Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 83
    1. #1
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,358
      Rep Power : 904
      Likes Received
      435
      Likes Given
      2288

      Default Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Chama cha makonda mkoa wa Dar-s-salaam (CHACHAMADA) na baadhi ya wamiliki wa mabus hayo ya usafiri ndani ya jiji la Dar wamekutana leo alfajiri somewhere(secret meeting) na kwa pamoja wameridhia kuwa kesho siku ya Jumamosi mtu yeyote atakaevaa
      vazi(nguo)yeyote inayoashiria sare ya CCM(kijani au njano) hatoruhusiwa kupanda daladala yoyote....zoezi hili litaanza kesho kuanzia saa 11 alfajiri hadi saa mbili usiku.

      Baada ya mda huo unaruhusiwa kuvaa nguo yenye rangi yeyote na ruksa kupanda daladala yeyote.

      Angalizo:


      Siyo watu wengi wanaoingia na kutumia mtandao wa JF. So ikopi hii message kama inavyojieleza kwa kutumia simu yako ya mkononi na uwatumie ndugu na marafiki zako wote wanaoishi ndani ya Dar na wanategemea usafiri wa mabus (Dala dala).

      Najua kuna baadhi ya watu watapinga habari hii....lakini mdharau mwiba mguu huota tende.

      Source
      - ni mtu wangu wa jikoni anaemiliki daladala 5 zenye route tofauti hapa Bongo...UTAKI UNAACHA.
      Elli, Msaranga and bibliography like this.


    2. #2
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,783
      Rep Power : 22096
      Likes Received
      1044
      Likes Given
      859

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Ni uamuzi mzuri sana maan ugumu wa maisha yetu unasababishwa na uatajiri wa vigogo wa CCM
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    3. #3
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,534
      Rep Power : 37790
      Likes Received
      4986
      Likes Given
      2348

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Wangewaruhusu tu waendee kuchukua t-shirt za kudekia na hela za kuchangia M4C
      muonamambo and saddam like this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    4. #4
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,358
      Rep Power : 904
      Likes Received
      435
      Likes Given
      2288

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Quote By mkaliwakitaa View Post
      nasikia kutapika
      Wee tapika tu lakini habari ndiyo hiyo....hata mimi imenisikitisha sana lakini sina jinsi.

    5. #5
      Janjaweed's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,700
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1416
      Likes Given
      1585

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      sasa hii sio safi, huwezi kumzuia mtu kufanya anavyotaka

      let them be, hatujafika huko


    6. #6
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Mkuu BashaDido kwenye taarifa hiyo kuna kitu umesahau hao wamiliki wa Daladala wamesema hata muda huo wa saa mbili usiku ile picha ya Jembe na Nyundo ibadilishwe iwe Kijiko na Uma au Kisu ili kufikisha maudhui halisi ya hicho chama cha Magamba
      Asterisk likes this.

    7. #7
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,053
      Rep Power : 1326
      Likes Received
      222
      Likes Given
      761

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Mimi ni mmiliki wa daladala ....acheni uzushi!!!!

    8. #8
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,053
      Rep Power : 1326
      Likes Received
      222
      Likes Given
      761

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Biashara kama kawa tena kutakuwa na punguzo la nauli kwa watakaovaa nguoa hizo

    9. #9
      Kalumbesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : Shamba
      Posts : 878
      Rep Power : 610
      Likes Received
      271
      Likes Given
      123

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Hii imetulia,ni meseji kwa chama tawala kwamba kama hawataacha ngonjera leo basi ni bora waachie madaraka leo 2015 mbali taifa linaweweseka
      The ballot is stronger than the bullet - Abraham Lincoln

    10. #10
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,053
      Rep Power : 1326
      Likes Received
      222
      Likes Given
      761

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Hakuna chama kiitwacho CHACHAMADA!!!

