Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 94
    1. #1
      BORGIAS's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 101
      Rep Power : 371
      Likes Received
      46
      Likes Given
      50

      Default Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.

    2. Study Abroad

    3. #2
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,154
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      1219
      Likes Given
      313

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      hujaeleweka..na hiyo ni tabia mbaya ya kuchungulia mambo ya kwa majirani zako ..why dont you mind your own business?
      Asprin and Janjaweed like this.
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    4. #3
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,592
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      1376
      Likes Given
      1525

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      ni vizuri ujali yaliyo ndani ya nchi yako na dhahma zote kabla ya kuanza kuhangaika na majirani zako.... Joyce Banda hayuko zanzibar, hajatuletea udini, hayupo arusha, hayupo kwenye radar, hayupo kwenye EPA, Joyce si ajabu wala hajui kwamba tuna migomo ya madaktari iliyoua, wizi wa ajabu kwenye mawizara nk.

      Tafadhali epuka kuanza kuhangaika na wachawi wakati uchawi umebeba mkono wewe mwenyewe............ it is a sickness of our country, kuna tamko la kutaka wakristu wote waondoke baraza la mitihani, nini maana yake kwa mfano?? je watasema na wasahihishaji wa mitihani wabadilike?? na wakibadilishwa, vipi hao wanaokuja watakua wapagani au waislamu?? wakiwa waislamu watasahihisha tofauti?? kama ndio... je tuwe na shule za kidini tu tuache community??

      our president yote hayo kakaa kimya anazunguka na track suti kupiga jaramba na picha............ nk

      MAADUI ZETU NI MIMI NA WEWE, TUNAOANGALIA SHIDA ZETU NA SASA TUNATAKA KUANGALIA YA JIRANI WAKATI KWETU KUNATEKETEA..........

      FUNGUKA NA UACHE YA JIRANI
      susu, Gamaha, mfianchi and 5 others like this.
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    5. #4
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,931
      Rep Power : 749
      Likes Received
      280
      Likes Given
      144

      Default

      Quote By BORGIAS
      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
      unaongea kwa mafumbo humu hakuna wanajimu!
      BORGIAS likes this.

    6. #5
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,560
      Rep Power : 2533
      Likes Received
      595
      Likes Given
      760

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By Janjaweed
      ni vizuri ujali yaliyo ndani ya nchi yako na dhahma zote kabla ya kuanza kuhangaika na majirani zako.... Joyce Banda hayuko zanzibar, hajatuletea udini, hayupo arusha, hayupo kwenye radar, hayupo kwenye EPA, Joyce si ajabu wala hajui kwamba tuna migomo ya madaktari iliyoua, wizi wa ajabu kwenye mawizara nk.

      Tafadhali epuka kuanza kuhangaika na wachawi wakati uchawi umebeba mkono wewe mwenyewe............ it is a sickness of our country, kuna tamko la kutaka wakristu wote waondoke baraza la mitihani, nini maana yake kwa mfano?? je watasema na wasahihishaji wa mitihani wabadilike?? na wakibadilishwa, vipi hao wanaokuja watakua wapagani au waislamu?? wakiwa waislamu watasahihisha tofauti?? kama ndio... je tuwe na shule za kidini tu tuache community??

      our president yote hayo kakaa kimya anazunguka na track suti kupiga jaramba na picha............ nk

      MAADUI ZETU NI MIMI NA WEWE, TUNAOANGALIA SHIDA ZETU NA SASA TUNATAKA KUANGALIA YA JIRANI WAKATI KWETU KUNATEKETEA..........

      FUNGUKA NA UACHE YA JIRANI

      Imenenwa, toa kwanza boriti kwenye jicho lako kabla ya kuhangaika na kibanzi kwenye jicho la mwenzako
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    7. Miaka 50

    8. #6
      emkey's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Posts : 181
      Rep Power : 450
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Janjaweed
      ni vizuri ujali yaliyo ndani ya nchi yako na dhahma zote kabla ya kuanza kuhangaika na majirani zako.... Joyce Banda hayuko zanzibar, hajatuletea udini, hayupo arusha, hayupo kwenye radar, hayupo kwenye EPA, Joyce si ajabu wala hajui kwamba tuna migomo ya madaktari iliyoua, wizi wa ajabu kwenye mawizara nk.

