Re: Halmashauri za CHADEMA zaongoza kwa usafi.

By
olyset net
Chadema yenyewe safi,ila kwa Arusha mhh!!hapo umeniacha mbali,labda kama ni usafi wa mwili na mavazi,ila kwa mazingira arusha ni CHAFU balaa,ukiondoa barabara inayotokea moshi maeneo ya phillips hadi mianzini ndio yenye unafuu,katikati ya mji hapafai.
Arusha bado hawajapata uhuru kamili, ndiyo maana bado kuna kasoro kama hizo. Angekuwa Meya ni wa CHADEMA, hizo kasoro zote zisingekuwapo. Mbali na kasoro hizo, bado wameshika nafasi ya 3; hapo ujue miji mingine ni majalala kabisa!
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
Follow Us Here