Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 103
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Wanabodi,

      Kufuatia chokochoko ya kuuchokoa Muungano ilioanzishwa na kikundi cha Uamsho huko Zanzibar, zimeanza kutolewa hoja mbalimbali ikiwemo Watanzania tupewe fursa kuujadili Muungano na ikibidi ipigwe kura ya maoni kuwauliza Watanzania na Wanzanzibari kama wanautaka muungano, jee wanataka muungano wa aina gani, na endapo hawautaki, process ya kuuvunja rasmi aianze.

      Wako wengi wanaupenda muungano na wangependa uendelee ila uboreshwe!. Pia wako wanao ona sasa imetosha na muungano uvunjwe!.

      Maudhui ya mada hii ni kuwaeleza wanabodi, jambo muhimu liitwalo "kuridhia" ambapo serikali zote zilipaswa kuuriidhia huo muungano kwa utaratibu unaoitwa "RATIFICATION" ambapo ni serikali ya Tanganyika pekee ndio iliyofanya process rasmi ya "ratification", Zanzibar, haikufanya process bali ilitamka tuu kwa maneno ya mdomo bila tamko lolote rasmi la maandishi, na badala yake, hati ya ratification ya Zanzibar, iliwasilishwa kwenye bunge la Tanganyika na dunia kutangaziwa muungano uliridhiwa pande zote!.

      Kwa vile Zanzibar, haikuuridhia rasmi Muungano, kama ni kweli hizi chokochoko za Uamsho ni uthibitisho kuwa sasa Zanzibar inataka kujitoa katika muungano wetu huu adhimu, kisheria, mlango uko wazi, yaani wide open for Zanzibar to just walk out, with no regret and no strings attached kwa sababu hawakuuridhia ule mkataba wa muungano in then first place!, hivyo mkataba huo hauko binding kwao!.

      Mada yangu hii inakuwa na sehemu zifuatazo.

      1. Kuridhia ni Nini (Ratification).
      2. Rafication Hufanyikaje.
      3. Mikataba ya Kimaifa ni nini? na Jee Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni Mkataba wa Kimataifa?.
      4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
      5. Process ya Ratification kwa Upande wa Tanganyika.Process ya Ratification kwa Upande wa Zanzibar.
      6. Hadaa ya Ratification ya Zanzibar, ilipangwa na nani na kwa nini?.
      7. Kukosekana kwa ratification upande wa Zanzibar kunamaanisha nini.
      8. Pamoja na kutokuwepo ratification, Jee Muungano ni halali?
      9. A Way Forward 1:Tudumishe Muungano?, Muungano wa Aina Gani?.
      10. A Way Forward 2:Tuuvunje Muungano?. What are the Consequences?.

      1. Kuridhia ni Nini (Ratification).
      Kuridhia, au ratification, ni process inayofanywa kwa nchi husika kuridhia mikataba ya kimaifa ili kuipa uhalali wa kisheria kutumika katika nchi husika. Mfano mzuri ni mkataba wa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ni nchi, na Zanzibar ni nchi, hivyo ule mkataba wa muungano ni mkataba wa kimataifa.

      Jee kila mkataba wa kimataifa ni lazima uridhiwe?. Jibu ni hapana, sio kila mkataba wa kimataifa ni lazima uridhiwe, ili mkataba wa kimataifa uridhiwe lazima mkutaba husika uwe na kipengele kinacholazimisha mkataba huo kuridhiwa. Tukirudi kwenye mfano wetu wa mkataba wa muungano, kipengele cha VIII cha Articles of Union, kinalazimisha process ya ratification lazima ifanyike ili kuuhalalisha mkataba ule.

      (viii) These Articles shall be subject to the enactment of laws by the Parliament of Tanganyika and by the Revolutionary Council of the Peoples' Republic of Zanzibar in conjunction with the Cabinet of Ministers thereof, ratifying the same and providing for the Government of the united Republic and of Zanzibar in accordance therewith.


      Nyerere na Karume wangeweza kuamua wakishasaini makubali yale iishie hapo, ingekuwa hivyo hivyo hitaji la kuridhia lisingekuwepo!.

      2. Rafication Hufanyikaje?.
      Kwa vile mikataba yote ya kimataifa ni lazima iwe ni ya maandishi, vivyo hivyo, ratifikation lazima ifanyike kwa maandishi na sio kwa kauli.

      Kwa bunge letu, masharti ya kuridhia hufanywa kwa mujibu wa kifungu cha 63(3)(e) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kinachotamka kuwa, Bunge litajadili na kuridhia Mikataba yote inayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa na kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni ya 114(11) ya 2007.
      1. Waziri husika huwasilisha mezani kwa spika mkataba husika
      2. Spika ataipa kamati husika kupata maoni yake
      3. Kambi ya upinzani itapewa fursa ya kuandaa maoni yake.
      4. Mkataba huo utatangazwa rasmi kwenye order paper ya siku ya kuwasilishwa
      5. Waziri atawasilisha, kisha maoni ya kamati, maoni ya kambi ya upinzani na majadiliano.
      6. Bunge litakaa kama kamati kupitia kifungu kwa kifungu
      7. Bunge litarudi kama bunge na kuridhia mkataba husika
      8. Mkataba huo unakuwa sehemu ya sheria za nchi,
      9. Unasainiwa na rais na kutangazwa katika gazeti za serikali GN.
      10.Ndio unakuwa umeridhiwa, yaani ratified!.

      3. Mikataba ya Kimaifa ni nini? na Jee Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni Mkataba wa Kimataifa?.
      Mkataba wa Kimataifa, ni mkataba kati nchi moja na nchi nyingine, au mikataba yote ya jumuiza za kimataifa ambayo nchi ama hutakiwa kuridhia, au kulazimishwa kuiheshimu hata kama haikuridhia. Mikataba hii au itifaki mbalimbali (protocals), hupaswa kuridhiwa kabla haijawa sheria kwa nchi husika.

      Mfano Tanzania iliridhia mkataba wa mahakama ya kimataifa ya Biashara, ICC. Dowans iliposhinda ile kesi, imepaswa kuisajili hukumu hiyo kwenye mahakama zetu (ratification), ili hukumu hiyo igeuke sheria zetu, (domestic law) na kutekelezwa. Watu humu walipiga sana kelele, nilipouangalia mkataba ule humu jf, nikawaambia wana jf wenzangu, hatuna pa kutokea, tozo ile italipwa tuu mara baada ya tozo hiyo kusajiliwa, kinachoendelea sasa ni delaying tactics ambayo nayo tutailipia dearly!.

      Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, ni mkataba halali wa kimataifa wenye sifa muhimu za mkataba, japo una mapungufu mengi kubwa likiwa ni kitu kinachoitwa "Privity of Contrac" ambapo mkataba ulikuwa kwa lugha ya Kiingereza na signatory mmoja alikuwa msomi anaejua kusoma na kuandika kiingereza, wakati signatory wa pili hakujua kusoma, kuandika wala kiingereza, hivyo alisaini kwa dole gumba!.

      Ufafanuzi zaidi kuhusu Muungano kuwa ni mkataba wa kimataifa, unapatikana pia katika ukurasa wa kwanza wa andiko la
      Prof. Shivji kwenye kitabu cha "The Legal Foundation of the Union in Tanzania and Zanzibar Constitution, DUP, 1990.

      Kwa faida ya wasoma kimombo, tembelea
      http://www.scribd.com/doc/45109599/T...A-AND-ZANZIBAR

      4. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
      Kila mtu anaelewa Mkataba wa Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, ulitiwa saini na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Abeid Amani Karume, Aprili 22, 1964, Mjini Zanzibar Hapa nitawapa tuu ilivyokuwa kabla na kilichofuata.
      Baada ya Mapinduzi ya Zanzibar, na Nyerere kumsaidia Karume kumshughulikia Johh Okello, Karume alikuwa bado ana wasiwasi wa kudumu kwake kama Mwenyekiti wa BLM, kwa kuzingatia Karume hakushiriki mapinduzi yale, Kiongozi wa mapinduzi alikuwa ni John Okello, Karume alikimbilia bara kujificha! (Japo ilikuja kutangazwa ati alikuwa akiwapeleka wanae Amani na Ali waliokuwa wakisoma kwao Karume (Malawi). Okelo ndie alikuwa Mwenyekiti wa BLM na alimuita Karume kuwa mtangazaji kufuatio kuwa na Kiswahili safi. Karume akamzunguka Okello na kwa kusaidiwa na Nyerere, Okello alishughulikiwa na Karume kuitwaa nafasi ya Mwenyekiti wa BLM!.Kwa vile Karume hakushiriki actively kwenye mapinduzi halisi, alikuwa na wasiwasi wakati wote kuwa wale makamanda wangemrudi!, thanks kwa ulinzi wa askari 300 wa Nyerere, vinginevyo hata hiyo 1971, asingefika!.

