Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwakyembe je wajua? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      spencer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Location : OckLahoma.
      Posts : 935
      Rep Power : 621
      Likes Received
      292
      Likes Given
      128

      Default Mwakyembe je wajua? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      GreatThinkers,
      Hii nayo ni habari ya kweli hutaki unaacha.
      ukifika counter unaambiwa nafasi hakuna, waliokata kihalali ni watu kama 15,wakati watu hamsini au zaidi waliobaki wanapitia njia ya panya kwa kulipia 50,000 tu.

      Napendekeza wanyongwe ili adabu na uzalendo uwepo. Hii ni dharau!!!!
      Hofstede, TIMING and MAKAH like this.
      Don'T ConfusE Me If You Can'T ConvicE Me!! CCM ni kichaka cha WezI Tu

    2. Study Abroad

    3. #2
      StaffordKibona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Location : Tabora
      Posts : 673
      Rep Power : 699
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Mwe Tufwile! Mwe!!!!!!
      Utwambombo

    4. #3
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,669
      Rep Power : 0
      Likes Received
      537
      Likes Given
      272

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Umetuhumu, kisha ukatoa na mapendekezo!

      Mkuu pia kuna tetesi kuna watu wamekosa nafasi za kazi ndio wapika majungu sana ATCL , je umeshawahi kusikia hizi taarifa mkuu?

    5. #4
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Quote By spencer
      GreatThinkers,
      Hii nayo ni habari ya kweli hutaki unaacha.
      ukifika counter unaambiwa nafasi hakuna, waliokata kihalali ni watu kama 15,wakati watu hamsini au zaidi waliobaki wanapitia njia ya panya kwa kulipia 50,000 tu.

      Napendekeza wanyongwe ili adabu na uzalendo uwepo. Hii ni dharau!!!!
      Ina maana watu wengi wanaopanda ndege za ATCL hawalipi nauli? Nasikia TRC nayo ilikwenda kaburini kwa style hiyo hiyo
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    6. #5
      Steven Sambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2008
      Location : Warsaw, Poland
      Posts : 194
      Rep Power : 589
      Likes Received
      30
      Likes Given
      183

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Nimeshasikia hiyo kitu. Mtu mzima anakata ticket ya mtoto wa miaka 2? Hihihiiii.............

      Ila hiyo ipo zaidi Precision Air na mashirika mengine ya Kiswahili.

      Waswahili kwa madeal huwawezi.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 960
      Rep Power : 578
      Likes Received
      154
      Likes Given
      2

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Dats is serious issue

    9. #7
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Ndahani
      Ina maana watu wengi wanaopanda ndege za ATCL hawalipi nauli? Nasikia TRC nayo ilikwenda kaburini kwa style hiyo hiyo
      ekzaktly,,,,,mi mwenyewe nimepanda sana kwa styl hiyo,,,,unaongea na mhudumu wa BEHEWA,CLEANER,AU TT(SIJUI KIREFU CHAKE)
      Ndahani likes this.

    10. #8
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,586
      Rep Power : 1069
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default

      Quote By spencer
      GreatThinkers,
      Hii nayo ni habari ya kweli hutaki unaacha.
      ukifika counter unaambiwa nafasi hakuna, waliokata kihalali ni watu kama 15,wakati watu hamsini au zaidi waliobaki wanapitia njia ya panya kwa kulipia 50,000 tu.

      Napendekeza wanyongwe ili adabu na uzalendo uwepo. Hii ni dharau!!!!
      Uongo wa mchana huu!! Sasa utacheck in vipi? Unapoenda Nairobi lazima upitie kule International departures ambako passport inakuwa linked na ticket. Ticket za ndege ni online na zinadhibitiwa kwa ajili ya usalama wa ndege kwa maghaidi. Ingekuwa ni bus ningesema waliolipa 50elfu watapandia Mbezi but kwenye ndege labda kama itatua sehem kwa ajili ya kuwapakia. Ukileta justification za hii tuhuma zitawasaidia sana wana usalama kuboresha usalama wa ndege. Kumbuka wanaokagua ticket na vitambulisho sio Airline ni watu wa usalama ambao hawahusiani na shirika la ndege
      Mchana likes this.

