Kamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe' - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 20th April 2009, 09:07 PM   #1
Kamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'
batamaji batamaji is offline 20th April 2009, 09:07 PM

Kamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'
Imeandikwa na Stella Nyemenohi; Tarehe: 20th April 2009 @ 08:22 Imesomwa na watu: 385; Jumla ya maoni: 4

MAONI YANGU KWA HABARI HIYO

Huyo kamishana ana matatizo kwani mke wake kamamuweka awe ndio icharge wa zanzibr airpor. na kimada wake jina linanzia na MW... mwenye elimu ya kidato cha sita amemuweka awe incharge wa kitengo cha permits ( resident permit) na na watoto wake na jamaa zake wote amewafanya wakuu vitengo vilivyopo hapa zanzibar uhamiaji.

HATA IWEJE HAIWEZEKANI MTU ASIYE NA ELIMU KUTOSHA KUSHIKA WAZIFA MKUBWA KWENYE IDARA NYETI KAMA UHAMIAJI HASWA KATIKA MASWALA YA YOTE WAWEKEZAJI WANAOINGIA NA WANAOTAKA KUINGIA KWA AJILI YA UWEKEZAJI NA UTALII VITU AMBAVYO VINAIPA SERIKALI FEDHA ZA KIGENI.
hivi kwa dunia yetu hii ya sayansi na technoligi mtu mweupe na asiye na kitu kichwani ataweza kwenda na kasi mpya na nguvu mpya?.

batamaji
Junior Member
Points: 58,686, Level: 100 Points: 58,686, Level: 100 Points: 58,686, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Sun Apr 2009
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 982
Reply With Quote
  #2  
Old 20th April 2009, 09:17 PM
WomanOfSubstance's Avatar
WomanOfSubstance WomanOfSubstance is offline
WomanOfSubstance is counting her blessings
JF Premium Member
Points: 795,781, Level: 100 Points: 795,781, Level: 100 Points: 795,781, Level: 100
Activity: 21% Activity: 21% Activity: 21%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 3,646
Thanks: 408
Thanked 674 Times in 334 Posts
Rep Power: 29
WomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enough
Default Re: KKamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'

Hata kama charity is suppose to begin at home - this is going toO far!
Na Zanzibar si walikataa Sheria ya Rushwa au sijui ni mkakati wa kupambana na Rushwa?
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha
Reply With Quote
  #3  
Old 20th April 2009, 09:19 PM
Mzalendohalisi Mzalendohalisi is offline
Mzalendohalisi has no status.
JF Premium Member
Points: 430,274, Level: 100 Points: 430,274, Level: 100 Points: 430,274, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jun 2007
Posts: 3,708
Thanks: 36
Thanked 12 Times in 12 Posts
Rep Power: 30
Mzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enough
Default Re: KKamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'

Yaani ni hadi watu wapige kelele ndo..watu wawajibike??
__________________
Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!
Reply With Quote
  #4  
Old 20th April 2009, 09:22 PM
Next Level's Avatar
Next Level Next Level is offline
Next Level is optimistic one day yes
JF Premium Member
Points: 176,232, Level: 100 Points: 176,232, Level: 100 Points: 176,232, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Mon Nov 2008
Location: Pwani
Posts: 2,554
Thanks: 381
Thanked 525 Times in 322 Posts
Rep Power: 27
Next Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enoughNext Level will become famous soon enough
Default Re: KKamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'

Quote:
View Post
Kamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'
Imeandikwa na Stella Nyemenohi; Tarehe: 20th April 2009 @ 08:22 Imesomwa na watu: 385; Jumla ya maoni: 4

MAONI YANGU KWA HABARI HIYO

Huyo kamishana ana matatizo kwani mke wake kamamuweka awe ndio icharge wa zanzibr airpor. na kimada wake jina linanzia na MW... mwenye elimu ya kidato cha sita amemuweka awe incharge wa kitengo cha permits ( resident permit) na na watoto wake na jamaa zake wote amewafanya wakuu vitengo vilivyopo hapa zanzibar uhamiaji.

