Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Online Puppets: Kumbe Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!

    Report Post
    Page 1 of 8 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 150
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,863
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22555

      Default Online Puppets: Kumbe Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!

      Wanabodi,

      Ukoloni mbaya kabisa kuliko hata ukoloni wenyewe, ni ukoloni wa fikra!. Ukoloni huu, ni ule wa kufikiri na kuamini kila kisemachwo na Wamarekani ndicho sahihi!. Watanzania wenzetu ambao mnajidhania kuwa ni wazalendo wa kweli wa nchi hii, lakini mnawaaminia sana Wamarekani kila wasemacho wao ndio right, mnijue bado mnaishi kwenye ukoloni wa ki fikra na you are not better than "American Puppets"!.

      Nimeyasema haya kufuatia baadhi ya wenzetu kuwaaminia sana Wamarekani na kuwa kila kinachosemwa na Wamarekani kwao ndio uthibitisho wa ukweli wao!. Hali hii ya kuwaaminia Wamarekani kuliko hata vyombo vyetu wenyewe, iliwahi kujitokeza huko nyuma, pale Wamarekani walipodai, Rais Jakaya Kikwete, alihongwa suti na tajiri fulani, na uwongo mwingine mwingi, ikiwemo kuhongwa pesa za kampeni na kuitumia hoteli fulani jijini kwa mapumziko mafupi "short time"!.

      Japo Ikulu, iliukanusha vikali uwongo huo, lakini kuna wenzetu wengi tuu ambao wanajiaminisha wao ni wazalendo zaidi wa taifa hili, bado wanaamini ukweli ni ule waliosema Wamarekani na uwongo ni lile kanusho la Ikulu!. Hawa ni puppets!. Hivi sasa kuna mjadala mkubwa kuhusu Wanzanzibari kujitoa katika muungano, ndani ya mjadala huo, mimi nimesema mahali, "Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliridhiwa (ratified), na upande mmoja tuu wa muungano, upande wa Tanganyika, lakini kwa Zanzibar, haukuwa ridhiwa!".

      Tena nikasema kuridhia (ratification), ni process na hufanywa kwa maandishi (in writings) na sio kwa kauli!. Nikasisitiza, msingi wa muungano ni kauli za Nyerere na Karume, lakini kauli hizo, haziwezi kusimama bila maandishi!, ndipo zikaandaliwa "Articles of Union" aizombalo ndilo andishi au msahafu wa muungano!. Baada ya Articles hizo za muungano kusainiwa, sheria za "international treaties", zisisitiza, lazima ziwe "ratified" kwenye nchi husika ili zipate uhalali wa kisheria (legitimacy). Articles zile kwa Tanganyika, zilipitia "ratification process yote ili kuziridhia, na ziliridhiwa kwa maandishi na kutangazwa kwenye GN!. Kwa upande wa Zanzibar, hakuna kilichofanyika zaidi ya kauli ya Karume kuwa BLM limeridhia!. Ratification haifanyiki kwa kauli bali kwa maandishi!. Nikasisitiza, hakuna maandiko yoyote popote yanayothibitisha kuwa muungano ulikuwa ratified Zanzibar!.

      Mwana jf mwenzetu leo amekuja na maandiko ya Wamarekani eti huo ndio uthibitisho muungano uliridhiwa Zanzibar!. Kama mtu anaambiwa "ratification ni nini" na hufanyika kwa maandishi na kuelezwa kuwa hakuna any ratification process iliyofanyika Zanzibar, lakini analazimisha kwa kuwaaminia Wamarekani, jee,huu ndio ule ukoloni wa kifkra aliousema mwalimu Nyerere?.

      Jee wewe mwana jf mwenzangu, unawaaminia zaidi Wamarekani na kila wasemacho, au angalau unauminia ukweli halisi ambao ndio ukweli wa mambo!.

      "Seek the Truth, and the Truth Set You Free"!.

      "Emancipate Yourself From Mental Slavery"-Bob Marley!.

      Angalizo: "Great Minds" don't discuss people!, hiyo ni kazi ya "Simple Mind" hii thread, hatu discuss watu, tuna discuss idea ya wenzetu humu kuwa puppets chini ya mental slavery ya kuwaaminia sana Wamarekani!, hivyo nawaombeni sana tusianze kutaja taja majina nani ni puppet na nani sio!. Jadili tuu kama unawaamini Wamarekani kuliko tunavyojiamini wenyewe!