    11. #9
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 954
      Rep Power : 628
      Likes Received
      116
      Likes Given
      674

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      uchafu huo wa ATCL umesisikika sana - watu wanasimamishwa kazi au wanastaafu hawalipi nauli wao pamoja na familia zao na nyumba za pembeni - utafanya biashara kweli hapo. Na hiyo ni safari za masafa marefu sio Tz au EAC

    12. #10
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Quote By Bajabiri
      ekzaktly,,,,,mi mwenyewe nimepanda sana kwa styl hiyo,,,,unaongea na mhudumu wa BEHEWA,CLEANER,AU TT(SIJUI KIREFU CHAKE)
      Halafu akija muwekezaji inakuwaje? Maana muwekezaji anachokuja kufanya ni kuongeza walinzi na kupunguza wakata ticket. that is it!!
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    13. #11
      Synthesizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2010
      Posts : 802
      Rep Power : 712
      Likes Received
      368
      Likes Given
      32

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Quote By spencer
      GreatThinkers,
      Hii nayo ni habari ya kweli hutaki unaacha.
      ukifika counter unaambiwa nafasi hakuna, waliokata kihalali ni watu kama 15,wakati watu hamsini au zaidi waliobaki wanapitia njia ya panya kwa kulipia 50,000 tu.

      Napendekeza wanyongwe ili adabu na uzalendo uwepo. Hii ni dharau!!!!
      Wanaingiaje kwenye ndege bila boarding pass? Maana kuna sehemu mbili za kucheck boarding pass; kwenyegate, ambako boarding pass itachanwa na abiria aachiwe stub, na mlangoni kwenye ndege, ambako abiria anatakiwa aonyeshe stub ili waone kama yuko kwenye flight sawa.

      Ina maana ATCL abiria wanapanda kwa free seating bila kupewa seat number?

    14. #12
      mbumbumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2010
      Location : Nyasamba, Shinyanga vijijini
      Posts : 471
      Rep Power : 523
      Likes Received
      75
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By Ulukolokwitanga
      Uongo wa mchana huu!! Sasa utacheck in vipi? Unapoenda Nairobi lazima upitie kule International departures ambako passport inakuwa linked na ticket. Ticket za ndege ni online na zinadhibitiwa kwa ajili ya usalama wa ndege kwa maghaidi. Ingekuwa ni bus ningesema waliolipa 50elfu watapandia Mbezi but kwenye ndege labda kama itatua sehem kwa ajili ya kuwapakia. Ukileta justification za hii tuhuma zitawasaidia sana wana usalama kuboresha usalama wa ndege. Kumbuka wanaokagua ticket na vitambulisho sio Airline ni watu wa usalama ambao hawahusiani na shirika la ndege
      We na wewe.. Nway mradi umepost.. Sasa kama wanaokagua tikiti ni usalama wa taifa na kwamba hawana uhusiano au linjage yoyote na ATCL, sasa ulichomsahihisha mwenye thread ni nini?? Kama wanakagua TISS ina maana takwimu za tikiti wanazo wao na si ATCL.. Kwa maana nyingine hata kama kuna tikiti 20 za dili chini ya ATCL menejment kuihujumu serikali hakuna wa kuzisemea, hata kama TISS watakuwa wameona si jukumu lao, na inawezekana hawafanyi ”book-reconcilliation na ATCL, as u said no direct linkage in-between..

      Kwa maneno mengne unakubali kwamba ufisadi wa kulipa nauli tofauti unafanyika sana pale ATCL.. Hakuna wa kumshika mwenzake. Hzo taratibu za usalama wa taifa hazihusiani na bei ya tikiti, labda useme mtu hapewi tikiti na usalama wa taifa wanataka kukagua validity ya mtu kupitia tikiti hapo ndo pana point.

      Mbumbumbu intelligent.

    15. #13
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      bongo amazes me so much...yaani kila sehemu ya kazi ina madili...dah!!
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    16. #14
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Mh ! hebu tujuzeni zaidi hii picha inavyochezwa maana mpaka sasa sijaelewe na security zote za airport hili linafanyikaje? naona kama ni kimajungu zaidi hebu tujuzeni zaidi.

    17. #15
      Gongolo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 84
      Rep Power : 451
      Likes Received
      11
      Likes Given
      24

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Pia complimentary ni nyingi zinatolewa.

