Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 90
    1. #1
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 573
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Wanataka ndani ya siku saba serikali ya CCM iwe imefanya haya:

      1. Ndarichako awe amejiuzulu
      2. Uwiano wa wafanyakazi wa NECTA kati ya Wakristo na waislam
      3. Kuundwa tume huru kuchunguza kufelishwa kwa wanafunzi wa kiislam
      4.........
      5 Serikali iwape nafasi wanafunzi wote ambao baada ya matokeo yao kubadilishwa wamekuwa na sifa za kujiunga na vyuo vikuu waruhusiwe kuomba mikopo bodi ya mikopo,

      Imetolewa na Shekhe Mkuu wa Tanzania

      Consern

      Kipi kitafuata?????
      Last edited by dosama; 8th June 2012 at 21:19.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,136
      Rep Power : 14291
      Likes Received
      4019
      Likes Given
      3281

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Quote By dosama
      Wanataka ndani ya siku saba serikali ya CCM iwe imefanya haya:

      1. Ndarichako awe amejiuzulu
      2. Uwiano wa wafanyakazi wa NECTA kati ya Wakristo na waislam
      3. Kuundwa tume huru kuchunguza kufelishwa kwa wanafunzi wa kiislam
      4.........


      Consern

      Kipi kitafuata?????
      Risasi tu sindiyo uwezo wa serikali uliobaki....
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    4. #3
      muonamambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 554
      Rep Power : 553
      Likes Received
      164
      Likes Given
      938

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      La 3 laweza kufanyika.... La 1&2 ni Kama kudai mahakama ya kadhi hayawezekani kwa Sababu hatuchagui watu kwa dini zao... Lakini kwa serikali ya JK lolote lawezakana!!!!

    5. #4
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,086
      Rep Power : 540
      Likes Received
      262
      Likes Given
      393

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Dhuluma isiyoelezeka.

    6. #5
      4change's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 184
      Rep Power : 400
      Likes Received
      44
      Likes Given
      11

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      jamani tunaelekea wapi?hivi necta watu wanaenda kuongoza ibada kule?matokeo ya uongozi legelege kwenye hii nchi ndo yanatufikisha hapa.suala la kuingiza udini kwenye taasisi ya serikali ni upuuzi ambao haupaswi kuendekezwa hata kidogo
      Hofstede and Kipimbwe like this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,742
      Rep Power : 3771
      Likes Received
      1202
      Likes Given
      560

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      waunde NECTA yao, hii wawaachie magalatia..kwani nani kazuia?
      Moola's the motive

    9. #7
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,488
      Rep Power : 6171
      Likes Received
      3059
      Likes Given
      1020

      Default

      Quote By muonamambo
      La 3 laweza kufanyika.... La 1&2 ni Kama kudai mahakama ya kadhi hayawezekani kwa Sababu hatuchagui watu kwa dini zao... Lakini kwa serikali ya JK lolote lawezakana!!!!
      Mkuu muonamambo naona umeona mambo! Hilo la pili ni chokochoko tu. Tukianza hivyo itakuea tabu kweli kwa Tanzania. Hapa kuna wanawake wanataka asilimia 50; hapo tuna shida tayari. Kesho useme wakristo asilimia 50 na waislamu 50 keshokutwa wasukuma nao watataka asilimia yao! Wakurya nao watake sehemu yao kisha wachagga nao wajimegee sehemu yao kwenye vyombo vya nchi: Tutakuwa na nchi kweli hapo.
      Kosa limetokea na Waziri amekiri na kuomba radhi baada ya maelezo lakini naona watu wanataka roho yake!
      muonamambo and kayumba like this.

    10. #8
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 606
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Sio mazito ni ya kidini tu. Serekali ikemee huu udini unaoenezwa na ndugu zetu waislamu
      Kipimbwe likes this.

    11. #9
      sapiesia's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 357
      Likes Received
      10
      Likes Given
      1

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      hapo tu mitihan na suala litakuwa solved wangechomewa nyumba za ibada cjui ingekuwaje??wangelala barabarani...

    12. #10
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Dawa ya wajinga ni kuwapuuzia tu
      fundimchundo and RGforever like this.

    13. #11
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,488
      Rep Power : 6171
      Likes Received
      3059
      Likes Given
      1020

      Default

      Quote By 4change
      jamani tunaelekea wapi?hivi necta watu wanaenda kuongoza ibada kule?matokeo ya uongozi legelege kwenye hii nchi ndo yanatufikisha hapa.suala la kuingiza udini kwenye taasisi ya serikali ni upuuzi ambao haupaswi kuendekezwa hata kidogo
      Hivi waziri wa elimu naye ni mumission?

