NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
Hiyo inatokana na Chadema kupata kura nyingi kwa wasomi, sasa nyinyiem wanapata kura kwa wajinga na maskini wakutupa usafi watafanya sa ngapi, watz tubadilike
Chadema yenyewe safi,ila kwa Arusha mhh!!hapo umeniacha mbali,labda kama ni usafi wa mwili na mavazi,ila kwa mazingira arusha ni CHAFU balaa,ukiondoa barabara inayotokea moshi maeneo ya phillips hadi mianzini ndio yenye unafuu,katikati ya mji hapafai.
Halmashauri ya jiji la Arusha linaongozwa na Meya feki wa Kichina
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
Chadema yenyewe safi,ila kwa Arusha mhh!!hapo umeniacha mbali,labda kama ni usafi wa mwili na mavazi,ila kwa mazingira arusha ni CHAFU balaa,ukiondoa barabara inayotokea moshi maeneo ya phillips hadi mianzini ndio yenye unafuu,katikati ya mji hapafai.
Pamoja sana kamanda!
Ilitolewa fungu kwa ajili ya usafi wa mazingira, akina Lyimo sijui wameenda kujengea mabaa oloirieni!
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
kiukweli sijabaatika kufika Moshi na Arusha ila Mwanza kwa usafi wanatisha yani mitalo ya maji inapitisha maji masafi kama vile chemchem Halmashauri inagari maalu kwaajili ya kunyonya vumbi barabarani, hongera MWANZA.
Chadema yenyewe safi,ila kwa Arusha mhh!!hapo umeniacha mbali,labda kama ni usafi wa mwili na mavazi,ila kwa mazingira arusha ni CHAFU balaa,ukiondoa barabara inayotokea moshi maeneo ya phillips hadi mianzini ndio yenye unafuu,katikati ya mji hapafai.
Arusha bado hawajapata uhuru kamili, ndiyo maana bado kuna kasoro kama hizo. Angekuwa Meya ni wa CHADEMA, hizo kasoro zote zisingekuwapo. Mbali na kasoro hizo, bado wameshika nafasi ya 3; hapo ujue miji mingine ni majalala kabisa!
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
Hiyo inatokana na Chadema kupata kura nyingi kwa wasomi, sasa nyinyiem wanapata kura kwa wajinga na maskini wakutupa usafi watafanya sa ngapi, watz tubadilike
Haya nimaneno hatari na ya kibaguzi, na tunayalaani
"Wanafunzi wanaopata Mimba ni kwa sababu ya kiherehere chao" JK 2010.
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
Follow Us Here