Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwakyembe ageukwa

    Report Post
    Page 5 of 8 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 149
    1. #1
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default Mwakyembe ageukwa

      Waziri Mwakyembe ageukwa na wafanyakazi wa ATCL kwa kumsimamisha Mr. Chizi, wadai kusimamishwa kwake kwatokana na zengwe
      Msaranga likes this.

    2. Miaka 50

    3. #81
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,023
      Rep Power : 7643
      Likes Received
      990
      Likes Given
      752

      Default Re: Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL?

      Quote By Ulukolokwitanga
      Huu ndio upuuzi unaoifanya nchi hii kubakia maskini. Rubani kazi yake ni kuendesha ndege, kuongoza shirika la ndege lazima uwe umebobea katika STRATEGIC Management na sio urubani. Paul Chizi alikuwa boss wa JETLINK, shirika la waKenya, kwa wakenya kumpa uboss mtanzania hawezi kamwe kuwa mbabaishaji, hata kidogo kwa vile kule kuna ushindani sana. Waziri Nundu alimuomba aache kazi kule aje kuokoa jahazi nchini kwake, nyie mnataka afanyiwe interview wakati credentials zake ziko clear!? Kwa muda mchache aliokaa amefanikiwa kuleta ndege ambayo ndo most competent kwenye soko la afrika masharika. Boeing 737-500 inabeba watu 108 na inatumia saa moja kamili DAR to Mwanza kwenye abiria wengi. Iko very efficient kwenye fuel. Precision wana boeing yao inabeba abiria 137 lakini mara nyingi haijai na inakula mafuta zaidi pia inatumia saa moja na dk 10 Dar to Mza. Fly 540 wanatumia Jet inabeba abiria 54 tu ingawa iko fuel efficient kama hii ya ATC lakini inatumia saa moja na dk 15 Dar to Mza. Kama umeenda kidogo shule calculate COMPETITIVE ADVANTAGE hapo then utaona kwa nini hata bei Bw Chizi aliweka chini kuliko bei za hao wengine. Jamaa wa mashirika binafsi huyu jamaa aliwanyima usingizi kabisa. Sisi tunaotumia huu usafiri mara nyingi tumehuzunishwa sana na kuondolewa kwa huyu jembe kwa alitupa bei ya ukombozi na ndege inakuwa full wiki nzima toka imefika. Labda kaondolewa kwa kuwa yuko KAMBI YA LOWASSA!!!!
      Kwa nini amemwachisha kazi? Hilo ndilo muhimu. Any clue!?

    4. Tom
      #82
      Tom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2007
      Posts : 504
      Rep Power : 715
      Likes Received
      17
      Likes Given
      30

      Default Re: Tetesi. Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL

      Quote By mamajack
      nadhani itakuwa kweli,ukabila itakuwa ndio sababu.maabna hataki kusema sababu ya msingi,paul alikuwa anafanya vizuri.nyinyiemu hakuna aliyebaki wote ni vimeo hata huyo mwakyembe tupaa kule.huwezi tembea na mwizi wewe usiibe.
      Tunatokwa jasho kubishia shirika lisilozalisha chochote - yaani walikua wanakula bure mishahara.

      Mwache waziri mpya aje na mbinu zake kwa kutumia watu aliowaamini na kuwachagua kwa taratibu zilizopo, viwango vya elimu zao, utendaji na hata ukabila is ok ili mradi uzalishaji usipopanda naye ataondolewa. Akija waziri wa kabila lingine, ama hata wa kabila hilo hilo la M'kiembe bado naye itabidi irekebishe watu wake ili kuleta ufanisi.

      Halafu vijikabila TZ vingiii na vina taboos nyingi tu, hata hujui uanzie wapi kuchagua anayefaa ili kuleta balance.

    5. #83
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL?

      Quote By Mkaa Mweupe
      Chiza alikuwa ni kaimu, si lazima ukikaimu uwe full.
      ni kweli haikuwa lazima,lakini sababu iliyotolewa haina maana hiyo unayoisema wewe.na mie ninavyoelewa watu walikuwa wakilipwa bila kufanya kazi kipindi cha yule fisadi aliyepelekwa mahakamani,toka paul aanze kukaimu,mambo yalibadilika, na mkuu alitetengua uteuzu hajasema kuwa paul alikuwa mfisadi,ila kasema taratibu na kanuni,hebu nyie ambao mnaona mwakyembe yupo right,tuambieni hizokanuni na taratibu zilizokiukwa.

