Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

    Report Post
    Page 8 of 15 FirstFirst ... 678910 ... LastLast
    Results 141 to 160 of 287
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2865

      Default Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe





      Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.

    2. Miaka 50

    3. #141
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By alberaps
      Wananchi Watakula Lami?
      "Hafi mtu na njaa" - Kikwete.

      Na kweli, kwa mara ya kwanza katika Tanzania kwa uongozi wa Kikwete tuna maghala ya kuhifadhi chakula cha miezi sita.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    4. #142
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
      Mbona hujamjibu Mzee Makamba? Kwa ziara hii ni kweli Unaifanya CCM mali yako, iweje ufanye ziara peke yako ama ndio issue ya posho...

    5. #143
      Jibaba Bonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2008
      Posts : 1,003
      Rep Power : 764
      Likes Received
      145
      Likes Given
      61

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
      Nape kwani wewe unaelewa maandamano ni nini? na ile sera yenu ya kuwachukuwa wananchi wenye uelewa mdogo kwenye malori kutoka vijiji mbalimbali ili waje kwenye mikutano yenu mmeiaka.

      Nape, jaribuni kufanya mikutani mingi hapo Njombe kwa wakati mmoja kama wanavyofanya CDM kule kwenu kusini muone kama mtapata hata watu 20 kwenye mikutano yenu.

    6. #144
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Precise pangolin
      Mkuu zombi vipi huendelei na ile thread yako ya zito na CDM imekushinda jibishie mwenyewe
      OK. Ntaanza mtapoacha kuandika humu madudu.

      Eti maandamano, uliona maandamano ya magari na mapikipiki? itakuwa ya karne hii.

      Roho zimewauma kuona mapikipiki yamejipanga na msururu wa magari katika barabara swaaaafi la lami. Kwa husda tu mkashindwa hata kuandika "Mapokezi ya Nape Njombe"
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    7. #145
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Vuvuzela Nnauye Jr ,unasemaje? usiwe unaongea pumba then tukuangalie tu kumbuka wengine hatujikombi kwenu ili mtusaodie cha msingi nchi imewashinda,kwa maana hiyo hamna sifa za kuwa viongozi bali wizi tu.

      Naomba uniambie serikali imeyumba kwa sababu gani? Haya ni matokeo ya serkali ya cama chenu kushindwa kuongoza na badala yake kufuga wezi tu,toka 2005 mawaziri wanaiba tu na hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua na kufilisiwa,alafu unakenua kenua meno hapa.

      mimi hapa ni jina langu halisi na ni picha yangu halisi,mi sikuogopi wewe wala mtu yoyote isipokua kuwaheshimu tu.
      Saint Ivuga likes this.
      ......mateso yakizidi ujue saa ya wokovu imekaribia.......

    8. FemaTV & Radio

    9. #146
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,670
      Rep Power : 10166
      Likes Received
      5653
      Likes Given
      12666

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Msemeni Nnauye Jr ila haki yake mpeni huu mkutano watu walikuja wenyewe ..hakuna waliobebwa na magari ndio maana ..sasa mnapata picha yakija malori manne yaliyojaza watu?
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    10. #147
      mwanawaadam's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Kijana huu siwakati wa matusi Tekeleza Ahadi za Sera Zenu acha porojo Waswahili husema Njia ya Muongo ni Fupi.CCM
      mshadanganya sana kwa sera zenu zisizotekerezeka so Tumechoka.kama unaweza punguza bei ya Mafuta punguza bei ya Vyakula acha kupoteza muda mikoani wakati wananchi maisha magumu Hosptal hazina madawa wototo wanasoma chini ya miti wengine wanakaa chini hamna madawati wakati magogo yanasafirishwa kwenda nje ya nchi.Wabunge wako wanakamatwa na Rushwa.jaribu kuona aibu.acha rongolongo.

