Zanzibar Attorney General and Minster responsible for justice between 1984 and 1989. At that time I managed to peruse all the statute books of Zanzibar from 1964 and 1979 when the Revolutionary Council was acting as a legislative Assembly cum the Cabinet. No ratification law or any law to that effect is there. I was not myopic, but even if I was, the first Attorney General of Zanzibar after the Revolution had also testified the same that no law ratifying the Articles of unionexists on the Statute Books of Zanzibar.” Dourado aliyasema hayo katika andiko lake la “The Consolidation of Union” alilowasilisha kwenye semina ya Tanhanyika Law Society, Julai 7, 1983 hapa jijini Dar es Salaam.

      5. Mpaka Mungu amemuita Dourado mbele ya haki, msimamo wake ulikuwa “No law ratifying the Articles of the union of 1964 exists on the statute books of Zanzibar., I as a Principal Legal adviser to the Zanzibar government was not consulted ……… Zanzibar therefore did not have legal or constitutional advice from its Principal Legal adviser.”

      6. Badala yake, Solicitor General wa Tanganyika, PRN Fifoot ndiye alieandaa ratification document ya Zanzíbar ambayo aliisaini yeye na kumpatia Karume ile April, 27, 1964, Karume aiwasilishe kwenye bunge la Tanganyika ile siku Nyerere na Karume walibadilishana hati pale Karimjee. Hati ya aliyoiwasilisha Nyerere was a genuine ratified document iliyokuwa ratified na bunge la Tanganyika!. Hati aliyowasilisha Karume, was a fake one as if ni BLM ndilo nalo limefanya hiyo rafication kama lilivyofanya bunge la Tangayika!, It was just a make belive, kuizuga jumuiya ya kimataifa na hapo ndipo hata hao CIA na iteligensia yao wakaingizwa chaka na kubaki kupiga tarumbeta ya ratification kuwa ilifanyika!.

      7. Hata kama Fifoot aliiandaa hiyo ratification ya Zanzibar, kwa nini hakumpa Douradau naibu wake, ili aisaini na kuipitisha kwenye kikao cha BLM ili angalau ionekane ilipitishwa Zanzibar?!.Kwa vile Zanzibar hawakuwa na bunge, Baraza la Mapinduzi ndilo lililokuwa Bunge, Baraza la Mawaziri na Mahakama, kwanini ile ratification iliyoandaliwa bara, isipelekwe tuu na kupigwa rubber stamp kwenye BLM ili kuipa uhalali kuwa ni kweli BLM waliridhia na kuratify?!.

      8. Siku ile ya April 27, 1964, wakati Nyerere na Karume walipotinga ndani ya bunge la Tanganyika, kubadilishana hati za muungano zilizo kuwa ratified,Nyerere aliwasilisha hati halali ya muungano ilikuwa ratified kihalali na bunge la Tanganyika na kutangazwa rasmi kwenye gazeti la serikali, GN lakini Karume aliwasilisha ile hati iliyosainiwa na Fifoot alijifanya Dourado na kuziwasilisha hati za muungano kwenye bunge la Tanganyika as if ni kweli BLM lilikaa likajadili na kuridhia hizo hati za muungano, na Karume sio tuu amesaini hizo ratification bila kuzipitishia BLM, bali pia amezitungia Decree na kuitangaza katika GN hiyo hiyo ya Tanganyika japo kwenye GN ya Zanzibar sheria hiyo haipo!.

      9. Kisheria, kwenye sheria ya mikataba, place of contact maters much as far as domestic laws are concerned, Ule mkataba wa muungano ni international contract, unaweza kusainiwa popote ndio maana Mwalimu Nyerere na time yake, walifunga safari kwenda Zanzibar. Process ya ratification sio international contact, ni domestic contact kutumia domestic laws (municipal) ambapo ratification hupaswa kufanywa na bunge husika likiwa nchi husika. Bunge la Tanganyika lilitimiza wajibu wake hivyo ratification ya Tanganyika ni legal. Kitendo cha ratification ya Zanzibar kuandaliwa na Fifoot wa Tanganyika na kusainiwa nae, halafu Karume kukabidhiwa sheria hiyo wakati sgeria za Zanzibar kwa wakati huo zilikuwa Decrees na kuiwasilisha bunge la Tanganyika, tangazo la ratification kutolewa kwenye GN ya Tanganyika na sio ya Zanzibar, ni mambo yanaifanya hiyo ratification kuwa voidable na sio void!