    6. #84
      Gongolo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 84
      Rep Power : 452
      Likes Received
      11
      Likes Given
      24

      Default Re: Mwakyembe ageukwa

      Kumuita majina yaliyosababishwa na ugonjwa aliokuwa akiugua si sawa jamani. Jina lake linajulikana kwa nini hatumu'address' kwa jina lake?

      Mlitaka asifanye mabadiliko huo uchunguzi ungefanyikaje wakati wanaochunguzwa bado wako vitini? Mbona Kigoda amefanya mabadiliko hamkuongea. Acheni afanye kazi jamani msiingilie kazi za watu. Chuki zisichanywe na kazi.

    7. Tom
      #85
      Tom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2007
      Posts : 504
      Rep Power : 715
      Likes Received
      17
      Likes Given
      30

      Default Re: Tetesi. Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL

      Quote By Nicas Mtei
      Kosa la Paul Chizi ni nini?
      Kosa ni kulipwa mishahara wakati hawazalishi - na Chizi akiwa ndio bosi pale.
      Tunajua wewe hulioni, lakini kushindwa kufanya juhudi mpaka shirika likasimama lenyewe hilo ni kosa kubwa kuliko yote uwezayo kuyafikiria.

    8. RukaaJuu Final

    9. #86
      SEBM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2012
      Posts : 336
      Rep Power : 3533
      Likes Received
      258
      Likes Given
      98

      Default Re: Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL?

      On a serious note, Paul Chizi aliteuliwa na Mkuu wa Nchi kukaimu nafasi ya Ukurugenzi Mkuu wa ATCL.
      Sasa Waziri huyu 'mpya' anakuja kutuambia uteuzi wake umetenguliwa mara moja kwa kusema kuwa vigezo vya uteuzi wake havikuzingatiwa.
      1. Ina maana mkuu wa nchi alishauriwa tena vibaya na washauri wake?
      2. Kwa hiyo kilichomwondoa kwenye ofisi ni kuwa vigezo havikufuatwa na si kwamba jamaa alikuwa non - performer?
      3. Magazeti ya Tanzania sasa amepoteza mwelekeo maana vichwa vikuu vya habari vilikuwa na mwenendo wa kishabiki sana)(hakukuwa na objectivity).Maneno kama 'atimuliwa'; 'angolewa' , 'asimamishwa' ' aondolewa' ama 'afukuzwa' ndiyo yaliyotawala badala ya neno/msamiati mkuu wa KUTENGULIWA.
      4.Namsifu sana Paul Chizi kwa kauli yake kwamba cheo ni dhamana, na hivyo yuko tayari kuwatumikia wengine watakaomhitaji
      5.Je, vigezo sasa vimezingatiwa katika uteuzi wa Lusajo, kama kweli ameteuliwa?
      6.Kwa nini visipitiwe vigezo upya ili Chizi ateuliwe upya na tuondoe dhana kuwa aliondolewa kwa Ukabila?

    10. #87
      SAMRICH1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,236
      Rep Power : 643
      Likes Received
      206
      Likes Given
      129

      Default Re: Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL?

      hata akimweka nani uzuri sifa anazo ndio muhimu hilo ukianza kuuliza mambo ya ukabila hatutafika
      OKOKA YESU YU KARIBU KUJA DUNIANI

    11. #88
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12926
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL?

      well this is tz.............
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    12. #89
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,593
      Rep Power : 1070
      Likes Received
      1429
      Likes Given
      259