HATA IWEJE HAIWEZEKANI MTU ASIYE NA ELIMU KUTOSHA KUSHIKA WAZIFA MKUBWA KWENYE IDARA NYETI KAMA UHAMIAJI HASWA KATIKA MASWALA YA YOTE WAWEKEZAJI WANAOINGIA NA WANAOTAKA KUINGIA KWA AJILI YA UWEKEZAJI NA UTALII VITU AMBAVYO VINAIPA SERIKALI FEDHA ZA KIGENI.
hivi kwa dunia yetu hii ya sayansi na technoligi mtu mweupe na asiye na kitu kichwani ataweza kwenda na kasi mpya na nguvu mpya?.
Hii habari naona imekaa upande upande vile........! Batamaji,,please kama unaweza iweke vizuri.....sijakusoma vizuri!
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning
- GLORIA STEINEM.
Reply With Quote
  #5  
Old 20th April 2009, 09:22 PM
Shadow's Avatar
Shadow Shadow is offline
Shadow arround the World
JF Senior Expert Member
Points: 575,587, Level: 100 Points: 575,587, Level: 100 Points: 575,587, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Mon May 2008
Posts: 1,175
Thanks: 52
Thanked 115 Times in 67 Posts
Rep Power: 24
Shadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enough
Default Re: KKamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'

Quote:
View Post
Hata kama charity is suppose to begin at home - this is going toO far!
Na Zanzibar si walikataa Sheria ya Rushwa au sijui ni mkakati wa kupambana na Rushwa?
WSB,

Suala la uhamiaji ni la Muungano? Kama ni hivyo hizi Leadership Codes et al kwa nini zisiapply kwake? If proved really God have mercy !
Reply With Quote
  #6  
Old 20th April 2009, 09:28 PM
WomanOfSubstance's Avatar
WomanOfSubstance WomanOfSubstance is offline
WomanOfSubstance is counting her blessings
JF Premium Member
Points: 795,781, Level: 100 Points: 795,781, Level: 100 Points: 795,781, Level: 100
Activity: 21% Activity: 21% Activity: 21%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 3,646
Thanks: 408
Thanked 674 Times in 334 Posts
Rep Power: 29
WomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enough
Default Re: KKamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'

Quote:
View Post
WSB,

Suala la uhamiaji ni la Muungano? Kama ni hivyo hizi Leadership Codes et al kwa nini zisiapply kwake? If proved really God have mercy !
Yeah Mkuu.Hili ni suala la muungano.Ila kama anachokifanya huyo mkuu kingefanyika bara, nadhani PCCB wangewabana mbavu - tatizo Sheria ya PCCB haiapply huko visiwani! Hapo ndo kuna shughuli!Maana hata wakati Bara wanapanga ule mpango wa kwanza wa kupambana na Rushwa ( NACSAP1) haukuhusisha ZNZ na hata integrity na Human rights institutions hazina mandate huko.ZNZ walikuwa na mchakato wao ila sina uhakika umefikia wapi.Kama kuna wakuu wenye updates watupe.
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha
Reply With Quote
  #7  
Old 20th April 2009, 09:33 PM
Mtu wa Kawaida Mtu wa Kawaida is online now
Mtu wa Kawaida has no status.
JF Premium Member
Points: 78,481, Level: 100 Points: 78,481, Level: 100 Points: 78,481, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 182
Thanks: 1
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 22
Mtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enoughMtu wa Kawaida will become famous soon enough
Default Re: KKamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'

Quote:
View Post
Kamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'
Imeandikwa na Stella Nyemenohi; Tarehe: 20th April 2009 @ 08:22 Imesomwa na watu: 385; Jumla ya maoni: 4

MAONI YANGU KWA HABARI HIYO

Huyo kamishana ana matatizo kwani mke wake kamamuweka awe ndio icharge wa zanzibr airpor. na kimada wake jina linanzia na MW... mwenye elimu ya kidato cha sita amemuweka awe incharge wa kitengo cha permits ( resident permit) na na watoto wake na jamaa zake wote amewafanya wakuu vitengo vilivyopo hapa zanzibar uhamiaji.

HATA IWEJE HAIWEZEKANI MTU ASIYE NA ELIMU KUTOSHA KUSHIKA WAZIFA MKUBWA KWENYE IDARA NYETI KAMA UHAMIAJI HASWA KATIKA MASWALA YA YOTE WAWEKEZAJI WANAOINGIA NA WANAOTAKA KUINGIA KWA AJILI YA UWEKEZAJI NA UTALII VITU AMBAVYO VINAIPA SERIKALI FEDHA ZA KIGENI.
hivi kwa dunia yetu hii ya sayansi na technoligi mtu mweupe na asiye na kitu kichwani ataweza kwenda na kasi mpya na nguvu mpya?.
BataMaji,
Je source yako bandiko la chombo gani?? Manake naona haijakawa sawa vile.