      10. Hoja ya “privity’ to contract na “capacity” to contract pia ipo kwa Karume kama Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, alikuwa na capacity to contact kama Karume kwenye zile articles of union, lakini kwenye Ratification, Karume hakuwa na Capacity ya kusaini sheria ambayo haikutungwa na BLM, na kusainiwa na Fifoot badala ya Dourado, na sheria hiyo kutopitishwa na BLM lakini akaiwasilisha as if imeridhiwa na BLM!, na Fifoot hakuwa na capacity to contract kwa niaba ya Dourado!, tena (ninahisi Fifoot alifanya “misrepresentation kujifanya Dourado ndio maana kuna uwezekano mkubwa, Karume hakupewa tena zile original documents!, alikuja mikono mitupu, na kurudi mikono mitupu ndio kule Zanzibar, hizo documents are no where to be seen!!). Emphasis mine!
      11. Hata hivyo, kuna mabishano makubwa kati wanazuoni na wasomi mbalimbali wa sheria kuhusiana na hii issue ya ratification. Mwalimu wangu, Prof. Shivji amesema japo hakuna kumbukumbu zozote kuwa BLM liliridhia, kwa vile BLM limeipitisha sheria ya muungano, huko ndiko kuridhia kwenyewe!, kwa hiyo kwa Shivji, muungano uliridhiwa!.

      12. Aliyekuwa kiongozi wa kambi ya upinzani kwenye BLW, Hon. Abubakar Khamis Bakary ambaye ndie aliyetoa posa ya ndoa na CCM kule BLW na kuunda SUK ambapo kama mshenga, amezawadiwa uwaziri wa sheria anapingana na Prof. Shivji kwa kusema kuwa sheria ambayo haikutungwa na BLM wala haikupitishwa na BLM, sio sheria halali kwa Zanzibar!.

      13. Pamoja na Kutofautiana na Shivji kuhusu uhalali wa ratification, lakini Mhe. Bakari anakubaliana na Shivji kuwa muungano ni halali, kwa sababu, licha yakutokuwepo official ratification kutoka Zanzíbar, hakuna Wanzanzibari wowote waliochukua hatua zozote za kupinga au kulalamika, hivyo hiyo ni dalili kuwa Wanzanzibari wameukubali muungano impliedily not expressly!.

      14. Mwanasheria mwingine wa Zanzibar, al maaruf, Ali Salehe, mwandishi na mtangazaji wa BBC, yeye anashikilia, kwa kwa vile muungano haukuridhiwa, lazima uridhiwe ili kuupa nguvu ya kisheria Zanzibar!. Hivyo anasema ratification ifanyike!. Na hapa ndipo na mimi niliposimamia kuwa Wanzanzibari wafanye ratification kama kweli hawautaki tena muungano, BLW likatae ku ratify ili mlango wa kutokea uwe wazi, wide open!.

      15. Prof. Haroub Othman ametofautiana na Shivji kwa kusema wajumbe wawili wa BLM, Abrahman Mohamed Babu na Khamis Abudulah Ameir, walimweleza kuwa BLM walijadilili hati za muungano na kuridhia! (bila maandishi wala kumbukumbu?). Prof. Haroub anadai siku anaelezwa hayo walikuwa club ya YASU akiwa anacheza na katoto fulani ambacho kalikuwa bado hata hajabalehe, kakiitwa Ali Juma Shamhuna!.

      16. Kufuatia uwepo wa document ya ratification huku bara, na Zanzibar kimataifa ilikufa rasmi siku ile ya April, 26, 1964, hakuna tena anaejali kama hizo ratification documents zili fojiwa huku bara, ndio maana hata tume ya Nyalali, ilizihalalisha na kimataifa everthing is ok na humo humo ndimo hao majasusi wa Marekani, walikolalia na wote wanaoamini muungano uliridhiwa, japo ni kweli kwa bara muungano uliridhiwa kwa kauli na matendo, kwa Zanzibar, uliridhiwa kwa kauli bila matendo!, na sasa tunasikia kauli za kupinga na matendo ya akufukuzaye!.

      17. Kiukweli Karume aliliendesha BLM kibabe sana, yeye kama Rais, Jaji Mkuu na Spika, wale wote waliopingana naye, hakuna ajuaye kilichowakuta ili walishughulikiwa kimya kimya na hata miili yao haikubahatika kuonekena (inasemekana walining’inizwa jiwe shingoni na kutoswa baharini!. Kina Babu kuona hivyo, wakajitimkia zao kabla ya kuwakuta, hayajawakuta. Uvumilivu ulipowashinda waliobaki, nao wakamshughulikia Karume!. (Naamini inteligensia ya Mwalimu alishauona mwelekeo wa Karume kwenye majaaliwa ya muungano, hivyo nae akaacha ya kumkuta yamkute, muungano udumu!.

