Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tathimini ya utendaji kazi wabunge wa ccm & cdm

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      WISTON MWINUKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 370
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Tathimini ya utendaji kazi wabunge wa ccm & cdm

      Habari zenu WATANZANIA wenzangu!Leo napenda kuwaombeni wenzangu katika majimbo mbalimbali mnijulishe utekelezaji wa ahadi walizozitoa waheshimiwa wabunge wetu wakati wa uchaguzi kama zimeanza kutekelezwa na kwa kiasi gani?Nitafurahi sana kama wana JF wamajimbo mbalimbali ya uchaguzi hapa nchini watachangia ili tuweze pata takwimu vizuri.Naomba kuwasilisha.
      Last edited by WISTON MWINUKA; 6th June 2012 at 13:41.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kakulwa P's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 201
      Rep Power : 408
      Likes Received
      69
      Likes Given
      10

      Default Re: Tathimini ya utendaji kazi wabunge wa ccm & cdm

      Quote By WISTON MWINUKA
      Habari zenu WATANZANIA wenzangu!Leo napenda kuwaombeni wenzangu katika majimbo mbalimbali mnijulishe utekelezaji wa ahadi walizozitoa waheshimiwa wabunge wetu wakati wa uchaguzi kama zimeanza kutekelezwa na kwa kiasi gani?Nitafurahi sana kama wana JF wamajimbo mbalimbali ya uchaguzi hapa nchini watachangia ili tuweze pata takwimu vizuri.Naomba kuwasilisha.
      Ungeanza na Jimbo lako la uchaguzi ili tutumie template yako kukupa tathimini.
      Wewe hujaifanya hiyo kazi unataka tukuanzishie? kama hauna mbunge kwenye jimbo lako pia elezea ili tukupe majibu sahihi.
      tocolyitics likes this.

    4. #3
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 515
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Tathimini ya utendaji kazi wabunge wa ccm & cdm

      Wanafiki daima hawajifichi, wewe huna mbunge? Hata kikwete ana mbunge wake! Wewe mwenzetu waishi wapi ambako hakuna mbunge? Anza wewe, nasi tutafuatia. NYAMBAF.

    5. #4
      wade kibadu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 380
      Likes Received
      5
      Likes Given
      11

      Default Re: Tathimini ya utendaji kazi wabunge wa ccm & cdm

      ME NI MZAWA WA MIBIKI MITARI NA NAISHI JIMBO LA IRINGA.NA MUELEWA MBUNGE WA MSIGWA TANGU KAMPENI ZAKE ZA ;2010.ALIPO UKWEA UBUNGE INGAWA WALITAKA KUCHAKACHUA PALE MANISPAA ILA NGUVU YA UMMA ILITUMIKA BAC WASIMAMIZI WA UCHAGUZI.
      WAKAFUNGUKA KUMTANGAZA MSIGWA KUWA NDIE JEMBE LA JIMBO LA IRINGA.
      MAANA HIYO MSIMAMIZI WA UCHAGUZI ALIPIMA NGUVU YA UMMA NA NGUVU YA MAAGIZO KUTOKA JUU KIPI? CHENYE UZITO AKAONA NGUVU YA UMMA BAC MSIGWA AKAWA MBUNGE.
      Msigwa anaendelea kutimiza AHADI ZAKE KAMA ALIVOAHIDI NAMPA PONGEZI MOJA YA AHADI KAMA IFUATAVYO;
      01;KUMLETA MWANASHERIA WA JIMBO LA IRINGA ATAEWASAIDIA WANANCHI WAKE WA JIMBO LA IRINGA KTK MASUALA YA SHERIA AMETIMIZA BILA KUSITA.
      02;ELIMU KWA UMMA JUU YA HAKI ZAO MSIGWA HASHINDWI MSIGWA WA WATU KUELIMISHA.
      03;AMEFUNGUKA KUONGEZA VITANDA KATIKA HOSPITALI YA IRINGA NA KUPUNGUZA ADHA YA KULALA WAWILI, WATATU KITANDA KIMOJA JEMBE HAKUSITA KUFANYA IVO.
      04; MICHEZO HALI KADHARIKA AKOSEI AMETOA FACILITIES NECESSARY.
      05;ALI AHIDI KUSIMAMIA UPIMAJI WA VIWANJA AJAFANYA MAKOSA MTU WA MUNGU WA WATU.
      06;KAMA KAWA KUTETEA MASLAI YA TAIFA IPO WAZI AMEMUWEKA PEMBENI EZEKIEL MAIGE KUTOKA UWAZIRI ADI UBUNGE HIYO NI KAZI YA MSIGWA.MUMO KWA MUMO KAFUNGUKA WIZI WA TWIGA WETU NA WANYAMA WENGINE ANAZIDI KUKOMAA KUTETEA MASLAI YA TAIFA.
      HIZO NI BAADHI TU NA NI NYINGI TU HIZO NDIZO AMBAZO NIPO NAZO AWARE NA ANAENDE KUTIMIZA AHADI ZAKE.

    6. FemaTV & Radio

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...