      Natanguliza shukrani.

      Pasco.
      Last edited by Pasco; 7th June 2012 at 11:32.


    2. #2
      leroy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 328
      Rep Power : 591
      Likes Received
      89
      Likes Given
      94

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      ​Ungeweka na Link ya hiyo thread unayoi-criticise ili tuifuatilie....
      Pasco likes this.
      A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.

    3. #3
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,863
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22555

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By leroy View Post
      ​Ungeweka na Link ya hiyo thread unayoi-criticise ili tuifuatilie....
      Leroy, nikiweka link tutaishia kutajana tajana majina, maadam nimeweka dhana, na mifano, inatosha kuelezea dhana ya puppets!.
      GHOST RYDER likes this.

    4. #4
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6128
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Pasco ukipata muda tatufata hiki kitabu usome..The Union Between Tanganyika and Zanzibar: The Product Of The Cold War?
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    5. #5
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,863
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22555

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By The Finest View Post
      Pasco ukipata muda tatufata hiki kitabu usome..The Union Between Tanganyika and Zanzibar: The Product Of The Cold War?
      Mkuu The Finest, kitabu nitatafuta, the issue hapa ni jee muungano ulikuwa "ratified" au hapana?. Mimi nimesema haukuridhiwa!, mwana jf mwenzetu ndio ameleta zile documents za US kuwa uliridhiwa, hoja yangu, ni watu kuwaaminia sana hao Wamarekani kuliko tunavyojiaminia wenyewe, huu ndio ninaoita, "mental slavery" na hakuna lolote zaidi ya u peppets!.


    6. #6
      bumes's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 367
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao

      JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.Wanabodi,

      Ukoloni mbaya kabisa kuliko hata ukoloni wenyewe, ni ukoloni wa fikra!. Ukoloni huu, ni ule wa kufikiri na kuamini kila kisemachwo na Wamarekani ndicho sahihi!.

      Watanzania wenzetu ambao mnajidhania kuwa ni wazalendo wa kweli wa nchi hii, lakini mnawaaminia sana Wamarekani kila wasemacho wao ndio right, mnijue bado mnaishi kwenye ukoloni wa ki fikra na you are not better than "American Puppets"!.

      Nimeyasema haya kufuatia baadhi ya wenzetu kuwaaminia sana Wamarekani na kuwa kila kinachosemwa na Wamarekani kwao ndio uthibitisho wa ukweli wao!.

      Hali hii ya kuwaaminia Wamarekani kuliko hata vyombo vyetu wenyewe, iliwahi kujitokeza huko nyuma, pale Wamarekani walipodai, Rais Jakaya Kikwete, alihongwa suti na tajiri fulani, na uwongo mwingine mwingi, ikiwemo kuhongwa pesa za kampeni na kuitumia hoteli fulani jijini kwa mapumziko mafupi "short time"!.

      Japo Ikulu, iliukanusha vikali uwongo huo, lakini kuna wenzetu wengi tuu ambao wanajiaminisha wao ni wazalendo zaidi wa taifa hili, bado wanaamini ukweli ni ule waliosema Wamarekani na uwongo ni lile kanusho la Ikulu!. Hawa ni puppets!.

      Hivi sasa kuna mjadala mkubwa kuhusu Wanzanzibari kujitoa katika muungano, ndani ya mjadala huo, mimi nimesema mahali, "Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliridhiwa (ratified), na upande mmoja tuu wa muungano, upande wa Tanganyika, lakini kwa Zanzibar, haukuwa ridhiwa!".

      Tena nikasema kuridhia (ratification), ni process na hufanywa kwa maandishi (in writings) na sio kwa kauli!.

