Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 47
    1. #1
      MAFILILI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 1,446
      Rep Power : 461
      Likes Received
      302
      Likes Given
      64

      Default Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Ikiwa bado siku 5 kuanza kwa bunge la bajeti, ni masikitiko makubwa kwa wakazi wa majimbo ya
      1. Kawe,
      2. Mbeya Mjini
      3. Hai
      4. Nyamagana
      5. Ubungo,
      6. Singida Mashariki

      Wabunge wa majimbo husika wameshindwa kukutana na wananchi ili kupata maoni yao kuyafikisha bungeni BADALA yake wametumia pesa na marupurupu yatokanayo na ubunge kufanya mikutano ya chadema nje ya majimbo yao.
      Tafadhali wabunge wa majimbo niliyoyataja geukeni nyuma na kukumbuka nyinyi ni wawakilishi wa wapiga kura ambao mnatakiwa kuweka mbele mahitaji ya wapiga kura. BADILIKENI mtumikie wana jimbo wenu!!

      Kila siku twawasikia kiguu na njia mara Mtwara, Masasi, Newala wakati Sugu ukitamba Dar Live badala ya kupita maeneo ya Mwanjelwa, Soweto, masite nk. kuongea na wapiga kura; HIYO NI HAKI, MTAFAKARI!!!
      ololosokwan likes this.


    2. #2
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,318
      Rep Power : 618
      Likes Received
      345
      Likes Given
      59

      Default re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      magamba at work.....kazi wanyofanya ni zaidi ya kupokea maoni.....

    3. #3
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,838
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      295

      Default re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      MAFILILI, hii issue lazima tuiangalie kwa darubini, jamaa wamekuwa watalii, unajua ile michango yetu ya toka Arumeru imewachanganya sasa kila mbunge anataka apate gawio.

      Jamaa wamekuwa watalii. yaani 2015 ni mbali sana, majaribio ya kuchagua upinzani yanatutokea puani.
      Maundumula likes this.

    4. #4
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,660
      Rep Power : 32153
      Likes Received
      5007
      Likes Given
      5203

      Default re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Magamba bwana. Hasara tupu. Nipo jimbo linaloongozwa na Gamba. Mara ya mwisho kuonekana huku ni mwaka jana mwezi wa 9.. Na siku hyo aliwapelekea mipira mitatu ya soka..

      Wabunge wa Chadema wote wamekuwa wakiu2mia muda mwng majimboni kwao. Na hata jnc walvyo kwenye hyo miku5 ya chama wananch wanajua kuwa ukomboz unapelekwa kwngne hvyo wametoa baraka.. Wananch wa majimbo yaliyochn ya Chadema wanataka kila mtz awe mjanja kwa kuichagua Chadema.

    5. #5
      Kidatu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2008
      Posts : 1,437
      Rep Power : 1481
      Likes Received
      136
      Likes Given
      777

      Default re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      wabunge wa chadema ni wabunge wa watanzania yote. wanachokifanya ni kuwapa watanzania elimu ya uraia ili kujua haki zao. Na si kweli kwamba wamesahau majimbo yao bali wanafanyakazi usiku na mchana kwa faida ya watanzania.


    6. #6
      DALLAI LAMA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 3,122
      Rep Power : 0
      Likes Received
      741
      Likes Given
      0

      Default re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Tume ya katiba ulikuwa ukiiponda cdm kuwa ipo kaskazini tu,ONA SASA UNAKUJA NA HOJA ZA MFA MAJI..KWELI GAMBA LAKO GUMU

    7. #7
      STK ONE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Location : Mpanda, Katavi Region
      Posts : 628
      Rep Power : 502
      Likes Received
      176
      Likes Given
      44

      Default re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Quote By Tume ya katiba View Post
      MAFILILI, hii issue lazima tuiangalie kwa darubini, jamaa wamekuwa watalii, unajua ile michango yetu ya toka Arumeru imewachanganya sasa kila mbunge anataka apate gawio.

      Jamaa wamekuwa watalii. yaani 2015 ni mbali sana, majaribio ya kuchagua upinzani yanatutokea puani.