      18. Baada ya Karume, Aboud Jumbe akaukwaa urais. Dourado akamjulisha Jumbe kuhusu kukosekana kwan proper ratification na iliyopelekwa UN is fake!, wakaandaa document kuujulisha ulimwengu kuhusu hilo!. Seif Sharif akamtonya Nyerere, Jumbe akashughulikiwa ipaswavyo, huku Dourado akaozea jela!. Tukatangaziwa “kuchafuka kwa hali ya hewa Zanzibar” bila kuelezwa kisa ni absence ya proper ratification!.

      19. Wanzanzibar ni watu wazito sana kujifunza, licha ya kujua kilichomkuta Jumbe kilihusu kuutishia muungano, Dr. Salmini nae akataka kucheza karata yake zile siku zake za mwisho mwisho alinukuliwa akisema, wao wanayatambua yale mambo 11 tuu ndio ya halali, hivyo akajenga hoja kubadili katiba aongeze kipindi cha tatu ili ayashughulikie!. Tiss ilimshughulikia yeye na timu yake yote wakatupwa kando!. Hamshaghai kwa nini Salmin baada ya kustaafu hakuitwa popote kuwa mgeni rasmi kwenye shughuli rasmi?, na yule dada yetu naye akaporwa!.

      20.Kupitia hoja hizo na nyingine ambazo sikuzitaja, Mimi Pasco wa JF, kwa Mamlaka niliopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chini ya Kifungu cha "Freedom of Expressions", Sasa Natamka Wazi kuwa Muungano Kati ya Tanganyika na Zanzibar, Haukuwa Ratified Properly in Zanzibar!. Ila pia Nasisitiza, Muungano Huu ni Halali, japo ulikosa uhalali kwa njia ya Expressly in Zanzibar, umepata uhalali huo Impliedly!.


      Angalizo.
      Unaruhusiwa kucoment chochote wakati mada hii ikiteremka, just coments tuu ila naomba sana, maswali juu ya kuhusu hii mada kabla sijafika mwisho, maana sitakujibu mpaka nimalise, ila nikishamaliza sura zote kumi, nitapokea maswali, maoni au mapendekezo. Endepo uliuliza swali kabla sijafika mwisho, na hatimaye ulikuja jibu la swali lako kwenye mada za mbele, sitakujibu upya bali nitakurefer kwenye majibu ya swali lako.

      Hii mada siyo accademic paper, naishusha kwa level ya mwananchi wa kawaida wa Tanzania ambaye ni darasa la saba!. Hata hivyo kwa faida ya wasomi ambao wangependa kuzama deep, mwisho, nitawawekea, references za kusoma zaidi.

      Natanguliza shukrani.

      Pasco.
      Last edited by Pasco; 11th June 2012 at 01:47.

    2. Miaka 50

    3. #81
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Macos
      Hilo ni suala la kihuni na kilevi..lakini ntakujibu hivi..sikuuliza hati yao ya ndoa kwani wote wawili walinipenda na kunipa malezi mazuri na elimu ya kuweza kupambana na maisha.hivyo sikua na sababu ya kuhoji ..lakini wangeniacha na kuhangaika na ulimwengu na kunitupa kama mtoto wa kambo basi nigedai hati kujua kama kweli wao ni wazazi wangu...ama ni mtoto wa kulea ...
      na kama unaleta mfano ndoa katika muungano basi wanandoa wakikosana huachana ....Mkandara ufisadi na uongo na mbini chafu zilizotumikia kufikia muungano ndio mambo ambayo tunataka kuyafuatilia ili mchawi apatikane...
      Ahahaha sawa mkuu wangu kaa lingekuwa swali la kihuni na kilevi mbona umelijibu au nawe mlevi na mhuni kama mimi?.. Tuache mas-hala cheti cha ndoa hakiwezi kukuhakikishia kwamba wao ni wazazi wako kwa sababu sio cheti kinachozaa mtoto bali kitendo cha wazazi wako kukutana kimwili.

      Hivyo hata kama watakutesa watakutenga ythe Only way kwako wewe kuhakikisha kama kweli ni wazazi wako ni swala la wewe mwenyewe kufanya DNA maana mwenye mashaka ni wewe. Na hata ukikuta hawa ni wazazi wako ama sio wazazi wako bado haitajibu swali gumu ambalo wewe unataka kulifanya nalko ni kujikata. Hivyo basi kama unataka kujikata iwe kwa taabu au mafanikio unaweza kabisa kufanya maamuzi hayo bila ruksa yao..