      Nikasisitiza, msingi wa muungano ni kauli za Nyerere na Karume, lakini kauli hizo, haziwezi kusimama bila maandishi!, ndipo zikaandaliwa "Articles of Union" aizombalo ndilo andishi au msahafu wa muungano!. Baada ya Articles hizo za muungano kusainiwa, sheria za "international treaties", zisisitiza, lazima ziwe "ratified" kwenye nchi husika ili zipate uhalali wa kisheria (legitimacy). Articles zile kwa Tanganyika, zilipitia "ratification process yote ili kuziridhia, na ziliridhiwa kwa maandishi na kutangazwa kwenye GN!. Kwa upande wa Zanzibar, hakuna kilichofanyika zaidi ya kauli ya Karume kuwa BLM limeridhia!. Ratification haifanyiki kwa kauli bali kwa maandishi!. Nikasisitiza, hakuna maandiko yoyote popote yanayothibitisha kuwa muungano ulikuwa ratified Zanzibar!.

      Mwana jf mwenzetu leo amekuja na maandiko ya Wamarekani eti huo ndio uthibitisho muungano uliridhiwa Zanzibar!.

      Kama mtu anaambiwa "ratification ni nini" na hufanyika kwa maandishi na kuelezwa kuwa hakuna any ratification process iliyofanyika Zanzibar, lakini analazimisha kwa kuwaaminia Wamarekani, jee,huu ndio ule ukoloni wa kifkra aliousema mwalimu Nyerere?.

      Jee wewe mwana jf mwenzangu, jee unawaaminia zaidi Wamarekani na kila wasemacho, au angalau unauminia ukweli halisi ambao ndio ukweli wa mambo!.

      "Seek the Truth, and the Truth Set You Free"!.

      "Emancipate Yourself From Mental Slavery"-Bob Marley!.

      Angalizo: "Great Minds" don't discuss people!, hiyo ni kazi ya "Simple Mind" hii thread, hatu discuss watu, tuna discuss idea ya wenzetu humu kuwa puppets chini ya mental slavery ya kuwaaminia sana Wamarekani!, hivyo nawaombeni sana tusianze kutaja taja majina nani ni puppet na nani sio!. Jadili tuu kama unawaamini Wamarekani kuliko tunavyojiamini wenyewe!

      Natanguliza shukrani.

      Pasco.

      Pasco you also seem to be imprisoned by prejudgemental thinking, first know that THE LAW OR STATUTE DO NOT SIT ON THE JUDGEMENT BUT MAN, THE LAW WAS MEANT TO SAVE MAN NOT MAN TO SAVE THE LAW.Your problem is that there is no law to legitimize Muungano, you forget people agreed on this arrangement and you are no better or wise than they were despite how many books you have memorized an d given the paper identifying your qualifucatio, they very much knew what they were doing.

      Always dont let any law make you a slave but arise above it and let the real truth rule you.

      The Law was created because mankind changes like a shadow, and for people who willingly dont want to think and act honestly and truthfully.
      Pasco, muchetz and sanga malua like this.

    7. #7
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Pasco all in all watu wanataka nchi yao. kwa nini tuendelee kuwan'gan'gania?
      Pasco likes this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    8. #8
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,605
      Rep Power : 824
      Likes Received
      278
      Likes Given
      53

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      yaani kwa kweli maelezo yako yanajichanganya sana,mimi ninichotaka unieleze ni kuwa ni chombo gani kiliratify huo muungano kwa huku mainland,na unieleze kama watu kutoka zanzibar hawakuwepo kwenye hiyo event then tuendelee.....
      Pasco and sweke34 like this.

    9. #9
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1377
      Likes Received
      1096
      Likes Given
      4

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Hebu wachambuzi wa hii hoja karibuni ss wengine ngoja tuwe maobsever tu.
      Pasco likes this.

    10. FJM is offline
      FJM
      #10
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By Pasco View Post


      Nikasisitiza, msingi wa muungano ni kauli za Nyerere na Karume, lakini kauli hizo, haziwezi kusimama bila maandishi!, ndipo zikaandaliwa "Articles of Union" aizombalo ndilo andishi au msahafu wa muungano!. Baada ya Articles hizo za muungano kusainiwa, sheria za "international treaties", zisisitiza, lazima ziwe "ratified" kwenye nchi husika ili zipate uhalali wa kisheria (legitimacy). Articles zile kwa Tanganyika, zilipitia "ratification process yote ili kuziridhia, na ziliridhiwa kwa maandishi na kutangazwa kwenye GN!. Kwa upande wa Zanzibar, hakuna kilichofanyika zaidi ya kauli ya Karume kuwa BLM limeridhia!. Ratification haifanyiki kwa kauli bali kwa maandishi!.