      Mwezi Machi, 1964, Nyerere alizungumza na Karume kuhusu Muungano, Karume alikubali hapo hapo na kutaka Press Conference iitishwe siku hiyo hoyo watangaze kuwa wameshaungana na kuwa nchi moja, Nyerere Rais, Karume Makamo. Mwalimu alimgomea Karume na kumwambia afanye siri ili taratibu zifuatwe.

      Mwanzoni mwa Aprili, Mwalimu alimuita AG waTanganyika, Rowland Brown na kumwambia aandae mkataba wa muungano na uwe siri. Kule Zanzibar, Karume akampa likizo AG wa Zanzibar, Wolfgang Dourado ili isitie kauzibe. Akatafutwa Mwanasheria wa Uganda, Daniel Wadada Nabudere (kakaye mwandishi mashuhuri, David Wadada Nabudere) kutoa ushauri kwa Karume kuhusu muungano.

      Tarehe, 22 April, 1964 Nyerere aliyeandamana na Rashidi Kawawa, Oscar Kambona na Job Lusinde walitua ghafla Zanzibar na kwenda moja kwa moja Ikulu ya Zanzibar, wakiwa na hati za muungano na Karume alitakiwa azisaini. Wakati wa utiaji saini huo, ulishuhudiwa pia na Abdallah Kassim Hanga, Abdul-Aziz Ali Twala na Salim Rashidi.

      Karume alitaka kumtumia mwanasheria huyo wa Uganda kusaini kwa niaba ya mwanasheria mkuu wa Zanzibar, ila Nabudere akakataa na kusisitiza lazima zisainiwe na Mwanasheria wa Zanzibar!. Ndipo Rowland Brown akatinga na Solicitor General wa Tanganyika, PRN Fifoot aliyesimama nafasi ya Dourado!. Hati za muungano zikasainiwa!. Baada ya hapo Nyerere na ujumbe wake wakawaa pipa lao na kurejea Dar!.

      Mkumbuke mpaka Karume anasaini, hajaliambia chochote BLM, siku hiyo jioni Aboud Jumbe aliyekuwa Pemba, ndipo akaelezwa na Karume kilichotokea asubuhi, akashangaa sana!. Jambo kubwa kama hilo limefanyika vipi, BLM, hawajui kitu!.

      Ni baada ya kusainiwa, Bunge la Tanganyika likatunga sheria ya Muungano, ili kuuthibitisha hati zile, 'ratification', na BLM nalo lilipaswa kukaa na kuridhia hati zile!.

      Muungano Ulithibitishwa rasmi na Bunge la Tanganyika kwa kutungiwa sheria na na ikatolewa uthibitisho mwingine uliosainiwa na Fifffoot kuonyesha kuwa BLM liliketi na kuridhia, lakini kiukweli BLM halikukaa, kujadili, wala kupitisha chochote kule Zanzibar!. Kila kitu kilifanywa bara!.

      Aprili 27, 1964 Nyerere na Karume, walitinga katika ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Dalaam kubadilishana hati za Muungano zilizosainiwa na Nyerere na Karume, na documents za ratification na tangu hapo Tanganyika na Zanzibar kuwa dola moja kwa misngi inayotambulika kimataifa. Baada ya kuungana, Mwalimu Nyerere alikuwa rais wa kwanza na Karume alikuwa makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

      Siku hiyo ya Aprili 27, 1964 ndio siku wajumbe saba wa Baraza la Mapinduzi waliapishwa kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Watanganyika na Zanzibar ambao ni Amani Karume, Kassim Abdallah Hanga, Abdulrahman Babu, Hassan Nassor Moyo, Aboud Jumbe, Hasnu Makame na Idris Abdul Wakil. Kati yao, Aboud Jumbe na Hassan Nassor Moyo wangali hai. Baada ya hapo, Bunge la Muungano likakamata madaraka yote!.

      5. Process ya Ratification kwa Upande wa Tanganyika.Process ya Ratification kwa Upande wa Zanzibar.
      1.
      Msingi mkuu wa ratification mkataba wa muungano ni kifungu hiki kwenye hati za muungano.

      Article VIII of the Articles of Union provides:“ These Articles shall be subject to the enactment of laws by the Parliament of Tanganyika and by the Revolutionary Council of the Peoples Republic of Zanzibar in conjunction with the cabinet of ministers thereof, ratifying the same and providing for the Government of United Republic and of Zanzibar in accordance therewith2. Lengo la kifungu hicho, ni kwa vile muungano ni mkataba wa kimataifa, ili mkataba huo upate uhalali wa kisheria katika nchi husika, lazima mkataba huo uridhiwe na nchi husika, hivyo kifungu hicho kilimaanisha bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi, walipaswa waridhie mkataba huo kwa kuutungia sheria mahsusi ili kuuhalalisha kisheria ndani ya nchi zao!.

      2. Kuridhia au kutoridhia, hakuondoi uhalali wa mkataba, bali unaondoa uhalali wa kisheria, pale yule ambaye alikosa uhalali wa kisheria pale mwanzo, akiamua hautaki tena ule mkataba, hawajibiki kuuvunja mkataba, but he can just walk away!.

      3. Baada tuu ya hati za Muungano kutiwa saini ile Aprill 22 kule Zanzibar, Mwanasheria Mkuu Tanganyika enzi hizo, Rowland Brown aliandaa ratification na kupelekwa kwenye kikao cha bunge la Tanganyika, likapitisha ratification ile asubuhi ya Aprili 26, 1964 kwa kutunga sheria No. 243 ambayo ilitangazwa kwenye gazeti la serikali ya Tanganyika, GN No. hivyo kutimiza matakwa ya kile kifungu namba viii cha mkataba wa muungano.

      4. Wakati hayo yakiendelea huku Tanganyika, Zanzibar nao kupitia Mwanasheria Wake Mkuu, Wolfgang Dourado, alipaswa kuandaa hiyo sheria ya ratification kule ikiitwa Decree, ili Baraza la Mapinduzi likae na kuipitisha hivyo kuutambua rasmi muungano kisheria. Hili halikufanyika lkwa sababu Dourado alipewa likizo ya siku 7 akapumzike nje ya nchi!. Aliporudi, seven day leter, akakuta game over!. Akaishia kulalamika kichini chini maana angetoa sauti, sijui kama hata unywele ungepatikana!. Ushahidi ni kauli ya Dourado Mwenyewe “I myself have been the Zanzibar Attorney General and Minster responsible for justice between 1984 and 1989. At that time I managed to peruse all the statute books of Zanzibar from 1964 and 1979 when the Revolutionary Council was acting as a legislative Assembly cum the Cabinet. No ratification law or any law to that effect is there. I was not myopic, but even if I was, the first Attorney General of Zanzibar after the Revolution had also testified the same that no law ratifying the Articles of unionexists on the Statute Books of Zanzibar.” Dourado aliyasema hayo katika andiko lake la “The Consolidation of Union” alilowasilisha kwenye semina ya Tanhanyika Law Society, Julai 7, 1983 hapa jijini Dar es Salaam.

      5. Mpaka Mungu amemuita Dourado mbele ya haki, msimamo wake ulikuwa “No law ratifying the Articles of the union of 1964 exists on the statute books of Zanzibar., I as a Principal Legal adviser to the Zanzibar government was not consulted ……… Zanzibar therefore did not have legal or constitutional advice from its Principal Legal adviser.”

      6. Badala yake, Solicitor General wa Tanganyika, PRN Fifoot ndiye alieandaa ratification document ya Zanzíbar ambayo aliisaini yeye na kumpatia Karume ile April, 27, 1964, Karume aiwasilishe kwenye bunge la Tanganyika ile siku Nyerere na Karume walibadilishana hati pale Karimjee. Hati ya aliyoiwasilisha Nyerere was a genuine ratified document iliyokuwa ratified na bunge la Tanganyika!. Hati aliyowasilisha Karume, was a fake one as if ni BLM ndilo nalo limefanya hiyo rafication kama lilivyofanya bunge la Tangayika!, It was just a make belive, kuizuga jumuiya ya kimataifa na hapo ndipo hata hao CIA na iteligensia yao wakaingizwa chaka na kubaki kupiga tarumbeta ya ratification kuwa ilifanyika!.

      7. Hata kama Fifoot aliiandaa hiyo ratification ya Zanzibar, kwa nini hakumpa Douradau naibu wake, ili aisaini na kuipitisha kwenye kikao cha BLM ili angalau ionekane ilipitishwa Zanzibar?!.Kwa vile Zanzibar hawakuwa na bunge, Baraza la Mapinduzi ndilo lililokuwa Bunge, Baraza la Mawaziri na Mahakama, kwanini ile ratification iliyoandaliwa bara, isipelekwe tuu na kupigwa rubber stamp kwenye BLM ili kuipa uhalali kuwa ni kweli BLM waliridhia na kuratify?!.

