Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Online Puppets: Kumbe Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!

    Report Post
    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 150
    1. #1
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Online Puppets: Kumbe Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!

      Wanabodi,

      Ukoloni mbaya kabisa kuliko hata ukoloni wenyewe, ni ukoloni wa fikra!. Ukoloni huu, ni ule wa kufikiri na kuamini kila kisemachwo na Wamarekani ndicho sahihi!. Watanzania wenzetu ambao mnajidhania kuwa ni wazalendo wa kweli wa nchi hii, lakini mnawaaminia sana Wamarekani kila wasemacho wao ndio right, mnijue bado mnaishi kwenye ukoloni wa ki fikra na you are not better than "American Puppets"!.

      Nimeyasema haya kufuatia baadhi ya wenzetu kuwaaminia sana Wamarekani na kuwa kila kinachosemwa na Wamarekani kwao ndio uthibitisho wa ukweli wao!. Hali hii ya kuwaaminia Wamarekani kuliko hata vyombo vyetu wenyewe, iliwahi kujitokeza huko nyuma, pale Wamarekani walipodai, Rais Jakaya Kikwete, alihongwa suti na tajiri fulani, na uwongo mwingine mwingi, ikiwemo kuhongwa pesa za kampeni na kuitumia hoteli fulani jijini kwa mapumziko mafupi "short time"!.

      Japo Ikulu, iliukanusha vikali uwongo huo, lakini kuna wenzetu wengi tuu ambao wanajiaminisha wao ni wazalendo zaidi wa taifa hili, bado wanaamini ukweli ni ule waliosema Wamarekani na uwongo ni lile kanusho la Ikulu!. Hawa ni puppets!. Hivi sasa kuna mjadala mkubwa kuhusu Wanzanzibari kujitoa katika muungano, ndani ya mjadala huo, mimi nimesema mahali, "Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, uliridhiwa (ratified), na upande mmoja tuu wa muungano, upande wa Tanganyika, lakini kwa Zanzibar, haukuwa ridhiwa!".

      Tena nikasema kuridhia (ratification), ni process na hufanywa kwa maandishi (in writings) na sio kwa kauli!. Nikasisitiza, msingi wa muungano ni kauli za Nyerere na Karume, lakini kauli hizo, haziwezi kusimama bila maandishi!, ndipo zikaandaliwa "Articles of Union" aizombalo ndilo andishi au msahafu wa muungano!. Baada ya Articles hizo za muungano kusainiwa, sheria za "international treaties", zisisitiza, lazima ziwe "ratified" kwenye nchi husika ili zipate uhalali wa kisheria (legitimacy). Articles zile kwa Tanganyika, zilipitia "ratification process yote ili kuziridhia, na ziliridhiwa kwa maandishi na kutangazwa kwenye GN!. Kwa upande wa Zanzibar, hakuna kilichofanyika zaidi ya kauli ya Karume kuwa BLM limeridhia!. Ratification haifanyiki kwa kauli bali kwa maandishi!. Nikasisitiza, hakuna maandiko yoyote popote yanayothibitisha kuwa muungano ulikuwa ratified Zanzibar!.

      Mwana jf mwenzetu leo amekuja na maandiko ya Wamarekani eti huo ndio uthibitisho muungano uliridhiwa Zanzibar!. Kama mtu anaambiwa "ratification ni nini" na hufanyika kwa maandishi na kuelezwa kuwa hakuna any ratification process iliyofanyika Zanzibar, lakini analazimisha kwa kuwaaminia Wamarekani, jee,huu ndio ule ukoloni wa kifkra aliousema mwalimu Nyerere?.

      Jee wewe mwana jf mwenzangu, unawaaminia zaidi Wamarekani na kila wasemacho, au angalau unauminia ukweli halisi ambao ndio ukweli wa mambo!.

      "Seek the Truth, and the Truth Set You Free"!.

      "Emancipate Yourself From Mental Slavery"-Bob Marley!.

