sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc
nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu
I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc
nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu
I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
Not a good time kuwa Mnyasa halafu unafanya kazi serikalini Tanzania
Janjaweed, tudokeze na liweke wazi hilo tamko la kutaka wakristu wote waondolewe baraza la mitihani? na ni kalitoa na kwa nini wakristu wote? kwani wamefanya kosa gani huko? tujuze zaidi.
hapa naona hoja yake inajadiliwa kwa itikadi ya magamba na magwanda.....jambo analoliongelea muhusika ni la msingi sana.......ni mke na mume wajinga ambao wataendelea kulumbana kwa masuala ya kukosekana uaminifu katika ndoa yao wakati wanamuona jambazi akivunja mlango na wakamuacha aendelee.....
Naona sasa wale niliowasema kuwa nje wanaonekana wa Tanzania lakini ndani ni Wa Malawi washaanza kuandika na kupiga kampeni kuwa tuache jazba
Nchi hii iko pabaya kweli
sasa loyalty za hawa watu ziko wapi?
na wa Marekani washawauzia drones
Hii ndiyo statement yake ya mwisho juu ya Mgogoro wa Lake Malawi/Nyasa:
Malawi has pulled out of discussions on its border conflict with Tanzania, President Joyce Banda announced yesterday. ... countries bang in the middle of Lake Malawi, which is officially known as Lake Nyasa on the Tanzania side. ...
President Banda said she had decided to call off the dialogue because her Tanzanian counterpart, Jakaya Kikwete, was bluffing her.
Haya sasa...Back to drawing board
Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.
JK ndo kilaza hakuna mjadala hapo ni kufanya aliyosema Membe na Lowasa "tutalinda mipaka yetu kwa ghalama yeyote!"
TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA
JWTZ wapo wapi hapa ndo muda mzuri kwa hawa watu wawajibike maana wanatuotea mavitambi na kuturukisha kichura chura mitaani ambayo yote hayo ukosefu batle tangu watoke depo.
Hii thread nayo iliwaumiza sana kichwa GREAT THINKERS wa JF
safi sana mkuu
lakini mwishowe watu walipata picha kamili
sasa mnalo?
Follow Us Here