      Na ndivyo tunacvyowaambia ya kwamba Hati ya Muungano baina ya Tanzania na Zanzibar ipo na picha zimewekwa kuonyesha kilichofanyika. Zanzibar wanayo copy yao na Bara na viongozi wetu hawana sababu wala jukumu la kutuonyesha isipokuwa tunaweza kudai kutokuwepo Usiri ktk makubaliano haya kama vile wenzetu Marekani walivyofanya BOFYA japokuwa kizazi hiki hakiwezi kuelewa sababu zilizolazimisha muungano huo ili hata vyuoni wanafunzi wanajifunza sheria wapate kuelewa na wanalinda kitu hiki kwa kupitia sheria uhalali upi. Hata Marehemu Profesa (RIP) aliandika makala zake akijiuliza sababu na utata ulofuatia makubaliano haya..

      Maadam tulishaungana na wengi wetu ni kizaiz cha Muungano huo, uhalali wa ndoa hauwezi kabisa kuleta ufumbuzi wa matatizo ya Wazanzibar wala wabara isipokuwa kero zilizopo ktk muungano kama alivyoanisha Profesa ndizo za kuzitafutia Ufumbuzi na kama haiwezekani ni bora mwenye kuitaka talaka kama kweli ni mawazo ya baraza la Mapinduzi basi wajitoe, na kama ni mawazo ya wananchi wa Zanzibar majibu lazima yatoke ktk kiungo cha Muungano wetu nacho ni Baraza la Mapinduzi. Na amini maneno yangu mchawi sii yeyote bali Ukweli usipokubalika ya kwamba serikali ya Zanzibar ina wenyewe na wenyewe ndio hawataki kabisa kusikia habari za kuvunja Muungano maana ndio hifadhi yao wao..

      Hawa ndio wabaya wao kama sisi tunavyopambana sasa hivi na CCM bara kutokana na imani waloijenga ya kwamba CCM ina wenyewe na wenyewe ndio watawala. Vita hii naweza sema ilianzishwa na CUF kupambana na viongozi wa CCM visiwani hadi kufikia karibu na ushindi lakini kama wanavyodai CCM wana silaha nyingi na za kila aina. Wakawazidi ujanja CUF kwa kujenga chuki baina ya chama hicho na Chadema wakati hawa wote walikuwa na agenda moja.

      Kumwondoa CCM madarakani, hivyo walipojitenga wakifikiria Wazanzibar wanaweza kuwa na UMOJA kudai serikali yao bila kujua kwamba CCM wanajua fika hawakubaliki na wakijitenga CUF itaendelea kupambana na CCM mpya ya Zanzibar sijui wataitwa ASP au nini na uhasama utarudi palepale na itaishia CUF kuchukua madaraka. Hili ni swala ambalo baraza la mapinduzi hawataki kabisa kusikia kama CCM wanavyohaha kusikia Chadema inaweza chukua nchi mwaka 2015.... Akili mu kichwa!
      Pasco and Bantugbro like this.
      Exploration of reality

    4. #82
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,121
      Rep Power : 41569
      Likes Received
      6024
      Likes Given
      1054

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Ndjabu Da Dude
      Serikali ya Tanzania au serikali ya Tanganyika?
      Da Dude,

      Nimemuuliza hili swali Barubaru katika thread nyingine mpaka kakimbia hajajibu.
      Pasco and Ndjabu Da Dude like this.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    5. #83
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By kwamwewe
      Hukunijibu hili suali! umegeuka komba kula embe hili kidogo na lile kidogo japo hana njaa lakini aharibu tu huku akirukia matawi mengine

      suali:

      Huo muungano uliosema wa OAU wapi umeona TRA / VAT wanakwenda asubuhi kwenye nchi wanakusanya pesa yote ya kodi jioni wanarudi Dar-salaam na vikapu vyao vya pesa. mwisho wa mwezi nchi mnaipa 4% ya hiyo pesa ??? huu kama si umafia ni kitu gani?? Hata mkoloni mweupe alikuwa hafanyi wizi huu

      Mkiambiwa mnakuja juu ahhh! hizo ni kero za Muungano , Kwa Mtindo huu kweli vijana wameamua na msifanye mchezo

      Tuje hapo uliporukia :

      Alikuambia nani maneno hayo , Okello au baba yake Okello , kwa vile hakujua kuandika ndio serikali ikaogopa watu kuutambua ukweli ikapiga marufuku hicho kitabu???

      By the way, hata Thabit Kombo hakuandika kitabu ameandikiwa , nikuulize alifika darasa la ngapi???
      au kitabu chake tusikisome???

      Hayo unayoyaandika umeyatoa kitabu gani ??? HAYO MAANDALIZI YALIKUWEPO ZAMANI NI KWELI NA YANAENDELEA


      Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.