      8. Siku ile ya April 27, 1964, wakati Nyerere na Karume walipotinga ndani ya bunge la Tanganyika, kubadilishana hati za muungano zilizo kuwa ratified,Nyerere aliwasilisha hati halali ya muungano ilikuwa ratified kihalali na bunge la Tanganyika na kutangazwa rasmi kwenye gazeti la serikali, GN lakini Karume aliwasilisha ile hati iliyosainiwa na Fifoot alijifanya Dourado na kuziwasilisha hati za muungano kwenye bunge la Tanganyika as if ni kweli BLM lilikaa likajadili na kuridhia hizo hati za muungano, na Karume sio tuu amesaini hizo ratification bila kuzipitishia BLM, bali pia amezitungia Decree na kuitangaza katika GN hiyo hiyo ya Tanganyika japo kwenye GN ya Zanzibar sheria hiyo haipo!.

      9. Kisheria, kwenye sheria ya mikataba, place of contact maters much as far as domestic laws are concerned, Ule mkataba wa muungano ni international contract, unaweza kusainiwa popote ndio maana Mwalimu Nyerere na time yake, walifunga safari kwenda Zanzibar. Process ya ratification sio international contact, ni domestic contact kutumia domestic laws (municipal) ambapo ratification hupaswa kufanywa na bunge husika likiwa nchi husika. Bunge la Tanganyika lilitimiza wajibu wake hivyo ratification ya Tanganyika ni legal. Kitendo cha ratification ya Zanzibar kuandaliwa na Fifoot wa Tanganyika na kusainiwa nae, halafu Karume kukabidhiwa sheria hiyo wakati sgeria za Zanzibar kwa wakati huo zilikuwa Decrees na kuiwasilisha bunge la Tanganyika, tangazo la ratification kutolewa kwenye GN ya Tanganyika na sio ya Zanzibar, ni mambo yanaifanya hiyo ratification kuwa voidable na sio void!


      10. Hoja ya “privity’ to contract na “capacity” to contract pia ipo kwa Karume kama Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, alikuwa na capacity to contact kama Karume kwenye zile articles of union, lakini kwenye Ratification, Karume hakuwa na Capacity ya kusaini sheria ambayo haikutungwa na BLM, na kusainiwa na Fifoot badala ya Dourado, na sheria hiyo kutopitishwa na BLM lakini akaiwasilisha as if imeridhiwa na BLM!, na Fifoot hakuwa na capacity to contract kwa niaba ya Dourado!, tena (ninahisi Fifoot alifanya “misrepresentation kujifanya Dourado ndio maana kuna uwezekano mkubwa, Karume hakupewa tena zile original documents!, alikuja mikono mitupu, na kurudi mikono mitupu ndio kule Zanzibar, hizo documents are no where to be seen!!). Emphasis mine!
      11. Hata hivyo, kuna mabishano makubwa kati wanazuoni na wasomi mbalimbali wa sheria kuhusiana na hii issue ya ratification. Mwalimu wangu, Prof. Shivji amesema japo hakuna kumbukumbu zozote kuwa BLM liliridhia, kwa vile BLM limeipitisha sheria ya muungano, huko ndiko kuridhia kwenyewe!, kwa hiyo kwa Shivji, muungano uliridhiwa!.

      12. Aliyekuwa kiongozi wa kambi ya upinzani kwenye BLW, Hon. Abubakar Khamis Bakary ambaye ndie aliyetoa posa ya ndoa na CCM kule BLW na kuunda SUK ambapo kama mshenga, amezawadiwa uwaziri wa sheria anapingana na Prof. Shivji kwa kusema kuwa sheria ambayo haikutungwa na BLM wala haikupitishwa na BLM, sio sheria halali kwa Zanzibar!.

      13. Pamoja na Kutofautiana na Shivji kuhusu uhalali wa ratification, lakini Mhe. Bakari anakubaliana na Shivji kuwa muungano ni halali, kwa sababu, licha yakutokuwepo official ratification kutoka Zanzíbar, hakuna Wanzanzibari wowote waliochukua hatua zozote za kupinga au kulalamika, hivyo hiyo ni dalili kuwa Wanzanzibari wameukubali muungano impliedily not expressly!.

      14. Mwanasheria mwingine wa Zanzibar, al maaruf, Ali Salehe, mwandishi na mtangazaji wa BBC, yeye anashikilia, kwa kwa vile muungano haukuridhiwa, lazima uridhiwe ili kuupa nguvu ya kisheria Zanzibar!. Hivyo anasema ratification ifanyike!. Na hapa ndipo na mimi niliposimamia kuwa Wanzanzibari wafanye ratification kama kweli hawautaki tena muungano, BLW likatae ku ratify ili mlango wa kutokea uwe wazi, wide open!.

      15. Prof. Haroub Othman ametofautiana na Shivji kwa kusema wajumbe wawili wa BLM, Abrahman Mohamed Babu na Khamis Abudulah Ameir, walimweleza kuwa BLM walijadilili hati za muungano na kuridhia! (bila maandishi wala kumbukumbu?). Prof. Haroub anadai siku anaelezwa hayo walikuwa club ya YASU akiwa anacheza na katoto fulani ambacho kalikuwa bado hata hajabalehe, kakiitwa Ali Juma Shamhuna!.

      16. Kufuatia uwepo wa document ya ratification huku bara, na Zanzibar kimataifa ilikufa rasmi siku ile ya April, 26, 1964, hakuna tena anaejali kama hizo ratification documents zili fojiwa huku bara, ndio maana hata tume ya Nyalali, ilizihalalisha na kimataifa everthing is ok na humo humo ndimo hao majasusi wa Marekani, walikolalia na wote wanaoamini muungano uliridhiwa, japo ni kweli kwa bara muungano uliridhiwa kwa kauli na matendo, kwa Zanzibar, uliridhiwa kwa kauli bila matendo!, na sasa tunasikia kauli za kupinga na matendo ya akufukuzaye!.

      17. Kiukweli Karume aliliendesha BLM kibabe sana, yeye kama Rais, Jaji Mkuu na Spika, wale wote waliopingana naye, hakuna ajuaye kilichowakuta ili walishughulikiwa kimya kimya na hata miili yao haikubahatika kuonekena (inasemekana walining’inizwa jiwe shingoni na kutoswa baharini!. Kina Babu kuona hivyo, wakajitimkia zao kabla ya kuwakuta, hayajawakuta. Uvumilivu ulipowashinda waliobaki, nao wakamshughulikia Karume!. (Naamini inteligensia ya Mwalimu alishauona mwelekeo wa Karume kwenye majaaliwa ya muungano, hivyo nae akaacha ya kumkuta yamkute, muungano udumu!.

      18. Baada ya Karume, Aboud Jumbe akaukwaa urais. Dourado akamjulisha Jumbe kuhusu kukosekana kwan proper ratification na iliyopelekwa UN is fake!, wakaandaa document kuujulisha ulimwengu kuhusu hilo!. Seif Sharif akamtonya Nyerere, Jumbe akashughulikiwa ipaswavyo, huku Dourado akaozea jela!. Tukatangaziwa “kuchafuka kwa hali ya hewa Zanzibar” bila kuelezwa kisa ni absence ya proper ratification!.

      19. Wanzanzibar ni watu wazito sana kujifunza, licha ya kujua kilichomkuta Jumbe kilihusu kuutishia muungano, Dr. Salmini nae akataka kucheza karata yake zile siku zake za mwisho mwisho alinukuliwa akisema, wao wanayatambua yale mambo 11 tuu ndio ya halali, hivyo akajenga hoja kubadili katiba aongeze kipindi cha tatu ili ayashughulikie!. Tiss ilimshughulikia yeye na timu yake yote wakatupwa kando!. Hamshaghai kwa nini Salmin baada ya kustaafu hakuitwa popote kuwa mgeni rasmi kwenye shughuli rasmi?, na yule dada yetu naye akaporwa!.

      20.Kupitia hoja hizo na nyingine ambazo sikuzitaja, Mimi Pasco wa JF, kwa Mamlaka niliopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chini ya Kifungu cha "Freedom of Expressions", Sasa Natamka Wazi kuwa Muungano Kati ya Tanganyika na Zanzibar, Haukuwa Ratified Properly in Zanzibar!. Ila pia Nasisitiza, Muungano Huu ni Halali, japo ulikosa uhalali kwa njia ya Expressly in Zanzibar, umepata uhalali huo Impliedly!.


      Angalizo.
      Unaruhusiwa kucoment chochote wakati mada hii ikiteremka, just coments tuu ila naomba sana, maswali juu ya kuhusu hii mada kabla sijafika mwisho, maana sitakujibu mpaka nimalise, ila nikishamaliza sura zote kumi, nitapokea maswali, maoni au mapendekezo. Endepo uliuliza swali kabla sijafika mwisho, na hatimaye ulikuja jibu la swali lako kwenye mada za mbele, sitakujibu upya bali nitakurefer kwenye majibu ya swali lako.

      Hii mada siyo accademic paper, naishusha kwa level ya mwananchi wa kawaida wa Tanzania ambaye ni darasa la saba!. Hata hivyo kwa faida ya wasomi ambao wangependa kuzama deep, mwisho, nitawawekea, references za kusoma zaidi.

      Natanguliza shukrani.

