Ni mkataba wa kipuuzi ambao haujawahi kutokea. alonga Mwakyembe .. Mpaka sasa hivi serikali inadaiwa 6.9 billion shillings..
ndege imekodiwa tumeanza kuilipia ikiwa Hungary hata kabla haijatua
Ni mkataba wa kipuuzi ambao haujawahi kutokea. alonga Mwakyembe .. Mpaka sasa hivi serikali inadaiwa 6.9 billion shillings..
ndege imekodiwa tumeanza kuilipia ikiwa Hungary hata kabla haijatua
Last edited by Saint Ivuga; 8th June 2012 at 01:45.
...more to come tun on clouds fm now
JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.
Kama kawa wajanja wamepiga!
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
Chiziiiiiiiiiiiiii
Haya hiyo ndiyo Tanzania, eti tuambiwe tu ATC inayo ndege inaruka, tunatakiwa wananchi tujielewe tuiondoshe hii serikali ya kifisadi madarakani
Kila mtu anakula tu!!
Anasema mikataba aliyokuta Atcl ni ya kipuuzi na hakuna mwenye akili timamu atakayoikubali.Hivyo ilimbidi aingilie kuokoa taifa ndege inatumika sehemu nyingine kwa miezi 6 halafu bado tunailipia sisi maajabu haya.Source Clouds redio
Huyu mzee wa Ukurutu nimekuwa simwamini tokea aseme kwenye ile ripoti yake ya Richimond kuna mambo ambayo ameficha ili serikali isianguke inamaana alitusaliti sisi wananchi. halafu turudi kwenye mada yeye ni mtaalamu wa mikataba ya kukodisha ndege?
Miaka karibu mitano baadaye? Really? mbona this one haikutahiji hata tume kuundwa? Tuliwaandikia, tuliwapigia kelele, tuliwaambia acheni wakang'ang'ania? magenius wetu wa Bongo!
Chizi alivyolalamika nilijua tu kuwa hii ni style ya Maige
JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.
Yaani management ya ATCL imeoza kabisa, tena bora alivyowasimamisha kazi hao top officials. Ingekuwa matakwa yangu, wasirudishwe tena kazini hata kama watashinda tuhuma zinazowakabili -kwani najua watachakachua tu. Wakishinda walipwe haki zao wasepe zao, shirika lisukwe upya!
Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!
Jamani kuna fundamentals kwenye kila mkataba unaposign!
Sasa gullu wa sheria kama mwakyembe awe ameshindwa kuinterprete sheria kisa ni mkataba wa ndege ya Airbus mkuu Presice dharau hiyo.
Huyu ni DR wa Sheria alikamau Ugerumani uko
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
Halafu akimsimamisha Chizi watu mlalamike?
The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders
Mtu anaitwa Chizi? Mhh jina baya hilo maana mkimlaumu anaweza kutoa jibu rahisi mkakosa la kumfanya.
Toka mwanzo niliwahi kusema humu kuna ulazima gani wa Tanzania kumiliki ndege kwasasa ikiwa gharama za usafiri hazina tofaut na mashirika mengine ambayo hayaja kodi ndege,sasa tunadaiwa bil 6 kwa nini tusitunze hizo pesa zikitimia bei ya ndege tukanunue yetu
kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac
Mh.Mwakyembe wewe piga kazi kwa nguvu zote,iga mfano wa mh.magufuli,maadam dhamira yako ni njema hata wapinge namna gani wewe utang'aa tuu! Maombi ya watanzania yanatafuta mtu kama wewe...Mungu anatafuta mtu atakayesimama sehemu iliyobomoka.... hao wanaokupinga ni mafisadi ama wanafaidika na mafisadi.
endelea mbele mkuu.
Kwanini wasinyongwee.???
Follow Us Here