Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 64
    1. #1
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Tawi la CHADEMA Washington DC lazidi kumwaga kadi za uwanachama DMV...!!!



      Mwenyeketi wa Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Kalley Pandukizi akiwa na katibu wachama hicho,Ndugu Libe Mwang'ombe alipotoa kadi rasmi kwa Beautician maarufu na designer wa kiTanzan Linda Bezuidenhout (LB)

      Katika miaka ya nyumba Linda aliwahi kusponsor matukio mbali mbali kwenye miaka ya 1990 wengi wao wakimjua kwa Linda Express Nchini Tanzania ambae ambaye hivisasa anajishughulisha na biashara ya nguo za kiume milanovita.com pamoja na zakike ambazo anadesign mwenyewe kwa brand name ya Linda kutoka Atlanta, Georgia Nchini Marekani.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi, pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe akimkabidhi rasmi mwanacham mkareketwa ambae ni mwana mitindo Linda Bezuidenhout (LB) kati ya uwanachama wa chama cha Demokrasia Chadema katika ofisi ya tawi la Tawi la Chama Washington DC.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Washington DC Mhe. Kalley pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe wakipata picha ya pamoja na Linda Bezuidenhout Atlanta, Georgia na wanachama wa tawi la chadema Washington DC



      Viongozi wa tawi la chadema Washington DC wakipata Champagne


      Linda Bezuidenhout (LB) furaha baada ya kuvua kamba kuvaa gwanda na kuchukua kadi kuwa mwanachama kamili wa
      Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).


      Msikilize kwa makini mwana mitindo mbunifu wa
      Linda Bezuidenhout (LB) Aakilonga na Swahilivilla

      BAK, Asprin, Dingswayo and 5 others like this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    2. Miaka 50

    3. #41
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By ritz
      Hizo picha wamepiga wapo kwenye sebule halafu imekuwa gumzo Marekani? Mie naipenda ile picha huyu Mwanamke anacheza kiduku mbona umeitoa.
      Marekani hakuna mikutano ya chini ya miembe, mambo yote yanafanyikia ndani ya majengo, naona roho inakuuma lakini ndio utafanyaje tena maji yameshamwagika, Halafu ungejuwa jinsi huyo Dada Linda alivyotoka jimbo la mbali anakoishi na kwenda MD Kwa ajili tu ya kujiunga na Chadema nadhani ungejinyonga kabisa.
      Nyamizi likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    4. #42
      shegaboy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 181
      Rep Power : 447
      Likes Received
      27
      Likes Given
      11

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By Matola
      Tawi la CHADEMA Washington DC lazidi kumwaga kadi za uwanachama DMV...!!!



      Mwenyeketi wa Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Kalley Pandukizi akiwa na katibu wachama hicho,Ndugu Libe Mwang'ombe alipotoa kadi rasmi kwa Beautician maarufu na designer wa kiTanzan Linda Bezuidenhout (LB)

      Katika miaka ya nyumba Linda aliwahi kusponsor matukio mbali mbali kwenye miaka ya 1990 wengi wao wakimjua kwa Linda Express Nchini Tanzania ambae ambaye hivisasa anajishughulisha na biashara ya nguo za kiume milanovita.com pamoja na zakike ambazo anadesign mwenyewe kwa brand name ya Linda kutoka Atlanta, Georgia Nchini Marekani.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi, pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe akimkabidhi rasmi mwanacham mkareketwa ambae ni mwana mitindo Linda Bezuidenhout (LB) kati ya uwanachama wa chama cha Demokrasia Chadema katika ofisi ya tawi la Tawi la Chama Washington DC.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Washington DC Mhe. Kalley pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe wakipata picha ya pamoja na Linda Bezuidenhout Atlanta, Georgia na wanachama wa tawi la chadema Washington DC



      Viongozi wa tawi la chadema Washington DC wakipata Champagne


      Linda Bezuidenhout (LB) furaha baada ya kuvua kamba kuvaa gwanda na kuchukua kadi kuwa mwanachama kamili wa
      Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).


      Msikilize kwa makini mwana mitindo mbunifu wa
      Linda Bezuidenhout (LB) Aakilonga na Swahilivilla


      Haya magwanda tunamuomba dada ayateneze kwa ajili ya wapiganaji huku bongo pia yana mvuto sana yametulia hasa hili la kike limetulia sana wajameni
      Nyamizi likes this.

    5. #43
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,321
      Rep Power : 12589
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By Manyanza
      duh; umekuja mkongwe? Roho halikuumi?
      Manyanza, roho iniume kwa nini?

    6. #44
      Nyamizi's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 19th February 2009
      Posts : 351
      Rep Power : 593
      Likes Received
      115
      Likes Given
      656

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By Matola
      Huyo Linda ni dada yake na Richard yule aliyewahi kushinda BBA, hilo Gwanda amedesign yeye mwenyewe kwa kutumia lebo yake ya LB.
      Nataka kuwasiliana naye kama anaweza kuimport hizi Gwanda kwa ajili ya kina Dada kwa bei nafuu.
      Mkuu Molemo,nitakuwa wa kwanza kununua ni nzuri na zinavutia hasa.