      ANGALIA HUU MKANDA PIA

      Imani Petro Mbinu za makafiri 5 13 - YouTube
      KAMwewe, mkuu wangu badop huelewi ya kwamba kuna tofauti baina ya JUMUIYA na MUUNGANO? - Jumuiya ya AU au UN ni kama chama unakubaliwa kujiunga wewe na kwa kila treaties unaweza jiunga au kutojiunga..Lakini Muungano wa nchi hii sio chama ni UNDSUGU kama kula yamin vile hivyo undugu huo hauna mashatri zaidi ya kukubaliana na kupangiana majukumu, mamlaka na kadhalika wakati ktk JUMUIYA hakuna kupangiana mamlaka.


      Na uposema ya kwamba TRA wamekwenda kukusanya pesa kisha jioni wanaonsddoka na makapu ya fedha kwenda dar... pengine hili ungenifafanulia zaidi maanake sisi wenyewe huku tunatuma mizigo yetu Zanzibar ambako kuna ushuru nafuu kuliko badari ya tanga au Dar na tukisha pitisha zanzibar tukifika Dar tunalipishwa tena iweje kuwepo na utaratibu huu ikiwa wausanyaji wa ushutru wanatoka bara. Ebu nijuze pengine tunaibiwa kweli na tuanzishe kelele za mafisadi wanaotutoza ushuru mara mbili mbili..
      Pasco and Bantugbro like this.
      Exploration of reality

    6. #84
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3271
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      916

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Mimi ni mmoja wa wale wanaotaka Muungano huu ufe moja kwa moja; huwa sipendi marudio. Nataka ufe, siyo kwa sababu Muungano huo ni mbaya au muungano huo siyo halali bali ni kwa sababu muungano huu unasababisha watu watumie nguvu kubwa kushughulikia jambo ambalo halina maana kabisa katika maisha ya kawaida ya mwananchi wa leo. Ndugu zangu wengi pale Isevya hawajui hata ilipo Zanzibar zaidi ya Singida, lakini wana matatizo mengi yanayotakiwa kushughulikiwa na serikali ambayo inajikuta inatumia raslimali zake kutetea muungano badala ya kuwatumikia raia wake. History has never been wrong; kama Muungano huu ni mbaya au ni mzuri basi historia itaonyesha hivyo huko mbeleni. Tuliwahi kuwa na Jumuia ya Afrika Mashariki huko nyuma, wakatokea watu wa aina hii hii ya leo na kuiua jumuia hiyo, halafu eti leo ndio wanakurupuka kwa nguvu sana kuitaka jumuia hiyo hiyo irudi tena. Nimekuwa nafuatlia kwa makini sana jinsi Tanzania inavyojiingiza katika jumuia hiyo kutokana na sababu za kihistoria, na nadhani iwapo mwenyezi Mungu atanipa uhai wa kutosha, nitapenda nione pia nchi hizi zinaendelaje baada ya kuvunja muungano wao.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    7. #85
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,121
      Rep Power : 41569
      Likes Received
      6024
      Likes Given
      1054

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Where did you get the assertion that "ni lazima ifanyike kwa maandishi na siyo kwa kauli"? Sheria gani ya Kimataifa inayosema hivyo or this is your construction based on a false premise - kwa vile mikataba yote ya kimataifa ni ya kimaandishi vivyo hivyo...


      How did you get this conclusion kuwa ni 'lazima' iwe?
      This borders the pedantic (not as a compliment), but could be argued to be central, in context.For it could nullify the need for written ratification on the Zanzibar part, which, at least in the letter of the law, has been argued to be a pitfall of the Union. Of course I am not sure we even have recordings of any formal oral agreement, which introduces quite another animal. Let alone the consideration of the difference between a plain vanilla bilateral treaty compared to a union of two countries, whose jurisprudence could still require a higher level of fidelity.

      Furthermore, the spirit of the law calls not only for a ratification, but ample justification and adequate involvement of the populations. Hence my call for a national referendum.

      Sir Gerald Fitzmaurice posed a similar question regarding the lack of some aspects of formalism in the Vienna Convention on the Law of Treaties of 1969 (which Tanzania is party to, signatory and ratifier ) as demonstrated by the various then pre-existing notes verbales. See the matter of the Norwegian Minister of Foreign Affairs, Mr. Ihlen, made on behalf of his government "in response to a request by the diplomatic representative of a foreign power" on a matter regarding The Legal Statuses of Eastern Greenland". The Permanent Court of International Justice considered the "Ihlem Declaration" binding upon Norway without expressly pronouncing on th legal status of the declaration, it is considered by scholars as a case of bilateral agreement.