      Pole sana ndugu yangu!! Mbunge wa CHADEMA siyo mbunge wa jimbo lake la uchaguzi....ni mbunge wa Watanzania wote ambao wamekosa wa kuwasemea na kutambua mahitaji yao hasa yanayosababisha UMASKINI!!!

      Usilete ushabiki hapa jamvini....mi nipo Moshi vijijini, mbona sijamsikia Chami akichukua maoni ya wananchi wa huku kuyapeleka bungeni? We umewaona Mbowe, Sugu, Mnyika na Lissu ndiyo wabunge peke yao? Najua kinawauma kuwaona wanafanya kazi ya kuwababidilisha wana ccm kuwa wana CHADEMA....mtakoma mwaka huu!!!!!
      HERI UKIMWI KULIKO CCM....BUT THE END IS ON THE WAY.....

    8. #8
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,838
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      295

      Default re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Quote By STK ONE View Post
      Pole sana ndugu yangu!! Mbunge wa CHADEMA siyo mbunge wa jimbo lake la uchaguzi....ni mbunge wa Watanzania wote ambao wamekosa wa kuwasemea na kutambua mahitaji yao hasa yanayosababisha UMASKINI!!!

      Usilete ushabiki hapa jamvini....mi nipo Moshi vijijini, mbona sijamsikia Chami akichukua maoni ya wananchi wa huku kuyapeleka bungeni? We umewaona Mbowe, Sugu, Mnyika na Lissu ndiyo wabunge peke yao? Najua kinawauma kuwaona wanafanya kazi ya kuwababidilisha wana ccm kuwa wana CHADEMA....mtakoma mwaka huu!!!!!
      Mkuu wangu, ingawa mimi si CCM ni mwanachama wa ADC, ila unapaswa uelewe kuwa system ya CCM ni tofauti sana na vyama vingine, wana hadi mabalozi wa nyumba 10, kwa hiyo mfumo wa mawasiliano wa hiki chama ni tofauti na vyama vingine.

    9. #9
      Malata Junior's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 134
      Rep Power : 408
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Quote By Tume ya katiba View Post
      Mkuu wangu, ingawa mimi si CCM ni mwanachama wa ADC, ila unapaswa uelewe kuwa system ya CCM ni tofauti sana na vyama vingine, wana hadi mabalozi wa nyumba 10, kwa hiyo mfumo wa mawasiliano wa hiki chama ni tofauti na vyama vingine.
      mkuu hapo kwenye bold,maeneo mengi wamegoma kuchukua fomu mpaka sasa hivi uchaguzi haujafanyika!

    10. #10
      mwanakidagu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 189
      Rep Power : 411
      Likes Received
      65
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By MAFILILI View Post
      Ikiwa bado siku 5 kuanza kwa bunge la bajeti, ni masikitiko makubwa kwa wakazi wa majimbo ya
      1. Kawe,
      2. Mbeya Mjini
      3. Hai
      4. Nyamagana
      5. Ubungo,
      6. Singida Mashariki

      Wabunge wa majimbo husika wameshindwa kukutana na wananchi ili kupata maoni yao kuyafikisha bungeni BADALA yake wametumia pesa na marupurupu yatokanayo na ubunge kufanya mikutano ya chadema nje ya majimbo yao.
      Tafadhali wabunge wa majimbo niliyoyataja geukeni nyuma na kukumbuka nyinyi ni wawakilishi wa wapiga kura ambao mnatakiwa kuweka mbele mahitaji ya wapiga kura. BADILIKENI mtumikie wana jimbo wenu!!

      Kila siku twawasikia kiguu na njia mara Mtwara, Masasi, Newala wakati Sugu ukitamba Dar Live badala ya kupita maeneo ya Mwanjelwa, Soweto, masite nk. kuongea na wapiga kura; HIYO NI HAKI, MTAFAKARI!!!
      ndg.yangu mleta uzi.uongo sio kitu chema.mwezi may sugu alifanya mikutano kwa kata zote pale mbeya mjini.mpaka kule juu kata ya iziwa,majengo.kule mwanjelwa ,iyunga,nzovywe.nk.watu wa mbeya mjini watakuwa mashahd na watanisapoti.kwa maana hata ratib za mikutano ya ndani ya mbunge niliiona nami nilihudhuria mkutano wa ukombozi wa fikra kule iziwa.so mod,mleta uzi huyu kwa upand wa sugu hajui alic.hoandika.
      Duble Chris likes this.