      Default

      Quote By CHUAKACHARA
      Kwa nini amemwachisha kazi? Hilo ndilo muhimu. Any clue!?
      Kakurupuka tu baaada ya kuingizwa mkenge na wajanja wachache huko wizarani kwao kwa maslahi ya mashirika binafsi ya ndege. Kwa sasa ATC ndio inauza kuliko hayo mashirika ambayo yalikuwa yamekamata njia zote ambazo ATC ilitawala zamani. Mfano Dar to Nairobi Precision wanasafari zaidi ya tano kwenda na tano kurudi wakati ilikuwa zamani territory ya ATC. Dar to Mwanza Precision na Fly540 walikuwa na safaari tatu kwenda na tatu kurudi kila siku lakini kuna kila dalili kuwa watapunguza kubakia mbili baada ya TWIGA kukamata abiria wake wote. Ukali wote huu wa Twiga umeletwa na Bw Chizi kwa kuwa ametokea kwenye mashirika haya binafsi sasa njia pekee ni kumuondoa ili Twiga adhohofike kama zamani na mashirika yao yaendelee kutamba. Heri serikali ijiondoe katika biashara ya Ndege kuliko kufanya usanii wa mchana kama huu wa Mwakyembe

    13. Tom
      #90
      Tom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2007
      Posts : 504
      Rep Power : 715
      Likes Received
      17
      Likes Given
      30

      Default Re: Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL?

      Quote By mamajack
      ni kweli haikuwa lazima,lakini sababu iliyotolewa haina maana hiyo unayoisema wewe.na mie ninavyoelewa watu walikuwa wakilipwa bila kufanya kazi kipindi cha yule fisadi aliyepelekwa mahakamani,toka paul aanze kukaimu,mambo yalibadilika, na mkuu alitetengua uteuzu hajasema kuwa paul alikuwa mfisadi,ila kasema taratibu na kanuni,hebu nyie ambao mnaona mwakyembe yupo right,tuambieni hizokanuni na taratibu zilizokiukwa.
      Ukaimu? Ok ufanisi wake mbaya hivyo kuundiwa mzengwe ili aondolewe ni fair play.

    14. #91
      Makala Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,653
      Rep Power : 722
      Likes Received
      345
      Likes Given
      0

      Default Re: Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL?

      Mi nasubri Mwakyembe mwenyewe aje aelee,Licha ya kudai Paul Chiz hakuteuliwa kwa mujibu wa taratibu sasa,ni kwa nini Mwakyembe asimhalalishe Paul Chizi kwa kumuidhinisha kwa utaratibu? Ni mapungufu gani aliyonayo Chiz ambayo Lusajo hana? Tuache unafiki,ATCL imeanza kuamka ikiwa mikononi mwa Chiz.Huyo jamaa alikomesha vitendo vya kwenda kutengeneza Ndege nje ili zitengenezwe bongo then gharama ipungue,Chini ya Chiz nauli ilipungua kwa upande wa ATCL kitu ambacho kilichochea ushindani wa kibiashara kiasi kwamba mashirika binafsi walimwonea gele.Tunahoji kwa manufaa ya taifa kwamba Urubani siyo tatizo but huyo Lusajo ana nini cha ziada? Suala siyo wivu wa kikabila ila uwazi na ukweli.Mimi ni kabila moja na Lusajo lakini sifahamu utendaji kazi wake ukiachana na hiyo sifa moja:RUBANI WA SIKU NYINGI
      WA-UKENYENGE likes this.

    15. #92
      Idimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2007
      Location : Ikwiriri
      Posts : 4,690
      Rep Power : 13628
      Likes Received
      858
      Likes Given
      325

      Default Re: Tetesi. Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL

      Quote By Mzinga
      Basi wacha apange safu yake ili akipewa sumu asimsingizie mtu maana yake kwa unafiki huyu mzee anaweza akawa anaongoza.Alipokuwa India watanzania niombeeni nikurudi napasau jipu lote alipokuja kila mtu anajua alichokifanya.Bora angedanja tu kudadeki
      Hivi unaweza kuwa na chuki na mtu kwa kiasi hiki kweli? Hope utaanza kudanja wewe kwanza.
      Jadili hoja ya kufukuzwa Chizi na kuwekwa Lusajo katika nafasi ya kaimu mkurugenzi wa ATCL
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man!
      [email protected]

    16. #93
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,593
      Rep Power : 1070
      Likes Received
      1429
      Likes Given
      259

