Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waislam waandamana jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

    Report Post
    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 135
    1. #1
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default Waislam waandamana jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Tayari maandalizi yameanza. yataanzia viwanja mbali mbali na kumalizia kidongo Chekundu ambapo viongozi wa kiislam watahutubia kwa kueleza jinsi ya baraza hilo lilivyokuwa kikwazo wa wanafunzi wa kiislam.

      Agenda ni kumlazimisha DK ndalichako kungoka NECTA na kufanyika uchunguzi wa kina kuhusu tuhuma za baraza la mitihani kuwafelisha wanafunzi wa kiislam



      Redio imaan inatarajiwa kurusha LIVE

      MY TAKE
      Inawezekana hata huko Zanzibar matokeo ya wanafunzi yamechakachuliwa na NECTA. maana huko 98 ni muslim




      Waumini wa dini ya kiislamu wakiandamana kwa Kile walichodai kufelishwa kwa makusudi kwa mitihani yao
      Last edited by Malaria Sugu; 8th June 2012 at 12:46.

    2. FemaTV & Radio

    3. ATA
      #21
      ATA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Posts : 53
      Rep Power : 394
      Likes Received
      9
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By SILENT WHISPER
      nichofahamu baraza la mitihani huenda namba tu..! kwa hiyo kuna namba za kiislam..???
      kuelewa essence ya kinachojadiliwa kabla ya kuchangia ni dalili ya great thinker. Baraza wamekiri kuwa walifanya makosa na ndo maana wakarekebisha, sasa unaweza kujiuliza ni kwanini makosa hayo yafanyike kwa somo la kiislam na kwa wanafunzi wa kiislam tu na isiwe kwenye bible knowledge. Na mambo kama hayo lazima yalete dhana mbaya kwamba yanaweza kutokea hata kwa masomo mengine.

    4. #22
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By CHUAKACHARA
      Of course it is there right kuhoji matokeo ya mitihani yao, LAKINI mitihani ya bible knowledge na islamic knowledge inawasaidia nini katika soko la ajira/ joining universities. nadhani medicine/ engineering/law etc principal ya dini haisaidii kukuchagua kwenda huko, labda kwenye mikopo (division grading) , sijui. If it were me I will never make demonstration for such a thing, only table negotiations could suffice.
      Mkuu CHUAKACHARA, inaonesha jinsi gani kidhungu kinavyokupa shida! kwanini ujipe shida wakati unawasiliana na sisi wamatumbi wenzako?

    5. #23
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 536
      Rep Power : 531
      Likes Received
      87
      Likes Given
      20

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By BornTown
      Si walishatangaziwa kuwa ni marufuku kuandamana leo ama hawakusikia??? Wajaribu ku beep polisi waone kama watapigiwa ama watapotezewa....
      Wanachotaka ndio hicho hasa wamepotea kwenye media siku nyingi, wanataka waandikwe ili waonekane wapo. Huwa najiuliza tangu lini wenzetu wakaipa elimu uzito huo, je viongozi wao wamesoma? agenda iliyojificha ni udini sio hiyo ndo maana zenj wamechoma makanisa wakidai muungano, tatizo lao ni ukristo sio Necta
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    6. #24
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default

      Quote By ATA
      kuelewa essence ya kinachojadiliwa kabla ya kuchangia ni dalili ya great thinker. Baraza wamekiri kuwa walifanya makosa na ndo maana wakarekebisha, sasa unaweza kujiuliza ni kwanini makosa hayo yafanyike kwa somo la kiislam na kwa wanafunzi wa kiislam tu na isiwe kwenye bible knowledge. Na mambo kama hayo lazima yalete dhana mbaya kwamba yanaweza kutokea hata kwa masomo mengine.
      yamefanyika kwenye islamic
      knowledge kwa sababu mfumo wa kukokotoa wastani ulifanya kama wamefanya mitihani mitatu ulivyokuwa programmed siku zote lakini kumbe awamu hii wameanza kufanya mitihani miwili tu...ni kitu kidogo kilichorekebishwa na kisitumike ku justify madai ya waislam kwamba wanaonewa...naona hapa ni kwamba watu wamepata upenyo wa kutoa frustrations zao baada ya wanafunzi wengi wa kiislamu kufeli na wale wa zanzibar kufutiwa matokeo yao ya form iv...nilikuwa mdogo lakini natamani sana yale mambo ya nguvu kazi yarudi maana majitu yanajikalia tu bila cha kufanya mpaka yanaanza kujazana uchafu wa kufikirika kichwani...!