      Angalizo: "Great Minds" don't discuss people!, hiyo ni kazi ya "Simple Mind" hii thread, hatu discuss watu, tuna discuss idea ya wenzetu humu kuwa puppets chini ya mental slavery ya kuwaaminia sana Wamarekani!, hivyo nawaombeni sana tusianze kutaja taja majina nani ni puppet na nani sio!. Jadili tuu kama unawaamini Wamarekani kuliko tunavyojiamini wenyewe!

      Natanguliza shukrani.

      Pasco.
      Last edited by Pasco; 7th June 2012 at 11:32.

    2. Miaka 50

    3. #41
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Another government puppet@ work!

      Huu ndio uzalendo unaoimbwa na CCM na Watawala??

      Kusema uongo kwa kuwa tu ni Mtanzania!!??

      Historia ya nchi hii imefichwa sana tutaitafuta popote vivyo hivyo maovu ya viongozi tutayatafuta popote!

      I always fall short of words when I read article from Tanzania's pawnbroker journalists!

      Tumelaaniwa!
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.

    4. #42
      Ileje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Posts : 1,025
      Rep Power : 580
      Likes Received
      401
      Likes Given
      106

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Pasco, bila Zanzibar kuridhia muungano kwa maandishi Umoja wa mataifa ungeweka bayana ili Zanzibar ipate kiti pale. Kwa sasa haiwezekani kwa kuwa muungano ni halali kimataifa.
      Mzee Mwanakijiji, Pasco and FJM like this.
      Never give up your right!

    5. #43
      S.M.P2503's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2008
      Posts : 332
      Rep Power : 601
      Likes Received
      88
      Likes Given
      86

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      @ pasco
      Kabla sijasahau maadam kuna wengine waliokita mwana sheria na kama Ni kweli basi najua utakuwa umekutana na kitu kinaitwa Pacta sunt servanda, utagundua kwamba ratification inategemea taifa na taifa na mikataba yote huwa inafanywa kwa good faith ! Soma link hii hapa chini
      Incorporation of international law - Wikipedia, the free encyclopedia
      Pasco likes this.

    6. #44
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Mimi hapa naona ishu si muungano uliundwaje, sijui ratification, suala ni kwamba zanz wanataka nchi yao, na kama big potatoes hawataki basi kuwe na makubaliano mengine ystakayo hudidha wananchi wote. Habari za hisyoria tuziache.

    7. #45
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By nduu/mamaya
      ujumbe huu umeletwa kwenu KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI WAKISHIRIKIANA NA PASCO WA JF a.ka. Expeted compaign manager wa Lowasa.
      Issue hapa ni kuwakataa ma-puppets wa nje (wamarekani) na kuwakaribisha kwa mikono miwili ma-puppets wa ndani (eg. Pasco kwa Lowassa, ritz kwa Kikwete, MAFILILI kwa Nape na Rejao kwa Makamba)
      Pasco and majorbuyoya like this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,191
      Rep Power : 5038
      Likes Received
      2425
      Likes Given
      2224

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Kuna sheria inasema wapenzi wawili wakikaa nyumba moja kwa muda fulani (miezi sita), wanatambulika kuwa ni wanandoa. Kwenye sheria za kimataifa ukisoma utakuta hiyo provision/exception. Sasa hivi kama Zanzibar wanataka kujitoa, waseme tu hawahutaki Muungano lakini sio kusema Muungano sio halali. Umeshawahi kuona ndoa watu wanaishi miaka zaidi ya arobaini, wanahudhuria shughuli mbalimbali za kijamii pamoja n.k halafu ghafla mmoja wao anasema kuwa hiyo ndoa haikuwa halali! huyo hataonekana amepungukiwa!!! Swala siyo uhalali, swala ni utayari...
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    10. FJM
      #47
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,173
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5322
      Likes Given
      4587

