Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 54
    1. #1
      mwigo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 364
      Likes Received
      15
      Likes Given
      14

      Default Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Mh wewe ni waziri ambaye umeteuliwa juzi tu, inawezekana haujui nini kinaendelea ndani ya wizara yako. Sisi kama watanzania ni muda mrefu sana tumeilalamikia serikali yetu kuwa tunahitaji ndege kwa ajili ya safari za anga.

      Ni juzi tu Katibu mkuu wako alitamka maneno kuwa ndege hiyo isiruke mpaka itemize mashart yote.hali ya kuwa ndege imetimiza masharti yanayotakiwa kuruka. Je katibu mkuu alikuwa na dhamira gani kuizuia ndege isiruke? Kama mdau wa usafiri wa anga ilitustua sana kuona katibu mkuu ambaye ndie mtendaji wizarani na mtegemewa na wananchi ndio anakuwa mtu wa kwanza kuikwamisha ndege ya watanzania isifanye kazi.

      Wiki mbili baadae baada ya ndege ile aina ya B 737 – 500 kuanza safari zake DAR- JRO- MWZ-DAR tukasikia ndege ile imepokea vitisho kuwa itafanyiwa hujuma. Ni wiki moja sasa tangu vitisho hivo vitolewe, na leo tunaona DIRECT MR. CHIZI ambaye ndio ameisimamia ndege ile mpaka kuileta hapa nchini amesimamishwa kazi.

      Kuna haja gani ya kumuondoa MR CHIZI katika nafasi ambaye tumeona matunda yake? Au ni kwa vile alikaidi amri ya katibu mkuu wake ya kutoiondoa ndege kwa visingizio kuwa haijatimiza mashart? Hali ya kuwa imetimiza? Au kosa lake ni kuisimamia hii ndege mpaka ikapatikana? Au ni kwa vile yeye katibu mkuu hakushirikishwa ipasavyo katika kuileta ndege hii?? Nina maswali mengi ya kujiuliza kuhusu huyu katibu mkuu na namna alivyo mfukuzisha kazi mr chizi.Kiukweli katibu mkuu anakitu kimejificha nyuma yake kuhusu hii ndege na ATCL kwa ujumla.

      Mh Mwakyembe hujuma kwa ndege zina fanyika katika mazingira tofauti, katika kile katibu mkuu alidai kuwa “tutaona itafika wapi” sasa ndio ameanza kwa kukushawisi wewe ili kumsafisha DIRECTOR CHIZI ambaye ameileta kisha na ndege hiyo kurudi kwao ili yeye KATIBU MKUU anufaike anavyonufaika katika makampuni mengine ya NDEGE ambayo yanamtumia kuisambaratisha ndege hii.

      Tuna wasi wasi na katibu mkuu huyu ambaye inaonekakana yupo nyuma ya kikundi Fulani ambacho kina mtumia ili kuiua ndege hii ambayo inatumika kufanya safari za ndani ya nchi.

      Sisi kwetu hii ni hujuma kubwa ambayo imefanywa na kiongozi wetu wa serikalini bila kuangalia maslahi ya taifa na badala yake anaangalia maslahi yake binafsi.

      Kama waziri wa wizara husika tunaomba ukae na wadau mbali mbali wa secta ya anga ikiwemo AIR TANZANIA ili upate maoni yao.Hatuja pendezwa na hatujafurahia maamuzi ya katibu mkuu huyo kukushawishi kumsimamisha kazi DIRECTOR CHIZI.


      Ahsaante sana
      Madau.

    2. Miaka 50

    3. #2
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 955
      Rep Power : 630
      Likes Received
      116
      Likes Given
      674

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Aiseeee! Tanzania si mahala pa kuaminika tena - hakuna msema ukweli!!

    4. #3
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,973
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Inamaana mwakyembe kaambiwa tu na kuchukua maamuzi bila ya ushahidi,sidhani kama mwakyembe ni mtu wa sampuli hiyo.Halafu isitoshe hata kama alikuwa mtendaji mzuri lakini utaratibu wa kumpa madaraka kama haukufuatwa anastahili aondoke.

    5. #4
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 388
      Likes Received
      61
      Likes Given
      96

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Mwezi tu majugu yashaanza.....hapa kuna kitu.