      The ground here is murky indeed. More updated input and cases of precedents are needed.

      See The Vienna Conventions on the Law of Treaties: A Commentary - Olivier Corten, Pierre Klein - Google Books

      The Vienna Convention on The Law of Treaties, pp 39 Corten, Oliver. Klein, Pierre
      Last edited by Kiranga; 11th June 2012 at 21:22.
      Pasco likes this.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6152
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Pasco I hope umemaliza hilo darasa ulilotutisha nalo. Kama umemaliza basi umeshindwa kabisa kuonesha kuwa BLM halikuridhia muungano. Inaonekana umetafsriri kwa Kiswahili maandishi ya watu wengine ambayo umeshindwa kuyawekea shaka ya kisomi. Umeyakubalikuwa ni kwel bila kuyahoji na kutuletea tuyaamini kuwa ni kweli.
      Mzee Mwanakijiji, ni kweli nimemaliza on ratification. Namalizia zilizobakia kwa para moja moja ndipo nianze kujibu maswali.

      Ni kweli nimefanya tafsiri tupu maandishi ya wengine pasi kuyatilia shaka na japo mashuhuda wa Zanzibar wamebaki wawili, sijapanga hata kuwatafuta kwa sababu sitegemei ukweli wowote tofauti na huu iliokwisha andikwa!.

      Nasubiria somo la ratification kwa kauli tuu bila process wala maandishi!.

      Pasco

    10. #87
      Bantugbro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2009
      Posts : 2,410
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      487
      Likes Given
      1492

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Quote By Pasco
      4. Kila mtu anaelewa Mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, ulitiwa saini na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Abeid Amani Karume, Aprili 22, 1964.
      Asante Pasco inatosha, zaidi ya hapo ni kutaka kujikuna pale mkono wako usikofika...
      Pasco likes this.
      Just because presidents screws around, it doesn't make a president for screwing around..

    11. #88
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16345
      Likes Given
      8417

      Default

      Quote By Pasco
      Mzee Mwanakijijib, ni kweli nimemaliza on ratification. Namalizia zilizobakia kwa para moja moja ndipo nianze kujibu maswali.

      Ni kweli nimefanya tafsiri tupu maandishi ya wengine pasi kuyatilia shaka na japo mashuhuda wa Zanzibar wamebaki wawili, sijapanga hata kuwatafuta kwa sababu sitegemei ukweli wowote tofauti na huu iliokwisha andikwa!.

      Nasubiria somo la ratification kwa kauli tuu bila process wala maandishi!.

      Pasco
      Hili la ratification ninawaachia nyie la kwangu litakuwa kubea kidogo.
      Pasco likes this.

    12. #89
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,533
      Rep Power : 1803
      Likes Received
      2449
      Likes Given
      2491

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Pasco, kumbuka kuwa in situations where a new parliament has not been organized, the will of the government is implemented by decrees of the president. Hivyo baada ya mapinduzi na katiba ikiwa imesimamishwa, ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali was irrelevant kama zilivyokuwa bunge, mahakama na mihimili mingine ya dola. Lazima ukumbuke kuwa serikali iliyokuwa imeundwa na Shamte chini ya Sultani, ilikoma tokea usiku wa tarehe 12 Januari, 1964 sasa huyo Dourado angefanya kazi chini ya katiba ipi?
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    13. #90
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6152
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By Bantugbro
      Asante Pasco inatosha, zaidi ya hapo ni kutaka kujikuna pale mkono wako usikofika...
      Bantugbro, nakuunga mkono, wewe soma na meza yale tuu yanayomezeka kwako, yake usoweza kumeza yateme tuu na kuyahesabu kuwa ni sehemu ya Alfu Lela U-Lela za muungano!.

      Wazanzibar wendawazimu waliochoma makanisa wanasahau jemedari wao mkuu wa mapinduzi yale ni Mkristu John Okello akisaidiwa na Eddington Kisasi!. Dhambi ya ukosefu wa fadhila itawatafuna mpaka basi!.
      Bantugbro likes this.

    14. #91
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3271
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      916

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Tunapokuwa tunajadiliana uhalali wa Muungani tusiesahu kuwa pia tunakuwa tunafungulia a can of worms.

      (a) Serikali halali ya Zanzibar mwaka 1964 huo wa muungano haikuwa ile ya Baraza la Mapinduzi la akina Karume na rafiki zake kwa vike baraza lile halikuchaguliwa na wananchi bali walijichukulia madaraka kwa nguvu. Mapinduzi yale hayakupigiwa kura ya maoni na wananchi wa Zanzibar, yalitokea ndani ya siku mia moja tu tangu serikali halali iliyokuwa imechaguliwa na wananchi ikae madarakani. Mwaka 2007, niliweka article moja pamoja video fulani hapa JF iliyokuwa inayonyesha kuwa mapinduzi yale yalikuwa ni ya kinyama na haramu.