    18. #16
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Quote By spencer
      GreatThinkers,
      Hii nayo ni habari ya kweli hutaki unaacha.
      ukifika counter unaambiwa nafasi hakuna, waliokata kihalali ni watu kama 15,wakati watu hamsini au zaidi waliobaki wanapitia njia ya panya kwa kulipia 50,000 tu.

      Napendekeza wanyongwe ili adabu na uzalendo uwepo. Hii ni dharau!!!!
      Mkuu nakubaliana na wewe kwa 100%. Katika sehemu ambazo Mwakyembe anatakiwa kuwamulika wale watu wa counter pia. Yaani kama kuua shirika ni wale. Nilifika kutaka ticket ya kwenda mkoa mmoja wa magharibi. Nilikuta wadada wawili na mama mmoja amevaa hijab(huyu alikuwa kimya sana) na kujifanya yupo busy kwenye mtandao.

      Nikaambiwa return ticket ni laki mbili na themanini. Nikaenda CRDB PPF Tower kuchukua hela ili nije kulipa maana walikuwa hawana facility za kulipia online. Nilipofika tu dada mmoja akaniambia samahani kaka nimepata msg nafasi hakuna kwa tarehe unayotaka, nikamwambia zipo za lini?, akanitajia tarehe ya mbele a week after nikamwambia Okay nikatie hiyo akaniambia ngojea ni confirm kwanza, mara akasema mtandao upo down. Akachukua simu na kuanza kuongea kwa coding language, 'H1 H1 upo, kuna mtu hapa wa tarehe...,' baada ya sekunde ishirini za kujifanya anasikiliza simu akaniambie tena samahani kumbe nayo imeishajaa. Akaniambia ila kuna watu huwa wana cancel hivyo niachie namba yako ntakupigia ikitokea, nikamwachia nilipokuwa njiani narudi home simu ikaita, nikapaki na kupokea akaniambia kuna mtu ame-cancel ile tarehe niliyoitaka mwanzo ila bei yake itaongeza alfu 50,000 kwenye bei ya kawaida nikamwambia nimeahirisha safari. Tokeo siku hiyo sikuwahi kuwaza su kufikiria kusafiri na ATC tena.

      Matendo kama haya ya mpaka watu wa counter kutaka kutengeneza pesa ndiyo yameifikisha ATC hapo ilipo. Mimi ningekuwa Mwakyembe ningeagiza hata ukataji wa ticket uwe electronised na ofisi ya GM ndiyo iwe inashughulika na ticket moja kwa moja wale wa pale chini wote ni redundant. Kama una ndege moja haihitaji complex workforces kabisa, halafu wawe wanaajiri kulingana na demand ya wateja na ongezeko la huduma za ndege. Demand for local flight in Tanzania is very high but we don't have serious people who can it into profitable venture. Kila mtu akiingia anawaza kuchuma aondoke. Serikali inatakiwa kutafuta watu watatu makini sana na kuingia nao mkataba wa management for ten years, na kama watawafukuza wawalipe bilioni tano kila mmoja ila kwa masharti kuwa kwa muda wa miaka mitano ATCL iwe na ndege zisizopungua saba, na waruhusiwe kuajiri na kuachisha yeyote yule.

      ATCL haitaweza kuwa profitable katika mazingira ya wafanyakazi wa sasa wote ninasema wote pale Makao makuu hawafai ni wezi wala rushwa wanahujumu shirika kwa ajili ya kupata cha juu.
      Last edited by Hofstede; 8th June 2012 at 14:44.
      Njowepo and Mwakalinga Y. R like this.

    19. #17
      rakeyescarl's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2007
      Posts : 341
      Rep Power : 657
      Likes Received
      46
      Likes Given
      199

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Mkuu,nadhani hii ni zamani au?
      Huyo anaye risk ni wa wapi? wakati kwenda MWZ na kurudi kwa ATCL na sasa Precision ni 190,000 au 130,000 kwenda tu, unaweza kuingia deal ya hivyo huku unachungulia jela?labda wasubiri zikipanda tena ndio wazee wazima wajiite watoto,so sad halafu hawa ndio wanamzomea Mh.Rais wakiwa mbele.Hii nchi inahitajika adhabu za papo kwa papo, umeshikwa kifo au unapotea.
      Hofstede and Mwakalinga Y. R like this.