      Pasco.
      Last edited by Pasco; 11th June 2012 at 01:47.

    2. Miaka 50

    3. #41
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By kwamwewe
      mimi nikiyatambua nisiyatambue ndio iwe nini humu JF ???UKWELI KITU CHENGINE NA KUTAMBUA KITU CHENGINE,

      HEBU WAULIZE HAO WANAOKUFUNDISHA NI NANI ALIMCHAGUA KARUME HATA AKAWA RAISI ???

      MAJIBU YA MASUALI YAKO MENGINE SOMA HICHI KITABU LABDA WEWE ULIKUWA HUJAKIONA HUMU JF


      Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia by Harith Ghassany in History
      Kumbe tatizo lako ni hizo hadithi potofu za huyo kibaraka wa masultani! Pole sana, sasa sahau kabisa kuwa hao masultani watarudi na kutawala tena Zanzibar.
      Pasco likes this.

    4. #42
      Sekenke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 126
      Rep Power : 598
      Likes Received
      22
      Likes Given
      13

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Quote By Pasco
      Wanabodi,

      Maudhui ya mada hii ni kuwaeleza wanabodi, jambo muhimu liitwalo "kuridhia" ambapo Serikali ya Tanganyika na Serikali zote zilipaswa kuuriidhia huo muungano kwa utaratibu unaitwa "RATIFICATION" ambapo ni serikali ya Tanzania pekee ndio iliyofanya process ya "ratification", Zanzibar, haikufanya!.
      I posted the link to the below reference in this forum in one of the topics. I am anticipating to be branded a puppet. But hold on a minute, is that a scare? Just because I stumbled on a reference and dwelled on it, I could be a puppet. Really?

      But at least this appears to be anything closer to some "evidence" or documentation we have regarding this subject, and not just personal assertions.

      Take time, read the declassified document: http://www.foia.cia.gov/CPE/ESAU/esau-28.pdf

      Seems the Union was ratified, and yes, by Zanzibar:

      "In Zanzibar, the union was not popular. Even within Karume's own Afro-Shirazi Party, leaders of the youth league and the principal trade union were strongly opposed to it; they are reported to have privately protested to Karume and to have had at least one secret meeting with Babu.

      It was a reflection of Karume's power position that he was able to obtain Zanzibar's ratification of the agreement even though only one third of the Revolutionary Council voted in favor of it.

      According to _________ he had to raise the threat of intervention by Kenya, Uganda, and the UK; even so, 10 of the 20 Revolutionary Council members present reportedly abstained.

      The news of the union appears to have caught all the the major world powers by surprise. Although the UK and the U.S. and many African countries avoided making a public statement of approval, because they did not want to embarrass Nyerere or risk having the union represented as an "imperialist plot". The the Western press was enthusiastic in its praise of Nyerere for "having pulled off a diplomatic master stroke that would slow, if not halt, Communist penetration of Zanzibar."
      Pasco, Bantugbro and FJM like this.

    5. #43
      kwamwewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 856
      Rep Power : 5405
      Likes Received
      99
      Likes Given
      125

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Gwalihenzi
      Kumbe tatizo lako ni hizo hadithi potofu za huyo kibaraka wa masultani! Pole sana, sasa sahau kabisa kuwa hao masultani watarudi na kutawala tena Zanzibar.
      ndivyo unavyodanganywa kanisani hivyo,

      WAAACHE HAO WAZEE WA KANISA WATAFUNE SADAKA NA KUJITAFUNIA VIKONDOO

      SIKILIZA UKWELI HUU

      http://www.mzalendo.net/habari/video...tu-wa-zanzibar
      Last edited by kwamwewe; 9th June 2012 at 21:32.
      Pasco likes this.

    6. #44
      kwamwewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 856
      Rep Power : 5405
      Likes Received
      99
      Likes Given
      125

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By ms judith
      sawasawa kabisa mpendwa,

      ubarikiwe sana na bwana

      glory to god!
      http://www.mzalendo.net/habari/video...tu-wa-zanzibar
      Pasco likes this.

    7. #45
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By kwamwewe
      ndivyo unavyodanganywa kanisani hivyo
      Sio kanisani, ila ni kule chuoni kwa sheikh ubwabwa Mohamed Saidi.
      Pasco likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      kwamwewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 856
      Rep Power : 5405
      Likes Received
      99
      Likes Given
      125

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Gwalihenzi
      Sio kanisani, ila ni kule chuoni kwa sheikh ubwabwa Mohamed Saidi.


      WAAACHE HAO WAZEE WA KANISA WATAFUNE SADAKA NA KUJITAFUNIA VIKONDOO

      SIKILIZA UKWELI HUU

      http://www.mzalendo.net/habari/video...tu-wa-zanzibar
      Pasco likes this.

    10. #47
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By kwamwewe
      WAAACHE HAO WAZEE WA KANISA WATAFUNE SADAKA NA KUJITAFUNIA VIKONDOO

      SIKILIZA UKWELI HUU

      http://www.mzalendo.net/habari/video...tu-wa-zanzibar
      Habari hizo wapelekee wanauamsho wenzako wasioijua historia ya Zanzibar
      Pasco likes this.

    11. #48
      kwamwewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 856
      Rep Power : 5405
      Likes Received
      99
      Likes Given
      125

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By gwalihenzi
      habari hizo wapelekee wanauamsho wenzako wasioijua historia ya zanzibar
      naelewa wewe ndio wale kondoo ambao ndio ni kama huu muungano umegeuka ni sikio la kufa wala hakuna dawa inayoweza kukuponyesha wewe

    12. #49
      Nguruvi3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2010
      Location : Kidabashi-Dongobeshi
      Posts : 3,432
      Rep Power : 2886
      Likes Received
      4784
      Likes Given
      2852

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Ningependekeza thread hii iunganishwe na ile ya mwanzo ili kuwe na mtiriko mzuri. Inavyoonekana maswali hayajibiwi tunakimbilia kujadili kitu kile kile katika thread nyingine.

      Hebu ziunganishwe ili yawepo maswali, ufafanuzi na majibu. Vinginevyo kuna kitu kinakwepwa!
      Mzee Mwanakijiji, Pasco and FJM like this.

    13. #50
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By kwamwewe
      naelewa wewe ndio wale kondoo ambao ndio ni kama huu muungano umegeuka ni sikio la kufa wala hakuna dawa inayoweza kukuponyesha wewe
      Yule bwana mdogo katibu wa UVCCM wa Pemba aliye shusha mistari ya mitusi ya nguoni mmemchukulia hatua gani? Nakushauri muanze kumpa shule ya adabu, maana yule ni muislamu mwenzenu na alichokifanya mbele ya wasoma dua hakikua cha uislamu ,au vipi jamaa yangu?
      Pasco likes this.

    14. #51
      Sekenke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 126
      Rep Power : 598
      Likes Received
      22
      Likes Given
      13

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      There is more documentation to the subject.

      This time by the body that recognizes soverign states, the one and only UN.

      United Nations Treaty Collections

      United Republic of Tanzania:


      Note 1.

      The People's Republic of Zanzibar was admitted to membership on 16 December 1963 by Resolution No. 1975 (XVIII). For the text of the Declaration of acceptance of the obligations contained in the Charter dated 10 December 1963 made by Zanzibar (registered under No. 7016), see United Nations, Treaty Series , vol. 483, p. 237.

      In a note addressed to the Secretary General on 6 May 1964, the Ministry of External Affairs of the United Republic of Tanzania informed him that, following the signature and ratification of the Articles of Union between the Republic of Tanganyika and the People's Republic of Zanzibar, the two countries had been united on 26 April 1964, as one sovereign State under the name of the United Republic of Tanganyika and Zanzibar.

      The Ministry further asked the Secretary-General "to note that the United Republic of Tanganyika and Zanzibar declares that it is now a single Member of the United Nations bound by the provisions of the Charter, and that all international treaties and agreements in force between the Republic of Tanganyika or the People's Republic of Zanzibar and other States or international organizations will, to the extent that their implementation is consistent with the constitutional position established by the Articles of the Union, remain in force within the regional limits prescribed on their conclusion and in accordance with the principles of international law".

      ---##---

      Professor Shivji.

      In The Travails of the Tanganyika-Zanzibar Union, Jenerali Ulimwengu (in pages Pages 5-7) reviews Professor Issa G. Shivji's book "Pan-Africanism or Pragmatism? Lessons of Tanganyika-Zanzibar Union".

      I think there were too many unhappy faces. Too many unanswered questions. In the interest of giving the benefit of doubt, taking into consideration the murky circumstances, those who asserted there was no ratification union, were probably those who were sidelined by Karume (i.e Jumbe et al). While I cannot dare to fit into the revered Prof Shifji's shoes, that doesn't remove the possibility of him taking sides, albeit in his book. No one is ever impartial.

