Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwanini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 70
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Kwanini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

      1) Sikatai kabisa ATCL ilifanya madudu mengi sana katika nyanja zifuatazo:-

      a) uteuzi wa wakurugenzi waandamizi bila ya kufuata taratibu.

      b) Ukodishaji wa ndege kinyume na utaratibu na kulisababishia taifa hasara za mabilioni.

      Hapa na pale anakuja Waziri Mwakyembe - huyu ni mpya kabisa kutoka dukani - badala ya kuiwajibisha Bodi inayoongozwa na Mustafa Nyang'anyi yeye anawawajibisha watendaji waandamizi kazi ambayo siyo yake ni ya Bodi ya wakurugenzi.

      Mimi nilifikiri waziri shupavu atakachofanya ni kuiondoa Bodi ya wakurugenzi kwa kuhalalisha madudu lakini yeye anairuka Bodi iliyoko ndani ya uwezo wake na kuingilia kwenye majukumu ambayo yako nje ya uwezo wake na kuyafanya! Huu kweli ndiyo utawala bora?

      2) Sikatai kwenye shirika la TBS upo ushahidi wa kutosha wa ya kuwa TBS kufanya madudu makubwa ambayo yameligharimu taifa zaidi ya mabilioni 30.

      Sasa Waziri mpya kabisa naye kanunuliwa kwa bei mbaya kutoka dukani anakuja kuiagiza Bodi ya TBS kumsimamisha kazi Mtendaji Mkuu kwa minajili ya kupisha uchunguzi, kazi ambayo Bodi hiyo walipaswa waifanye na hawakuifanya.

      Kwa lugha nyingine Bodi tajwa imeshindwa kulisimamia shirika tajwa na ndiyo ilipaswa kufanya kazi na imechelea kwa sababu wazijuazo wao. Huu kweli ni utawala bora wa kuacha kuwajibisha chombo kilichoko ndani ya uwezo wa waziri na kuingilia Bodi kwenye majukumu yake?

      Sababu kubwa ya kuziweka Bodi za wakurugenzi ni kupunguza na kufifilisha wanasiasa kuendesha taasisi za umma kwa minajili ya kukidhi mahitaji yao ya muda mfupi ya kisiasa.

      Pamoja na nia nzuri ya kufuta ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya taasisi za umma lakini mawaziri hawa wapya wa JK wanapovunja taratibu kwa visingizio kuwa lengo ni kurekebisha makosa siyo sahihi hata kidogo. Huwezi kuvunja sheria na kutumia visingizo vya kuboresha wakati wewe mwenyewe ni mkosaji tu............

      Nionavyo mimi ni kuwa hawa mawaziri wapya wa JK wanawaogopa wenyeviti wa Bodi kwa sababu hawakuwateua wao bali wameteuliwa na Raisi. wanaogopa kuhatarisha posho yao n ahivyo wanzilinda Bodi za wakurugenzi lakini wanaelewa pia ili kuulinda mlo wao lazima wachukue hatua na hivyo kusababisha huu muingiliano wa majukumu ambao unakatzwa na sheria.

      Hivyo badala ya kuwaondoa watajwa hao basi mawaziri wanawaingilia kwa kufanya yale ambayo wao mawaziri wanataka yafanyike kwa sababu zao za kisiasa na hivyo kufifilisha maana nzima ya kuwa na hizi Bodi za wakurugenzi ambazo zinatugharimu mapesa mengi sana katika kuzikarabati.


      Last edited by Rutashubanyuma; 7th June 2012 at 09:03. Reason: additional material
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,136
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

      Una majibu ya swali lako mkuu, Waziri hawezi kumgusa mjumbe wa BODI YA WAKURUGENZI maana wote ni watoto wa baba mmoja na wote lao moja "wizi"
      Sasa ili waonekane wamefanyakazi ulitaka wafanye nini?.
      Yote yanatokana na madaraka makubwa aliyonayo Rais.
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    4. #3
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4670
      Likes Given
      2294

      Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

      Inasemekana wakurugenzi ndo waliosababisha mawaziri wenzao kuwajibishwa!
      Wapo makini kweli!
      BAK, Rutashubanyuma and Mamndenyi like this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    5. #4
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