    14. #12
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Quote By 4change
      jamani tunaelekea wapi?hivi necta watu wanaenda kuongoza ibada kule?matokeo ya uongozi legelege kwenye hii nchi ndo yanatufikisha hapa.suala la kuingiza udini kwenye taasisi ya serikali ni upuuzi ambao haupaswi kuendekezwa hata kidogo
      Tudhulumiwe tukae tunaogopaogopa kuitwa wadini> mtaita wadini mpaka mchoke, nyiyi msio na dini mbona mmewafelisha watoto zetu walio pasi?
      mtznunda likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    15. #13
      Masanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th May 2011
      Posts : 26
      Rep Power : 412
      Likes Received
      0
      Likes Given
      4

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      waislim wamechoka kuonewa juu ya mfumu uliopo baraza la mitihani wa kuwakata marks wanafunzi wa kiislam kila mwaka

    16. #14
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,488
      Rep Power : 6171
      Likes Received
      3059
      Likes Given
      1020

      Default

      Hivi kwa nini haya masomo ya dini yasiondolewe kwenye mitaala ya serikali? Serikali si haina dini ya nini sasa kujishughulisha na kusimamia mitihani ya kidini! Wawachie viongozi wa dini kuendesha mitihani ya masomo ya kidini nje ya mfumo wa kiserikali ili kuepukana na mambo kama haya.
      Incognito likes this.

    17. #15
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 606
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Nashauri Ponda awe katibu mtendaji
      KOMBESANA likes this.

    18. #16
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,991
      Rep Power : 1647
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      417

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      hawa watu mambo yasiyo na maana huwa wanayaona ye maana na yaliyo ya maana wanayaonaga hayana maana.
      Revolutionalist and sister like this.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    19. #17
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,659
      Rep Power : 717
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Hawa watu ni tatizo na wanamatatizo ya kufikri na kuona, waziri na katibu mkuu wote Waislamu na Rais, sasa wamchukue Mufti na mashehe wote wakasaishe na kuchagua wanafunzi ,Waziri katoa taarifa inajitoshereza na inajibu madai yao yote bado wanaandamana tu nchi isitawalike na wanataka wapate nafasi ya kuchoma na kupora makanisa kama ilivokua zanzibar na polisi wamejua akili yao wameandamana na kufanya mkutano sasa mwislamu mwenzao wanataka ajiuzuru, tatizo si necta Tatizo ni uwezo mdogo wa kufikiri
      Quote By dosama
      Wanataka ndani ya siku saba serikali ya CCM iwe imefanya haya:

      1. Ndarichako awe amejiuzulu
      2. Uwiano wa wafanyakazi wa NECTA kati ya Wakristo na waislam
      3. Kuundwa tume huru kuchunguza kufelishwa kwa wanafunzi wa kiislam
      4.........


      Consern

      Kipi kitafuata?????

    20. #18
      Bornvilla's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 0
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By 4change
      jamani tunaelekea wapi?hivi necta watu wanaenda kuongoza ibada kule?matokeo ya uongozi legelege kwenye hii nchi ndo yanatufikisha hapa.suala la kuingiza udini kwenye taasisi ya serikali ni upuuzi ambao haupaswi kuendekezwa hata kidogo
      Kweli nimeamini! Ukizoea vyakunyonga vyakuchinja huviwezi. Hivi NECTA ni parokia? Kwanini computer zote zimejaa magospel songs? Hawa ndio wachakachuaji na wako tayari damu imwagike lakini wizara na necta hawaziachii na atakayefumua haya madude inamhitaji kuwa na roho ngumu kwani mfumokristo umeweka mizizi na inazidi kustawi hadi kutokezea nje. Hili limfumo kristo litasababisha maafa muda si mrefu.

    21. #19
      Raiamwematz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 375
      Likes Received
      18
      Likes Given
      6

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Quote By Bornvilla
      Kweli nimeamini! Ukizoea vyakunyonga vyakuchinja huviwezi. Hivi NECTA ni parokia? Kwanini computer zote zimejaa magospel songs? Hawa ndio wachakachuaji na wako tayari damu imwagike lakini wizara na necta hawaziachii na atakayefumua haya madude inamhitaji kuwa na roho ngumu kwani mfumokristo umeweka mizizi na inazidi kustawi hadi kutokezea nje. Hili limfumo kristo litasababisha maafa muda si mrefu.
      Na Rais na Makamu Rais wangekuwa Wakristu napo ingekuwa balaaa, kila siku ingekuwa maandamano tu, sijui tutafika wapi kwa hii hali!!!!
      ............Attitude towards Change.................

    22. #20
      kibananhukhu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2009
      Posts : 234
      Rep Power : 549
      Likes Received
      66
      Likes Given
      72

      Default Re: Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito

      Mbona sisi wakristo tunampenda sana JK Wakati ni Muislam???? Wala hatuna shaka na utendaji wa waislam serikalini? Ni vizuri mtu akawajibika bila kujali anatoka dini gani kwani kutowajibika hakutokani na dini ile tabia ya mtu binafsi. Kama kuna ushahidi wa udini ni dhambi.

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...