    20. #18
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,586
      Rep Power : 1069
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default

      Quote By mbumbumbu
      We na wewe.. Nway mradi umepost.. Sasa kama wanaokagua tikiti ni usalama wa taifa na kwamba hawana uhusiano au linjage yoyote na ATCL, sasa ulichomsahihisha mwenye thread ni nini?? Kama wanakagua TISS ina maana takwimu za tikiti wanazo wao na si ATCL.. Kwa maana nyingine hata kama kuna tikiti 20 za dili chini ya ATCL menejment kuihujumu serikali hakuna wa kuzisemea, hata kama TISS watakuwa wameona si jukumu lao, na inawezekana hawafanyi ”book-reconcilliation na ATCL, as u said no direct linkage in-between..

      Kwa maneno mengne unakubali kwamba ufisadi wa kulipa nauli tofauti unafanyika sana pale ATCL.. Hakuna wa kumshika mwenzake. Hzo taratibu za usalama wa taifa hazihusiani na bei ya tikiti, labda useme mtu hapewi tikiti na usalama wa taifa wanataka kukagua validity ya mtu kupitia tikiti hapo ndo pana point.

      Mbumbumbu intelligent.
      Hakuna TISS mbumbumbu, wanaokagua ticket pale airport ni watu wa SWISSPORT na kwa kuwa ticket za ndege zinapatikana online sio rahisi kuiba ticket. Kama unasafiri kwa dili ina maana hautakuwa na ticket, na pale kwenye foleni utakutana na abiria wa KQ, Emirates, SAA nk which means kama hauna ticket haupiti. Labda ipigwe dili kati ya abiria, mkagua ticket wa swissport, anayefanya check in wa ATC na flight attendant anayechek boaring passs. Mimi binafsi siamini kama kuna dili la watu wengi. Tunaopandaga ndege za dili huwa ni katika ndege za jeshi au za serikali kwa misafara ya viongozi. Kwa commercial flight haiwezekani kuforge ticket kwa kuwa mfumo ni mmoja tu wa kukata ticket

    21. #19
      LOVI MEMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 514
      Rep Power : 464
      Likes Received
      79
      Likes Given
      5

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Si wapande mabasi. Tamaa ya ndege ya nini . Nchi ndivyo ilivyoishi kufoji kila kona sasa deni la taifa trilion 14 kwa sababu ya ukosefu wa uzalendo .kila mwaka ruzuku haziishi
      Quote By ssambali
      nimeshasikia hiyo kitu. Mtu mzima anakata ticket ya mtoto wa miaka 2? Hihihiiii.............

      Ila hiyo ipo zaidi precision air na mashirika mengine ya kiswahili.

      Waswahili kwa madeal huwawezi.

    22. #20
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 459
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default Re: Mwakyembe je wajua???? Watu wanapanda ATCL kwa 50,000Tsh.DAR/MWZ,DAR/JRO

      Quote By Bajabiri
      ekzaktly,,,,,mi mwenyewe nimepanda sana kwa styl hiyo,,,,unaongea na mhudumu wa BEHEWA,CLEANER,AU TT(SIJUI KIREFU CHAKE)


      Mimi nadhani mabadiliko ya aina au kitu chochote yanatakiwa kuanzia kwa mtu mmoja mmoja, sasa kiongozi wewe unasema umepanda kwa njia hiyo mara nyingi na unasikia ni ufahari lakini wakati huo huo unalaumu kuwa watendaji hawafanyi vizuri wakati wewe ndiye unayewashauwishi kufanya hivyo. Ni vizuri utkabadilika tupende vitu halali, tuache kununua magendo vitu vya wizi n.k, wenzetu wameendelea kwa kuweka maslahi ya nchi mbele, unanunua kitu lazima upewe risiti na ionyeshe bei halisi na kiasi cha kodi, bila hivyo mteja na kupeleka mbele ya sheria. Sisi tunafurahi kupata vya dezo halafu tunataka maendeleo, haiwezekani hata kidogo.

      Ukikuta mtu anakupata ticket ya ndege kwa 50,000 huyo ni adui toa taarifa ili iwe fundisho siyo kufurahi unaua maendeleo ya shirika na nchi pia. So tubadilike please, mabadiliko hayaji kwa kulipiza baya kwa baya, bali kwa kufanya what is right and just.

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...