      Una majibu ya swali lako mkuu, Waziri hawezi kumgusa mjumbe wa BODI YA WAKURUGENZI maana wote ni watoto wa baba mmoja na wote lao moja "wizi"
      Sasa ili waonekane wamefanyakazi ulitaka wafanye nini?.
      Yote yanatokana na madaraka makubwa aliyonayo Rais.
      Kyaiyembe hawa wakubwa wameingilia kazi za Bodi na hayo ni matumizi mabaya ya madaraka.......mawaziri hawa wameingia kazini kaw pupa lakini wanavuruga nchi
      Mamndenyi likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."
      #5

  • style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="https://www.jamiiforums.com/customavatars/avatar26835_10.gif" alt="Rutashubanyuma's Avatar" />
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th September 2010
    Location : Arusha
    Posts : 38,733
    Rep Power : 12925
    Likes Received
    4432
    Likes Given
    7462

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Inasemekana wakurugenzi ndo waliosababisha mawaziri wenzao kuwajibishwa!
    Wapo makini kweli!
    hoja nzuri Mungi..........jana naona uliingia mitini ....lol............ni kweli hawa ndiyo walisababisha wenzao wafukuzwe kazi na hadi leo bado wanatesa.................ikoje hii wamerukwa na wadogo zao kitanzini
    Mamndenyi likes this.
    John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

    John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

  • FemaTV & Radio

  • #6
    Mungi's Avatar
    JF Gold Member Array
    Join Date : 23rd September 2010
    Location : Hapa!!!
    Posts : 10,159
    Rep Power : 24268
    Likes Received
    4670
    Likes Given
    2294

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Quote By Rutashubanyuma
    hoja nzuri Mungi..........jana naona uliingia mitini ....lol............ni kweli hawa ndiyo walisababisha wenzao wafukuzwe kazi na hadi leo bado wanatesa.................ikoje hii wamerukwa na wadogo zao kitanzini
    Mkuu ni kweli niliahidi kurudi lakini ndo hivyo, hata uongo ni sehemu ya mwanasiasa. Rutashubanyuma
    Hao wenzao wamekwepa kitanzi kwasababu hawakuwa signatories
    Mamndenyi likes this.
    "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

  • #7
    Adrian Stepp's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 1st July 2011
    Posts : 1,573
    Rep Power : 713
    Likes Received
    438
    Likes Given
    2560

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Hivi kwanini taratibu sizibadilishwe ili wenyeviti/ wakurugenzi wa bodi mbali mbali wawe wanateuliwa na mawaziri wa wizara husika ili pindi waziri ama mtendaji anapo vurunda waziri aonekane wazi wazi kufanya kazi..japokua kutakua na kukingiana kifua lakini hii itawamwaga sana watendaji wa mashirika ya umma kwa kutolewa kafara na bodi za wakurugenzi..mazashit!-
    Rutashubanyuma and Mamndenyi like this.
    Watu wakimya wamejaliwa busara, ufahamu na midomo inayonuka!

  • #8
    Mnama's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 13th October 2010
    Posts : 737
    Rep Power : 1162
    Likes Received
    174
    Likes Given
    108

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Quote By Rutashubanyuma
    1) Sikatai kabisa ATCL ilifanya madudu mengi sana katika nyanja zifuatazo:-

    a) uteuzi wa wakurugenzi waandamizi bila ya kufuata taratibu.

    b) Ukodishaji wa ndege kinyume na utaratibu na kulisababishia taifa hasara za mabilioni.

    Hapa na pale anakuja Waziri Mwakyembe - huyu ni mpya kabisa kutoka dukani - badala ya kuiwajibisha Bodi inayoongozwa na Mustafa Nyang'anyi yeye anawawajibisha watendaji waandamizi kazi ambayo siyo yake ni ya Bodi ya wakurugenzi.

    Mimi nilifikiri waziri shupavu atakachofanya ni kuiondoa Bodi ya wakurugenzi kwa kuhalalisha madudu lakini yeye anairuka Bodi iliyoko ndani ya uwezo wake na kuingilia kwenye majukumu ambayo yako nje ya uwezo wake na kuyafanya! Huu kweli ndiyo utawala bora?

    2) Sikatai kwenye shirika la TBS upo ushahidi wa kutosha wa ya kuwa TBS kufanya madudu makubwa ambayo yameligharimu taifa zaidi ya mabilioni 30.

    Sasa Waziri mpya kabisa naye kanunuliwa kwa bei mbaya kutoka dukani anakuja kuiagiza Bodi ya TBS kumsimamisha kazi Mtendaji Mkuu kwa minajili ya kupisha uchunguzi, kazi ambayo Bodi hiyo walipaswa waifanye na hawakuifanya.