      Tafadhali epuka kuanza kuhangaika na wachawi wakati uchawi umebeba mkono wewe mwenyewe............ it is a sickness of our country, kuna tamko la kutaka wakristu wote waondoke baraza la mitihani, nini maana yake kwa mfano?? je watasema na wasahihishaji wa mitihani wabadilike?? na wakibadilishwa, vipi hao wanaokuja watakua wapagani au waislamu?? wakiwa waislamu watasahihisha tofauti?? kama ndio... je tuwe na shule za kidini tu tuache community??

      our president yote hayo kakaa kimya anazunguka na track suti kupiga jaramba na picha............ nk

      MAADUI ZETU NI MIMI NA WEWE, TUNAOANGALIA SHIDA ZETU NA SASA TUNATAKA KUANGALIA YA JIRANI WAKATI KWETU KUNATEKETEA..........

      FUNGUKA NA UACHE YA JIRANI
      Angalia mada inahusu nini, jenga hoja na utoe maelezo kwa mujibu wa hoja. udini hauna uhusiano na kilichoandikwa, kama hauelewi siyo lazima uchangie.

    9. #7
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 601
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Default

      Quote By kookolikoo
      unaongea kwa mafumbo humu hakuna wanajimu!
      Utadhani amemeza siafu au pilipili. Joyce Banda kafanya nini? Hawa ndio wapiga ramli.

    10. #8
      MachoMakavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2008
      Posts : 348
      Rep Power : 645
      Likes Received
      36
      Likes Given
      11

      Default

      Mbona hujawa uwazi!

    11. #9
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,145
      Rep Power : 713
      Likes Received
      298
      Likes Given
      123

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By BORGIAS
      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
      JK mimi nimekuelewa, unamaanisha atasababisha serikali yako kuanguka! mbona wananchi tumisha iangusha tunakusubili umalizie mda wako tu?
      BORGIAS likes this.
      tanzania kwanza!

    12. #10
      BORGIAS's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 101
      Rep Power : 371
      Likes Received
      46
      Likes Given
      50

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Great Thinkers@work

    13. #11
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,882
      Rep Power : 5054
      Likes Received
      3196
      Likes Given
      2619

      Default

      Quote By BORGIAS
      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
      Sawa great sinker

    14. #12
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,447
      Rep Power : 1108
      Likes Received
      457
      Likes Given
      923

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Kuwa wazi kama ni ndoa za njisia moja kwa yeye na nchi yake sio tatizo Lakini sio hapa Tanzania

    15. #13
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,207
      Rep Power : 5358
      Likes Received
      292
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By emkey
      Angalia mada inahusu nini, jenga hoja na utoe maelezo kwa mujibu wa hoja. udini hauna uhusiano na kilichoandikwa, kama hauelewi siyo lazima uchangie.
      kwani Mada inazungumzia nini au inalenga nini!! ''Is just full of Parables'' kila mtu yuko huru kutafsiri awezavyo.
      Last edited by PrN-kazi; 6th June 2012 at 08:10.

    16. #14
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1396
      Likes Received
      765
      Likes Given
      1463

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      ​hii habari kimini
      Waberoya likes this.
      when love goes wrong,nothing goes right.

    17. #15
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,592
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      1376
      Likes Given
      1525

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By Kunta Kinte
      Imenenwa, toa kwanza boriti kwenye jicho lako kabla ya kuhangaika na kibanzi kwenye jicho la mwenzako
      you missed the point, udini ni mfano tu wa adui wa ndani kabla hatujakwenda kwa Joyce.... we have too many problems to start looking for Joyce's issues
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    18. #16
      idawa's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,516
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1205
      Likes Given
      454

      Default

      Quote By Janjaweed
      ni vizuri ujali yaliyo ndani ya nchi yako na dhahma zote kabla ya kuanza kuhangaika na majirani zako.... Joyce Banda hayuko zanzibar, hajatuletea udini, hayupo arusha, hayupo kwenye radar, hayupo kwenye EPA, Joyce si ajabu wala hajui kwamba tuna migomo ya madaktari iliyoua, wizi wa ajabu kwenye mawizara nk.