      Nikasisitiza, hakuna maandiko yoyote popote yanayothibitisha kuwa muungano ulikuwa ratified Zanzibar!.
      Pasco, Tukubaliane hivi, kwamba sio kila wanachosema Marekani ni cha kweli, na pia sio kila wanachosema Marekani ni uwongo. Sasa kama ndivyo, kwa nini unataka tuende upande wa uwongo na sio ukweli & vice versa?

      Nenda hapo kwenye red: Kama sheria za "international treaties", zilisisitiza, lazima ziwe "ratified"kwenye nchi husika ili zipate uhalali wa kisheria (legitimacy), na kama unasema ni upande mmoja tu ndio ulifanya hiyo ratification process then are you saying hao watu wa International treaties overlooked the process?

      Inaingia akilini wachukulie kauli ya upande mmoja tu (Tanganyika) wakati wamesema lazima ziwe ratified na nchi husika? Where does this leave the international treaties body? Na je, inawezekana 'organ' iliyo-ratiefied kwa upande wa Zanzibar haikufanana na ya Tanganyika but still kwa utawala wa wakati huo wao waliona 'organ' hiyo ina mamlaka ya kufanya kilichotakiwa na international treaties?

      Mwisho, kwa nini tuamini unayosema wewe na sio hayo yaliyosemwa na 'mwana JF' ambaye wewe unampinga? Lakini pia unaweza kuweka wazi uzi unaopinga badala ya ku-assume kila mtu yuko kichwani mwako?
      911, Pasco, Nyunyu and 6 others like this.

    11. #11
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,863
      Rep Power : 7377
      Likes Received
      6196
      Likes Given
      22555

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By democratic View Post
      yaani kwa kweli maelezo yako yanajichanganya sana,mimi ninichotaka unieleze ni kuwa ni chombo gani kiliratify huo muungano kwa huku mainland,na unieleze kama watu kutoka zanzibar hawakuwepo kwenye hiyo event then tuendelee.....
      Mkuu the democrat, haya ndio makosa tuliyoyafanya ku 'assume' Serikali ya Tanzania, ndiyo hiyo hiyo ya JMT, na ndio maan a tuliyaongeza mambo ya muungano kutoka yale 11 ya awali mpaka 26 bila kuiconsult SMZ ua BLW kuridhia kwa pretex, mle bungezi, Zanzibar inawakilishwa!.

      Kwa vile hizi zilikuwa nchi mbili tofauti, kabla muungano haijapata legal basis ulipaswa uridhiwe, sisi Tanganyika tuliridhia, Abrahman Babu ndio alikuwa waziri wa foreign akasema mbona hajui lolote kuhusu huu Muungano?, na mbona BLM halikuarifiwa rasmi kimaandishi ili kuridhia kwa maandishi?. Karume alimjibu Babu kwa kauli "wajumbe wote wameridhia"

      out of topic, hivi mnajua wakati wa Nyerere, ukiboronga, inatangazwa na RTD kuwa rais amepokea barua ya fulani kujiuzulu wadhifa wake na rais amekubali kujiuzulu kwake, kiukweli baadhi ya wahusika hawakuziandika barua hizo!.

      Sasa kama Karume, amesema wote wamekubali, kwa maneno tuu, kuna yoyote wa kupinga?!. Karume alisema kwa maneno tuu na hakuna kumbukumbu zozote za maandishi kuthibitisha BLM lilifanya ratification hivyo kisheria, hiyo bado sio ratification!.

    12. #12
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,537
      Rep Power : 37791
      Likes Received
      5009
      Likes Given
      2349

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By Pasco View Post
      Wanabodi, ....Angalizo: "Great Minds" don't discuss people!, hiyo ni kazi ya "Simple Mind" hii thread, hatu discuss watu, tuna discuss idea ya wenzetu humu kuwa puppets chini ya mental slavery ya kuwaaminia sana Wamarekani!, hivyo nawaombeni sana tusianze kutaja taja majina nani ni puppet na nani sio!. Jadili tuu kama unawaamini Wamarekani kuliko tunavyojiamini wenyewe!