      Default re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By majorbuyoya
      ritz, Ni kweli Pasco ametoa angalizo juu ya kutotaja mtu bali ijadiliwe mada, lakini kwa yeyote ambaye anajua ulipoanzia huu uzi, direct atakuwa kashapata jibu kuwa hata yeye Pasco kashamtaja mtu tayari. Huu mjadala haujaanzia hapa, kuna sehemu ambapo ulianzia na Pasco kaamua kuuleta huku kivingine ndo maana kuna mchangiaji mmoja hapo juu anaitwa FJM ameandika ''kwa nini tuamini unayosema wewe na sio hayo yaliyosemwa na 'mwana JF' ambaye wewe unampinga? Lakini pia unaweza kuweka wazi uzi unaopinga badala ya ku-assume kila mtu yuko kichwani mwako?''. Ni vyema Pasco akaweka huo uzi ili watu wajue ni kitu gani huyo anayeitwa pupppet amezungumza na kama ni kweli anastahili kuitwa hivyo au kaonewa kuitwa hivyo. kwa mtazamo wangu jamaa siyo puppet bali wametofautiana tu msimamo na Pasco, pia sio lazima lile unaloona wewe ni sahihi mwenzio nae alichukulie hivyo hivyo.
      major buyoya, Pasco anatuhimiza na kubaliana naye kabisa kwamba hatujadili mtu ila hoja, lakini wakati huo huo analeta post inayohusu 'puppets JF'! Nimepitia thread moja ya Mwanakijiji, interestingly, nimekuta Pasco ka-post hii hoja yake huko. Nadhani nyongo ya Pasco imetubuka baada ya Mwanakijiji kuweka document alizopata toka CIA zikionesha kuwa BLM "waliridhia' muungano.

      Sasa, ningetegemea Pasco alete document zake zinazonesha otherwise, badala ya kutupa 'personal view' zake. Kwa sababu kama issue ni ku-play down docs za CIA tunafanya hivyo kwa kutumia nyenzo gani, uwezo wa kufikiri wa Pasco?

    11. #48
      S.M.P2503's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2008
      Posts : 332
      Rep Power : 601
      Likes Received
      88
      Likes Given
      86

      Default

      Quote By Remmy
      Mimi hapa naona ishu si muungano uliundwaje, sijui ratification, suala ni kwamba zanz wanataka nchi yao, na kama big potatoes hawataki basi kuwe na makubaliano mengine ystakayo hudidha wananchi wote. Habari za hisyoria tuziache.
      Remmy ndoa si ndoano kama wanzibar hawautambui au hawautaki muungano Ni simple sana kutoka!

      Step 1
      Walipinge au walikatae baraza la mapinduzi na kiongozi Wa baraza Hilo maana Ni yeye aliye waingiza kwenye choo cha kike!

      Step 2

      Waiondoe SMZ kwa mtutu, kura au SMZ ijiudhuru yenyewe na kuitishwa uchaguzi mwingine

      Step 3

      Wafanye marekibisho ya katika kutamka kwamba muungano Ni batili na hautambuki kwa sababu ifanywa na baraza la mapinduzi

      Step 4

      Hayo yote ya juu hayawahusu tanganyika na sioni Ni kwa vipi tanganyika inskuwa na kidomodomo kea pili isiyo wahusu'

      Hayo yakifanukiwa basi muungano waweza kujadiliwa upya uwepo au la
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.

    12. #49
      S.M.P2503's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2008
      Posts : 332
      Rep Power : 601
      Likes Received
      88
      Likes Given
      86

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Kujadili muungano kwa sasa maana yake Ni kujadili uhalali Wa baraza la mapinduzi ambalo bado lipo hai, Lina kiongozi wake , linalindwa na kurambuliwa kwa yote lililoyafanya jana, Leo hata siku za usoni
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.

    13. #50
      mluga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 606
      Rep Power : 558
      Likes Received
      176
      Likes Given
      240

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Simple is fulani puppet wa wamarekani kaja na vikabrasha kuhalalisha muungano, na wewe Pasco puppet wa UAMSHO umekuja kutushawishi bila kithibitisho kuwa hakukuwa na any ratification huko Zanzibar.