      This is not to pre-empt your respectable judgement though. Please, take a read:


      "The contents of Chapter Five will no doubt be of great interest to constitutional lawyers, who may want to mull over the Union’s legal/constitutional foundations. This section sets out to show that there was very little thorough consultation between the two partners and that whereas Tanganyika was served by competent legal counsel, as already seen, Zanzibar was not. Even attempts by Salim Rashid to enlist the services of a Ugandan lawyer, Dan Nabudere, came to naught because, according to evidence adduced by Shivji, Nabudere was apparently confronted with a fait accompli. According to the author, Nyerere, with the help of a British lawyer, Roland Brown, had seen to that.

      There is indeed considerable confusion as to who among the Zanzibari leadership did and who did not know in advance of the decision to proceed with the unification of the two countries. The account in the book gives the impression of revolving doors in a comedy of errors, with characters coming and going without necessarily interacting with each other.

      The suggestion by Shivji is that the confusion was organised, because Karume did not want too many members of the Revolutionary Council to know what was afoot, as most of them would have opposed it. Even after reading this part at least twice, this reviewer cannot pronounce himself with certainty as to who was privy to the whole process of the signing of the Union.

      Problems persisted after the signing of the agreement. While the Tanganyikan parliament met to ratify the Articles of Union, the same cannot be said of the Revolutionary Council of Zanzibar, and Shivji presents testimonies of people who should have known (eg. Jumbe and Salim Rashid) asserting that no such ratification came to pass. Shivji marshals closely knit legal and constitutional arguments in this section with a view to demonstrating that the Union was seriously flawed from its very inception because the requisite legal and constitutional steps were not followed through because, suggesting that one side to the bargain was bent on manipulation while the other just did not have the capacity to comprehend what was going on."
      Last edited by Sekenke; 9th June 2012 at 22:34. Reason: added more reference
      Pasco likes this.

    15. #52
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Privity of Contract Definition:

      A doctrine of contract law that prevents any person from seeking the enforcement of a contract, or suing on its terms, unless they are a party to that contract.
      Sasa kwa lugha nyepesi nchi zingine zote hawa wezi kuongelea suala hili kwani wao si wahusika wa huu mkataba.
      Kwa wananchi wa Tanzania wanawakilishwa na viongozi wao.
      Uingereza na ujanja wao wapo kwenye European union bila watu wao kupiga kura, kwani wali wakilishwa na viongozi wao. na conservative na makelele yao ya kusema wataitisha kura ya maoni hawa elekei kama wata wafanya hivyo.
      Pasco likes this.

    16. #53
      kwamwewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 856
      Rep Power : 5405
      Likes Received
      99
      Likes Given
      125

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Gwalihenzi
      Yule bwana mdogo katibu wa UVCCM wa Pemba aliye shusha mistari ya mitusi ya nguoni mmemchukulia hatua gani? Nakushauri muanze kumpa shule ya adabu, maana yule ni muislamu mwenzenu na alichokifanya mbele ya wasoma dua hakikua cha uislamu ,au vipi jamaa yangu?
      Sisi si Maaskofu tunaochukua sheria za nchi mikononi mwetu

      wewe ndio wale kondoo ambao ndio ni kama huu muungano umegeuka ni sikio la kufa wala hakuna dawa inayoweza kukuponyesha wewe
      Pasco likes this.

    17. #54
      Taso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2010
      Posts : 1,175
      Rep Power : 795
      Likes Received
      308
      Likes Given
      121

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Mag3
      ...hapa tunamtaka aseme ni chombo kipi huko Zanzibar kilitakiwa (kiutaratibu) kiridhie Muungano mwaka 1964 na hakikufanya hivyo.
      Anaesema Muungano uliridhiwa ndio ana mzigo wa kusema nani aliridhia. Pasco hawezi ku prove a negative.

      Watu wa Pwani huwa tunasema - na Wazanzibari hapa watanielewa - tunasema huwezi ku test na ku prove kwamba baharini hakuna kibwengo, ila anaedai kwamba kibwengo yupo ndio tutamuuliza, umemuona wapi Kibwengo na alikufanya nini. Maana huwezi kuambiwa u prove kitu ambacho wewe unasema hakipo, utaki test vipi wakati hakipo?

      Pasco yeye amesema "Zanzibar haikuridhia Muungano." Sasa nyinyi semeni, nyinyi mnaosema uliridhiwa, tutajieni chombo gani au nani aliridhia Muungano Zanzibar, lini, wapi na kwa nyaraka gani.
      Pasco likes this.

    18. #55
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,506
      Rep Power : 46711
      Likes Received
      16373
      Likes Given
      8453

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By Taso

      Pasco yeye amesema "Zanzibar haikuridhia Muungano." Sasa nyinyi semeni, nyinyi mnaosema uliridhiwa, tutajieni chombo gani au nani aliridhia Muungano Zanzibar, lini, wapi na kwa nyaraka gani.
      Uliridhiwa na Baraza la Mapinduzi, Zanzibar, April 22, 1964.
      Pasco likes this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    19. #56
      Kassim Awadh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 587
      Rep Power : 480
      Likes Received
      108
      Likes Given
      785

      Default Re: Jee Wajua Kuwa Zanzibar Haikuridhia Muungano?!. Ina Maana Gani?.

      Quote By bumes
      pasco go and advise the zanzibari all your findings, God knows the end of it all.


      To me all those things are irelevant what people need to say is that we are no longer confortable with this Muungano so we have decided to detach ourselves from it.


      Suppose there is a referendum and 51% zanzibari says we dont want Muungano and 49% says they need it how are you going to treat the minority, are going to ingnore them?.


      Kuubuka Mwalimu Nyerere alisema zambi yakujitenga hayitakufa bali yitaendelea. To me I can say he prophesized, there is every possibility that Muungano shake maybe even break, the milk and honey people hope for will end up a nightmare.

      Best of lucky
      Na aliposema Muungano ni kama koti likikubana unaweza livua,,kwa maana ya walioungana kuachana/tengana maana yake ilikuwa nn?
      Pasco likes this.

    20. #57
      Macos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      167
      Likes Given
      13

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Pasco..ni mada nzuri..unajua katika historia ya karibuni ya ulimwengu nadhani hakuna muungano wa nchi na nchi ikawa nchi moja( kama nimekosea unweza kunisahihisha).zipo nchi ziliunganishwa kwa nguvu kutokana na matokeo ya kihistoria kama USSR ilivokuwa ambayo nayo imesambaratika kwani hakukua na maridhiano katika muungano ule.pia kuna muungano wa nchi kama YUGOSLAVIA, nayo pia ilisambaratika, pia Muungano unaojulikana zaidi wa United Kingdom, nao pia ulikuwa wa nguvu zaidi.waingereza nao pia walitumia nguvu zaid kuliko maelewano, nao pia leo Ireland imejitoa,na Scortland nayo inapiga kura ya kujitoa.
      pia kama tutakumbuka Indonesia ili annex East timor kwa nguvu lakini hatimae ilibidi iwape uhuru nchi hio.
      Kuna nchi ambazo awali zilikuwa moja kama Sudan, lakini sasa imegawanyika kuwa nchi mbila na kuna uwezekano mkubwa Darfur nayo ikajitenga na sudan pia !. Hoja yangu ni kuonesha kwamba haiwezekani kuunganisha nchi bila ya mazungumzo na maelewano kufanyika kwa uwazi mkubwa na kwa kuwashirikisha wananchi ambao umefanikiwa kuhimili upinzani.
      na muungano wowote wa nchi ambo wananchi hawakushirikishwa unakosa uhalali wa kisheria.hapa wana nchi ni shareholders...wanatakiwa kushirikishwa.lakini mifani ya Miungano hapo juu haikufnywa kwa ridhaa ya wananchi.
      sasa tuje kwenye Muungano wetu.Nyerere alifika Zanzibar tarehe 22 April 1964 Akiwa Mkononi na Makubaliano ya Muungano.(Article of Union). na alifika ikulu ya Zanzibar akiwa na timu yake kamili akiwa na Rshid Kawawa, Oscar Kambona na Job Lusinde. , Zanzibar alikuwepo pia akishuhudia Abdala Kassim Hanga,Abdul aziz Talla( hawa wawili kwa bahati mbaya wameuliwa na serikali bila ya mashtaka) na mwengine ni Salim Rashid( huyu yeye anapinga kuwapo Ratification ya Articles of union mpaka karibuni alipeleka kesi mahakama ya zanzibar ). Article hizi alizitunga Nyerere kutoka kwa mwana sheria wa Tanganyika Mwingereza Ronald Brown ! ..kwa upande wa Zanzibar mwanasheria wake Worlfang Dourado hakuwepo na hakuwa anajua kitu na kwa ukweli alipewa likizo ya mwezi mmoja.
      sasa ukiangalia mwenendo mzima huu utaona kuna hila ilitumika kufikia Muungano huu, na hila hizi ndio zilisababisha watu wengi kuuliwa na kupotea kila wanapohoji uhalali wa Mungano.

