Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 64
    1. #1
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,465
      Rep Power : 19740
      Likes Received
      5425
      Likes Given
      3612

      Default CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Tawi la CHADEMA Washington DC lazidi kumwaga kadi za uwanachama DMV...!!!



      Mwenyeketi wa Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Kalley Pandukizi akiwa na katibu wachama hicho,Ndugu Libe Mwang'ombe alipotoa kadi rasmi kwa Beautician maarufu na designer wa kiTanzan Linda Bezuidenhout (LB)

      Katika miaka ya nyumba Linda aliwahi kusponsor matukio mbali mbali kwenye miaka ya 1990 wengi wao wakimjua kwa Linda Express Nchini Tanzania ambae ambaye hivisasa anajishughulisha na biashara ya nguo za kiume milanovita.com pamoja na zakike ambazo anadesign mwenyewe kwa brand name ya Linda kutoka Atlanta, Georgia Nchini Marekani.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi, pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe akimkabidhi rasmi mwanacham mkareketwa ambae ni mwana mitindo Linda Bezuidenhout (LB) kati ya uwanachama wa chama cha Demokrasia Chadema katika ofisi ya tawi la Tawi la Chama Washington DC.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Washington DC Mhe. Kalley pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe wakipata picha ya pamoja na Linda Bezuidenhout Atlanta, Georgia na wanachama wa tawi la chadema Washington DC



      Viongozi wa tawi la chadema Washington DC wakipata Champagne


      Linda Bezuidenhout (LB) furaha baada ya kuvua kamba kuvaa gwanda na kuchukua kadi kuwa mwanachama kamili wa
      Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).


      Msikilize kwa makini mwana mitindo mbunifu wa
      Linda Bezuidenhout (LB) Aakilonga na Swahilivilla

      BAK, Asprin, Dingswayo and 5 others like this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      TaiJike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 1,156
      Rep Power : 606
      Likes Received
      387
      Likes Given
      347

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By Matola
      TaiJike sidhani kama kuna designer yeyote wa ndani amekatazwa kudesign Gwanda kwa ajili ya kina Dada, kumbuka kila mtu anataka kuvaa kitu kutokana na uwezo wake kipesa, tofauti ya nguo inakuwa kwenye material ya kitambaa, angalia kwa makini hilo Gwanda la Linda, Dada yeyote anayejiweza kivijisenti angependa Gwanda lenye material hiyo na siyo kama linalovaliwa na wanaume.
      Kinachotakiwa ni design tofauti na ya kiume ukisema uimport materials kutika nje haitapendeza kwani tayari tutakuwa tunajenga tabaka la wenye nacho na wasio nacho kwani kila mmoja anpenda kupendeza tatizo litakuwa ni gharama.
      * Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere


    4. #22
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      kumbe KIFO cha nyinyiEM siyo lazma 2015, kwa kasi hii hadi RAHA.

    5. #23
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,465
      Rep Power : 19740
      Likes Received
      5425
      Likes Given
      3612

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By TaiJike
      Kinachotakiwa ni design tofauti na ya kiume ukisema uimport materials kutika nje haitapendeza kwani tayari tutakuwa tunajenga tabaka la wenye nacho na wasio nacho kwani kila mmoja anpenda kupendeza tatizo litakuwa ni gharama.
      Sidhani kama Chadema inahubiri ufukara, sioni tatizo lolote kwa kila mtu kujikuna anapojiweza, matabaka hayawezi kuisha labda raia wote tuanze kuvaa Uniform na show room zote ziwe zinauza Bajaj.
      MANI likes this.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    6. #24
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 982
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Aisee huyo Linda kapendeza sana na hilo GWANDA nitapata wapi outfit kama hiyo kwa ajili ya shemeji yenu??

      Matola wasiliana naye haraka afungue retail hapa Tz!

    7. #25
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,666
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Magamba wanafuatilia hii thread roho inawauma kwasababu ile minguo yao na Rangi zao zinafanana na DDT (hii ni sumu kali sana ambayo imepigwa marufuku duniani)
      utantambua likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      NIMEPENDA GWANDA LA LINDA, KWA PEMBENI KUNA BENDELA ZA RANGI YA CHADEMA, Nice cretivity

      hata langu naenda kuliwekea hope its will look so good, hata hao jamaa wangeweka ingekuwa poa.















      [/QUOTE]

    10. #27
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,666
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Angalieni hata laptop wanayotumia ni ya MAC na rangi yake inafanana na Gwanda CDM ni level nyingine wakati wa kusoma budget ya upinzani bungeni wanatumia IPAD huku wenzao wa ccm wanatumia mate kufungulia mikaratasi kwi! kwi! kwi! kwi!
      Nyamizi likes this.

    11. #28
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 18,941
      Rep Power : 9476
      Likes Received
      3062
      Likes Given
      1198

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Safi sana mambo yana noga sasa hamasa inatakiwa
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    12. #29
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,666
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By POMPO
      NIMEPENDA GWANDA LA LINDA, KWA PEMBENI KUNA BENDELA ZA RANGI YA CHADEMA, Nice cretivity

      hata langu naenda kuliwekea hope its will look so good, hata hao jamaa wangeweka ingekuwa poa.