    11. #148
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
      Hahahahahahahahahahahaha,nape nape!mkutano umejaa watoto kibao misifa kibao,hebu tuambie mmetumia gharama kiasi gani maana najua badgeti zeni hazina mashiko.jitahid kalini siku mbili tatu utauza sura maana ya kesho ni magumu ila wanchama wa wlichama lako wanapesa duh,mnaandamana kwenye magari hamtaki kukanyaga mavumbi mtachafuka men!!!.vuvuvuzeraaaaaaaaaaa.

    12. #149
      Natasha Ismail's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2008
      Posts : 304
      Rep Power : 614
      Likes Received
      23
      Likes Given
      6

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Kaka Nape hivi huwa unajichubua/kujikrimu?

    13. #150
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      jina la nini tena,aku mie sitaki utafusadi kila kitu wewe,lol.ila najua nafasi hii uliitaka siku nyingi sana,hata enzi za uhai wa chamaila ndo ivyotena maskini,wamebaliza mifupa wakaukabidhi,jitaidi ivivo tu,poleeeeeeee.

    14. #151
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 517
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      ​binafsi siamini kama ni nape mwenyewe ndie anaejibu hii thread ila naamini ni mtu ndio anamjibia maana sizani kama anaweza kuandika ujinga kama huu..nape jaribu kumwambia anaekuandikia humu atumie akili kidogo anakuaibisha aisee
      Quote By Nnauye Jr
      Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
      Asterisk likes this.

    15. #152
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,046
      Rep Power : 917
      Likes Received
      572
      Likes Given
      159

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Nepi una roho ngumu..! VIPI KUHUSU JENGO LA UMOJA WA VIJANA??? baada ya kupewa hako ka cheo umenywea! hovyooo!!
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    16. #153
      mbumbumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2010
      Location : Nyasamba, Shinyanga vijijini
      Posts : 471
      Rep Power : 523
      Likes Received
      75
      Likes Given
      13

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Kwi kwi kwi kwi!! Nape kakimbia huku.. Ngoja nimfate FB na Tweeter.. Nadhani ameshauriwa “mjomba kweli umeteleza, usiendelee kukomenti” halafu Candid Scope ndio Nape nini.. Mbona kaweka picha bila kuendelea kukoment.. Nway sio ishu ni swali tu..

      Wapi Waberoya, Ritz, Judi wa Kishua, Tume ya katiba, Faiza Foxy (mdini), na wote mnaolipwa na Nape kuwa mnamtetea yeye na NyiNyiem yenu... Ha ha ha, mmeona kaweka utumbo leo, mmemkimbia.

      Mbumbumbu intelligent

    17. #154
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Aaah afadhali we umesema ukweli! M4C ni kwa ajili ya kukusanya chenji ya walalahoi. Inasikitisha kuwa hamuwaonei huruma watu wanahangaika kujitafutia kipato nyie mwaja kukusanya vijisenti vyao! Wizi mkubwa.


      UOTE=Daudi mchambuzi;4001293]
      Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.
      The way you sound ni kama wale kina mama wanaoimba mipasho.
      Wakati wewe unapita kugawa pesa kwa wapiga kura kwa nia ya kukwamisha mageuzi, chadema wanapita kukusanya pesa za michango ya kusaidia mageuzi, hebu ona iyo tofauti kati ya kichwa maji na werevu.
      Hebu re-think namna ya kukabiliana na werevu bwana nape.[/QUOTE][/QUOTE]


      Hebu pata picha mlalahoi anatoa visenti vyake kwa ajili tu ya kuhakikisha ccm mnang'olewa madarakani, huoni ni jinsi gani walivyochoka udhalimu, ufisadi na wizi mnaofanya bwana nnauye jr??

    18. #155
      alberaps's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 241
      Rep Power : 481
      Likes Received
      54
      Likes Given
      77

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By zomba
      "Hafi mtu na njaa" - Kikwete.

      Na kweli, kwa mara ya kwanza katika Tanzania kwa uongozi wa Kikwete tuna maghala ya kuhifadhi chakula cha miezi sita.
      "Maisha Bora Kwa kila Mtanzania" Kikwete

      Bado Unamuamini?

