Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,788
      Rep Power : 799
      Likes Received
      442
      Likes Given
      437

      Default Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Rais Mstaafu anaamini watanzania wana raha sana, kwamba raha waliyonayo watanzania ni nyingi kupita kiasi, anasema sasa ni kama wamevimbia ndio maana wanaongeaongea sana.

      Source: TBC Habari.

      MyTake:
      Hawa viongozi wakiwa wanapita barabarani wanasafishiwa njia, hawajui adha ya mfumuko wa bei wala ukosefu wa ajira maana yake nini, Mwinyi kajisahau.

      kuna nchi watu walikua na njaa sana, kulikua hakuna mke wa mfalme alipoulizwa kuhusu njaa za watu, kwa mshangao akasema sasa kama hawana mkate si wale keki? naomba Mh Rais mstaafu ndicho kitu anafanya, kajisahau sana!
      mfianchi and tatanyengo like this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?


    2. #2
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      531

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Mkuu hebu fafanua kidogo. Alikuwa anaongelea issue gani hasa? Au kwenye tukio gani? Au kilichompelekea kutoa kauli hiyo ni nini?

    3. FJM is offline
      FJM
      #3
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Aseme hayo maneni mbele ya wazee wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

    4. #4
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 5,101
      Rep Power : 3359
      Likes Received
      569
      Likes Given
      36

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Huyu Mzee ni Mnafik sana. Acha kijana amchape kibao, stahili yake.

    5. #5
      umsolopagaz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 73
      Rep Power : 378
      Likes Received
      11
      Likes Given
      17

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      ".....ninachokiona ni chuki dhidi ya uislamu na uzanzibar"- mwl j.k nyerere...


    6. #6
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,588
      Rep Power : 1813
      Likes Received
      665
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Yeye ndio anaonekana amevimbiwa posho na kiinua mgongo tangu 1995 hadi leo...lazima aseme hivyo maana alichofanya akiwa rahisi na anavyokula kwa sasa havina uwiano hata kwa 1:40 hata kidogo!!hakustahili kukaa kiti kile,hakufanya lolote kwa taifa,anakula hadi kuvimbiwa!!lazima atapayuka!!wazee wetu wameteseka miaka 35 hadi 40 wanalipwa pensheni 50,000 kwa mwezi kila miezi 6 wanataka waende wakasajiliwe na kuhakikiwa upya kuwa labda wamekufa!!!

    7. #7
      Tukundane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 918
      Rep Power : 818
      Likes Received
      140
      Likes Given
      0

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Huu uzee nao ni bara wakati mwingine yaani wenzake tunavyo pigika na maisha kichwani mwake anapata tafsiri ya watanzania kuwa na maisha ya raha.tutakapo pata maisha ya raha kuna hatari ya kuambiwa kuwa watanzania tunaishi maisha ya shida.hii ni kali.

    8. #8
      DURACEF's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Pharmacy
      Posts : 186
      Rep Power : 450
      Likes Received
      36
      Likes Given
      12

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Quote By Uswe View Post
      Rais Mstaafu anaamini watanzania wana raha sana, kwamba raha waliyonayo watanzania ni nyingi kupita kiasi, anasema sasa ni kama wamevimbia ndio maana wanaongeaongea sana.

      Source: TBC Habari.

      MyTake:
      Hawa viongozi wakiwa wanapita barabarani wanasafishiwa njia, hawajui adha ya mfumuko wa bei wala ukosefu wa ajira maana yake nini, Mwinyi kajisahau.

      kuna nchi watu walikua na njaa sana, kulikua hakuna mke wa mfalme alipoulizwa kuhusu njaa za watu, kwa mshangao akasema sasa kama hawana mkate si wale keki? naomba Mh Rais mstaafu ndicho kitu anafanya, kajisahau sana!
      we ni mchochezi hebu weka taarifa yako vizuri

    9. #9
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      alikuwa anajiongelea yeye mwenyewe
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    10. #10
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,384
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3053
      Likes Given
      13989

      Default

      Quote By dudus View Post
      Mkuu hebu fafanua kidogo. Alikuwa anaongelea issue gani hasa? Au kwenye tukio gani? Au kilichompelekea kutoa kauli hiyo ni nini?
      Alikua anazungumzia vurugu za UAMSHO akimaanisha kuwa kuna baadhi ya watu wamechoka amani tuliyonayo na kuamua kuleta vurugu za kuvunja muungano.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      sweke34 and Maundumula like this.