    7. #25
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By Barubaru
      Hongereni wa Tanganyika na waislam kijumla kuiona dhulma hiyo na kuiondosha kwa mikono yenu na sio kusubiri ihsani,

      Mola yupo nanyi.

      Radio imaan ipo kwenye mtandao na tulio nje ya Tz tutawasikia na tupo pamoja nanyi katika kupigania haki zenu hususan katika ilmu.
      Ustaadhi Barubaru, haki ya Elimu haipiganiwi kwa maandamano bali kwa utafiti wa kisayansi kubaini chanzo cha tatizo na kuchukua hatua stahiki. Hata kama Ndalichako akiondolewa baraza na akawekwa mvaa hijabu bado kiwango cha eilimu hakitapanda na waislamu wataendelea kufeli tu. Wewe kama msomi wa PhD ulipaswa kuwasidia waislam wenzako na sio kuwaunga mkono kwenye mambo ya kipumbavu.

    8. Miaka 50

    9. #26
      mgt software's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,747
      Rep Power : 782
      Likes Received
      138
      Likes Given
      201

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      waachwe waandamane ili duku lao liishe, angekuwepo kamanda TIBA angewaacha ili ajue nini kiini, kuwazuia huwezi jua kiini, ndio maana Kamanda TIBA kwa hili alilioona akawa anawaacha watu wote, wazee, vyama, na NGO mbali mbali.
      "Mtoto wa Maskini Hachagui Malezi, Tanganyika siyo Masikini Masikini ni wewe Unayehonga Haki yako Kwa Mafisadi" Bamugileki

    10. #27
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,529
      Rep Power : 1471
      Likes Received
      876
      Likes Given
      520

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By nipo hapa
      kama kumuachia mungu. Chadema ina madri 3. Lkn wanahaha kutaka ikulu. Jee wao hawamjui mungu?
      Hivi NECTA inaendeshwa na serikali ya CHADEMA? maana maudhui ya hoja yenu ni NECTA kuwaonea wanafunzi wa kiislamu,lakini chalange zenu zimeelemea Chadema why?
      Badala ya kupambana na CCM na Waziri Shukuru Kawambwa wa Elimu nyie mnawarukia Chadema. Hapo ndipo mnapopoteza maana ya hoja yenu na kuonekana uwezo wa kufikiri una walakini. Chadema ina lengo la kuwa na serikali makini ambayo watendaji wake hawatakuwa wanafanya makosa ya hovyo hovyo kama yaliyojitokeza huko NECTA.
      Iungeni mkono Chadema mpate NURU na maendeleo, msiikatae CCM kwa mkono wa kulia huku wa kushoto mnaikumbatia,huo unaitwa UNAFIKI.
      Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi

    11. #28
      Babkey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 1,986
      Rep Power : 913
      Likes Received
      397
      Likes Given
      162

      Default

      Quote By SILENT WHISPER
      nichofahamu baraza la mitihani huenda namba tu..! kwa hiyo kuna namba za kiislam..???
      ...labda huwa zinaanzia mbele kurudi nyuma!
      OSOKONI likes this.

    12. #29
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,394
      Rep Power : 1175
      Likes Received
      1388
      Likes Given
      905

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By Negembo
      Mkuu sio dola ilinde makanisa na mali za watumishi wa Mungu, kumbuka hoja ya polisi kuzuia maandamano ni kutokana na uchache wao. Hapa ni wakristo kujilinda wao na mali zao yakiwemo makanisa yao. Polisi wao wakae standby kwenda kule zitakapo tokea vurugu. Nafikiri hii ndo njia salama kwa makanisa na mali za Wakristo kwa leo.
      Si kweli kimsingi hoja ya kuzuia maandamano ni kuepusha uharibifu wa hawa watu kwasababu hawaeleweki wanaweza wakawa na madai "X" kutoka kwa "B" lakini wakachoma majengo "A" yanayomilikiwa na "Y"
      Mnang'oa meno ya Tembo ili mukayauze, mnang'oa meno na Kucha za Watanzania wasio na hatia ili iweje?