      Yaan 50 years of Independence bado tunajaribu kujitosheleza sisi wenyewe kwa chakula Na vipawa tiler vyetu vya kichina!

    19. #156
      omben's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 341
      Rep Power : 419
      Likes Received
      92
      Likes Given
      336

      Default

      Quote By Suzan Minja
      NAWASHANGAA SANA WANA JF WANAOONGEA NA KUJJIBISHANA NA NAPE;KWA SABABU ZIFUATAZO


      -NAPE HANA HADHI YA JF,KAMA JF WANGEAMUA KUWEKA VIWANGO VYA KUJIUNGA HAPA NAAMINI NAPE ASINGESAJILIWA KWA SABABU HANA VIWANGO,NITAFAFANUA

      .MTU MWONGO,MFITINI,MNAFKI,KATIKA UMRI WA KIJANA KAMA HUYU LAZIMA AKIFIKIA UMRI WA KIKWETE ATAKUWA TAAHIRA

      .MTU ASIYEWAPENDA WATANZANIA,ASIYEWATAKIA MEMA NA ANAYETUMIA MWANYA WA VUVUZELA ALILOPEWA KUWADANGANYA HASTAHILI KUWA MMOJA WETU SIO TUU HAPA JF HATA KATIKA ARTHI YETU HASTAHILI


      .MTU MWENYE NJAA KALI TAMAA YA MADARAKA NA TABIA ZA KULAMBA MIGUU ILI APEWE NAFASI(Boot Leaker)HATUSTAHILI.


      .UWEZO WAKE WA KUFIKIRI NI MDOGO SANA MAANA KAMA MTU HUWEZI ONA UPEPO UNAKOELEKEA MPAKA SASA NAAMINI HUNA MAARIFA MTAMBUKA

      .MWANAUME ANAYEVAA KIKUKU MKONONI NA SHINGONI LAZIMA ANAVAA KIUNONI PIA NA MTU HUYU ATAKUWA NA TABIA ZA KIKAMERUN

      NAPE NI BOOTLEAKER,CHIZI,VUVUZELA ,MNAFKI,NA SIFA NYINGINE KEM KEM ZISIZO ZA KIUME.MNAMPA CHAATI MNAPOMJIBU MWACHENI ABWABWAJE MWISHO WA SIKU ATALILIA KUHAMIA CDM KWA MACHOZI NA JASHO
      Hii kali. Nimeipenda
      suleym likes this.

    20. #157
      chomete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 1,056
      Rep Power : 637
      Likes Received
      107
      Likes Given
      0

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      na hizo picha hao waendesha pikipiki wamekodiwa siyo wanachama wa ccm na hao walioko kwenye mkutano ni wanachadema wamesema ngoja wakasikilize atakacho kiongea nape ha ha ha ha raha sana
      mura

    21. #158
      Makyomwango's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 233
      Rep Power : 457
      Likes Received
      42
      Likes Given
      14

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Nape unadiriki kusema Dr feki wakati inajulikana wazi kwamba ulikuwa unanunua coursework pale mzumbe kwenye kadegree ka pili! Kama Dr. Slaa unamwita Dr Feki Je Kikwete tumwiteje?

    22. #159
      jakibinda's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 36
      Rep Power : 608
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default daaa ccm kuna kazi nynyie kweli nape kimeo

      Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.
      The way you sound ni kama wale kina mama wanaoimba mipasho.
      Wakati wewe unapita kugawa pesa kwa wapiga kura kwa nia ya kukwamisha mageuzi, chadema wanapita kukusanya pesa za michango ya kusaidia mageuzi, hebu ona iyo tofauti kati ya kichwa maji na werevu.
      Hebu re-think namna ya kukabiliana na werevu bwana nape.[/QUOTE]

    23. #160
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 572
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Ili mtuchinje kama mlivyo fanya kule Arusha ee....
      Halafu mbona hujatoa tamko kuhusu yule kada wenu muuaji???
      Si mlisema ccm haihusiki nyie???

    Page 8 of 15 FirstFirst ... 678910 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...