Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 64
    1. #1
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Tawi la CHADEMA Washington DC lazidi kumwaga kadi za uwanachama DMV...!!!



      Mwenyeketi wa Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Kalley Pandukizi akiwa na katibu wachama hicho,Ndugu Libe Mwang'ombe alipotoa kadi rasmi kwa Beautician maarufu na designer wa kiTanzan Linda Bezuidenhout (LB)

      Katika miaka ya nyumba Linda aliwahi kusponsor matukio mbali mbali kwenye miaka ya 1990 wengi wao wakimjua kwa Linda Express Nchini Tanzania ambae ambaye hivisasa anajishughulisha na biashara ya nguo za kiume milanovita.com pamoja na zakike ambazo anadesign mwenyewe kwa brand name ya Linda kutoka Atlanta, Georgia Nchini Marekani.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi, pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe akimkabidhi rasmi mwanacham mkareketwa ambae ni mwana mitindo Linda Bezuidenhout (LB) kati ya uwanachama wa chama cha Demokrasia Chadema katika ofisi ya tawi la Tawi la Chama Washington DC.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Washington DC Mhe. Kalley pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe wakipata picha ya pamoja na Linda Bezuidenhout Atlanta, Georgia na wanachama wa tawi la chadema Washington DC



      Viongozi wa tawi la chadema Washington DC wakipata Champagne


      Linda Bezuidenhout (LB) furaha baada ya kuvua kamba kuvaa gwanda na kuchukua kadi kuwa mwanachama kamili wa
      Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).


      Msikilize kwa makini mwana mitindo mbunifu wa
      Linda Bezuidenhout (LB) Aakilonga na Swahilivilla

      BAK, Asprin, Dingswayo and 5 others like this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    2. Miaka 50

    3. #2
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,343
      Rep Power : 715
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Peoples Power!!!!!!!!!!!!!!! Tunahitaji sana mchango wa watu walioko nje... Waje watupe experience.

      Swali la kiaina kwao: Je waTZ nje ya nchi wanaheshimiwa na kuogopwa na wazawa kama sisi tunavyowaogopa hapa nchini?
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    4. #3
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,440
      Rep Power : 10878
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Default

      Fantastic!

    5. #4
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      wakati ndio sasa,

      • wa kusema bye,bye CCM
      • wa kuwakataa wezi wa kodi za nchi
      • wa kupinga mafisadi ndani na nje ya nchi
      • wa kuwazomea viongozi wezi
      • wa kuingiza CHADEMA madarakati ili itunuru wananchi kutoka kwenye mikono ya mafisadi

    6. #5
      Sometimes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2010
      Posts : 1,371
      Rep Power : 761
      Likes Received
      232
      Likes Given
      39

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Design ya Gwanda picha ya mwisho nimeipenda!
      sunshine1 likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,239
      Rep Power : 2204
      Likes Received
      1821
      Likes Given
      2508

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Safi sana makamanda,angekuwepo kamanda mkuu mh Mbowe angemwambia huyo dada "Kunja ngumi kamanda,Peoplesssssssssss!" hahahahahahahahaha!

    9. #7
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,239
      Rep Power : 2204
      Likes Received
      1821
      Likes Given
      2508

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Nitapata wapi Gwandas kama za hao makamanda wakuu? nzuri kweli! huyo dada kweli mtu wa mitindo hadi viatu rangi ya Gwanda!

    10. #8
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,485
      Rep Power : 19786
      Likes Received
      4307
      Likes Given
      1251

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Raha tupu! Peoplessssssssssssssssssssssss sss

    11. #9
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By Sometimes
      Design ya Gwanda picha ya mwisho nimeipenda!
      Huyo Linda ni dada yake na Richard yule aliyewahi kushinda BBA, hilo Gwanda amedesign yeye mwenyewe kwa kutumia lebo yake ya LB.
      Nataka kuwasiliana naye kama anaweza kuimport hizi Gwanda kwa ajili ya kina Dada kwa bei nafuu.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    12. #10
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,085
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      You guyz mmenisisimua sana, wewe Linda leta hiyo sample ya gwanda maana la aina yake nataka niwe wa kwanza kutoka nayo hapa bongo kabla hawajaniwahi.
      BAK and palalisote like this.