      Default

      Quote By Tom
      Kosa ni kulipwa mishahara wakati hawazalishi - na Chizi akiwa ndio bosi pale.
      Tunajua wewe hulioni, lakini kushindwa kufanya juhudi mpaka shirika likasimama lenyewe hilo ni kosa kubwa kuliko yote uwezayo kuyafikiria.
      Haya unayoongelea wewe mshabiki yamekuwepo kabla ya Chizi, yeye kaingia zama za Omar Nundu zamani alikuwepo Mattaka(o) mwenye kesi mahakamani na alikuwa anatumiwa na makampuni binafsi kudhohofisha. Kuwapunguza wafanyakazi ATC inatakiwa serikali itoe hela za kuwalipa mafao kwa kuwa shirika halina. Sidhani kama Chizi angekurupuka, labda tumuulize Mwakyembe je AMETENGA fedha katika bajeti za kuwalipa mafao wafanyakazi wa ATC ili wapunguzwe? Kama hajatenga ina maana hata Lussajo hatakuwa na ujanja wa kuwapunguza hao wafanyakazi na tutabakia kwenye Vicious circle.
      mamajack and anders batta like this.

    17. #94
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL?

      Quote By Tom
      Ukaimu? Ok ufanisi wake mbaya hivyo kuundiwa mzengwe ili aondolewe ni fair play.
      MR tom,taarifa kwa uma haikiwa sababu ya ufanisi,ila kanuni na taratibu.pia ujue yule alikuwa ni mkurugenzi kwenye shirika la wakenya na ni mara chache sana wakenya kumwamini mtz maana nadhani unajua.and ti tje eyes of the public yule jamaa amepiga mzigo tumeona mambo yake kalikuta shirika limekufa kajitahidi kufufua.sasa sababu ya kimsingi au hizo taratibu zilizokiukwa kwenye uteuzi ndio haswa,uma tunataka tuzijue la suvyo kweli imani kwa mkuu itapungua,asije akawa mzuri kukagua wenzake wakiwa jikoni,kumbe nayeye akikaa huko jikoni anaharibu,huo ndio wasiwasi wangu.

    18. #95
      baba koku's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 171
      Rep Power : 459
      Likes Received
      24
      Likes Given
      22

      Default Re: Tetesi. Kumbe ukabila ndo umesabisha Mwakyembe amtimue Chizi ATCL

      Quote By CHUAKACHARA
      Umesema jambo la msingi sana. Let Mwakyembe tell Tanzanians Kama aliyetenguliwa uteuzi kuna justification in law and employment rules ya kufanya hivyo. Vinginevyo haitakubalika wa wasifu alio nao Mwakyembe. Ataeleweka vibaya sana tena sana na Bunge tutaliomba limwajibishe kama wenzake!!!
      Tatizo lililopo hapa ni uandishi wa press release iliyomuondoa Chizi na wenzake kwani haikuwa wazi. La kujiuliza ni je mwandishi wa press release ile aliwachukulia wananchi ni "wadanganyika" kwa lengo la kutimiza ajenda yake? Au alificha taarifa nyingine kwa lengo la kutoa fursa za uchunguzi zaidi? La kuzingatia ni KWANINI AKINA CHIZI WALIONDOLEWA.

    19. #96
      tabu kuishi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 394
      Likes Received
      12
      Likes Given
      10

      Default Re: Mwakyembe ageukwa

      Hao wanaolalamika fukuza isije ikiwa kama jairo,safisa wapo watenda kazi kibao mtaani wanazagaa

    20. #97
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,740
      Rep Power : 913
      Likes Received
      437
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By WA-UKENYENGE
      Hayajui adha tunayopata tukiulizwa huku ughaibuni. Mfano, unaulizwa unatokea wapi? Najibu: Tanzania, swali lingine: Mna kampuni gani ya ndege? hapo ndiyo unaanza kuchukia uwepo wako pale, najibu: Aaahh eeeeeh mara ooooh, tunashirikiana na Kenya airways, mara Precision kumbe nako ni wizi mtupu hakafiki popote zaidi ya kuwapelekea abiria Kenyaairways. Ujanja ujanja mwingi kila kona nchi hii.
      .......ha ha haaaaaa,mkuu,umenichekesha
      WA-UKENYENGE likes this.