    11. #11
      kichakare's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 371
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      tumewaruhusu wakafanye ukombozi kwa watz wenzetu

    12. #12
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,604
      Rep Power : 823
      Likes Received
      278
      Likes Given
      53

      Default Re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      cdm hawawezi kwenda kusini,wameenda mmegeuka tena,kweli ukiwa gamba ni kazi pevu kwenye ubongo....................

    13. #13
      Topi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 39
      Rep Power : 379
      Likes Received
      13
      Likes Given
      1

      Default Re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Magamba akili vinyu....

    14. #14
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,621
      Rep Power : 960
      Likes Received
      707
      Likes Given
      131

      Default Re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Kama rais anavyotamba kwenye majimbo ya uchaguzi ya nje ya nchi?

    15. #15
      nya2nya2's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 386
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      hya nenda kachukue posho yako kwa nape

    16. #16
      SIPENDI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Posts : 45
      Rep Power : 578
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Hawa watu wa Chama Tawala sidhani kama huwa wanawaza. Hivi kujua matatizo ya wananchi watanzania unahitaji kufanya utafiti?

    17. #17
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,390
      Rep Power : 2666
      Likes Received
      3055
      Likes Given
      14019

      Default

      Umehama ccm gafla? Au ndo oil chafu?

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

    18. #18
      Mpangamji's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Posts : 484
      Rep Power : 559
      Likes Received
      118
      Likes Given
      70

      Default Re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Wamekusikia! Hata hivyo taarifa yako si sahihi Ubungo kumefanyika mikutano mingi tu hivi karibuni na kusikiliza hoja

    19. #19
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,097
      Rep Power : 0
      Likes Received
      342
      Likes Given
      309

      Default Re: Chonde chonde wabunge wangu wa CHADEMA

      Tatizo lako umezoea hao wenu wa Magamba wakiondoka ndo kwaheri, huku kwetu Singida Mashariki ameacha kila kitu Murua na unavyomuona yuko huko wenzio hazipiti wiki mbili tuko naye kwa jinsi anavyotumia posho yake kwaajili ya nchi yote. Haya tueleze hao wengine walioko huko wamefanya lipi hasa

    20. #20
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,577
      Rep Power : 42530
      Likes Received
      5091
      Likes Given
      4370

      Default

      Quote By MAFILILI View Post
      Ikiwa bado siku 5 kuanza kwa bunge la bajeti, ni masikitiko makubwa kwa wakazi wa majimbo ya
      1. Kawe,
      2. Mbeya Mjini
      3. Hai
      4. Nyamagana
      5. Ubungo,
      6. Singida Mashariki

      Wabunge wa majimbo husika wameshindwa kukutana na wananchi ili kupata maoni yao kuyafikisha bungeni BADALA yake wametumia pesa na marupurupu yatokanayo na ubunge kufanya mikutano ya chadema nje ya majimbo yao.
      Tafadhali wabunge wa majimbo niliyoyataja geukeni nyuma na kukumbuka nyinyi ni wawakilishi wa wapiga kura ambao mnatakiwa kuweka mbele mahitaji ya wapiga kura. BADILIKENI mtumikie wana jimbo wenu!!

      Kila siku twawasikia kiguu na njia mara Mtwara, Masasi, Newala wakati Sugu ukitamba Dar Live badala ya kupita maeneo ya Mwanjelwa, Soweto, masite nk. kuongea na wapiga kura; HIYO NI HAKI, MTAFAKARI!!!
      Usituzingue hapa mnafiki wewe,kaa kando uwe mtazamaji kama magamba wenzio,mtaumia sana na magamba yenu,propaganda za mtindo wako are too low for us! kachukue posho yako,sadistic

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...