      (b) Baada ya mapinduzi hayo kufanyika, katika kipindi ambacho muungano ulifanyika, Zanzibar haikuwa na katiba na wala hakukuwa na utaratibu wa kisheria kuhusu nani mwenye madaraka yapi; baraza la mapinduzi na Karume ndio waliokuwa mwanzo na mwisho katika serikali hiyo ya mapinduzi ambapo uamuzi wa Karume ulikuwa ni final. Mwenye nakala ya Katiba ya Zanzibar yenye kuonyesha mipaka ya madaraka ya Karume katika kipindi hicgo aitoe hapa tuone ni wapi Karume alipokiuka madaraka yake.


      Pamoja na kuwa na uhakika kuwa katika mazingira tuliyopatia Muungano huo kila kitu kilikuwa ni halali, nimechoshwa sana na manung'uniko ya muungano huo kiasi kuwa ninataka tuuvunje sasa hivi ili tuhamishie nguvu zetu katika mambo ya maana zaidi. wakati mwingine huwa inainudhi sana kuwa wazenj wote tuliosoma nao UDSM waliporudi kwao wakateuliwa mara moja kwenye nyadhifa kubwa sana ndani ya serikali ya muungano kutokana na uchache wao wakati sisi watanganyika hatukujulikana popote kwenye system hiyo pamoja na kuwa baadhi yetu tulikuwa tunawapiga tutorial baadhi ya wazenj hao walioibuka kuwa na madaraka makubwa juu yetu.

      Watu wengi tuna tabia ya kualaumu wengine kwa mapungufu yetu, kwa hiyo nadhani kuwa kuondoka kwa muungano huu kutasaidia sana kuondoa kisingizio kimojawapo cha mapungufu yetu.
      TIMING and Pasco like this.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    15. #92
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6152
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By Mag3
      Pasco, kumbuka kuwa in situations where a new parliament has not been organized, the will of the government is implemented by decrees of the president. Hivyo baada ya mapinduzi na katiba ikiwa imesimamishwa, ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali was irrelevant kama zilivyokuwa bunge, mahakama na mihimili mingine ya dola. Lazima ukumbuke kuwa serikali iliyokuwa imeundwa na Shamte chini ya Sultani, ilikoma tokea usiku wa tarehe 12 Januari, 1964 sasa huyo Dourado angefanya kazi chini ya katiba ipi?
      Mkuu Mag3, jurisdiction ni terirorial!, Hakuna ubishi baada ya mapinduzi, Karume ndio alikuwa kila kitu, ila jurisdiction yake kwenye decrees inaishia Zanzibar kwenye teritorial iliyokuwa Jamuhuri ya Watu wa Zanzibar!.

      Chochote alichokifanya alifanya kama Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na kiliandikwa kama decree, kwa vile yeye ndiye alikuwa kila kitu, ule mkataba wa muungano umesainiwa kwake Zanzibar ile tarehe 22 April 1964 na ulibaki kwake!. Kwanini asiitishe kikao cha BLM na kuwaamuru wapitishe ratification ili ile siku ya muungano angekuja na ratified contract na decree yake hata kama angeipitisha yeye mwenyewe tuu lakini ratification ingetoka Zanzibar accompanied by a decree na ingetangazwa kwenye Zanzibar Gazette!.

      Kitendo cha kuibukia bara na ratification iliyoandaliwa bara bila any reference ya BLM na sheria hiyo ikatungwa bara na kusainiwa bara na kurekodiwa na GN ya bara, was not proper kwa sababu kabla ya muungano uwezo wa kisheria wa Karume kuhusiana na sheria za ndani, uliishia kwenye mipaka ya Zanzibar!. Hivyo ile ratification aliyoifanya Dar ilikosa uhalali wa kisheria kule Zanzibar na hili lilikuwa ni jambo dogo tuu la kulihakalisha kisheria kwa Zanzibar kurekodi kwenye miniti za BLM, kulitungia Decree na kurekodi kwenye Zanzibar Gazette!.
      TIMING likes this.

    16. FJM
      #93
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2567
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Pasco, bado nasubiri makaratasi to substantiate your claim(s), kuanzia kule kwa 'puppets' hadi huku unakosema kuwa Zanzibar haikuridhia. So far, naona kama unaungaunga story sana and I expected a very rich essay yenye viambatinishi. Sijui hata unapeleka wapi huu mjadala kwa sasa? Do you still have something in store for JF au ndio umemaliza?
      Pasco likes this.

