Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 94
    1. #1
      BORGIAS's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 375
      Likes Received
      46
      Likes Given
      50

      Default Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.


    2. #61
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,614
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16716
      Likes Given
      8547

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Kama kuna maafisa wa Inteligensia nchini wangekuwa wanakomba kilichopo hapa!
      Waridi, Mtumpole and Lokissa like this.
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    3. #62
      Ben Saanane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2007
      Posts : 6,937
      Rep Power : 45015
      Likes Received
      5269
      Likes Given
      6528

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Huyu kibaraka mkubwa wa mabeberu sijui ni kwa nini Jeshi lisiwe deployed kwenye border immediately.Hiyo pia ni mbinu ya kidiplomasia.Hii ni dalili kwamba mabebeu wa magharibi wameanza kuichoka Tanzania hasa baada ya meli za Iran kusajiliwa kupitia jina la Zanzibar

      Pia ni fedheha iliyoje kwa Africa kuendelea kukumbatia mipaka ya kikoloni ilihali wao wanatoka huko.Pia inaonekana itakuwa nguimu sana Afrika kuungana unapokutana na vibaraka kama Joyce Banda.Sijui vijana wa Malawi wanajisikiaje kuongozwa na this puppet? ingawa hata sisi tuna wakoloni weusi lakini tunaendelea kupambana kuwaondoa .Nilionya hapa JF siku moja waliokuwa wakimshangilia huyu mama.Tunapenda mno vitu vipya
      BONGE BONGE likes this.
      Wametuonyesha Jeuri ya ukaburu,tuwaonyeshe jeuri ya Umkhontho we sizwe kupitia Red Brigade.Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza-Ben Saanane

    4. #63
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 6,017
      Rep Power : 1656
      Likes Received
      1138
      Likes Given
      419

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Kama kuna maafisa wa Inteligensia nchini wangekuwa wanakomba kilichopo hapa!
      wako baa. furahi day
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    5. #64
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,955
      Rep Power : 2310
      Likes Received
      1161
      Likes Given
      1517

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Mwacheni huyo Mama Banda aendelee na majeshi yake KUFANYA UTALII WA KIVITA ndani ya ardhi yetu mwisho wa siku atalaani kilichomtuma kwa uchokozi wote huu wa wazi.

      Kwataarifa tu, baadhi ya
      wataalam wake wa muhimu sana huyu mama kwa maswala nyeti na madini na gesi chini ya ardhi tayari wapo nchini mwetu kwa zaidi ya mwaka sasa pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Habari ndio hiyo.

      Pamoja na yote, ni muhimu tena sana Ndugu zetu Wa-Malawi wakachagua kuwa upande mzuri wa historia kwa KUCHAGUA AMANI NA AMANI TU laa sivyo ...

    6. #65
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,115
      Rep Power : 5816
      Likes Received
      1031
      Likes Given
      2883

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      mtoa mada was and is a trully great thinker
      kumbe hatupaswi kumshambulia mtu bila kufikiria au kusubiri kuambiwa kwanini aliandika maono kama haya.
      mliomshambulia wote nawashauri kuomba tu msamaha wa kawaida kama binadamu.
      Ndumbayeye likes this.
      You may know me but you have no Idea who I am !


    7. #66
      Simiyu one's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Mi nimemwelewa nadhani anamaanisha kuwa Joyce Banda alivyofanikiwa kututia hofu mpaka sasa hivi wanaume wazima tunavyoelekea kugwaya kiasi hata cha kushindwa kutoa msimamo wetu juu ya mgogoro wa mpaka wa ziwa nyasa, aibu gani hii mwanaume mzima unapigwa mkwara na kamwanamke unabaki kuchekacheka tu! hata udhifu una kiwango, jamani inauma!