    Kwa lugha nyingine Bodi tajwa imeshindwa kulisimamia shirika tajwa na ndiyo ilipaswa kufanya kazi na imechelea kwa sababu wazijuazo wao. Huu kweli ni utawala bora wa kuacha kuwajibisha chombo kilichoko ndani ya uwezo wa waziri na kuingilia Bodi kwenye majukumu yake?

    Sababu kubwa ya kuziweka Bodi za wakurugenzi ni kupunguza na kufifilisha wanasiasa kuendesha taasisi za umma kwa minajili ya kukidhi mahitaji yao ya muda mfupi ya kisiasa.

    Pamoja na nia nzuri ya kufuta ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya taasisi za umma lakini mawaziri hawa wapya wa JK wanapovunja taratibu kwa visingizio kuwa lengo ni kurekebisha makosa siyo sahihi hata kidogo. Huwezi kuvunja sheria na kutumia visingizo vya kuboresha wakati wewe mwenyewe ni mkosaji tu............

    Nionavyo mimi ni kuwa hawa mawaziri wapya wa JK wanawaogopa wenyeviti wa Bodi kwa sababu hawakuwateua wao bali wameteuliwa na Raisi. wanaogopa kuhatarisha posho yao n ahivyo wanzilinda Bodi za wakurugenzi lakini wanaelewa pia ili kuulinda mlo wao lazima wachukue hatua na hivyo kusababisha huu muingiliano wa majukumu ambao unakatzwa na sheria.

    Hivyo badala ya kuwaondoa watajwa hao basi mawaziri wanawaingilia kwa kufanya yale ambayo wao mawaziri wanataka yafanyike kwa sababu zao za kisiasa na hivyo kufifilisha maana nzima ya kuwa na hizi Bodi za wakurugenzi ambazo zinatugharimu mapesa mengi sana katika kuzikarabati.


    Nchi yetu inamatatizo makubwa sana kwenye governance kiasa kwamba watu hawaheshimu mipaka ya kazi zao tena. kwa ATCL haina bodi kwani ilishamaliza muda wake na sasa ni zaidi ya mwaka shirika linaendeshwa kimagumashi.
    TBS kulindana kwingi kulianzia waziri hadi bodi kwani wajumbe si kawaweka waziri.

    kinachotakiwa kifanyike kama sekta binafsi kwamba waziri angeteua wajumbe wa bodi kisha miongoni mwao wachague wenyewe mwenyekiti kisha wakabidhiwe shirika na wao ndio wafanye interview ya Mkurugenzi wa shirika(Kama hamna) ambaye atawajibika kwao. sio huu mtindo bodi kaweka waziri mkurugenzi kaweka waziri/raisi nani atawajibika kwa nani? wakurugenzi wanaviburi kwa bodi kama nini maana haijamuweka hapo.
    MAKAH and Mamndenyi like this.

  • #9
    Ng'wamapalala's Avatar
    JF Gold Member Array
    Join Date : 9th June 2011
    Location : Kijijini Bariadi
    Posts : 2,368
    Rep Power : 15164
    Likes Received
    1037
    Likes Given
    421

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Quote By anders batta
    Hivi kwanini taratibu sizibadilishwe ili wenyeviti/ wakurugenzi wa bodi mbali mbali wawe wanateuliwa na mawaziri wa wizara husika ili pindi waziri ama mtendaji anapo vurunda waziri aonekane wazi wazi kufanya kazi..japokua kutakua na kukingiana kifua lakini hii itawamwaga sana watendaji wa mashirika ya umma kwa kutolewa kafara na bodi za wakurugenzi..mazashit!-


    Hapo umenena lakini kumbuka Wenyeviti/Wakurugenzi wanateuliwa na Raisi baada ya kushauliana na Waziri wa wizara husika, tatizo linakuja pale uteuzi unakuwa niwa kisiasa kisiasa badala ya kiutendaji na ndiyo maana inakuwa vigumu kwa waziri anayeteuliwa au kuhamishiwa kwenye wizara na kuikuta bodi hiyo ya wakurugenzi ambayo mara nyingi huteuliwa kisiasa kisiasa. Waziri kisheria anakuwa amepewa madaraka ya kuiwajibisha lakini "kisiasa", anakuwa hana hayo madaraka. Hapa ndo tunarudi kwenye tatizo la Raisi kuwa na madaraka makubwa.
    Mamndenyi and anders batta like this.