      Natanguliza shukrani.

      Pasco.
      Mzee Mwanakijiji njo ujibu tuhuma zako hapa!
      Pasco, Kwangu mimi siyo Mmarekani, ngozi nyeupe mimi siiamini kabisa na siwapendi kabisa wazungu, sijui ni kwa vile nimesoma history!
      Pasco likes this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    13. #13
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 6,478
      Rep Power : 3917
      Likes Received
      1522
      Likes Given
      2681

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Tofauti yako na wengine ni kuwa wewe unachagua mkoloni mwingine.Chances are wewe upo against the west huku ukiachia Easterrn nations zifanye uovu wowote.

      Kwanza huelewi usemacho..in the west hata kanchi km Belgium kanatawala nchi nyingi tuu, kifikra, kiutamaduni etc
      .China wapo aggressive kwa kila kona, nao pia wanafight kutawala kiuchumi, kisasa, kiutamaduni etc..km hujui uliza kwanini nchi kibao hazithubutu itambua Taiwan, Tibet(hta kumpa dalailama Visa ya kutembea ktk nchi zao), Bado nchi zote hizo zinaisifia china. Uliza wakandarasi wa kichina wanavyoweza ua wazawa na hata iba rasilimali ni nchi gani inathubutu wahukumu kifo au hata wafunga miaka ya shetani.China wakisema wanwataka kila mtu anafyata na kutorudia tena mdomoni hiyo habari...Angalia tanchilia zinzzokuwa sponsored na nchi km korea na uchina ktk TV zetu.Hizo ni jitihada makini za kuingiza fikra zao.

      Kuna mengi hujawahi ona, ndio maana ulichoandika ni very narrow,naweza kiita ni just an attack on the US kuonyesh akwa jinsi ulivyo puppet.Ila pia unasahai kitu kimoja.Kabla hivi vi nchi vyetu vinahitaji kutafuta the better of the two if not the best of all available options.Hatuwezi kuwa 100% km wengine wameshaanza badili hata mtazamo wao kimuonekano na hata kifikra.
      Pasco likes this.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    14. #14
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,986
      Rep Power : 3415
      Likes Received
      1345
      Likes Given
      500

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Pasco tatizo sio sisi watanzania,Tazizo ni kikwete kwa kuamini bila USA hatuwezi kuendelea. Kama kikwete akiweza kuwaaminisha watanzania kwamba bila USA tunaweza huji kusikia hadithi za kumwabudu mmarekani... Huo ushauri ungeanza kumpa jk ingependeza zaidi.
      Jasusi, Pasco and jouneGwalu like this.

    15. #15
      GHOST RYDER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 961
      Rep Power : 606
      Likes Received
      422
      Likes Given
      186

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Come on Old Folk where on earth you are and say somewhat; you know what I real mean
      Pasco likes this.
      REAL HUSTLER

    16. #16
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,232
      Rep Power : 12775
      Likes Received
      6454
      Likes Given
      999

      Default

      Quote By Mungi View Post
      Mzee Mwanakijiji njo ujibu tuhuma zako hapa!
      Pasco, Kwangu mimi siyo Mmarekani, ngozi nyeupe mimi siiamini kabisa na siwapendi kabisa wazungu, sijui ni kwa vile nimesoma history!
      Mungi.
      Pasco katoa angalizo tusitajane majina tujadili JF na Puppets!
      Pasco likes this.

    17. #17
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,193
      Rep Power : 25454
      Likes Received
      14892
      Likes Given
      15864

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Makubwa! ! ! ! ! !
      Pasco likes this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    18. #18
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 5,083
      Rep Power : 13995
      Likes Received
      2582
      Likes Given
      2487

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Pasco, dunia ilishakuwa kijiji sasa. Mawazo ya wamarekani yanaweza kuwa sahihi kuliko ya mmatumbi mwenzangu...
      Pasco likes this.

    19. #19
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,354
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4235

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Vijembe tu hivi,
      hakuna issue hapa.
      Pasco likes this.
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    20. #20
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,354
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4235

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Puppet ni puppet tu, awe wa Ikulu au wa Marekani!!!

      STUKA!!!!
      Fidel80 and The Finest like this.
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    Page 1 of 8 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...