    8. #67
      George Kahangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2007
      Location : Dar es Salaam, Tanzania
      Posts : 516
      Rep Power : 699
      Likes Received
      108
      Likes Given
      41

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Wakuu,
      Pamoja na mjadala huu kuwa na hoja zilizo nzuri kwa maslahi ya taifa letu, upo uwezekano mkubwa kwamba, maadam mchokozi na watu wake nao wanajua Kiswahili, pengine wako hapa (JF) nasi wakifuatilia kila kinachoandikwa kwa sababu zao za kiintelijensia.
      Hivyo tunapoendelea kujadili, si vibaya kutahadhari tusijikute tumemweleza adui kila udhaifu tulionao. Badala yake, tunaweze kujikita katika kuanika kile anachoendelea kufanya katika eneo letu na kile anachokusudia kufanya baadaye.
      Wazee wa kule kanda ya ziwa Nyanza wana msemo; Zamani chui alikuwa hajui kukamata shingo la mawindo yake, alijifunza baada ya kusikia mawindo ya kinong’ona kwamba; ‘tunachomoka maana anakamata mikia, siku akikamata shingoni, tumekwisha’
      MTAZAMO likes this.

    9. #68
      Blood Hurricane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2012
      Posts : 250
      Rep Power : 402
      Likes Received
      80
      Likes Given
      2

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By BORGIAS View Post
      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
      Jitayarishe kwa maandamano na sio kuwaza mambo ya majirani.

    10. #69
      Janjaweed's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,700
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1416
      Likes Given
      1585

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By BORGIAS View Post
      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
      WATANZANIA TUSHUKURU MUNGU... tumepata wa kutuunganisha

    11. #70
      manyani's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 85
      Rep Power : 390
      Likes Received
      18
      Likes Given
      64

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By BORGIAS View Post
      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
      Nenda mbali naye ili asiwe jirani yako.

    12. #71
      Daniel Anderson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2011
      Location : LUPA CHUNYA
      Posts : 827
      Rep Power : 563
      Likes Received
      130
      Likes Given
      348

      Default

      Quote By manyani View Post
      Nenda mbali naye ili asiwe jirani yako.
      na wewe ni GT? Tumeingiliwa na vidudumizi

    13. #72
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,951
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      531
      Likes Given
      0

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Make love not war JK, JB

    14. #73
      Same ORG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2012
      Location : Dubai
      Posts : 323
      Rep Power : 418
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default

      [QUOTE=Nyati;4026100]Hata mimi naona hapa amechanganya habari kabisa hakuna kitu kama hicho. Kwa Malawi kuna haja ya kuwa makini nao. Nilikuwa huko April karibu wote wanasema ziwa Nyasa / malawi maji yote yao wao sisi tunatumia isivyo halali. Wanasema ziwa letu ni Tanganyika lote letu. Hivyo kuna shida hapa sijui Serikali yetu inasemaje hapa kwani uongo ukizungumzwa mara nyingi huwa kweli, hata ukiangalia kwenye ramani za kimataifa mpaka unaonyesha maji yote ya Banda na wenziwe. Tungeanzia kwa hawa wasoma ramani kuwachimba
      mkwara. ANGALIA HII HAPA CHINI

      Note: Maji wanayopakana na Msumbiji hawana shida nayo wanakubalki hilo
      [/zmQUOTE]

      kwa kweli ziwa hili lote ni la malawi
      WA-UKENYENGE likes this.

    15. #74
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,287
      Rep Power : 924
      Likes Received
      289
      Likes Given
      64

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Kajifunza nini toka kenya alikukuwa anaishi?

    16. #75
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,287
      Rep Power : 924
      Likes Received
      289
      Likes Given
      64

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Hiyo ramani imetayarishwa malawi nini? duniani kote hakuna mipaka ya hivyo... ndio maana hata Hayati Nyerere alisema banda anawazimu kabisa, fikilia kama maji yote ni ya malawai, ikatokea kafuriki yanayosababishwa na ziwa, nani atalipa fidia wanyasa ya songea?