  • #10
    mamajack's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 21st May 2012
    Posts : 1,153
    Rep Power : 583
    Likes Received
    275
    Likes Given
    71

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Quote By Rutashubanyuma
    1) Sikatai kabisa ATCL ilifanya madudu mengi sana katika nyanja zifuatazo:-

    a) uteuzi wa wakurugenzi waandamizi bila ya kufuata taratibu.

    b) Ukodishaji wa ndege kinyume na utaratibu na kulisababishia taifa hasara za mabilioni.

    Hapa na pale anakuja Waziri Mwakyembe - huyu ni mpya kabisa kutoka dukani - badala ya kuiwajibisha Bodi inayoongozwa na Mustafa Nyang'anyi yeye anawawajibisha watendaji waandamizi kazi ambayo siyo yake ni ya Bodi ya wakurugenzi.

    Mimi nilifikiri waziri shupavu atakachofanya ni kuiondoa Bodi ya wakurugenzi kwa kuhalalisha madudu lakini yeye anairuka Bodi iliyoko ndani ya uwezo wake na kuingilia kwenye majukumu ambayo yako nje ya uwezo wake na kuyafanya! Huu kweli ndiyo utawala bora?

    2) Sikatai kwenye shirika la TBS upo ushahidi wa kutosha wa ya kuwa TBS kufanya madudu makubwa ambayo yameligharimu taifa zaidi ya mabilioni 30.

    Sasa Waziri mpya kabisa naye kanunuliwa kwa bei mbaya kutoka dukani anakuja kuiagiza Bodi ya TBS kumsimamisha kazi Mtendaji Mkuu kwa minajili ya kupisha uchunguzi, kazi ambayo Bodi hiyo walipaswa waifanye na hawakuifanya.

    Kwa lugha nyingine Bodi tajwa imeshindwa kulisimamia shirika tajwa na ndiyo ilipaswa kufanya kazi na imechelea kwa sababu wazijuazo wao. Huu kweli ni utawala bora wa kuacha kuwajibisha chombo kilichoko ndani ya uwezo wa waziri na kuingilia Bodi kwenye majukumu yake?

    Sababu kubwa ya kuziweka Bodi za wakurugenzi ni kupunguza na kufifilisha wanasiasa kuendesha taasisi za umma kwa minajili ya kukidhi mahitaji yao ya muda mfupi ya kisiasa.

    Pamoja na nia nzuri ya kufuta ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya taasisi za umma lakini mawaziri hawa wapya wa JK wanapovunja taratibu kwa visingizio kuwa lengo ni kurekebisha makosa siyo sahihi hata kidogo. Huwezi kuvunja sheria na kutumia visingizo vya kuboresha wakati wewe mwenyewe ni mkosaji tu............

    Nionavyo mimi ni kuwa hawa mawaziri wapya wa JK wanawaogopa wenyeviti wa Bodi kwa sababu hawakuwateua wao bali wameteuliwa na Raisi. wanaogopa kuhatarisha posho yao n ahivyo wanzilinda Bodi za wakurugenzi lakini wanaelewa pia ili kuulinda mlo wao lazima wachukue hatua na hivyo kusababisha huu muingiliano wa majukumu ambao unakatzwa na sheria.

    Hivyo badala ya kuwaondoa watajwa hao basi mawaziri wanawaingilia kwa kufanya yale ambayo wao mawaziri wanataka yafanyike kwa sababu zao za kisiasa na hivyo kufifilisha maana nzima ya kuwa na hizi Bodi za wakurugenzi ambazo zinatugharimu mapesa mengi sana katika kuzikarabati.


    yaani tunaoga kuwajibishana maana tunapenda sifa za kijinga,na mie nawaambia,haya mambo yakiendelea baada ya miaka nchi hii tutakuwa na hali mbaya sana,watu wanofanya madudu wanaogopwa sababu wanae mtu mkubwa anayewalinda na hayo mabaya yao yanafaida kwake,na pia kunawatu wanatumiwa kurahisisha mambo ya watu,mwisho wa siku wanakuja kuumia na kuumbuka wao,wewe unapewa kazi usimamie ila mwenyenyumba au waatoto wake wakitaka kitu wanauhuru wakuchukua mda na wakati wanaotaka wao.aibu inabaki kwako sasa,sie wanachi tunakuona wewe,na majibu ya maswali yetu tunataka kutoka kwako,wakati kuna watu uliokubali wakutumie nawewe kwa vile unataka utoke(utajirike)unakubali tu bila kuangalia nini kitatoke.then yakiharibika mambo unapozwa kwa maneno ya matumaini hapo ulishaharibu heshima utu etc.wateuliwa fanyeni kazi kwa akiri na utashi mlopewa na mungu,penye kusema no semeni.BORA KUWAJIBISHWA KWA KUTENDA JEMA KULKO KUPATA SIFA AMBAZO ZINAKUHARIBIA SIFA,UTUNA UZALENDO.
    paul chizi wewe ni mzalendo na umewajibishwa kwa kutenda jema,though tunajua hakuna aliyemkamilifu.
    Mamndenyi likes this.