      Sasa na wewe PUPPET wa UAMSHO basi tuletee hata voice record ya wajumbe wa MBZ wa wakati huko wakithibitisha kutokuwepo na kupinga hiyo ya PUPPET wa Marekani. Member wa MBZ wa wakati huo ambao najua mpaka sasa wako hai ni Nassoro Moyo na Aboud Jumbe, kawahoji utuletee maongezi yenu ya kukanusha.
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.

    14. #51
      S.M.P2503's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2008
      Posts : 332
      Rep Power : 601
      Likes Received
      88
      Likes Given
      86

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Tanganyika ilipatana na baraza la mapinduzi na viongozi wake. Tanganyika bado inatambua uhalali ears BLM na watu Wa Zanzibar pia wanalutambua BLM sasa ya nini kujadili kuvuja muungano au ndoa na mtu ambayo hukufunga naye ndio hiyo?
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.

    15. #52
      peter tumaini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : DSM
      Posts : 575
      Rep Power : 483
      Likes Received
      86
      Likes Given
      54

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Hoja yenyewe sikubaliani nayo kwani anachokisema kiko relative,naweza nikaamini mmarekani kuliko mbongo kwa vigezo vya mada yenyewe na kuupima ukweli,na pia naweza pia kumuamini Mtz kwa mantiki hiyo hiyo.

      Kwa hiyo sio kila linalokanushwa hapa kwetu lina ukweli kwa mkanushaji,yapo mengi yalikanushwa mwanzo ukweli ulipojulikana watu wakakaa kimya.
      Kumbuka kuwa puppet wapo pande zote na ukweli pia upo pande zote ndo maana tunahitaji jicho la tatu kupata hitimisho.
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.

    16. #53
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,629
      Rep Power : 5718
      Likes Received
      1059
      Likes Given
      2483

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By The Finest
      Pasco ukipata muda tatufata hiki kitabu usome..The Union Between Tanganyika and Zanzibar: The Product Of The Cold War?
      Unaweza kupata baadhi ya sura zake hapa:

      The Union of Tanganyika and Zanzibar: Product of The Cold War?
      Semper fi!

    17. #54
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,588
      Rep Power : 1069
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Ukisema ni u puppet kuamini kuwa Rais alihongwa suti na fedha ya kampeni eti tu kwa kuwa Ikulu imekanusha na sisi tutakuita wewe Puppet wa Ikulu. Tumeona makanusho kibao ya Ikulu ya kukurupuka na kuongeza utata badala ya kuondoa. Kwangu mimi bora kuwa Puppet wa wazungu ambao akili na maendeleo yao yako wazi kuliko hawa weusi wenzetu ambao uwezo wao wa kuongoza na kufikiri unatia shaka. But njia nzuri hapa duniani ni kuwa mwenyewe na simamia unachokiamini bila kufuata mkumbo eti kwa kuwa Ikulu au Wazungu wamesema
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.

    18. #55
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,329
      Rep Power : 2000
      Likes Received
      2115
      Likes Given
      7803

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By MTK
      Kwa hiyo wewe Pasco watu wakitofautiana na wewe kwa misingi ya kuwa na facts kuhusu topic ambazo pengine wewe huzijui au umeshindwa kuzitafuta for one reason or the other watu hao wanakuwa PUPPETS, MENTAL SLAVES?!
      Sikubaliani na wewe kwa hilo; usiwe mvivu wa kusoma na kuanza kuvurumisha kebehi; kaza buti ARGUE dont SHOUT, wakinzani wako wakiona una facts solid watakubaliana na wewe; usipende wakinzani wako wafe ili wewe ushinde hoja.
      sababu ya yote haya ni UAMSHO, hadi JF tunaambiwa kuna puppets,
      hivi nikitoa documents from somewhere na kuiweka hapa mimi nitaitwa puppet wa JF?
      aisee LET THEM GO...