      [/QUOTE]

      Angalieni hata nyuso zao zinaonyesha matumaini lakini za wenzetu CCM utafikiri wanakunywa kloriti(Hii ni dawa ya kimasai ni chungu kuliko nyongo)

    13. #30
      Aristides Pastory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 436
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Hahahaha.... Hii ndiyo raha ya CHADEMA.
      M4C hadi U.S.A

    14. #31
      Msaranga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th February 2009
      Posts : 170
      Rep Power : 557
      Likes Received
      24
      Likes Given
      67

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      tupo pamoja wadau



      Quote By Matola
      Tawi la CHADEMA Washington DC lazidi kumwaga kadi za uwanachama DMV...!!!



      Mwenyeketi wa Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Kalley Pandukizi akiwa na katibu wachama hicho,Ndugu Libe Mwang'ombe alipotoa kadi rasmi kwa Beautician maarufu na designer wa kiTanzan Linda Bezuidenhout (LB)

      Katika miaka ya nyumba Linda aliwahi kusponsor matukio mbali mbali kwenye miaka ya 1990 wengi wao wakimjua kwa Linda Express Nchini Tanzania ambae ambaye hivisasa anajishughulisha na biashara ya nguo za kiume milanovita.com pamoja na zakike ambazo anadesign mwenyewe kwa brand name ya Linda kutoka Atlanta, Georgia Nchini Marekani.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi, pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe akimkabidhi rasmi mwanacham mkareketwa ambae ni mwana mitindo Linda Bezuidenhout (LB) kati ya uwanachama wa chama cha Demokrasia Chadema katika ofisi ya tawi la Tawi la Chama Washington DC.



      Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Washington DC Mhe. Kalley pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe wakipata picha ya pamoja na Linda Bezuidenhout Atlanta, Georgia na wanachama wa tawi la chadema Washington DC



      Viongozi wa tawi la chadema Washington DC wakipata Champagne


      Linda Bezuidenhout (LB) furaha baada ya kuvua kamba kuvaa gwanda na kuchukua kadi kuwa mwanachama kamili wa
      Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).


      Msikilize kwa makini mwana mitindo mbunifu wa
      Linda Bezuidenhout (LB) Aakilonga na Swahilivilla


    15. #32
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2449
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Matola
      Huyo Linda ni dada yake na Richard yule aliyewahi kushinda BBA, hilo Gwanda amedesign yeye mwenyewe kwa kutumia lebo yake ya LB.
      Nataka kuwasiliana naye kama anaweza kuimport hizi Gwanda kwa ajili ya kina Dada kwa bei nafuu.
      nipm nikupe mawasiliano yake.

    16. #33
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,465
      Rep Power : 19740
      Likes Received
      5425
      Likes Given
      3612

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By Mwea
      nipm nikupe mawasiliano yake.
      Niliposema nataka kuwasiliana naye sikuumanisha kwamba sina mawasiliano naye, bali ni tofauti ya masaa saa hizi Marekani wamelala.
      Hao wadada wote watatu unaowaona kwenye picha ni marafiki zangu sana.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    17. #34
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,191
      Rep Power : 12563
      Likes Received
      5758
      Likes Given
      753

      Default

      Quote By Matola
      Niliposema nataka kuwasiliana naye sikuumanisha kwamba sina mawasiliano naye, bali ni tofauti ya masaa saa hizi Marekani wamelala.
      Hao wadada wote watatu unaowaona kwenye picha ni marafiki zangu sana.
      ha haa haa haaa! Yale yale ya Will@ NY City

    18. #35
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,714
      Rep Power : 2263
      Likes Received
      599
      Likes Given
      783

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By wakati ndio sasa
      wakati ndio sasa,

      • wa kusema bye,bye CCM
      • wa kuwakataa wezi wa kodi za nchi
      • wa kupinga mafisadi ndani na nje ya nchi
      • wa kuwazomea viongozi wezi
      • wa kuingiza CHADEMA madarakati ili itunuru wananchi kutoka kwenye mikono ya mafisadi

      Naunga mkono hoja 100%
      Simple life is healthier than egoism.

    19. #36
      SAMRICH1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,235
      Rep Power : 0
      Likes Received
      205
      Likes Given
      128

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      kweli uyu dada ni designer sijawahi ona nguo ina kibendera pembeni daaaa h i like it aseeeeeee
      Nyamizi likes this.

    20. #37
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,191
      Rep Power : 12563
      Likes Received
      5758
      Likes Given
      753

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Hizo picha wamepiga wapo kwenye sebule halafu imekuwa gumzo Marekani? Mie naipenda ile picha huyu Mwanamke anacheza kiduku mbona umeitoa.

    21. #38
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,465
      Rep Power : 19740
      Likes Received
      5425
      Likes Given
      3612

      Default Re: CHADEMA yawa gumzo Marekani, vua gamba vaa gwanda!!

      Quote By ritz
      ha haa haa haaa! Yale yale ya Will@ NY City
      Ahahahahahahahah!! tupo pamoja one page sauti za Umeme, mate yasikutoke mkuu wangu hao ni rafiki zangu tu lakini wote ni wake za watu na wako stable katika relationship zao.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    22. #39
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default

      Quote By ritz
      ha haa haa haaa! Yale yale ya Will@ NY City
      duh; umekuja mkongwe? Roho halikuumi?

    23. #40
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,191
      Rep Power : 12563
      Likes Received
      5758
      Likes Given
      753

      Default

      Quote By Matola
      Ahahahahahahahah!! tupo pamoja one page sauti za Umeme, mate yasikutoke mkuu wangu hao ni rafiki zangu tu lakini wote ni wake za watu na wako stable katika relationship zao.
      Linda namjua kaka yao Eddy mie rafiki yangu.

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...