Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Nape kwani wewe unaelewa maandamano ni nini? na ile sera yenu ya kuwachukuwa wananchi wenye uelewa mdogo kwenye malori kutoka vijiji mbalimbali ili waje kwenye mikutano yenu mmeiaka.
Nape, jaribuni kufanya mikutani mingi hapo Njombe kwa wakati mmoja kama wanavyofanya CDM kule kwenu kusini muone kama mtapata hata watu 20 kwenye mikutano yenu.
OK. Ntaanza mtapoacha kuandika humu madudu.
Eti maandamano, uliona maandamano ya magari na mapikipiki? itakuwa ya karne hii.
Roho zimewauma kuona mapikipiki yamejipanga na msururu wa magari katika barabara swaaaafi la lami. Kwa husda tu mkashindwa hata kuandika "Mapokezi ya Nape Njombe"
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Vuvuzela Nnauye Jr ,unasemaje? usiwe unaongea pumba then tukuangalie tu kumbuka wengine hatujikombi kwenu ili mtusaodie cha msingi nchi imewashinda,kwa maana hiyo hamna sifa za kuwa viongozi bali wizi tu.
Naomba uniambie serikali imeyumba kwa sababu gani? Haya ni matokeo ya serkali ya cama chenu kushindwa kuongoza na badala yake kufuga wezi tu,toka 2005 mawaziri wanaiba tu na hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua na kufilisiwa,alafu unakenua kenua meno hapa.
mimi hapa ni jina langu halisi na ni picha yangu halisi,mi sikuogopi wewe wala mtu yoyote isipokua kuwaheshimu tu.
......mateso yakizidi ujue saa ya wokovu imekaribia.......
Msemeni Nnauye Jr ila haki yake mpeni huu mkutano watu walikuja wenyewe ..hakuna waliobebwa na magari ndio maana ..sasa mnapata picha yakija malori manne yaliyojaza watu?
JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.
Kijana huu siwakati wa matusi Tekeleza Ahadi za Sera Zenu acha porojo Waswahili husema Njia ya Muongo ni Fupi.CCM
mshadanganya sana kwa sera zenu zisizotekerezeka so Tumechoka.kama unaweza punguza bei ya Mafuta punguza bei ya Vyakula acha kupoteza muda mikoani wakati wananchi maisha magumu Hosptal hazina madawa wototo wanasoma chini ya miti wengine wanakaa chini hamna madawati wakati magogo yanasafirishwa kwenda nje ya nchi.Wabunge wako wanakamatwa na Rushwa.jaribu kuona aibu.acha rongolongo.
Hahahahahahahahahahahaha,nape nape!mkutano umejaa watoto kibao misifa kibao,hebu tuambie mmetumia gharama kiasi gani maana najua badgeti zeni hazina mashiko.jitahid kalini siku mbili tatu utauza sura maana ya kesho ni magumu ila wanchama wa wlichama lako wanapesa duh,mnaandamana kwenye magari hamtaki kukanyaga mavumbi mtachafuka men!!!.vuvuvuzeraaaaaaaaaaa.
Kwi kwi kwi kwi!! Nape kakimbia huku.. Ngoja nimfate FB na Tweeter.. Nadhani ameshauriwa “mjomba kweli umeteleza, usiendelee kukomenti” halafu Candid Scope ndio Nape nini.. Mbona kaweka picha bila kuendelea kukoment.. Nway sio ishu ni swali tu..
Wapi Waberoya, Ritz, Judi wa Kishua, Tume ya katiba, Faiza Foxy (mdini), na wote mnaolipwa na Nape kuwa mnamtetea yeye na NyiNyiem yenu... Ha ha ha, mmeona kaweka utumbo leo, mmemkimbia.
Mbumbumbu intelligent
Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.
The way you sound ni kama wale kina mama wanaoimba mipasho.
Wakati wewe unapita kugawa pesa kwa wapiga kura kwa nia ya kukwamisha mageuzi, chadema wanapita kukusanya pesa za michango ya kusaidia mageuzi, hebu ona iyo tofauti kati ya kichwa maji na werevu.
Hebu re-think namna ya kukabiliana na werevu bwana nape.[/QUOTE][/QUOTE]
Hebu pata picha mlalahoi anatoa visenti vyake kwa ajili tu ya kuhakikisha ccm mnang'olewa madarakani, huoni ni jinsi gani walivyochoka udhalimu, ufisadi na wizi mnaofanya bwana nnauye jr??
na hizo picha hao waendesha pikipiki wamekodiwa siyo wanachama wa ccm na hao walioko kwenye mkutano ni wanachadema wamesema ngoja wakasikilize atakacho kiongea nape ha ha ha ha raha sana
mura
Nape unadiriki kusema Dr feki wakati inajulikana wazi kwamba ulikuwa unanunua coursework pale mzumbe kwenye kadegree ka pili! Kama Dr. Slaa unamwita Dr Feki Je Kikwete tumwiteje?
Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.
The way you sound ni kama wale kina mama wanaoimba mipasho.
Wakati wewe unapita kugawa pesa kwa wapiga kura kwa nia ya kukwamisha mageuzi, chadema wanapita kukusanya pesa za michango ya kusaidia mageuzi, hebu ona iyo tofauti kati ya kichwa maji na werevu.
Hebu re-think namna ya kukabiliana na werevu bwana nape.[/QUOTE]
Follow Us Here