      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    19. #56
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,329
      Rep Power : 2000
      Likes Received
      2115
      Likes Given
      7803

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Pasco hii ni vita ya wazi na aliyeanzisha thread kwa kuweka ulivyoshindwa kuvipata.
      LET THEM GO.
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    20. #57
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 498
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Tunateswa na historia yetu, mara nyingi viongozi wetu wamesema uongo na mara nyingi wazungu na wamarekani wamesema ukweli japo kwa mambo ambayo viongozi wetu ndo walipaswa kutuambia a to z; ndo maana leo hii benefit of doubt tunawapa wao. Unakumbuka fedha za RADA, Ndege ya Rais etc;

      Wakati mwingine wanaamua kusema kama ambavyo viongozi wetu wanataka wasema lakini ukweli wanaujua, na wakiamua kusema inakuwa kweli. Kwenye madini viongozi wetu wanatidanganya, nao kama wawekezaji inabidi wasema mwenyezi ambavyo anataka.
      Pasco likes this.

    21. #58
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 498
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Mimi nadhani muungano sio amri ya mungu, wazanzibar wanaweza kutoka bila kutoa sababu kwa mtanganyika. kitu kinaitwa withdrawn consent.

      Cha msingi ni kuangalia sheria za kimataifa, je umbali kilipo kisiwa cha unguja na then from unguja to pemba unaruhusu zanzibar kutokuwa sehemu ya tanganyika??? kama hairuhusu tuwakamate kwa nguvu zote za kijeshi, kama inaruhusu waachwe wasepe.
      Pasco likes this.

    22. #59
      Mtanzania1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : Kalenga, Liringa
      Posts : 979
      Rep Power : 620
      Likes Received
      124
      Likes Given
      94

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By Jasusi
      Pasco,
      Ulikuwa umeanza kunikonga mpaka pale uliposema Kikwete kununuliwa suti ni uwongo. Mbona hilo mimi nimelifahamu siku nyingi kabla hata ya Wikileaks kulitaja? Top management wote pale Kempiski wanalijua hilo na wala si siri.
      Mkuu.....Pasco ametoa angalizo tusijadili suti wala muungano....tujadili tu kama tunawaamini wamerekani kuliko tunavyojiamini wenyewe
      Mzee Mwanakijiji and Pasco like this.
      Ukifanya jambo la werevu utaitwa mwerevu, ukifanya jambo la kijinga basi utaitwa mjinga pia

    23. #60
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2613
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: JF na Puppets!. Kumbe Humu Jukwaa la Siasa, Tunao "Puppets" Wengi Kuliko Tunavyojidhania!.

      Quote By FJM
      majorbuyoya, Pasco anatuhimiza na kubaliana naye kabisa kwamba hatujadili mtu ila hoja, lakini wakati huo huo analeta post inayohusu 'puppets JF'! Nimepitia thread moja ya Mwanakijiji, interestingly, nimekuta Pasco ka-post hii hoja yake huko. Nadhani nyongo ya Pasco imetubuka baada ya Mwanakijiji kuweka document alizopata toka CIA zikionesha kuwa BLM "waliridhia' muungano. Sasa, ningetegemea Pasco alete document zake zinazonesha otherwise, badala ya kutupa 'personal view' zake. Kwa sababu kama issue ni ku-play down docs za CIA tunafanya hivyo kwa kutumia nyenzo gani, uwezo wa kufikiri wa Pasco?
      FJM, nadhani Pasco aliamua kuuleta huu uzi huku ili apate uungwaji mkono na watu ambao hawajapata muda wa kupitia ile thread ya Mwanakijiji inayosema: ''Kinyume na Ulaghai: Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliridhiwa na chombo halali cha Zanzibar!'' ambayo ndio chanzo cha Pasco kumuona Mwanakijiji kuwa ni puppet baada ya kumbana kwa documents za CIA. Kama mtu unataka ujue nani anayeongelewa hapa kama puppet nenda kwenye huo uzi wa Mwanakijiji. Pia sijaona ulazima wa Pasco kuja kuanzisha huu mjadala mpya wakati kule angeweza kuongelea tu hivi vitu.
      Pasco likes this.

    Page 3 of 8 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...