    11. #11
      Wakuti's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 188
      Rep Power : 465
      Likes Received
      13
      Likes Given
      32

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Inatakiwa ujue kiswahili fasaha ili ujue anachosema mzee mwinyi Hivi mbona watu wa humu hamna adabu kumsema mzee wa watu aliyeifanyia makubwa nchi yetu? Basi kuweni na shukrani japo mara moja.
      Maundumula likes this.

    12. #12
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,718
      Rep Power : 989
      Likes Received
      598
      Likes Given
      10

      Default

      Yeye ni mmoja wa waasisi wa huu ujinga ama ni kati wa viongozi/watawala wa nchi ambaye amufumbia macho huu ujinga na leo umefikia hapa. Ni mtu mzima,akili makosa yake,aache unafiki!
      Quote By Daudi mchambuzi View Post
      Alikua anazungumzia vurugu za UAMSHO akimaanisha kuwa kuna baadhi ya watu wamechoka amani tuliyonayo na kuamua kuleta vurugu za kuvunja muungano.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

    13. #13
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 608
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default

      We wataka apigwe mawe badala ya kofi kama that time!, aangalia mazingira ati na vya kutamka!
      Quote By FJM View Post
      Aseme hayo maneni mbele ya wazee wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

    14. #14
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1259
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Quote By Daudi mchambuzi View Post
      Alikua anazungumzia vurugu za UAMSHO akimaanisha kuwa kuna baadhi ya watu wamechoka amani tuliyonayo na kuamua kuleta vurugu za kuvunja muungano.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      Ndiyo alichosema...ila mzee mwinyi naona amesahau lile kofi alilokung'utwa kwa sababu ya kuhimiza matumizi ya condom...sijui UAMSHO watampa adhabu gani!?
      Uswe likes this.

    15. #15
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 608
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Kama ni ishu ya kuvimbiwa raha hao anaosema wamevimbiwa hiyo raha watakuwa ni drug dealers na mafisadi sio wanaofanya kazi za jasho na kuumiza kichwa kupita kiasi ili wapate kula

    16. #16
      bmosses's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 370
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Daudi mchambuzi View Post
      Alikua anazungumzia vurugu za UAMSHO akimaanisha kuwa kuna baadhi ya watu wamechoka amani tuliyonayo na kuamua kuleta vurugu za kuvunja muungano.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      huyo mzee muache alopoke maana wao kama navimbiwa wajue sisi huku ulaian 2nateseka kwasababu hajui mfumko wabei waache watese nahuku sisi 2kiteseka ndiyo mfumo uliopo wa mh j.k

    17. #17
      Kidatu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2008
      Posts : 1,437
      Rep Power : 1481
      Likes Received
      136
      Likes Given
      777

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      walahi angekuwa karibu yangu ningemlamba makofi matatu. Matatizo yote tuliyokuwa nayo watanzania anaongea utumbo namna hii?

    18. #18
      Zamaulid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : PANDAGI CHIZA
      Posts : 3,871
      Rep Power : 1347
      Likes Received
      1007
      Likes Given
      450

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Quote By DURACEF View Post
      we ni mchochezi hebu weka taarifa yako vizuri
      taarifa iliyo sahihi ni ipi mkuu!!

    19. #19
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 392
      Likes Received
      61
      Likes Given
      97

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      Quote By Uswe View Post
      Rais Mstaafu anaamini watanzania wana raha sana, kwamba raha waliyonayo watanzania ni nyingi kupita kiasi, anasema sasa ni kama wamevimbia ndio maana wanaongeaongea sana.

      Source: TBC Habari.

      MyTake:
      Hawa viongozi wakiwa wanapita barabarani wanasafishiwa njia, hawajui adha ya mfumuko wa bei wala ukosefu wa ajira maana yake nini, Mwinyi kajisahau.

      kuna nchi watu walikua na njaa sana, kulikua hakuna mke wa mfalme alipoulizwa kuhusu njaa za watu, kwa mshangao akasema sasa kama hawana mkate si wale keki? naomba Mh Rais mstaafu ndicho kitu anafanya, kajisahau sana!
      mzee ruksa anamuongelea Shibuda hapa bila shaka.

    20. #20
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Rais Mstaafu Mwinyi: Watanzania Wamevimbiwa Raha

      mwinyi kama yeye ni kidume aende kwao zanzibar akatamke haya maneno kwenye wana uamsho. mbona ajificha huku bara watampiga makofi tena
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...