    11. #11
      DALLAI LAMA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 3,122
      Rep Power : 0
      Likes Received
      741
      Likes Given
      0

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      R.I.P ccm,mmeiga ya chadema jangwani i5a itawatokea puani.

    12. CPA is offline
      CPA
      #12
      CPA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 496
      Rep Power : 520
      Likes Received
      107
      Likes Given
      25

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Hii sio sawa! Mi binafsi siungi mkono, kila mtu anahaki ya kuchugua chama anachokipenda. Msilazimeshe mtu afuate unavyoamin wewe, wacha waende wakisilize pumba na uwongo wa CCM!
      saddam likes this.

    13. #13
      Mbalinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 661
      Rep Power : 599
      Likes Received
      131
      Likes Given
      0

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Sasa jamani sisi wana YANGA IMARA tliozoea mavazi hayo tufanyeje?

    14. #14
      Mkira's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2006
      Posts : 432
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      39
      Likes Given
      7

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Quote By DALLAI LAMA View Post
      R.I.P ccm,mmeiga ya chadema jangwani i5a itawatokea puani.
      Since 2005 when it comes to campaigning! CCM is the best to now, BUT WHEN IT COMES TO RULING AND SOLVING PEOPLES PROBLEM CCM is the worst so far! by mkira

    15. #15
      segwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 1,451
      Rep Power : 709
      Likes Received
      359
      Likes Given
      0

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Wanakuja kwa matembezi ya mshikamano toka maeneo mbalimbali ya jiji si kwa daladala.Polisi wao,mwema wao kova wao,mwamnyange wao,serikal yao

    16. #16
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,358
      Rep Power : 904
      Likes Received
      435
      Likes Given
      2288

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Quote By Mtanzania Imara View Post
      Hii imetulia,ni meseji kwa chama tawala kwamba kama hawataacha ngonjera leo basi ni bora waachie madaraka leo 2015 mbali taifa linaweweseka
      Mkuu, copy hiyo meseji kwenye simu yako ya mkononi na uwatumie ndugu na marafiki wote.

    17. #17
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,358
      Rep Power : 904
      Likes Received
      435
      Likes Given
      2288

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Quote By Precise pangolin View Post
      Mkuu BashaDido kwenye taarifa hiyo kuna kitu umesahau hao wamiliki wa Daladala wamesema hata muda huo wa saa mbili usiku ile picha ya Jembe na Nyundo ibadilishwe iwe Kijiko na Uma au Kisu ili kufikisha maudhui halisi ya hicho chama cha Magamba
      Copy hiyo meseji kwenye simu yako na uwatumie ndugu na marafiki wote kabla ya kesho. Binafsi hadi sasa nimeshatuma
      kwa watu 16.

    18. #18
      Rohombaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 378
      Rep Power : 478
      Likes Received
      58
      Likes Given
      41

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Hii imezidi bana. Tuacheni twende tukaserebuke na TOT. na kula wali wa bure ndio sikukuu yetu hii, Hatuna pesa ya kwenda hotel wala kulipa kuangalia TOT. Hatuendi kupiga kura jangwani hivyo sioni kama kuna sababu ya maana ya kuto kwenda
      Lakum diinukum waliyadiin!!!!

    19. #19
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,053
      Rep Power : 1326
      Likes Received
      222
      Likes Given
      761

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Makondakta si wamiliki wa daladala.....na wala makondakta hawana huu uzushi unaoenezwa,wao wantafuta pesa......!
      Propaganda mfu za wasipenda MAPINDUZI!!!!

    20. #20
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default re: Makonda: Atakaevaa sare ya CCM kesho, hapandi Daladala

      Ingekuwa nzuri sana kama habari hii ingekuwa ya kweli. Nina mashaka na mtoa mada pale alipojishuku na kujitilia shaka yeye mwenyewe. Hali tusiwe tunasapoti kila kitu, yaani konda na dereva walaze njaa familia zao kwa sababu ya CCM. Nadhani kesho ndo nafasi yao ya kuwakamua magamba.

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...