Ni mkataba wa kipuuzi ambao haujawahi kutokea. alonga Mwakyembe .. Mpaka sasa hivi serikali inadaiwa 6.9 billion shillings..
ndege imekodiwa tumeanza kuilipia ikiwa Hungary hata kabla haijatua
Ni mkataba wa kipuuzi ambao haujawahi kutokea. alonga Mwakyembe .. Mpaka sasa hivi serikali inadaiwa 6.9 billion shillings..
ndege imekodiwa tumeanza kuilipia ikiwa Hungary hata kabla haijatua
Last edited by Saint Ivuga; 8th June 2012 at 01:45.
Hahaha vibaraka wa mafisadi tunawajua kirahisi sana! unatetea tumbo? safi sana Mwakyembe piga mzigo achana na hawa wanaodhani watanzania hatuna akili,wameiba mpaka wamevimbiwa! hawataki kuguswa maslahi ya matumbo yao. Sasa kama siyo mtaalamu wa kukodisha ndege kwahiyo watu wakifanya ujinga awaache halafu baadae uje na utumbo mwingine kwamba ameshindwa kazi ili waje wezi wanaojua sheria za kukodisha ndege unao wajua wewe? kwa hiyo kama kuna mambo hakusema ya richmond kwahiyo anyamaze kimya sasa? au ulitaka nini hasa?
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Unajua naamini watu wangekupiga mawe ufe kama jf ingekuwa a face to face forum..umemwita mzee wa nini vile?sijui ni ulimbukeni tu au unahisi wewe utaishi milele??
Ha ha..au we ndo chizi mwenyewe..ha ha,either way,its time for you morons to leave the country to its people..the God of Israel shall see to it that you all meet your crucifixion for making people's lives difficult while your stomachs grow bigger and bigger..
Mkuu FJM hapa ndipo unatambua mtu mnafiki. Amejenga hoja hiyo kuhalalisha uhuni wake. Na kwasababu Watanzania hatuna kumbukumbu,wengi wetu tukanasa. Wengi wa maofisa waliosimamishwa hawahusiki na mikataba ya nyuma. Moja ya kichekesho niliposoma kwamba ameteuliwa rubani mzoefu kukaimu cheo cha CEO!
You may know me but you have no Idea who I am !
Nyamaza wewe gamba magufuli amekaa kwenye ujenzi miaka kibao lakini CDM wanalo la kusema kuhusu barabara tatizo ni la mkuu hiyo ni nguvu ya soda unafikiri hiyo mikataba ambayo imeshasainiwa itafutwa thubutu garama yake itaifilisi hii nchi Yule Waziri wa madini mwenyewe kasema mikataba ni mizito mno kwi! Kwi! Kwi! kifo cha ccm kipo pale pale
Huyu Mzee ali sacrifice mwili wake kwa kutokusema matokeo ya vipimo vya ugonjwa wake Kama ilikuwa sumu Kama six alivyokuwa anasema au ni ugonjwa tuu akaona akisema Atagombana na serikali aukose uwaziri lakini alikuwa anataka wananchi wamuonee huruma Pambaf zake acha aendelee kumomonyoka
mwaka huu hakuna rangi watakosa kuiona wezi wa pesa chini ya wizara inayoongozwa na mwakyembe!chezea mwakyembe wewe!
..
Naomba nikusahihishe kidogo kwanza kabisa mwakyembe hakuenda redioni kama unavyosema pale ni JKIA terminal 2 na alikuwa akiongea na wafanyakazi wa ATCL hapo uwanjani..ulichosikia ni recorded sound ya tukio zima...
La pili Mwakyembe kamuondoa Chizi si kutokana na kashfa hizo tajwa hapo juu..kashfa hizi ni zile za waliotangulia Chizi kaondolewa kwa sababu uteuzi wake unakinzana na sheria yaani kwa ufupi Uteuzi wako haupo kisheria..
kuondolewa kwa chizi ni kutokana na mikataba mibovu, ajira yake haikufata taratibu au kushindwa kusimamia shirika?
hivi mnamwamini mwakyembe??
I'm Naturaly Evasive..
Follow Us Here