Wanataka ndani ya siku saba serikali ya CCM iwe imefanya haya:
1. Ndarichako awe amejiuzulu
2. Uwiano wa wafanyakazi wa NECTA kati ya Wakristo na waislam
3. Kuundwa tume huru kuchunguza kufelishwa kwa wanafunzi wa kiislam
4.........
5 Serikali iwape nafasi wanafunzi wote ambao baada ya matokeo yao kubadilishwa wamekuwa na sifa za kujiunga na vyuo vikuu waruhusiwe kuomba mikopo bodi ya mikopo,
Wanataka ndani ya siku saba serikali ya CCM iwe imefanya haya:
1. Ndarichako awe amejiuzulu
2. Uwiano wa wafanyakazi wa NECTA kati ya Wakristo na waislam
3. Kuundwa tume huru kuchunguza kufelishwa kwa wanafunzi wa kiislam
4.........
Consern
Kipi kitafuata?????
Risasi tu sindiyo uwezo wa serikali uliobaki....
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
La 3 laweza kufanyika.... La 1&2 ni Kama kudai mahakama ya kadhi hayawezekani kwa Sababu hatuchagui watu kwa dini zao... Lakini kwa serikali ya JK lolote lawezakana!!!!
jamani tunaelekea wapi?hivi necta watu wanaenda kuongoza ibada kule?matokeo ya uongozi legelege kwenye hii nchi ndo yanatufikisha hapa.suala la kuingiza udini kwenye taasisi ya serikali ni upuuzi ambao haupaswi kuendekezwa hata kidogo
La 3 laweza kufanyika.... La 1&2 ni Kama kudai mahakama ya kadhi hayawezekani kwa Sababu hatuchagui watu kwa dini zao... Lakini kwa serikali ya JK lolote lawezakana!!!!
Mkuu muonamambo naona umeona mambo! Hilo la pili ni chokochoko tu. Tukianza hivyo itakuea tabu kweli kwa Tanzania. Hapa kuna wanawake wanataka asilimia 50; hapo tuna shida tayari. Kesho useme wakristo asilimia 50 na waislamu 50 keshokutwa wasukuma nao watataka asilimia yao! Wakurya nao watake sehemu yao kisha wachagga nao wajimegee sehemu yao kwenye vyombo vya nchi: Tutakuwa na nchi kweli hapo.
Kosa limetokea na Waziri amekiri na kuomba radhi baada ya maelezo lakini naona watu wanataka roho yake!
jamani tunaelekea wapi?hivi necta watu wanaenda kuongoza ibada kule?matokeo ya uongozi legelege kwenye hii nchi ndo yanatufikisha hapa.suala la kuingiza udini kwenye taasisi ya serikali ni upuuzi ambao haupaswi kuendekezwa hata kidogo
jamani tunaelekea wapi?hivi necta watu wanaenda kuongoza ibada kule?matokeo ya uongozi legelege kwenye hii nchi ndo yanatufikisha hapa.suala la kuingiza udini kwenye taasisi ya serikali ni upuuzi ambao haupaswi kuendekezwa hata kidogo
Tudhulumiwe tukae tunaogopaogopa kuitwa wadini> mtaita wadini mpaka mchoke, nyiyi msio na dini mbona mmewafelisha watoto zetu walio pasi?
Hivi kwa nini haya masomo ya dini yasiondolewe kwenye mitaala ya serikali? Serikali si haina dini ya nini sasa kujishughulisha na kusimamia mitihani ya kidini! Wawachie viongozi wa dini kuendesha mitihani ya masomo ya kidini nje ya mfumo wa kiserikali ili kuepukana na mambo kama haya.
Hawa watu ni tatizo na wanamatatizo ya kufikri na kuona, waziri na katibu mkuu wote Waislamu na Rais, sasa wamchukue Mufti na mashehe wote wakasaishe na kuchagua wanafunzi ,Waziri katoa taarifa inajitoshereza na inajibu madai yao yote bado wanaandamana tu nchi isitawalike na wanataka wapate nafasi ya kuchoma na kupora makanisa kama ilivokua zanzibar na polisi wamejua akili yao wameandamana na kufanya mkutano sasa mwislamu mwenzao wanataka ajiuzuru, tatizo si necta Tatizo ni uwezo mdogo wa kufikiri
By dosama
Wanataka ndani ya siku saba serikali ya CCM iwe imefanya haya:
1. Ndarichako awe amejiuzulu
2. Uwiano wa wafanyakazi wa NECTA kati ya Wakristo na waislam
3. Kuundwa tume huru kuchunguza kufelishwa kwa wanafunzi wa kiislam
4.........
jamani tunaelekea wapi?hivi necta watu wanaenda kuongoza ibada kule?matokeo ya uongozi legelege kwenye hii nchi ndo yanatufikisha hapa.suala la kuingiza udini kwenye taasisi ya serikali ni upuuzi ambao haupaswi kuendekezwa hata kidogo
Kweli nimeamini! Ukizoea vyakunyonga vyakuchinja huviwezi. Hivi NECTA ni parokia? Kwanini computer zote zimejaa magospel songs? Hawa ndio wachakachuaji na wako tayari damu imwagike lakini wizara na necta hawaziachii na atakayefumua haya madude inamhitaji kuwa na roho ngumu kwani mfumokristo umeweka mizizi na inazidi kustawi hadi kutokezea nje. Hili limfumo kristo litasababisha maafa muda si mrefu.
Kweli nimeamini! Ukizoea vyakunyonga vyakuchinja huviwezi. Hivi NECTA ni parokia? Kwanini computer zote zimejaa magospel songs? Hawa ndio wachakachuaji na wako tayari damu imwagike lakini wizara na necta hawaziachii na atakayefumua haya madude inamhitaji kuwa na roho ngumu kwani mfumokristo umeweka mizizi na inazidi kustawi hadi kutokezea nje. Hili limfumo kristo litasababisha maafa muda si mrefu.
Na Rais na Makamu Rais wangekuwa Wakristu napo ingekuwa balaaa, kila siku ingekuwa maandamano tu, sijui tutafika wapi kwa hii hali!!!!
............Attitude towards Change.................
Mbona sisi wakristo tunampenda sana JK Wakati ni Muislam???? Wala hatuna shaka na utendaji wa waislam serikalini? Ni vizuri mtu akawajibika bila kujali anatoka dini gani kwani kutowajibika hakutokani na dini ile tabia ya mtu binafsi. Kama kuna ushahidi wa udini ni dhambi.
Follow Us Here