    6. #5
      mwigo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 364
      Likes Received
      15
      Likes Given
      14

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Quote By tara
      Mwezi tu majugu yashaanza.....hapa kuna kitu.
      inavosemakana alitoa kauli kuwa tutaona hiyo ATCL yenu itafika wapi, si mnajidai??? tutaona. wao wana hisa kwenye kampuni moja ya ndege ambayo ilichukua abiria waote wa ATCL ya mwanzoni kabla haijafa, sasa wanataka kuiua ili atcl ya sasa ishindwe kazi. hujiulizi kwanini waondolewe hadi wanasheria na mhasibu??? mhasibu aliidhinisha fedha zikatoka za kuikodi ndege ile na mwanasheria alihusika ktk kuhakikisha ile ndege inafanya kazi, sasa kwanini huyo KATIBU MKUU atoe kauli za namna hiyo?? hujiuli???
      mkomatembo likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Bosili's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 361
      Likes Received
      8
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Hongera juhudi za mwakyembe tumeziona bado DK Mwinyi na wizara yako ya Afya MSD wanangoja nini ofisini na sasa kila mtu kaamua kuchukua chake mapema DODOMA vifaa vya mamilioni vimechomolewa toka bohari na jamaa kwa kulindana utasikia wahusika wamehamishiwa mkoa mwingine angalia Mwinyi kaa na mwakyembe waulize wenzio ujasiri wameupata hadi wakachukua hatua Big Up Kyusa wembe ule ule hadi kieleweke

    9. #7
      KOMBESANA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2009
      Posts : 525
      Rep Power : 610
      Likes Received
      114
      Likes Given
      1460

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      kama CHIZI ana tatizo lingine ni vizuri tuambiwe ukweli na Serikali.Vinginevyo mimi nina mawazo yafuatayo:
      Kwanza Chizi aliteuliwa kukaimu nafasi iliyoachwa wazi na hili la kukaimu halihitaji nafasi kujazwa kwa ushindani yaani uitishe tangazo la nafasi ya Kaimu Director General.Chizi hajajiteua na huyu Chambo Omari anaelewa kuwa Katibu Mkuu ndiye mshauri wa Waziri.Hivyo WAZIRI ALIYEKUWEPO na KATIBU MKUU wake wangewajibishwa baada ya uteuzi kusitishwa.
      Pili ni jambo baya kwa Waziri kufanya kazi kwa kutumia Magazeti. Yaani kila faili utakalosaini au kukataa kusaini kama kiongozi liwe NEWS kama vile umefanya muujiza usiokuwa wajibu wako ni utamaduni wa Serikali ya CCM wa kujaribu kujiosha ili wale wasiofiiiikiri wanaomeza kila hadithi washawishike.Katabia haka kana Mh Mwakyembe, Mh. Magufuli, Mh. Naibu Waziri(au Waziri Mdogo?) wa Elimu,na watu wengine wanaopenda umaarufu wa rejareja.
      Tatu naamini kuwa njia nzuri kwa kuwa Chizi alikuwa Kaimu, nafasi lie ingetangazwa na Chizi na Watanzania wengine wangeomba nnafasi hiyo na ATCL ingepata DG wa kudumu ama wa mkataba apewe terms of reference ikiwepo time frames za kufufua shirika,kuongeza safari za ndani na nje na hata kujitegemea na kujiendesha kibiashara.
      Nne kusitisha ajira ya Acting DG na kumweka ACTING mwingine pia bila kutumia njia za ushindani kama sheria na kanuni za utumishi wa umma zinavyosema ni kuanza safari kwa wrong footing kwa rafiki yetu MWAKYEMBE

    10. #8
      MAKAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 955
      Rep Power : 630
      Likes Received
      116
      Likes Given
      674

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      hivyo kukaimu kuna mishiko kweli - si unaweza pisha na nafasi ikitangazwa ya full na sio kukaimu hakuna atakaekuzuia kuiomba na kuipigania - katika ile simple logic. malalamiko yote chimbuko lake ni nini.
      Last edited by MAKAH; 6th June 2012 at 14:47.

