Chama cha makonda mkoa wa Dar-s-salaam (CHACHAMADA) na baadhi ya wamiliki wa mabus hayo ya usafiri ndani ya jiji la Dar wamekutana leo alfajiri somewhere(secret meeting) na kwa pamoja wameridhia kuwa kesho siku ya Jumamosi mtu yeyote atakaevaa
vazi(nguo)yeyote inayoashiria sare ya CCM(kijani au njano) hatoruhusiwa kupanda daladala yoyote....zoezi hili litaanza kesho kuanzia saa 11 alfajiri hadi saa mbili usiku.
Baada ya mda huo unaruhusiwa kuvaa nguo yenye rangi yeyote na ruksa kupanda daladala yeyote.
Angalizo:
Siyo watu wengi wanaoingia na kutumia mtandao wa JF. So ikopi hii message kama inavyojieleza kwa kutumia simu yako ya mkononi na uwatumie ndugu na marafiki zako wote wanaoishi ndani ya Dar na wanategemea usafiri wa mabus (Dala dala).
Najua kuna baadhi ya watu watapinga habari hii....lakini mdharau mwiba mguu huota tende.
Source - ni mtu wangu wa jikoni anaemiliki daladala 5 zenye route tofauti hapa Bongo...UTAKI UNAACHA.

Reply With Quote
Follow Us Here