    13. #30
      Rohombaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 346
      Rep Power : 467
      Likes Received
      52
      Likes Given
      40

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By nipo hapa
      usiokijua hutakijua maisha. Hapa mungu ameonyesha tu. Kuna mengi ndani ya necta yamejificha
      Hebu tujuze machache tu kwa kifupi mkuu
      Lakum diinukum waliyadiin!!!!

    14. #31
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By Chakaza
      Hivi NECTA inaendeshwa na serikali ya CHADEMA? maana maudhui ya hoja yenu ni NECTA kuwaonea wanafunzi wa kiislamu,lakini chalange zenu zimeelemea Chadema why?
      Badala ya kupambana na CCM na Waziri Shukuru Kawambwa wa Elimu nyie mnawarukia Chadema. Hapo ndipo mnapopoteza maana ya hoja yenu na kuonekana uwezo wa kufikiri una walakini. Chadema ina lengo la kuwa na serikali makini ambayo watendaji wake hawatakuwa wanafanya makosa ya hovyo hovyo kama yaliyojitokeza huko NECTA.
      Iungeni mkono Chadema mpate NURU na maendeleo, msiikatae CCM kwa mkono wa kulia huku wa kushoto mnaikumbatia,huo unaitwa UNAFIKI.
      usidanganye watu wewe. chadema full cristian, bora ya ccm ina ahueni kuliko chadema hii

    15. #32
      Ngaywembe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 10
      Rep Power : 433
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      kama kila jibu linapaswa kukubaliwa basi leo hii pasingekuwapo na m4c, malalamiko ya mfumuko wa bei, uundwaji wa rasimu ya sheria ya uundwaji wa katiba mpya. Kwani viongozi walishatoa majibu ya kua huo ni upepo utapita tu, tatizo la mfumuko wa bei sio tanzania tu bali dunia mzima, na sheria ishaundwa labda wanalao jambo. Lakini majibu haya hayakuwa majibu sahihi ndio tumefika hapa. Ukijadili jambo jadili kwa mapana ukitumia ubongo na sio but........................!!! !!

    16. #33
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 4,582
      Rep Power : 13827
      Likes Received
      2211
      Likes Given
      2145

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Sio waislamu hao...

    17. #34
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By BornTown
      Si walishatangaziwa kuwa ni marufuku kuandamana leo ama hawakusikia??? Wajaribu ku beep polisi waone kama watapigiwa ama watapotezewa....
      Hawa wataandamana na polisi hawawafanyi kitu. Unajua sababu?, Mkutano wa CCM wa kesho. Polisi wakianzisha vurugu kwa kuvunja maandamano basi kesho jangwani hawatapata mtu na pia huenda mazingira yasiruhusu mkutano wa Jangwani kesho.

    18. #35
      magosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 317
      Rep Power : 419
      Likes Received
      34
      Likes Given
      8

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      wamekosa kazi za kufanya.

    19. #36
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      hebu tupeni updates za hayo maandamano acheni kubishana bila afya
      Don't break the LAW, just Bend It!

    20. #37
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,018
      Rep Power : 7641
      Likes Received
      987
      Likes Given
      752

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By Gwalihenzi
      Mkuu CHUAKACHARA, inaonesha jinsi gani kidhungu kinavyokupa shida! kwanini ujipe shida wakati unawasiliana na sisi wamatumbi wenzako?
      I can assure you my English is better than your imaginations. That was a slip of fingers

    21. #38
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Quote By magosha
      wamekosa kazi za kufanya.
      kama chadema?

    22. #39
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,883
      Rep Power : 24131
      Likes Received
      4612
      Likes Given
      2624

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Typical results we want:

      History F
      Kiswahili D
      English Language F
      Islamic Studies A
      Chakaza and mizambwa like this.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    23. #40
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Live: Maandamano ya waislam jijini Dar dhidi ya Dk Ndalichako wa NECTA

      Tayari watu wanaelekea kidongo chekundu. Mabango mbali mbali yanaonekana yameenea

    24. Study Abroad
    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...