    7. #45
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,321
      Rep Power : 12589
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By Matola
      Marekani hakuna mikutano ya chini ya miembe, mambo yote yanafanyikia ndani ya majengo, naona roho inakuuma lakini ndio utafanyaje tena maji yameshamwagika, Halafu ungejuwa jinsi huyo Dada Linda alivyotoka jimbo la mbali anakoishi na kwenda MD Kwa ajili tu ya kujiunga na Chadema nadhani ungejinyonga kabisa.
      Sasa kama wamefanyia ndani huo mkutano utasemaje Chadema yawa gumzo Marekani?

      Halafu punguza porojo Matola mbona kina Obama, Bush tulikuwa tunaonafanya mikutano ya viwajani chini ya miti..eti Marekani mikutano wanafanyia ndani.

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      Mcrivers's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 367
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Sijaona Bado... Wauza sura tu!! Kwani nani asiyewajua watz kwa kuutafuta umaarufu kwa bei yeyote??? Sasa kwa sababu Chadema is currently trending ndio kila mtu anatafuta pa kutokea... Haya Dada kaongeza pato kwa kutengeneza overall hizo... All the best. I hope u guys won't be surprised in 2015.. I just hope so..
      SIERA likes this.

    10. #47
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,321
      Rep Power : 12589
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By Nyamizi
      Mkuu Molemo,nitakuwa wa kwanza kununua ni nzuri na zinavutia hasa.
      Bei yake mtaiweza $100 kila Gwanda moja Matola, anapata $5 kila Gwanda kama dalali.

    11. #48
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By Molemo
      Fantastic!
      Ujistic!

    12. #49
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,188
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      946
      Likes Given
      377

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Hatua nzuri mmefika cdm big up mafanikio yanakuja kwa kujituma!

    13. #50
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Angalieni hata nyuso zao zinaonyesha matumaini lakini za wenzetu CCM utafikiri wanakunywa kloriti(Hii ni dawa ya kimasai ni chungu kuliko nyongo)[/QUOTE]tupia hapa picha yao tuone walivyotepepeta kama matope.lete mambo,
      kuna raha yake ukijtambua.

    14. #51
      Mantaleka's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th December 2008
      Posts : 102
      Rep Power : 552
      Likes Received
      5
      Likes Given
      37

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Wachangiaji kweli munanipa raha, vijembe vyenu kweli ni powa!

    15. #52
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,921
      Rep Power : 955
      Likes Received
      573
      Likes Given
      636

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By ritz
      Bei yake mtaiweza $100 kila Gwanda moja Matola, anapata $5 kila Gwanda kama dalali.
      Matola Unamsikia huyu bwana? Yaani roho inamuuma sana.
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    16. #53
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,370
      Rep Power : 1212
      Likes Received
      1214
      Likes Given
      1591

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Naumba kujua haya magwanda yanauzwa wapi hapa DAR. urgently pls

    17. #54
      mawazotu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th April 2010
      Posts : 57
      Rep Power : 472
      Likes Received
      4
      Likes Given
      10

      Thumbs up Ubunifu katika kutengeneza magwanda


      mwenyekiti wa chadema tawi la Washington DC na katibu wake wakimkabidhi kadi ya uanachama mwana mitindo Linda Benzuidenhout (LD) katika ofisi za chama

      Gwanda la ukweli kabisa kwa akinadada kweli nimemkubali huyu ni mwanamitindo ningejua ninaweza kupata wapi gwanda kama hilo ningemnunulia shemeji yenu , chadema should used such creative member to design their uniform .

      source: michuzi

    18. #55
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 891
      Likes Received
      386
      Likes Given
      147

      Default

      Quote By Precise pangolin
      Magamba wanafuatilia hii thread roho inawauma kwasababu ile minguo yao na Rangi zao zinafanana na DDT (hii ni sumu kali sana ambayo imepigwa marufuku duniani)
      Ha haa you make my day Loh mnapata wapi haya maneno, duh nimecheka sana kila mtu amenishangaa.

    19. #56
      Red Scorpion's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st February 2012
      Posts : 83
      Rep Power : 385
      Likes Received
      13
      Likes Given
      65

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!



      Ha ha ha ha, wapi nepi & ritz!

    20. #57
      TaiJike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 1,156
      Rep Power : 607
      Likes Received
      387
      Likes Given
      347

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By Matola
      Sidhani kama Chadema inahubiri ufukara, sioni tatizo lolote kwa kila mtu kujikuna anapojiweza, matabaka hayawezi kuisha labda raia wote tuanze kuvaa Uniform na show room zote ziwe zinauza Bajaj.
      Matola najua tanzania tuna kila sababu ya kujivunia rasimali zetu lakini kutokana na uroho wa wachache huwezi amini kuna watu vijijini hata sh.500 kwa wiki ni pesa ya anasa au unadhani chadema itagawa bure uniform hizo?
      * Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere


    21. #58
      baajun's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 202
      Rep Power : 393
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Hadi kieleweke...PEOPLE'S ......POWER......!

    22. #59
      NELSON LANGSON's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 354
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      mshindo mkuu huvuma mbali.chadema chama cha wananchi.vua gamba hawatakucheka.vaa gwanda

    23. #60
      Bwemero L's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 45
      Rep Power : 377
      Likes Received
      7
      Likes Given
      31

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      maji hayafundishwi njia ya karibu kufika mtoni, magamba wakichekelewa kuisoma namba watakuja kuulizana 2015.

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...