  • WFM
    #11
    WFM's Avatar
    Member Array
    Join Date : 3rd January 2011
    Posts : 43
    Rep Power : 433
    Likes Received
    12
    Likes Given
    25

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Quote By Rutashubanyuma
    Kyaiyembe hawa wakubwa wameingilia kazi za Bodi na hayo ni matumizi mabaya ya madaraka.......mawaziri hawa wameingia kazini kaw pupa lakini wanavuruga nchi
    Waziri - KCU amemsimamisha kazi DG wa Bodi ya Pamba wakati ambao msimu unatakiwa kufunguliwa na bei ya pamba kutangazwa. System ime-paralyse hadi waziri mwenyewe anaonekana hajui cha kufanya. Bodi ilitakiwa kuwajibika kwa kushindwa kumwajibisha DG. Hii serikali sasa ndo inazidi kuwa kichekesho. Wasipostuka sijui km watafka 2015.
    Mamndenyi likes this.

  • #12
    andrewk's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 13th April 2010
    Posts : 2,222
    Rep Power : 906
    Likes Received
    283
    Likes Given
    59

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    mbona nasikia hawana bodi sikun nyingi tu!

  • #13
    Ng'wamapalala's Avatar
    JF Gold Member Array
    Join Date : 9th June 2011
    Location : Kijijini Bariadi
    Posts : 2,368
    Rep Power : 15164
    Likes Received
    1037
    Likes Given
    421

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Quote By Rutashubanyuma
    Kyaiyembe hawa wakubwa wameingilia kazi za Bodi na hayo ni matumizi mabaya ya madaraka.......mawaziri hawa wameingia kazini kaw pupa lakini wanavuruga nchi

    Sikubaliani na wewe kuhusu hili. Kuna mifano mingi tu ambayo inaonyesha kuwa wakati mwingine ni vizuri kuvunja sheria kwa manufaa ya umma katika mazingira yanayohitaji utekelezaji wa haraka ili kujipanga upya badala ya kusubiri taratibu za kisheria ambazo zinachukua muda mrefu kuzikamilisha. Kumbuka sheria zetu mara nyingi ni mbovu na zinahitaji marekebisho( sisemi kama ndiyo excuse) lakini hiyo ni sheria ya hekima na busara katika mazingira kama hayo.

  • #14
    Kyaiyembe's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 1st December 2011
    Location : Kisukuru
    Posts : 1,136
    Rep Power : 604
    Likes Received
    345
    Likes Given
    303

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Jaribu kumshawishi Rais akuteue Wenyeviti/Wakurugenzi kutoka upinzani ili wasionewe huruma na watawala!.
    Rutashubanyuma and Mamndenyi like this.
    "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
    mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
    By J.K. NYERERE.

  • #15
    Rutashubanyuma's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th September 2010
    Location : Arusha
    Posts : 38,733
    Rep Power : 12925
    Likes Received
    4432
    Likes Given
    7462

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Mkuu ni kweli niliahidi kurudi lakini ndo hivyo, hata uongo ni sehemu ya mwanasiasa. Rutashubanyuma
    Hao wenzao wamekwepa kitanzi kwasababu hawakuwa signatories
    Mungi huo sio utetezi kwani mawaziri walipowajibishwa walikuwa ni ma-signatories................ni uwajibikaji wa eneo ambalo unalisimamia tu..........
    Mamndenyi likes this.
    John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

    John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

  • #16
    Rutashubanyuma's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th September 2010
    Location : Arusha
    Posts : 38,733
    Rep Power : 12925
    Likes Received
    4432
    Likes Given
    7462

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Jaribu kumshawishi Rais akuteue Wenyeviti/Wakurugenzi kutoka upinzani ili wasionewe huruma na watawala!.
    @ tatizo mie ni ccm siko upinzani.....lol
    Mamndenyi likes this.
    John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