    13. #11
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By Suzie
      You guyz mmenisisimua sana, wewe Linda leta hiyo sample ya gwanda maana la aina yake nataka niwe wa kwanza kutoka nayo hapa bongo kabla hawajaniwahi.
      Suzie hakuna wa kukuwahi, hilo Gwanda amedesign yeye mwenyewe Linda na jana yeye ndio mtu wa kwanza kulivaa ndani ya Maryland MD. tuwasiliane kwa inbox nijue nitakuwezesha vipi ulipate Gwanda lako haraka.
      Sangarara likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    14. #12
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,398
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Raha tupu.....! Bado kidogo tutamsikia na Obama naye kavaa gwanda! Sasa sijui kama vasco ataenda tena kumtembelea huko U.S.A...?

      Peoples.........

    15. #13
      Josephine03's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 733
      Rep Power : 514
      Likes Received
      285
      Likes Given
      373

      Default

      Safi sana, we are proud of you guys. Linda mimi penda hilo gwanda tatizo linakuja nikibanwa naanzia kusalula lote au....... Embu ongeza kaubunifu maana hilo ovaroli tamu lakini tukumbuke uvaaji wake na muda

      Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums

    16. #14
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,412
      Rep Power : 993
      Likes Received
      775
      Likes Given
      261

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      [QUOTE=STEIN;4008242]Peoples Power!!!!!!!!!!!!!!! Tunahitaji sana mchango wa watu walioko nje... Waje watupe experience.

      Swali la kiaina kwao: Je waTZ nje ya nchi wanaheshimiwa na kuogopwa na wazawa kama sisi tunavyowaogopa hapa nchini?[/QUOTE]


      Mkuu asikudanganye mtu, kwa mtu yeyote aliyeko nje atakuambia ukweli kwamba mataifa mengine yanathamini sana wazawa kuliko wageni. Mimi nina profession muhimu sana, lakini hata hivyo sipewi uzito kama mzawa wa nchi hii. Ukishaitwa immigrant ujue wewe ni kudharaulika tu siku zote. Pamoja na hayo inabidi tuvumilie kuliko kuishi maisha magumu ya tz yanayotokana na sera mbovu za magamba.
      sunshine1 likes this.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    17. #15
      TaiJike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 1,156
      Rep Power : 607
      Likes Received
      387
      Likes Given
      347

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Matola tutahitaji gwanda kama hilo la Linda kwa ajili ya kinadada kwa bei ya kawaida ambayo mtazania yoyote aweza kuimudu, si lazima zishonwe huko hata hapa kwetu tuna designer wazuri tu.
      * Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere


    18. #16
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,085
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default

      Quote By Matola
      Suzie hakuna wa kukuwahi, hilo Gwanda amedesign yeye mwenyewe Linda na jana yeye ndio mtu wa kwanza kulivaa ndani ya Maryland MD. tuwasiliane kwa inbox nijue nitakuwezesha vipi ulipate Gwanda lako haraka.
      Sawa, nina email address ya Kalle nitatumia hiyo nashukuru sana, I hope hatatuletea kwa gharama za mafisadi, pia angeongeza kaubunifu kidogo kama alivyosema Josephine maana Mmmmh sijuiiii....... Urembo wataka utashi

    19. #17
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By TaiJike
      Matola tutahitaji gwanda kama hilo la Linda kwa ajili ya kinadada kwa bei ya kawaida ambayo mtazania yoyote aweza kuimudu, si lazima zishonwe huko hata hapa kwetu tuna designer wazuri tu.
      TaiJike sidhani kama kuna designer yeyote wa ndani amekatazwa kudesign Gwanda kwa ajili ya kina Dada, kumbuka kila mtu anataka kuvaa kitu kutokana na uwezo wake kipesa, tofauti ya nguo inakuwa kwenye material ya kitambaa, angalia kwa makini hilo Gwanda la Linda, Dada yeyote anayejiweza kivijisenti angependa Gwanda lenye material hiyo na siyo kama linalovaliwa na wanaume.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    20. #18
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By Suzie
      Sawa, nina email address ya Kalle nitatumia hiyo nashukuru sana, I hope hatatuletea kwa gharama za mafisadi, pia angeongeza kaubunifu kidogo kama alivyosema Josephine maana Mmmmh sijuiiii....... Urembo wataka utashi
      Kama una Email ile ya lindamali sasa hivi haiko active, ila unaweza kumuinbox hata kwa kupitia uso kitabu.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    21. #19
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      huyu linda ni dada yake na richard yule wa BBA sio? hilo jina la ubini linanifanya niamke hayo
      I'm Naturaly Evasive..

    22. #20
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By Edson
      huyu linda ni dada yake na richard yule wa BBA sio? hilo jina la ubini linanifanya niamke hayo
      Edson ni sahihi kabisa.

      utantambua likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...