      [QUOTE=Same ORG;4371572]
      Quote By Nyati View Post
      Hata mimi naona hapa amechanganya habari kabisa hakuna kitu kama hicho. Kwa Malawi kuna haja ya kuwa makini nao. Nilikuwa huko April karibu wote wanasema ziwa Nyasa / malawi maji yote yao wao sisi tunatumia isivyo halali. Wanasema ziwa letu ni Tanganyika lote letu. Hivyo kuna shida hapa sijui Serikali yetu inasemaje hapa kwani uongo ukizungumzwa mara nyingi huwa kweli, hata ukiangalia kwenye ramani za kimataifa mpaka unaonyesha maji yote ya Banda na wenziwe. Tungeanzia kwa hawa wasoma ramani kuwachimba
      mkwara. ANGALIA HII HAPA CHINI

      Note: Maji wanayopakana na Msumbiji hawana shida nayo wanakubalki hilo
      [/zmQUOTE]

      kwa kweli ziwa hili lote ni la malawi

    17. #76
      BONGE BONGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2011
      Location : Chumbe
      Posts : 587
      Rep Power : 504
      Likes Received
      111
      Likes Given
      122

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By Bondpost View Post
      Utadhani amemeza siafu au pilipili. Joyce Banda kafanya nini? Hawa ndio wapiga ramli.
      ...........mleta nyuzi hii nampongeza sana, maana kama ni ramli kapatia hasa, sasa hebu cheki mama anataka kuchukua ziwa nyasa, na kututishia kwa boti 4, na rada toka Israel, ...... ama kweli wewe kiona mbali
      "I did not care if the name was Lake Nyasa, Malawi, Banda or Kamuzu, but borders were not negotiable." Tanzania’s president Julius Nyerere.

    18. #77
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 934
      Rep Power : 576
      Likes Received
      258
      Likes Given
      245

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Quote By BORGIAS View Post
      sizungumzii hayo mambo yake ya kupiga vita ufisadi etc

      nazungumzia kwa mtazamo mwingine kabisaa ambao nyinyi ma great thinkers mnajua ni upi na hasa kuwa na jirani kama huyu

      I'm very uncomfortable kuwa na jirani kama huyu.
      anatafuta jinsi ya kuungwa mkono uchaguzi mwaka kesho nafikiri....hana njia nyingine zaidi ya kuiboa choko choko za miaka iliyopita ambazo hazihisaidii Malawi zaidi ya kua na undertone za kisiasa ili apate support kisiasa.

    19. #78
      Don Draper's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 138
      Rep Power : 383
      Likes Received
      62
      Likes Given
      25

      Default Re: Joyce Banda wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      na speech ya Membe imeandikwa na hao ma agents wa Malawi ambao mnasema wamejipenyeza kwenye serikali ya Tz

      mimi naamini hilo

    20. #79
      Ralphryder's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,978
      Rep Power : 853
      Likes Received
      304
      Likes Given
      59

      Default

      Quote By Ben Saanane View Post
      Huyu kibaraka mkubwa wa
      mabeberu sijui ni kwa nini Jeshi lisiwe deployed kwenye border
      immediately.Hiyo pia ni mbinu ya kidiplomasia.Hii ni dalili kwamba
      mabebeu wa magharibi wameanza kuichoka Tanzania hasa baada ya meli za
      Iran kusajiliwa kupitia jina la Zanzibar

      Pia ni fedheha iliyoje kwa Africa kuendelea kukumbatia mipaka ya
      kikoloni ilihali wao wanatoka huko.Pia inaonekana itakuwa nguimu sana
      Afrika kuungana unapokutana na vibaraka kama Joyce Banda.Sijui vijana wa
      Malawi wanajisikiaje kuongozwa na this puppet? ingawa hata sisi tuna
      wakoloni weusi lakini tunaendelea kupambana kuwaondoa .Nilionya hapa JF
      siku moja waliokuwa wakimshangilia huyu mama.Tunapenda mno vitu
      vipya
      Si ni mlokole jamani huyo mama?!?!

    21. #80
      maingu z's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 136
      Rep Power : 391
      Likes Received
      20
      Likes Given
      101

      Default Re: JOYCE BANDA wa Malawi ni hatari kwa Tanzania

      Nawaambieni watanzania kabla huyu jk hajamaliza muda wake atakuwa ametukoroga sana katika udini, majimbo, ukabila, makundi ya wasionacho na wenyenacho.......nyie mchekeeni tu ....anaangamiza taifa tunamwangalia tu!

    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...