    John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

  • #17
    Rutashubanyuma's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th September 2010
    Location : Arusha
    Posts : 38,733
    Rep Power : 12925
    Likes Received
    4432
    Likes Given
    7462

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Sikubaliani na wewe kuhusu hili. Kuna mifano mingi tu ambayo inaonyesha kuwa wakati mwingine ni vizuri kuvunja sheria kwa manufaa ya umma katika mazingira yanayohitaji utekelezaji wa haraka ili kujipanga upya badala ya kusubiri taratibu za kisheria ambazo zinachukua muda mrefu kuzikamilisha. Kumbuka sheria zetu mara nyingi ni mbovu na zinahitaji marekebisho( sisemi kama ndiyo excuse) lakini hiyo ni sheria ya hekima na busara katika mazingira kama hayo.
    @ sheria ni msumeno na unakata pande zote mbili.....tukiruhusu huu utaniutani wako basi siku moja tutasema people's power waongeze nchi na kisingizio sheria zetu zina mapungufu................kama zina mapungufu ni kuzirekebisha na wala siyo kuzisigina tukifnya vinginevyo ni kuashiria vurugu..............kuchukua sheria mkononi ni vurugu tupu na inapoanzia kwa viongozi ni balaaaaaaaaaaaaaa
    Mamndenyi likes this.
    John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

    John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

  • #18
    Rutashubanyuma's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th September 2010
    Location : Arusha
    Posts : 38,733
    Rep Power : 12925
    Likes Received
    4432
    Likes Given
    7462

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    mbona nasikia hawana bodi sikun nyingi tu!
    @ kama hawana bodi tena ni mbaya zaidi kwanini isiteuliwe ikafanye kazi isije wanchelewesha kuteua bodi ili kupitisha mambo yao..............na bodi zipo kisheria iwepo isiwepo huwezi kuiingilia..................pe riod
    Mamndenyi likes this.
    John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

    John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

  • #19
    Mungi's Avatar
    JF Gold Member Array
    Join Date : 23rd September 2010
    Location : Hapa!!!
    Posts : 10,159
    Rep Power : 24268
    Likes Received
    4670
    Likes Given
    2294

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    Quote By Rutashubanyuma
    Mungi huo sio utetezi kwani mawaziri walipowajibishwa walikuwa ni ma-signatories................ni uwajibikaji wa eneo ambalo unalisimamia tu..........
    If they were not signatories, na kwamba issue ni accountability, bado unakubaliana na mimi kuwa wakubwa walistahili kuwajibishwa kwa kuwa manaibu hawakuwa the finals. Rutashubanyuma
    "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

  • #20
    Rutashubanyuma's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th September 2010
    Location : Arusha
    Posts : 38,733
    Rep Power : 12925
    Likes Received
    4432
    Likes Given
    7462

    Default Re: Kwa nini mawaziri wapya wa JK wanaingilia Bodi za wakurugenzi?

    yaani tunaoga kuwajibishana maana tunapenda sifa za kijinga,na mie nawaambia,haya mambo yakiendelea baada ya miaka nchi hii tutakuwa na hali mbaya sana,watu wanofanya madudu wanaogopwa sababu wanae mtu mkubwa anayewalinda na hayo mabaya yao yanafaida kwake,na pia kunawatu wanatumiwa kurahisisha mambo ya watu,mwisho wa siku wanakuja kuumia na kuumbuka wao,wewe unapewa kazi usimamie ila mwenyenyumba au waatoto wake wakitaka kitu wanauhuru wakuchukua mda na wakati wanaotaka wao.aibu inabaki kwako sasa,sie wanachi tunakuona wewe,na majibu ya maswali yetu tunataka kutoka kwako,wakati kuna watu uliokubali wakutumie nawewe kwa vile unataka utoke(utajirike)unakubali tu bila kuangalia nini kitatoke.then yakiharibika mambo unapozwa kwa maneno ya matumaini hapo ulishaharibu heshima utu etc.wateuliwa fanyeni kazi kwa akiri na utashi mlopewa na mungu,penye kusema no semeni.BORA KUWAJIBISHWA KWA KUTENDA JEMA KULKO KUPATA SIFA AMBAZO ZINAKUHARIBIA SIFA,UTUNA UZALENDO.
    paul chizi wewe ni mzalendo na umewajibishwa kwa kutenda jema,though tunajua hakuna aliyemkamilifu.
    mamajack ninaamini wamekusikia
    Mamndenyi and mamajack like this.
    John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

    John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

  • Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...