      kwa ujumla watu wa zanzibar wamekuwa na ushirikiano wa muda mrefu baina yao.kabla ya uhuru na kwa nyuma zaidi na hakukua na mikwaruzano, ila tatizo kubwa lipo hapa kwenye uhalali wake na watu wanao usimamia kutaka kulazimisha makosa yao ili Watanzania wote wakubali yale wanayoamini wao hata kama ni makosa.Tanganyika japo ni nchi kubwa kwa mraba,kwa watu na kwa uchumi kuliko zanzibar hata hivyo nao hawakushirikishwa katika maamuzi haya.na watawala wana sahau kwamba hizi nchi ni mbili na makosa yametendeka huko nyuma kufanikisha Muungano ambao no fake.lakini wanakuwa wahafidhina wasiotaka kujadili hili tatizo.
      Nini CHA KUFANYA? ina onekana CCM wao kama wameliteka suala la muungano na hakuna mwengine yoyote katika vyma vingine mabye ana haki ya kuhoji huu muungano.wataamua mstakabali wake wao pekee yao.si chadema wala cuf au nccr ambao wana ubavu wowote wa kuhoji au kupendekeza.(rejea zitto alivo shambuliwa na wana ccm kuhusu maoni yake kwamba baadhi ya mambo yameingizwa kimabavu ndani ya muungano).
      kutokana na msimamo huu wa ccm njia pekee ya kuoboresha muungano huu ili ukubalike ni kwa vyama vya ushindani vyote waache sera ya ccm ya kushikilia kwamba ni dhambi kujadili muungano, wafanye utafiti ni mfumo upi bora unafaa ili muungano huu usife,waweke sera iliyowazi katika vyama vyao juu ya muungano huu.,wasiruhusiwe ccm pekee kuwa ndio wenye muungano, kama muungano ni wa kweli na halali basi kila mtanzania anao haki kuujadili na kuoboresha.ajenda kubwa ya maoni ya katiba kuhusu muungano kuwe na serikali tatu na MFUMO PEKEE AMBAO UKO LIVE NA UNAELEKEA KUFAULU NA SI VIBAYA KAMA TUTA IGA ANGALAU KIDOGO BASI NI MUUNGANO WA FALME ZA KIARABU YAANI UNITED ARAB EMIRATES-UAE..Hawa wenzetu kuna muunano na serikali kuu na pia kuna serikali ndogo ndani yake kama dubai,sharjah,ajmain,ras khaimah,abu dhabi na nyengine....tutafiti nchi hizi zimewezaje kuwa na muungano wenye maridhiano na kwa kiasi kikubwa nchi zao inapiga hatua za maendeleo, vipi wanagawana rasilimali zao, vipi wanafanya mambo ya kodi,ulinzi,posta,simu,mahusia no yao na nje,nk....pia cha kuungaliwa ni utamaduni wa hizi nchi zetu zilizo ungana zanzibar inajulikana kwamba ni ni nchi yenye waislam wengi,wakati tanganyika ni nchi yenye makabila mengi na dini kubwa mbili.
      sasa ni ukweli usio fichika zanzibar itataka kuwa na mahusiano na umoja wa nchi za kiislam,au pia kuwa memba wa umoja wa nchi za visiwa vya bahari ya hindi..hili ni kutokana na geografia ilivo...Muungano isiwe kikwazo kwa sababu mambo mje ni yamuungano...ukweli imefika mahali huu muungano uzungumzwe..na ufanywe marekibisho..hakuna anaetakwa usiwepo lakini kwa hali ya sasa i dont think kama uta survive another 10 years hata kama nguvu zitatumika.
      KWANI WANAPINGA ZAIDI SASA SIO WALE WAZEE WALIKUWEPO WAKATI WA KUUNGANA WANAOPINGA NI VIJANA WASOMI AMBAO WAMEZALIA MIAKA YA 70'S NA 80'S HAWAMJUI KARUME, HAWAMJUI NYERERE,HAWAMJUI HATA SULTANI,LAKINI WAMEKAA NA KUONA KUNA TATIZO.HAWA WAMESOMA WANAJUA NINI UZURI NA UBAYA.
      MUUNGANO UNATAKIWA KUJADILIWA ILI TUUDUMISHE TUWACHANE NA SERA ZA CCM KWAMBA HUU UPO HIVI HIVI HATA MKASEMA NINI HAUBADILKI HAYA NI MAWAZO YA KISHETANI NA UPOFU
      Pasco likes this.

    21. #58
      Macos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      167
      Likes Given
      13

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Pasco..ni mada nzuri..unajua katika historia ya karibuni ya ulimwengu nadhani hakuna muungano wa nchi na nchi ikawa nchi moja( kama nimekosea unweza kunisahihisha).zipo nchi ziliunganishwa kwa nguvu kutokana na matokeo ya kihistoria kama USSR ilivokuwa ambayo nayo imesambaratika kwani hakukua na maridhiano katika muungano ule.pia kuna muungano wa nchi kama YUGOSLAVIA, nayo pia ilisambaratika, pia Muungano unaojulikana zaidi wa United Kingdom, nao pia ulikuwa wa nguvu zaidi.waingereza nao pia walitumia nguvu zaid kuliko maelewano, nao pia leo Ireland imejitoa,na Scortland nayo inapiga kura ya kujitoa.
      pia kama tutakumbuka Indonesia ili annex East timor kwa nguvu lakini hatimae ilibidi iwape uhuru nchi hio.
      Kuna nchi ambazo awali zilikuwa moja kama Sudan, lakini sasa imegawanyika kuwa nchi mbila na kuna uwezekano mkubwa Darfur nayo ikajitenga na sudan pia !. Hoja yangu ni kuonesha kwamba haiwezekani kuunganisha nchi bila ya mazungumzo na maelewano kufanyika kwa uwazi mkubwa na kwa kuwashirikisha wananchi ambao umefanikiwa kuhimili upinzani.
      na muungano wowote wa nchi ambo wananchi hawakushirikishwa unakosa uhalali wa kisheria.hapa wana nchi ni shareholders...wanatakiwa kushirikishwa.lakini mifani ya Miungano hapo juu haikufnywa kwa ridhaa ya wananchi.
      sasa tuje kwenye Muungano wetu.Nyerere alifika Zanzibar tarehe 22 April 1964 Akiwa Mkononi na Makubaliano ya Muungano.(Article of Union). na alifika ikulu ya Zanzibar akiwa na timu yake kamili akiwa na Rshid Kawawa, Oscar Kambona na Job Lusinde. , Zanzibar alikuwepo pia akishuhudia Abdala Kassim Hanga,Abdul aziz Talla( hawa wawili kwa bahati mbaya wameuliwa na serikali bila ya mashtaka) na mwengine ni Salim Rashid( huyu yeye anapinga kuwapo Ratification ya Articles of union mpaka karibuni alipeleka kesi mahakama ya zanzibar ). Article hizi alizitunga Nyerere kutoka kwa mwana sheria wa Tanganyika Mwingereza Ronald Brown ! ..kwa upande wa Zanzibar mwanasheria wake Worlfang Dourado hakuwepo na hakuwa anajua kitu na kwa ukweli alipewa likizo ya mwezi mmoja.
      sasa ukiangalia mwenendo mzima huu utaona kuna hila ilitumika kufikia Muungano huu, na hila hizi ndio zilisababisha watu wengi kuuliwa na kupotea kila wanapohoji uhalali wa Mungano.