    11. #9
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 725
      Rep Power : 568
      Likes Received
      288
      Likes Given
      409

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Safi sana Kombe Sana.
      Tatizo lipo kati ya masalia ya Nundu na Katibu Mkuu Ndugu Chambo na Mwakyembe ameingia kichwa kichwa bila tathimini ya kina.Tatizo bado linaonekana katika kupata CEO wa ATCL ,hivi Eng Chizi alijiteua kukaimu nafasi hiyo ?,na kama aliteuliwa na Nundu ,Chambo kama Katibu Mkuu alifanya nini na Bodi ya ATCL pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu Mkuu Utumishi.?.Uzembe na jeuri ya Chambo ndiyo kifo na udhaifu mashirika mengi yaliyo katika wizara ya uchukuzi,siyo reli,ATCL yenye unafuu japo ni mashirka muhimu katika ustawi wa uchumi wa nchi.Kipindi cha nyuma vyombo vya habri zilinadika tishio la Chambo kumweka ndani Chizi kama angeendelea na kazi ya kuleta na kurusha ndege iliyokodiwa ya ATCL.Kama kuna matatizo ya kiufindi mamlaka kama TCAA ndiyo ingetoa sababu za kina juu ya ubora na usalama wa ndege hiyo lakini mpaka sasa inaonyesha ndege hiyo ina ubora.Mwakyembe asipoangalia atajikuta anatumika kama mpira wa kiume kwa Chambo na kuvuruga shirika badala ya kujenga.

    12. #10
      mwigo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 364
      Likes Received
      15
      Likes Given
      14

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Quote By KOMBESANA
      kama CHIZI ana tatizo lingine ni vizuri tuambiwe ukweli na Serikali.Vinginevyo mimi nina mawazo yafuatayo:
      Kwanza Chizi aliteuliwa kukaimu nafasi iliyoachwa wazi na hili la kukaimu halihitaji nafasi kujazwa kwa ushindani yaani uitishe tangazo la nafasi ya Kaimu Director General.Chizi hajajiteua na huyu Chambo Omari anaelewa kuwa Katibu Mkuu ndiye mshauri wa Waziri.Hivyo WAZIRI ALIYEKUWEPO na KATIBU MKUU wake wangewajibishwa baada ya uteuzi kusitishwa.
      Pili ni jambo baya kwa Waziri kufanya kazi kwa kutumia Magazeti. Yaani kila faili utakalosaini au kukataa kusaini kama kiongozi liwe NEWS kama vile umefanya muujiza usiokuwa wajibu wako ni utamaduni wa Serikali ya CCM wa kujaribu kujiosha ili wale wasiofiiiikiri wanaomeza kila hadithi washawishike.Katabia haka kana Mh Mwakyembe, Mh. Magufuli, Mh. Naibu Waziri(au Waziri Mdogo?) wa Elimu,na watu wengine wanaopenda umaarufu wa rejareja.
      Tatu naamini kuwa njia nzuri kwa kuwa Chizi alikuwa Kaimu, nafasi lie ingetangazwa na Chizi na Watanzania wengine wangeomba nnafasi hiyo na ATCL ingepata DG wa kudumu ama wa mkataba apewe terms of reference ikiwepo time frames za kufufua shirika,kuongeza safari za ndani na nje na hata kujitegemea na kujiendesha kibiashara.
      Nne kusitisha ajira ya Acting DG na kumweka ACTING mwingine pia bila kutumia njia za ushindani kama sheria na kanuni za utumishi wa umma zinavyosema ni kuanza safari kwa wrong footing kwa rafiki yetu MWAKYEMBE
      unajua kinachotufanya tumtilie mashaka huyu katibu mkuu ni kuwa kauli zake za kuikwamisha atcl ilionekana tangu mwanzo, na akaapa kuwa tutaiona, Kiukweli mr chizi ndio alioisimamia mpaka ikafika hapa, na yeye katibu mkuu aligoma mapema kwa hivo akaonekana kuwa haihitaji ndege hii itue na ikaruka kimagushi tu.Kama kuna kingine watuambie tu. lakini sio

    13. #11
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Huyo chambo yuko hapo toka lini maana anonekana hajui anachokifanya .anaongoza wizara ambayo imesimama huku taasis hata moja iliyoko chini yake yenye ufanisi wa kuamini labda TAA na TCAA. Huyu jamaa atakuwa mzigo
      mwigo likes this.

