| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 982
|
||||||||||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Hata kama charity is suppose to begin at home - this is going toO far!
Na Zanzibar si walikataa Sheria ya Rushwa au sijui ni mkakati wa kupambana na Rushwa?
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Yaani ni hadi watu wapige kelele ndo..watu wawajibike??
__________________
Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa! |
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
__________________
“Without leaps of imagination, or dreaming, we lose the excitement of possibilities. Dreaming, after all, is a form of planning - GLORIA STEINEM. |
|
#5
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Suala la uhamiaji ni la Muungano? Kama ni hivyo hizi Leadership Codes et al kwa nini zisiapply kwake? If proved really God have mercy ! |
|||||||||||||||
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Yeah Mkuu.Hili ni suala la muungano.Ila kama anachokifanya huyo mkuu kingefanyika bara, nadhani PCCB wangewabana mbavu - tatizo Sheria ya PCCB haiapply huko visiwani! Hapo ndo kuna shughuli!Maana hata wakati Bara wanapanga ule mpango wa kwanza wa kupambana na Rushwa ( NACSAP1) haukuhusisha ZNZ na hata integrity na Human rights institutions hazina mandate huko.ZNZ walikuwa na mchakato wao ila sina uhakika umefikia wapi.Kama kuna wakuu wenye updates watupe.
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha |
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Je source yako bandiko la chombo gani?? Manake naona haijakawa sawa vile. Je hao jamaa zake ukiondoa huyo kimada wake wana elimu/sifa gani?? Je huyu kamishana alifikaje hapa ?? Kielimu au kwa uzoefu wa muda mrefu??
__________________
Tabia ni kama ngozi hauwezi kuibadili.... |
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Yani huu Muungano ulivyokakaa tabu tupu...Ndo matatizo ya kuungana kupitia 'Gentleman Agreement' kwanza and then kujaribu kufix hayo matatizo ya hito G.A. |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
All in all, hii tunayosoma hapa ni hadithi tu hatujui ukweli wake bado hivyo tuongee nadharia tu.
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha |
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||
|
WOS
Kama ulivyosema, uhamiaji ni chombo cha muungano. Bosi wa uhamiaji ni mmoja tu Bw. Kiomano aliyepo hapa Dar Makao makuu, kama ilivyo kwa polisi kwamba bosi ni Said Mwema. Huyo wa zanzibar ni Mkurugenzi tu wa kawaida kama akienda kinyume na utaratibu anaweza kushughulikiwa kwa utaratibu wa kawaida kama wafanyakazi wengine. Kinachonipa shida kuhusu habari hii imekaa kisanii zaidi. Labda Bw.Batamaji atuhakikishie vinginevyo.
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 06:34 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||