    17. #94
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6152
      Likes Given
      22273

      Default

      Quote By FJM
      Pasco, bado nasubiri makaratasi to substantiate your claim(s), kuanzia kule kwa 'puppets' hadi huku unakosema kuwa Zanzibar haikuridhia. So far, naona kama unaungaunga story sana and I expected a very rich essay yenye viambatinishi. Sijui hata unapeleka wapi huu mjadala kwa sasa? Do you still have something in store for JF au ndio umemaliza?
      Mkuu FJM, unasubiri viambatishi as if ndio nafanya submition kwani hapa ni mahakamani?, au niweke reference kama academic presentation?.

      Kwa ratification ndio nimemaliza, just pick whatever makes sense to you, points ambazo they don't make sense, just regard them as Alfu Lela U-Lela za siasa za Zanzibar!. If nothing makes sense at all just moves on!.
      Mzee Mwanakijiji and TIMING like this.

    18. #95
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,914
      Rep Power : 24137
      Likes Received
      4638
      Likes Given
      2628

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Aliyetuwekea bahari kati yetu alikuwa na akili nyingi sana kuliko Karume na Nyerere
      Pasco likes this.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    19. #96
      Taso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2010
      Posts : 1,174
      Rep Power : 794
      Likes Received
      308
      Likes Given
      121

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Uliridhiwa na Baraza la Mapinduzi, Zanzibar, April 22, 1964.
      Tuonyeshe record yeyote ya Baraza la Mapinduzi (ki memo, barua, minutes za kikao , tamko, shairi, decree (sheria), n.k.) inayosema "Sisi Baraza la Mapinduzi tumeridhia Muungano."
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.

    20. #97
      chipanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 263
      Rep Power : 492
      Likes Received
      37
      Likes Given
      30

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Quote By Pasco
      Wanabodi,

      Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, ni mkataba halali wa kimataifa wenye sifa muhimu za mkataba, japo una mapungufu mengi kubwa likiwa ni kitu kinachoitwa "Privity of Contrac" ambapo mkataba ulikuwa kwa lugha ya Kiingereza na signatory mmoja alikuwa msomi anaejua kusoma na kuandika kiingereza, wakati signatory wa pili hakujua kusoma, kuandika wala kiingereza, hivyo alisaini kwa dole gumba!.
      Natanguliza shukrani.

      Pasco.

      Hahahaha! ......mkuu Pasco umenifurahisha sana!
      Attached Thumbnails  
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.

    21. #98
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,081
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6013
      Likes Given
      6847

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By bumes
      pasco go and advise the zanzibari all your findings, God knows the end of it all.


      To me all those things are irelevant what people need to say is that we are no longer confortable with this Muungano so we have decided to detach ourselves from it.


      Suppose there is a referendum and 51% zanzibari says we dont want Muungano and 49% says they need it how are you going to treat the minority, are going to ingnore them?.


      Kuubuka Mwalimu Nyerere alisema zambi yakujitenga hayitakufa bali yitaendelea. To me I can say he prophesized, there is every possibility that Muungano shake maybe even break, the milk and honey people hope for will end up a nightmare.

      Best of lucky
      hivi kuna hasara gani ya kutengana iwapo kila mmoja ataendelea vizuri zaidi ya kuwa kwenye muungano??

      what do we learn from russia and from smaller countries of 1M or 500,000 people??

      is there any lesson from rwanda kulinagnisha na kongo?? if congo ingetoa nchi nne, hali bado ingekua ile??

      and who brought the borders??
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    22. #99
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,081
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6013
      Likes Given
      6847

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Quote By FJM
      Pasco, bado nasubiri makaratasi to substantiate your claim(s), kuanzia kule kwa 'puppets' hadi huku unakosema kuwa Zanzibar haikuridhia. So far, naona kama unaungaunga story sana and I expected a very rich essay yenye viambatinishi. Sijui hata unapeleka wapi huu mjadala kwa sasa? Do you still have something in store for JF au ndio umemaliza?
      i have never loved pasco's posts more than in this thread

      some of the things you want to see is just like trying to put pasco kwenye ile other side of the scenario awe mmiliki wa nyara.... thats not the way
      FJM likes this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    23. #100
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,914
      Rep Power : 24137
      Likes Received
      4638
      Likes Given
      2628

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Taso
      Tuonyeshe record yeyote ya Baraza la Mapinduzi (ki memo, barua, minutes za kikao , tamko, shairi, decree (sheria), n.k.) inayosema "Sisi Baraza la Mapinduzi tumeridhia Muungano."
      Bahati mbaya wajumbe wengi wa baraza hilo hawakusoma

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...