    14. #12
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,497
      Rep Power : 5984
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Duh, hata sijui niamini lipi sasa?
      Mungu ibariki Tanzania...
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    15. #13
      Turbulence's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Posts : 81
      Rep Power : 372
      Likes Received
      10
      Likes Given
      12

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Tukiunganisha dots, nina hili swali apa: Ivi kwa nini Precision wanapandisha nauli za ndege hovyo, as they wish, hakuna connection hapo?? Isije ikawa kuna watu serikalini wanahujumu ATCL ili precision iendelee kutawala. Sidhani kama kuna justification yoyote ya kupandisha nauli kwa zaidi ya asilimia 80 ndani ya miezi 6. dar-kilimanjaro return sasa ni sh 450,000; miezi sita iliyopita illikuwa 320,000. One year ago ilikuwa 270,000. Hii nchi ina wenyewe jamani??? Makampuni yanafanya yanavyotaka: tanesco, kampuni za sim, airlines, swissport, etc. Aghhhhhhhhh.

    16. #14
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,019
      Rep Power : 637
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1269

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Nionavo mimi, ni kuwa kuna makusudi yalifanya ili ATC IFILIE MBALI, hili lilifanywa na kina Mramba na ndio maana naona leo wamewajibishwa, na tumeona jinsi Precision air ilivokuja juu mpaka basi, ilivoletwa ndege ile juzi juzi ikahujumiwa ndege ikaanguka, sasa hivi inaonekana ATCL inakuja juu watu wamerudhisha imani nayo sasa sijui nini kimetokea mara huyo Acting amesimamishwa kazi, kweli hatujui undani lakini pia TUTAPENDA TUONE ATC INAENDELEA KUPAA KAMA ILIVOANZA VINGINEVYO TUTAKUWA HATUNA IMANI NA WEWE MWAKYEMBE !

    17. #15
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,019
      Rep Power : 637
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1269

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Quote By Turbulence
      Tukiunganisha dots, nina hili swali apa: Ivi kwa nini Precision wanapandisha nauli za ndege hovyo, as they wish, hakuna connection hapo?? Isije ikawa kuna watu serikalini wanahujumu ATCL ili precision iendelee kutawala. Sidhani kama kuna justification yoyote ya kupandisha nauli kwa zaidi ya asilimia 80 ndani ya miezi 6. dar-kilimanjaro return sasa ni sh 450,000; miezi sita iliyopita illikuwa 320,000. One year ago ilikuwa 270,000. Hii nchi ina wenyewe jamani??? Makampuni yanafanya yanavyotaka: tanesco, kampuni za sim, airlines, swissport, etc. Aghhhhhhhhh.
      Hilo shirika ni la watu fulani ambao wapo hapo kutumia kila wanaloweza ili shirika lingine la ndege lisiguse, kama unakumbuka Diallo alikuja na Cummunity Airline likafa kifo kibaya hata halikuwahi kuoperate, hawa watu wanatumia kila wanaloweza hata ikiwezekana ATC isiweze kuishi, ile ndege iloangusha siku ile ile Presicion ikaongeza bei pale pale ! nadhani serikali iangalie hili kwa kina! tumechoka tumechoka kuhujumiwa nchi yetu na mashirika yetu na watu wachache wabinfsi, tunaomba Rais alianglie hili kwa kina kipana kabisa.

    18. #16
      mwigo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 364
      Likes Received
      15
      Likes Given
      14

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Quote By mwigo
      unajua kinachotufanya tumtilie mashaka huyu katibu mkuu ni kuwa kauli zake za kuikwamisha atcl ilionekana tangu mwanzo, na akaapa kuwa tutaiona, Kiukweli mr chizi ndio alioisimamia mpaka ikafika hapa, na yeye katibu mkuu aligoma mapema kwa hivo akaonekana kuwa haihitaji ndege hii itue na ikaruka kimagushi tu.Kama kuna kingine watuambie tu. lakini sio
      siku ya ya uzinduzi wa hiyo ndege KATIBU MKUU aliigomea isiondoke mpaka waziri mkuu alipoingilia kati ndipo ndege ile ikaruka na akasababisha delay kubwa. Je kwann yy katibu mkuu aiwekee vikwazo atcl?? lazima katibu mkuu anamatatizo. na lazima katibu mkuu achunguzwe ili kijulikane.

