NIMEFUATILIA BAADHI YA PICHA NIKABAINI KWAMBA SIYO KWELI MIKUTANO YA CDM KANDA YA KUSINI INAJAZA KAMA INAVYODAIWA NA WANAZI WA CHAMA HICHO,SITAKU KUSEMA CDM KASKAZINI OK LAKINI BADO SAFARIO NI NDEFU KATIKA KUJIHAKIKISHI INATWAA NCHI UCHAGUZI UJAO.ANGALIA HII PICHA
NIMEFUATILIA BAADHI YA PICHA NIKABAINI KWAMBA SIYO KWELI MIKUTANO YA CDM KANDA YA KUSINI INAJAZA KAMA INAVYODAIWA NA WANAZI WA CHAMA HICHO,SITAKU KUSEMA CDM KASKAZINI OK LAKINI BADO SAFARIO NI NDEFU KATIKA KUJIHAKIKISHI INATWAA NCHI UCHAGUZI UJAO.ANGALIA HII PICHA
Mkuu nina wasiwasi na IQ yako! Hivi Mkoa wa Mtwara na Lindi una watu wangapi? Na je kata zao zina watu wangapi? Unategemea mkutano katika kata za Lindi na Mtwara iidhuriwe na watu 50,000 na wakati kata ina watu 500?
fungua link baaada ya mada hapo chini uone mkutano wa mnyika ulivyokuwa na watu kiduchu kinachotumuka hapo ni kutumika kwa picha za maeneo machache ya mjini yenye watu wengi kwa waandishi wenu wa habari mnaowanunua kwani nani hajuhi hilo ?
cheki sasa unavyojichanganya,nape atakunyima posho yako bureeee,wewe mwenyewe umesema maeneo ya mjini ndiyo yenye watu wengi,sasa kama cdm wamefanya mikutano yao kwenye kata zenye watu 2000 unataka hao watu wengi watoke wapi?kumbuka cdm haitumii malori wala haipiki wali.Kajipange urudi tena au alyekutuma mwambie sijawakuta
Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwagharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.
NIMEFUATILIA BAADHI YA PICHA NIKABAINI KWAMBA SIYO KWELI MIKUTANO YA CDM KANDA YA KUSINI INAJAZA KAMA INAVYODAIWA NA WANAZI WA CHAMA HICHO,SITAKU KUSEMA CDM KASKAZINI OK LAKINI BADO SAFARIO NI NDEFU KATIKA KUJIHAKIKISHI INATWAA NCHI UCHAGUZI UJAO.ANGALIA HII PICHA
Mkuu, hapo mkutano bado haujaanza. hapo walikuwa wanapita kwenye vitongoji kuhamasisha watu juu ya wajibu wa serikali, katiba mpya na haki zao. kwa full picha za mkutano angalia ITV
Mkuu, hapo mkutano bado haujaanza. hapo walikuwa wanapita kwenye vitongoji kuhamasisha watu juu ya wajibu wa serikali, katiba mpya na haki zao. kwa full picha za mkutano angalia ITV
babu hizi ni akili za nape tu wala zisitupotezee mda humu jamvini....................... .
Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwagharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.
hivi store ya kuwekea akili za wana CCM ni wapi/dodoma au ofisi ndogo ya lumumba?
siku hiyo store itakapo ungua hata mkienda chadema mtakuwa hamna akili maana zitaungulia humo.
akili kaeni nazo ili ziwasaidie.
Kwahiyo unataka kusema nini? acha upuuzi tutaikomboa nchi yote pamoja na wewe utafaidi matunda ya ukombozi, japokuwa hupendi mwambie aliyekutuma kuwa cdm is unstopable now.
Ukisikia kuweweseka ndiyo huku!! Na bado watani zetu, nyinyi badala ya kuhangaika na kiutimiza ahadi zenu, nimefarijika kwamba sasa mnacheza tune za dance la M4C!!
M4C=MOVEMENT FOR CHRISTIANS, Aliyeleta umaskini mikoa ya kusini sio ccm bali nyerere kwa miaka 25 aliyokaa madarakani hakupeleka hata kipande cha km tano cha lami, aling'oa reli, na kuua viwanda vya korosho, Nyerere the no.1 south regions enemy
Hivi mkoloni ndiye alijenga viwanda vya korosha?
TANITA je alijenga nani?
For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.
mnabebwa na waandishi wa habari wenye njaa akina mutabuzi hamna lolote siku si chache hata arusha na kilimanjaro watawakataa baada ya kubaini utapeli wa kilaza lema na dj mbowe
NIMEFUATILIA BAADHI YA PICHA NIKABAINI KWAMBA SIYO KWELI MIKUTANO YA CDM KANDA YA KUSINI INAJAZA KAMA INAVYODAIWA NA WANAZI WA CHAMA HICHO,SITAKU KUSEMA CDM KASKAZINI OK LAKINI BADO SAFARIO NI NDEFU KATIKA KUJIHAKIKISHI INATWAA NCHI UCHAGUZI UJAO.ANGALIA HII PICHA
tunakwenda kwenye uzalendo vaeni makwanda yenu jayo labda karibu zaidi ni 2030 ambapo hata kilaza lema na dj mbowe watakuwa wameng'oka meno kutokana na kufakamia viroba na kuvaa maturubai
Follow Us Here