      kwa ujumla watu wa zanzibar wamekuwa na ushirikiano wa muda mrefu baina yao.kabla ya uhuru na kwa nyuma zaidi na hakukua na mikwaruzano, ila tatizo kubwa lipo hapa kwenye uhalali wake na watu wanao usimamia kutaka kulazimisha makosa yao ili Watanzania wote wakubali yale wanayoamini wao hata kama ni makosa.Tanganyika japo ni nchi kubwa kwa mraba,kwa watu na kwa uchumi kuliko zanzibar hata hivyo nao hawakushirikishwa katika maamuzi haya.na watawala wana sahau kwamba hizi nchi ni mbili na makosa yametendeka huko nyuma kufanikisha Muungano ambao no fake.lakini wanakuwa wahafidhina wasiotaka kujadili hili tatizo.
      Nini CHA KUFANYA? ina onekana CCM wao kama wameliteka suala la muungano na hakuna mwengine yoyote katika vyma vingine mabye ana haki ya kuhoji huu muungano.wataamua mstakabali wake wao pekee yao.si chadema wala cuf au nccr ambao wana ubavu wowote wa kuhoji au kupendekeza.(rejea zitto alivo shambuliwa na wana ccm kuhusu maoni yake kwamba baadhi ya mambo yameingizwa kimabavu ndani ya muungano).
      kutokana na msimamo huu wa ccm njia pekee ya kuoboresha muungano huu ili ukubalike ni kwa vyama vya ushindani vyote waache sera ya ccm ya kushikilia kwamba ni dhambi kujadili muungano, wafanye utafiti ni mfumo upi bora unafaa ili muungano huu usife,waweke sera iliyowazi katika vyama vyao juu ya muungano huu.,wasiruhusiwe ccm pekee kuwa ndio wenye muungano, kama muungano ni wa kweli na halali basi kila mtanzania anao haki kuujadili na kuoboresha.ajenda kubwa ya maoni ya katiba kuhusu muungano kuwe na serikali tatu na MFUMO PEKEE AMBAO UKO LIVE NA UNAELEKEA KUFAULU NA SI VIBAYA KAMA TUTA IGA ANGALAU KIDOGO BASI NI MUUNGANO WA FALME ZA KIARABU YAANI UNITED ARAB EMIRATES-UAE..Hawa wenzetu kuna muunano na serikali kuu na pia kuna serikali ndogo ndani yake kama dubai,sharjah,ajmain,ras khaimah,abu dhabi na nyengine....tutafiti nchi hizi zimewezaje kuwa na muungano wenye maridhiano na kwa kiasi kikubwa nchi zao inapiga hatua za maendeleo, vipi wanagawana rasilimali zao, vipi wanafanya mambo ya kodi,ulinzi,posta,simu,mahusia no yao na nje,nk....pia cha kuungaliwa ni utamaduni wa hizi nchi zetu zilizo ungana zanzibar inajulikana kwamba ni ni nchi yenye waislam wengi,wakati tanganyika ni nchi yenye makabila mengi na dini kubwa mbili.
      sasa ni ukweli usio fichika zanzibar itataka kuwa na mahusiano na umoja wa nchi za kiislam,au pia kuwa memba wa umoja wa nchi za visiwa vya bahari ya hindi..hili ni kutokana na geografia ilivo...Muungano isiwe kikwazo kwa sababu mambo mje ni yamuungano...ukweli imefika mahali huu muungano uzungumzwe..na ufanywe marekibisho..hakuna anaetakwa usiwepo lakini kwa hali ya sasa i dont think kama uta survive another 10 years hata kama nguvu zitatumika.
      KWANI WANAPINGA ZAIDI SASA SIO WALE WAZEE WALIKUWEPO WAKATI WA KUUNGANA WANAOPINGA NI VIJANA WASOMI AMBAO WAMEZALIA MIAKA YA 70'S NA 80'S HAWAMJUI KARUME, HAWAMJUI NYERERE,HAWAMJUI HATA SULTANI,LAKINI WAMEKAA NA KUONA KUNA TATIZO.HAWA WAMESOMA WANAJUA NINI UZURI NA UBAYA.
      MUUNGANO UNATAKIWA KUJADILIWA ILI TUUDUMISHE TUWACHANE NA SERA ZA CCM KWAMBA HUU UPO HIVI HIVI HATA MKASEMA NINI HAUBADILKI HAYA NI MAWAZO YA KISHETANI NA UPOFU
      Pasco likes this.

    22. #59
      Macos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      167
      Likes Given
      13

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Quote By pasco
      wanabodi,

      kufuatia chokochoko ya kuuchokoa muungano ilianzishwa na kikundi cha uamsho huko zanzibar, zimeanza kutolewa hoja mbalimbali ikiwemo watanzania tupewe fursa kuujadili muungano na ikibidi ipigwe kura ya maoni kuwauliza watanzania na wanzanzibari kama wanautaka muungano, jee wanataka muungano wa aina gani, na endapo hawautaki, process ya kuuvunja rasmi aianze.

      Wako wengi wanaupenda muungano na wangependa uendelee ila uboreshwe!. Pia wako wanao ona sasa imetosha na muungano uvunjwe!.

      Maudhui ya mada hii ni kuwaeleza wanabodi, jambo muhimu liitwalo "kuridhia" ambapo serikali ya tanganyika na serikali zote zilipaswa kuuriidhia huo muungano kwa utaratibu unaitwa "ratification" ambapo ni serikali ya tanzania pekee ndio iliyofanya process ya "ratification", zanzibar, haikufanya!.

      Kwa vile zanzibar, haikuuridhia muungano, kama ni kweli zanzibar inataka kujitoa katika muungano wetu huu adhimu, mlango uko wazi, yaani wide open for zanzibar to just walk out, with no regret and no strings attached kwa sababu hawakuuridhia ule mkataba wa muungano, hovyo mkataba huo hauko binding kwao!.

      Mada yangu hii inakuwa na sehemu zifuatazo.

      1. Kuridhia ni nini (ratification).
      2. Rafication hufanyikaje.
      3. Mikataba ya kimaifa ni nini? Na jee muungano kati ya tanganyika na zanzibar ni mkataba wa kimataifa?.
      4. Process ya ratification kwa upande wa tanganyika.
      5. Process ya ratification kwa upande wa zanzibar.
      6. Hadaa ya ratification ya zanzibar, ilipangwa na nani na kwa nini?.
      7. Kukosekana kwa ratification upande wa zanzibar kunamaanisha nini.
      8. Pamoja na kutokuwepo ratification, jee muungano ni halali?
      9. A way forward 1:tudumishe muungano?, muungano wa aina gani?.
      10. A way forward 2:tuuvunje muungano?. What are the consequences?.

      1. Kuridhia, au ratification, ni process inayofanywa kwa nchi husika kuridhia mikataba ya kimaifa ili kuipa uhalali wa kisheria kutumika katika nchi husika. Mfano mzuri ni mkataba wa muungano baina ya tanganyika na zanzibar, tanganyika ni nchi, na zanzibar ni nchi, hivyo ule mkataba wa muungano ni mkataba wa kimataifa.

      Jee kila mkataba wa kimataifa ni lazima uridhiwe?. Jibu ni hapana, sio kila mkataba wa kimataifa ni lazima uridhiwe, ili mkataba wa kimataifa uridhiwe lazima mkutaba husika uwe na kipengele kinacholazimisha mkataba huo kuridhiwa. Tukirudi kwenye mfano wetu wa mkataba wa muungano, kipengele cha viii cha articles of union, kinalazimisha process ya ratification lazima ifanyike ili kuuhalalisha mkataba ule.

      (viii) these articles shall be subject to the enactment of laws by the parliament of tanganyika and by the revolutionary council of the peoples' republic of zanzibar in conjunction with the cabinet of ministers thereof, ratifying the same and providing for the government of the united republic and of zanzibar in accordance therewith.


      nyerere na karume wangeweza kuamua wakishasaini makubali yale iishie hapo, ingekuwa hivyo hivyo hitaji la kuridhia lisingekuwepo!.

      2. Ratification hufanyikaje?.
      Kwa vile mikataba yote ya kimataifa ni lazima iwe ni ya maandishi, vivyo hivyo, ratifikation lazima ifanyike kwa maandishi na sio kwa kauli.

      Kwa bunge letu, masharti ya kuridhia hufanywa kwa mujibu wa kifungu cha 63(3)(e) cha katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, kinachotamka kuwa, bunge litajadili na kuridhia mikataba yote inayohusu jamhuri ya muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa na kwa mujibu wa kanuni za bunge, kanuni ya 114(11) ya 2007.
      1. Waziri husika huwasilisha mezani kwa spika mkataba husika
      2. Spika ataipa kamati husika kupata maoni yake
      3. Kambi ya upinzani itapewa fursa ya kuandaa maoni yake.
      4. Mkataba huo utatangazwa rasmi kwenye order paper ya siku ya kuwasilishwa
      5. Waziri atawasilisha, kisha maoni ya kamati, maoni ya kambi ya upinzani na majadiliano.
      6. Bunge litakaa kama kamati kupitia kifungu kwa kifungu
      7. Bunge litarudi kama bunge na kuridhia mkataba husika
      8. Mkataba huo unakuwa sehemu ya sheria za nchi,
      9. Unasainiwa na rais na kutangazwa katika gazeti za serikali gn.
      10.ndio unakuwa umeridhiwa, yaani ratified!.

      3. Mkataba wa kimataifa ni nini, una sifa gani na jee muungano watu ni mkataba wa kimataifa?.
      Mkataba wa kimataifa, ni mkataba kati nchi moja na nchi nyingine, au mikataba yote ya jumuiza za kimataifa ambayo nchi ama hutakiwa kuridhia, au kulazimishwa kuiheshimu hata kama haikuridhia. Mikataba hii au itifaki mbalimbali (protocals), hupaswa kuridhiwa kabla haijawa sheria kwa nchi husika.

      Mfano tanzania iliridhia mkataba wa mahakama ya kimataifa ya biashara, icc. Dowans iliposhinda ile kesi, imepaswa kuisajili hukumu hiyo kwenye mahakama zetu (ratification), ili hukumu hiyo igeuke sheria zetu, (domestic law) na kutekelezwa. Watu humu walipiga sana kelele, nilipouangalia mkataba ule humu jf, nikawaambia wana jf wenzangu, hatuna pa kutokea, tozo ile italipwa tuu mara baada ya tozo hiyo kusajiliwa, kinachoendelea sasa ni delaying tactics ambayo nayo tutailipia dearly!.