    19. #17
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,561
      Rep Power : 3326
      Likes Received
      1213
      Likes Given
      458

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Mwakyembe hiyo wizara wamekupakazia.!

    20. #18
      mwigo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 364
      Likes Received
      15
      Likes Given
      14

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Ni kweli kabisa hawa wanahisa katika precission air ndio maana wanaitaka ife hii ndege, kama mnakumbuka waliwahi kumtumia MRAMBA aiponde hii ndege ya ATCL hatimaye watu waichukie kwa kauli za kejeli, ni kweli viongozi wetu serikalini ndio wenye hisa huko PW ndio maana wanaikwamisha.na hao PW wanapandisha nauli kwa kuona hakuna kampuni ya kushindana nao, sasa wakisikia NZENGO inarudi wanaifanyia fitna. LAKINI WABAYA NI VIONGOZI WA SERIKALI YETU KWANI WAO NDIO WANAHISA HUKO KTK MAKAMPUNI BINAFSI.
      Quote By mkomatembo
      Hilo shirika ni la watu fulani ambao wapo hapo kutumia kila wanaloweza ili shirika lingine la ndege lisiguse, kama unakumbuka Diallo alikuja na Cummunity Airline likafa kifo kibaya hata halikuwahi kuoperate, hawa watu wanatumia kila wanaloweza hata ikiwezekana ATC isiweze kuishi, ile ndege iloangusha siku ile ile Presicion ikaongeza bei pale pale ! nadhani serikali iangalie hili kwa kina! tumechoka tumechoka kuhujumiwa nchi yetu na mashirika yetu na watu wachache wabinfsi, tunaomba Rais alianglie hili kwa kina kipana kabisa.
      Chumbageni likes this.

    21. #19
      mwigo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 364
      Likes Received
      15
      Likes Given
      14

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      Quote By mkomatembo
      Nionavo mimi, ni kuwa kuna makusudi yalifanya ili ATC IFILIE MBALI, hili lilifanywa na kina Mramba na ndio maana naona leo wamewajibishwa, na tumeona jinsi Precision air ilivokuja juu mpaka basi, ilivoletwa ndege ile juzi juzi ikahujumiwa ndege ikaanguka, sasa hivi inaonekana ATCL inakuja juu watu wamerudhisha imani nayo sasa sijui nini kimetokea mara huyo Acting amesimamishwa kazi, kweli hatujui undani lakini pia TUTAPENDA TUONE ATC INAENDELEA KUPAA KAMA ILIVOANZA VINGINEVYO TUTAKUWA HATUNA IMANI NA WEWE MWAKYEMBE !
      WEWE UMELONGA HASA YALIYO MOYONI MWANGU,maana hii ni hujuma kali sana,Tumepata ndege nzuri sana na pia ACTING WETU alikubalika kwa wafanyakazi wa atcl wote na hata wadau wengine, hatukusikia minongono bali tukasikia katibu mkuu anaikwamisha ndege hii.MWAKYEMBE FANYIA KAZI HAYA YOTE nenda kamuulize WAZIRI MKUU PIA atakueleza kuwa yeye ndio aliotoa amri iruke.LAKINI huyo KATIBU MKUU WAKO atakufukuzisha kazi kwani anamaslahi yake binafsi kwenye kampuni binafsi.
      Chumbageni likes this.

    22. #20
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Mwakyembe katibu mkuu wa wizara yako ndio atakuharibia kazi.

      mwakyembe acha kufanyiwa maamuzi na wezi,huyo katibu mkuu wako atakuponza maana tunahisi wewe bado unachembe ya uzalendo lakini naamini kuwa huwezi ishi na mwizi ndani ya nyumba yako mkaelewana nae labda akushawishi uwe mwizi,au umshawishi asiwe mwizi.naamini unaweza fanya kazi kama wewe,bula kuhusisha chuku za watu ambao wakati wanachukizana hukuwepo,huui chanzo wala mwisho,fanya kazi dhamana ulopewa,

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...