    21. #98
      Chenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Posts : 485
      Rep Power : 483
      Likes Received
      183
      Likes Given
      47

      Default Re: Mwakyembe ageukwa

      Quote By Ulukolokwitanga
      Huu ndio upuuzi unaoifanya nchi hii kubakia maskini. Rubani kazi yake ni kuendesha ndege, kuongoza shirika la ndege lazima uwe umebobea katika STRATEGIC Management na sio urubani. Paul Chizi alikuwa boss wa JETLINK, shirika la waKenya, kwa wakenya kumpa uboss mtanzania hawezi kamwe kuwa mbabaishaji, hata kidogo kwa vile kule kuna ushindani sana. Waziri Nundu alimuomba aache kazi kule aje kuokoa jahazi nchini kwake, nyie mnataka afanyiwe interview wakati credentials zake ziko clear!? Kwa muda mchache aliokaa amefanikiwa kuleta ndege ambayo ndo most competent kwenye soko la afrika masharika. Boeing 737-500 inabeba watu 108 na inatumia saa moja kamili DAR to Mwanza kwenye abiria wengi. Iko very efficient kwenye fuel. Precision wana boeing yao inabeba abiria 137 lakini mara nyingi haijai na inakula mafuta zaidi pia inatumia saa moja na dk 10 Dar to Mza. Fly 540 wanatumia Jet inabeba abiria 54 tu ingawa iko fuel efficient kama hii ya ATC lakini inatumia saa moja na dk 15 Dar to Mza. Kama umeenda kidogo shule calculate COMPETITIVE ADVANTAGE hapo then utaona kwa nini hata bei Bw Chizi aliweka chini kuliko bei za hao wengine. Jamaa wa mashirika binafsi huyu jamaa aliwanyima usingizi kabisa. Sisi tunaotumia huu usafiri mara nyingi tumehuzunishwa sana na kuondolewa kwa huyu jembe kwa alitupa bei ya ukombozi na ndege inakuwa full wiki nzima toka imefika. Labda kaondolewa kwa kuwa yuko KAMBI YA LOWASSA!!!!

      Mkuu mi si mtaalam wa hayo mambo lakini kama huu ndo ukweli Mwakyembe kakurupuka.Labda bado hajapona vizuri ndo maana anakurupuka.

    22. #99
      katatuu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th November 2011
      Posts : 49
      Rep Power : 387
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwakyembe ageukwa

      WAZIRI MWEKYEMBE mtu mbaya hapo ni Katibu mkuu wa wizara hiyo nashangaa bado unamkumbatia hivi kweli na wewe hujui matatizo ya ATCL kuwa pamoja na mambo mengine kitu kinachoimaliza atcl 10%.Wizara hiyo ili ibadilike Hakuna budi kumpumzicha katibu mkuu.Hivi serikali haioni kuna nini pale bw Chiza sina uhakika ila alizibiti kwa kiasi pesa kutoka bila maelezo,sasa hilo nalo kwa katibu mkuu hakulipenda maana yeye ni mpenda pesa .haya ni mwaono wangu Kama kweli tunataka atcl isimame watendaji wakuu wizarani nao wabadilishwe kwani ni lazima wakae pale

    23. #100
      mwana wa mtu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 218
      Rep Power : 616
      Likes Received
      51
      Likes Given
      97

      Default Re: Mwakyembe ageukwa

      Kweli tupu!
      Quote By WA-UKENYENGE
      Hayajui adha tunayopata tukiulizwa huku ughaibuni. Mfano, unaulizwa unatokea wapi? Najibu: Tanzania, swali lingine: Mna kampuni gani ya ndege? hapo ndiyo unaanza kuchukia uwepo wako pale, najibu: Aaahh eeeeeh mara ooooh, tunashirikiana na Kenya airways, mara Precision kumbe nako ni wizi mtupu hakafiki popote zaidi ya kuwapelekea abiria Kenyaairways. Ujanja ujanja mwingi kila kona nchi hii.
      WA-UKENYENGE likes this.

    Page 5 of 8 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...