      Muungano kati ya tanganyika na zanzibar, ni mkataba halali wa kimataifa wenye sifa muhimu za mkataba, japo una mapungufu mengi kubwa likiwa ni kitu kinachoitwa "privity of contrac" ambapo mkataba ulikuwa kwa lugha ya kiingereza na signatory mmoja alikuwa msomi anaejua kusoma na kuandika kiingereza, wakati signatory wa pili hakujua kusoma, kuandika wala kiingereza, hivyo alisaini kwa dole gumba!.

      Ufafanuzi zaidi kuhusu muungano kuwa ni mkataba wa kimataifa, unapatikana pia katika ukurasa wa kwanza wa andiko la
      prof. Shivji kwenye kitabu cha "the legal foundation of the union in tanzania and zanzibar constitution, dup, 1990.

      Kwa faida ya wasoma kimombo, tembelea
      THE UNION BETWEEN TANGANYIKA AND ZANZIBAR

      angalizo.
      Unaruhusiwa kucoment chochou wakati mada hii ikiteremka, ila naomba usiniulize kitu chochote kabla sijafika mwisho,
      maana sitakujibu ila nikishamaliza sura zote kumi, nitapokea maswali, maoni au mapendekezo.

      Natanguliza shukrani.

      Pasco.
      soma hii hapa utajua ni kiasi gani kuna tatizo hapa.....na bila ya kuondoka ccm huu muungano hautakubalika..wamepoteza watu wengi hawa kwa kuhoji tu muungano..na hili si suluhisho...
      Pasco likes this.

    23. #60
      Macos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      167
      Likes Given
      13

      Default Re: Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

      Quote By Pasco
      Wanabodi,

      Kufuatia chokochoko ya kuuchokoa Muungano ilianzishwa na kikundi cha Uamsho huko Zanzibar, zimeanza kutolewa hoja mbalimbali ikiwemo Watanzania tupewe fursa kuujadili Muungano na ikibidi ipigwe kura ya maoni kuwauliza Watanzania na Wanzanzibari kama wanautaka muungano, jee wanataka muungano wa aina gani, na endapo hawautaki, process ya kuuvunja rasmi aianze.

      Wako wengi wanaupenda muungano na wangependa uendelee ila uboreshwe!. Pia wako wanao ona sasa imetosha na muungano uvunjwe!.

      Maudhui ya mada hii ni kuwaeleza wanabodi, jambo muhimu liitwalo "kuridhia" ambapo Serikali ya Tanganyika na Serikali zote zilipaswa kuuriidhia huo muungano kwa utaratibu unaitwa "RATIFICATION" ambapo ni serikali ya Tanzania pekee ndio iliyofanya process ya "ratification", Zanzibar, haikufanya!.

      Kwa vile Zanzibar, haikuuridhia Muungano, kama ni kweli Zanzibar inataka kujitoa katika muungano wetu huu adhimu, mlango uko wazi, yaani wide open for Zanzibar to just walk out, with no regret and no strings attached kwa sababu hawakuuridhia ule mkataba wa muungano, hovyo mkataba huo hauko binding kwao!.

      Mada yangu hii inakuwa na sehemu zifuatazo.

      1. Kuridhia ni Nini (Ratification).
      2. Rafication Hufanyikaje.
      3. Mikataba ya Kimaifa ni nini? na Jee Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni Mkataba wa Kimataifa?.
      4. Process ya Ratification kwa Upande wa Tanganyika.
      5. Process ya Ratification kwa Upande wa Zanzibar.
      6. Hadaa ya Ratification ya Zanzibar, ilipangwa na nani na kwa nini?.
      7. Kukosekana kwa ratification upande wa Zanzibar kunamaanisha nini.
      8. Pamoja na kutokuwepo ratification, Jee Muungano ni halali?
      9. A Way Forward 1:Tudumishe Muungano?, Muungano wa Aina Gani?.
      10. A Way Forward 2:Tuuvunje Muungano?. What are the Consequences?.

      1. Kuridhia, au ratification, ni process inayofanywa kwa nchi husika kuridhia mikataba ya kimaifa ili kuipa uhalali wa kisheria kutumika katika nchi husika. Mfano mzuri ni mkataba wa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ni nchi, na Zanzibar ni nchi, hivyo ule mkataba wa muungano ni mkataba wa kimataifa.

      Jee kila mkataba wa kimataifa ni lazima uridhiwe?. Jibu ni hapana, sio kila mkataba wa kimataifa ni lazima uridhiwe, ili mkataba wa kimataifa uridhiwe lazima mkutaba husika uwe na kipengele kinacholazimisha mkataba huo kuridhiwa. Tukirudi kwenye mfano wetu wa mkataba wa muungano, kipengele cha VIII cha Articles of Union, kinalazimisha process ya ratification lazima ifanyike ili kuuhalalisha mkataba ule.

      (viii) These Articles shall be subject to the enactment of laws by the Parliament of Tanganyika and by the Revolutionary Council of the Peoples' Republic of Zanzibar in conjunction with the Cabinet of Ministers thereof, ratifying the same and providing for the Government of the united Republic and of Zanzibar in accordance therewith.


      Nyerere na Karume wangeweza kuamua wakishasaini makubali yale iishie hapo, ingekuwa hivyo hivyo hitaji la kuridhia lisingekuwepo!.

      2. Ratification hufanyikaje?.
      Kwa vile mikataba yote ya kimataifa ni lazima iwe ni ya maandishi, vivyo hivyo, ratifikation lazima ifanyike kwa maandishi na sio kwa kauli.

      Kwa bunge letu, masharti ya kuridhia hufanywa kwa mujibu wa kifungu cha 63(3)(e) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kinachotamka kuwa, Bunge litajadili na kuridhia Mikataba yote inayohusu Jamhuri ya Muungano na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa na kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni ya 114(11) ya 2007.
      1. Waziri husika huwasilisha mezani kwa spika mkataba husika
      2. Spika ataipa kamati husika kupata maoni yake
      3. Kambi ya upinzani itapewa fursa ya kuandaa maoni yake.
      4. Mkataba huo utatangazwa rasmi kwenye order paper ya siku ya kuwasilishwa
      5. Waziri atawasilisha, kisha maoni ya kamati, maoni ya kambi ya upinzani na majadiliano.
      6. Bunge litakaa kama kamati kupitia kifungu kwa kifungu
      7. Bunge litarudi kama bunge na kuridhia mkataba husika
      8. Mkataba huo unakuwa sehemu ya sheria za nchi,
      9. Unasainiwa na rais na kutangazwa katika gazeti za serikali GN.
      10.Ndio unakuwa umeridhiwa, yaani ratified!.

      3. Mkataba wa Kimataifa ni nini, una sifa gani na Jee Muungano watu ni mkataba wa kimataifa?.
      Mkataba wa Kimataifa, ni mkataba kati nchi moja na nchi nyingine, au mikataba yote ya jumuiza za kimataifa ambayo nchi ama hutakiwa kuridhia, au kulazimishwa kuiheshimu hata kama haikuridhia. Mikataba hii au itifaki mbalimbali (protocals), hupaswa kuridhiwa kabla haijawa sheria kwa nchi husika.

      Mfano Tanzania iliridhia mkataba wa mahakama ya kimataifa ya Biashara, ICC. Dowans iliposhinda ile kesi, imepaswa kuisajili hukumu hiyo kwenye mahakama zetu (ratification), ili hukumu hiyo igeuke sheria zetu, (domestic law) na kutekelezwa. Watu humu walipiga sana kelele, nilipouangalia mkataba ule humu jf, nikawaambia wana jf wenzangu, hatuna pa kutokea, tozo ile italipwa tuu mara baada ya tozo hiyo kusajiliwa, kinachoendelea sasa ni delaying tactics ambayo nayo tutailipia dearly!.

      Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, ni mkataba halali wa kimataifa wenye sifa muhimu za mkataba, japo una mapungufu mengi kubwa likiwa ni kitu kinachoitwa "Privity of Contrac" ambapo mkataba ulikuwa kwa lugha ya Kiingereza na signatory mmoja alikuwa msomi anaejua kusoma na kuandika kiingereza, wakati signatory wa pili hakujua kusoma, kuandika wala kiingereza, hivyo alisaini kwa dole gumba!.

      Ufafanuzi zaidi kuhusu Muungano kuwa ni mkataba wa kimataifa, unapatikana pia katika ukurasa wa kwanza wa andiko la
      Prof. Shivji kwenye kitabu cha "The Legal Foundation of the Union in Tanzania and Zanzibar Constitution, DUP, 1990.

      Kwa faida ya wasoma kimombo, tembelea
      THE UNION BETWEEN TANGANYIKA AND ZANZIBAR

      Angalizo.
      Unaruhusiwa kucoment chochou wakati mada hii ikiteremka, ila naomba usiniulize kitu chochote kabla sijafika mwisho,
      maana sitakujibu ila nikishamaliza sura zote kumi, nitapokea maswali, maoni au mapendekezo.

      Natanguliza shukrani.

      Pasco.
      SOMENI HII

      http://www.zanzinet.org/files/legality_union.pdf
      Pasco likes this.

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...