      Tafadhali epuka kuanza kuhangaika na wachawi wakati uchawi umebeba mkono wewe mwenyewe............ it is a sickness of our country, kuna tamko la kutaka wakristu wote waondoke baraza la mitihani, nini maana yake kwa mfano?? je watasema na wasahihishaji wa mitihani wabadilike?? na wakibadilishwa, vipi hao wanaokuja watakua wapagani au waislamu?? wakiwa waislamu watasahihisha tofauti?? kama ndio... je tuwe na shule za kidini tu tuache community??

      our president yote hayo kakaa kimya anazunguka na track suti kupiga jaramba na picha............ nk

      MAADUI ZETU NI MIMI NA WEWE, TUNAOANGALIA SHIDA ZETU NA SASA TUNATAKA KUANGALIA YA JIRANI WAKATI KWETU KUNATEKETEA..........

      FUNGUKA NA UACHE YA JIRANI
      Kama anaakili amekuelewa mkuu.!
      Janjaweed likes this.

    19. #17
      LINCOLINMTZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Location : Opposite The JF Web Page
      Posts : 1,355
      Rep Power : 694
      Likes Received
      348
      Likes Given
      216

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By Janjaweed
      you missed the point, udini ni mfano tu wa adui wa ndani kabla hatujakwenda kwa Joyce.... we have too many problems to start looking for Joyce's issues
      Tusikimbie sana hoja ya mada. Ni busara kukabiliana na maadui zako wote hasa kwa kutoa kipau mbele kulingana na masilahi ya taifa. Mtoa mada hajafunguka, na nafikiri hii ndo inapelekea kuoneka kama udaku hivi ambao unachochea hasira kwa wachangiaji kuona kwamba hakuna kitu. Mtoa mada asema uhatari wa huyu kwa taifa letu na tusipuuze. Great Thinker ni pamoja na kupokea taarifa na kufanyia utafiti kabla ya kuhukumu/kucomment. SaZaidi ya hapo ni kukurupuka tu. Huyu mtu anaoneka type ya akina Mabutu.
      BORGIAS likes this.
      Love everybody, trust no body. If you can not convince them, confuse them. If you can not teach them, cheat them.

    20. #18
      Bishop Hiluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,492
      Rep Power : 5983
      Likes Received
      492
      Likes Given
      154

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By BORGIAS
      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc
      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu
      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
      Duh, hata kama ni uGreat thinker, hii habari haina mashiko...
      It's better to be hated for who you are,
      than to be loved for someone you are not...

    21. #19
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 459
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By BORGIAS
      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
      Unadhani atabadilisha mpaka wa Tanzania na Malawi katika Ziwa Nyasa (wao wanaita lake Malawi)? hilo ni suala gumu sana atamaliza muda wake na kuliacha lilivyo kwa hiyo kama unaongelea hilo hakuna uhatari wowote hapo.

    22. #20
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,592
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      1376
      Likes Given
      1525

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By LINCOLINMTZA
      Tusikimbie sana hoja ya mada. Ni busara kukabiliana na maadui zako wote hasa kwa kutoa kipau mbele kulingana na masilahi ya taifa. Mtoa mada hajafunguka, na nafikiri hii ndo inapelekea kuoneka kama udaku hivi ambao unachochea hasira kwa wachangiaji kuona kwamba hakuna kitu. Mtoa mada asema uhatari wa huyu kwa taifa letu na tusipuuze. Great Thinker ni pamoja na kupokea taarifa na kufanyia utafiti kabla ya kuhukumu/kucomment. SaZaidi ya hapo ni kukurupuka tu. Huyu mtu anaoneka type ya akina Mabutu.
      hakuna aliyekimbia hoja ndio maana ikajibiwa..... hata kwenye vita gani, prioritization ni kitu muhimu sana

      huwezi kuanza kukurpuka na kupanga vitu kila ukiamka na kucheki adui mwingine kila ukigeuka

      mleta mada anaonekana hajui nchi iko kwenye hali gani, priorities ni zipi etc.
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...