Ni mkataba wa kipuuzi ambao haujawahi kutokea. alonga Mwakyembe .. Mpaka sasa hivi serikali inadaiwa 6.9 billion shillings..
ndege imekodiwa tumeanza kuilipia ikiwa Hungary hata kabla haijatua
Ni mkataba wa kipuuzi ambao haujawahi kutokea. alonga Mwakyembe .. Mpaka sasa hivi serikali inadaiwa 6.9 billion shillings..
ndege imekodiwa tumeanza kuilipia ikiwa Hungary hata kabla haijatua
Last edited by Saint Ivuga; 8th June 2012 at 01:45.
Liacheni jembe lipge KAZI..
Nnnachojua mimi kila mchapa kazi kwa bidii huwa anakuwa na maadui wengi sana hasa linapokuja suala la kuwa mtendaji na kuacha siasa
Magufuli alipoanza ishu ya mabango ya barabarani mlimsakama sana tena wengine mpaka mlikimbilia kwa mukulu yule handsome wa pale magogoni kwenda kumchongea na sasa mmeanza tena na huyu
ushauri wangu kwa mwakyembe ni kufuata formula moja
ZIBA MASIKIO KAZA SURA mwisho wa siku watakupenda tuuuu ..ndo zao MAGAMBA
Ahaaa, sasa humu JF, kuna watu wanaandika madudu, sijui huwa wanatumwa? Sasa hivi Clouds inaendela, baada ya hii Taarifa ya habari. Msikilizeni Mwakyembe mwenyewe. Msibanduke bado kidogo tu.
Simple life is healthier than egoism.
Mwaki kama huo moto ni wa kweli, basi umwagie petrol kidogo ili uongezeke!
University of Dar es Salaam Bachelor of Laws (LL.B) Hons 1980 1983 GRADUATE University of Dar es Salaam Master of Laws (LL.M) 1984 1986 MASTERS DEGREE University of Hamburg (FRG) Master of Laws (LL.M) 1990 1991 MASTERS DEGREE University of Hamburg (FRG) Doctor of Laws 1992 1995 PHD
Kwa Elimu iyo ndo ashindw`e tafsiri mkataba wa AIRBUS
WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.
sasa kama chizi aliambiwa na mkuu wa magogoni huo mkataba yeye angefanyaje?kama mzee wa ukurutu anao huo ubavu basi amguse huyu kiongozi wa mafisadi a.k.a.mwanaasha kwa sababu ni lazima hapo kulikuwa na fungu lake
Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.
Kiukweli kwa jinsi Mzee Mwakyembe, Balozi Kagasheki na watendaji wanavyoanza kufunguka CDM waandae agenda nyingine haraka sana. Ama sivyo watajikuta wanaimba zilipendwa wakati wananchi wanageukia Zinapendwa!
Last edited by Ericus Kimasha; 7th June 2012 at 19:27.
toka lini chizi akafanya kitu cha kueleweka!
[email protected]
Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji
Sasa hivi wanaume wenye uchungu na nchi hiii katika serikali ya J.K. tumewapata wanne, wa kwanza Mwakyembe, wa pili Kagasheki, wa tatu ni Sita na wa nne ni Magufuri japo aliteteleke katika suala la kuuza nyumba za serikali. Lakini angarau hao kinaonekana wanachokifanya.
Mwakyembe watanzania tunasubiri TAZARA, Reli ya kati na Bandari hasa hiyo kampuni ya akina Karamagi
Nani? zomba? Au nani!!??
Hawa zomba type ni hovyo tu,
Kumlaumu Mwakembe hawawezi, kumsifia Chizi hawawezi, hovyo tu!!
ile ni aina ya nguvu ya soda maana mabango yalisitishwa kuondolewa bomoa bomoa hifadhi ya barabara iliiiiiisitishwa ama ungekuta TANESCO Makao Makuu yakiwa historia,hata ahadi ya JK 2006-10 ya kutathmini royalty ya 3% KWENYE MADINI ilienda na mvua za mafuriko.Hebu fikiri kesi ya wazi ya meli ya samaki wa kuibwa hapo bahari hindi ilichukua miaka mingapi?
Muda utawaonesha mlichagua mtoto aliyezaliwa bila kichwa akawekewa kifuu juu ya shingo kuwa mangi wa t/danganyika!
Te te te! wale waliokuwa wanasema n ukabila waje hapa waseme sasa, huu n upuuziii! nchi haina mwema kila mtu tapeli! kamua mwakyembe wala usiangalie nyuma. we nchi gani hatuna shirika la ndege! we toka mwanza mpaka dar nauli ilikuwa 380,000 mpaka 499,000 kwa precision na 540. wametuharibia ndege yetu ipo hapa mwanza! fukuza wote
Jamani.... ya Airbus... si basi sasa ... si tuendelee mbele... au ndio hivyo tuchukue hizo ndio deliverables zako Dr. Mwakyembe... kiongozi mzuri ni yule ana-kubali hali halisi aliyoikuta na kuanza na strategy zake....
Hakika ni mwanzo mzuri kwa Hamis Kagasheki na Harison Mwakyembe. Thubutu ya kufanya maamuzi magumu bila kulindana. Safi sana, ila tatizo ni pale mkuu wa kaya au mtoto wa mkulima atakapowaingilia kupunguza speed zao kulinda heshima ya chama. Bado mzee wa Tanesco naye afunguke.
mwakyembe anachapa kazi lakini ushauri wake kwa chizi juu ya kupokea malipo ya insurance nje ya account za atcl,hauku-sound ki- professional
futa mikataba yote na wafunguliwe mashtaka wahusika wote. tumechoka kuibiwa kila siku. Na kwenye hili hakuna haja ya kumlaumu kikwete bali tuwalaumu watendaji wanaomwangusha kikwete na pia wanaangusha Tanzania.
Hivi hiyo Airbus iko pande zipi kwa sasa?
''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda
Follow Us Here