Je hao jamaa zake ukiondoa huyo kimada wake wana elimu/sifa gani??
Je huyu kamishana alifikaje hapa ?? Kielimu au kwa uzoefu wa muda mrefu??
__________________
Tabia ni kama ngozi hauwezi kuibadili....
Reply With Quote
  #8  
Old 20th April 2009, 09:38 PM
Shadow's Avatar
Shadow Shadow is offline
Shadow arround the World
JF Senior Expert Member
Points: 575,587, Level: 100 Points: 575,587, Level: 100 Points: 575,587, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Mon May 2008
Posts: 1,175
Thanks: 52
Thanked 115 Times in 67 Posts
Rep Power: 24
Shadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enoughShadow will become famous soon enough
Default Re: KKamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'

Quote:
View Post
Yeah Mkuu.Hili ni suala la muungano.Ila kama anachokifanya huyo mkuu kingefanyika bara, nadhani PCCB wangewabana mbavu - tatizo Sheria ya PCCB haiapply huko visiwani! Hapo ndo kuna shughuli!Maana hata wakati Bara wanapanga ule mpango wa kwanza wa kupambana na Rushwa ( NACSAP1) haukuhusisha ZNZ na hata integrity na Human rights institutions hazina mandate huko.ZNZ walikuwa na mchakato wao ila sina uhakika umefikia wapi.Kama kuna wakuu wenye updates watupe.
WoS, sasa kama yeye ni mfanyakazi wa jamhuri ya Muungano, je, hawezi kuwa indicted under the said laws lets say atakapokanyaga bara?

Yani huu Muungano ulivyokakaa tabu tupu...Ndo matatizo ya kuungana kupitia 'Gentleman Agreement' kwanza and then kujaribu kufix hayo matatizo ya hito G.A.
Reply With Quote
  #9  
Old 20th April 2009, 09:44 PM
WomanOfSubstance's Avatar
WomanOfSubstance WomanOfSubstance is offline
WomanOfSubstance is counting her blessings
JF Premium Member
Points: 795,781, Level: 100 Points: 795,781, Level: 100 Points: 795,781, Level: 100
Activity: 21% Activity: 21% Activity: 21%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 3,646
Thanks: 408
Thanked 674 Times in 334 Posts
Rep Power: 29
WomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enough
Default Re: KKamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'

Quote:
View Post
WoS, sasa kama yeye ni mfanyakazi wa jamhuri ya Muungano, je, hawezi kuwa indicted under the said laws lets say atakapokanyaga bara?

Yani huu Muungano ulivyokakaa tabu tupu...Ndo matatizo ya kuungana kupitia 'Gentleman Agreement' kwanza and then kujaribu kufix hayo matatizo ya hito G.A.
Its complicated ndg yangu.Tuwaachie wenyewe watajua cha kufanya.Mambo ya jurisdiction si unayajua.... hata akija huku bara, bado huwezi kumdaka maana upelelezi unatakiwa ufanyike hukohuko na chombo chenye kuweza kufanya hivyo.
All in all, hii tunayosoma hapa ni hadithi tu hatujui ukweli wake bado hivyo tuongee nadharia tu.
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha
Reply With Quote
  #10  
Old 21st April 2009, 11:25 AM
Fugwe's Avatar
Fugwe Fugwe is offline
Fugwe totally against mafisadi
JF Senior Expert Member
Points: 80,313, Level: 100 Points: 80,313, Level: 100 Points: 80,313, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Thu Aug 2008
Location: Tabata Dampo
Posts: 485
Thanks: 74
Thanked 100 Times in 78 Posts
Rep Power: 22
Fugwe will become famous soon enoughFugwe will become famous soon enoughFugwe will become famous soon enoughFugwe will become famous soon enoughFugwe will become famous soon enoughFugwe will become famous soon enoughFugwe will become famous soon enoughFugwe will become famous soon enough
Default Re: KKamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'

WOS
Kama ulivyosema, uhamiaji ni chombo cha muungano. Bosi wa uhamiaji ni mmoja tu Bw. Kiomano aliyepo hapa Dar Makao makuu, kama ilivyo kwa polisi kwamba bosi ni Said Mwema. Huyo wa zanzibar ni Mkurugenzi tu wa kawaida kama akienda kinyume na utaratibu anaweza kushughulikiwa kwa utaratibu wa kawaida kama wafanyakazi wengine. Kinachonipa shida kuhusu habari hii imekaa kisanii zaidi. Labda Bw.Batamaji atuhakikishie vinginevyo.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
adaiwa, kamishina, mweupe, uhamiaji, zbar


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 06:34 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com