Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

    Report Post
    Page 7 of 15 FirstFirst ... 56789 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 287
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2867

      Default Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe





      Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.

    2. Miaka 50

    3. #121
      namimih's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 65
      Rep Power : 386
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By agatony8l
      Duuu inasikitisha kwa kweli, hivi ni kwanini hawasomi alama za nyakati. We nape wewe poteza muda tu huko!!!!!!
      Sasa hawa watoto kuwatoa shule kwa ajili ya siasa hivi kweli ni ubinadamu au ilikuwa jumapili?, hawa wanajua kitu kinachoendelea kweli??!! Hivi hawa watoto wanajua maana halisi ya UFISADI ??!? , hivi hawa watoto wanaweza KUPIGA KURA 2015?!!?? hivi hawa watoto wanajua kuwa mashamba makubwa yanauzwa kwa bei ya kutupwa kwa wawekezaji na wananchi wanahamishwa kupelekwa kuanza upya ulimaji kwenye mapori?!?!?! hivi hawa wanajua kuwa juzi juzi tu nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupwa na leo hii baadhi ya viongozi wanaishi kwenye mahoteli !?!?!??, hivi wanajua kuwa kuna wanyama pori wanaouzwa nje waziwazi kupitia airport zetu?!!?, Hivi wanajua kuwa hali ya uchumi wa Tanzania inazidi kuwa duni kila kukicha chanzo kikiwa hicho chama wanachokipigia dole gumba??!?!?!, Ebwana Nape wewe mtu mzima, hao hawajui zaidi ya kuwa siku hiyo alikuja mtu sana sana aliwapa mabakuli ya uji na slice za mikate kama walipewa baada ya kupiga picha ya pamoja. Nape ongeza bidii, utafanikiwa tu. Ila angalia kuna Mungu ambaye anaweza kukupa dhambi kwa kuwatumia watoto kwenye mambo yasiyowahusu. CCM juu juu zaidi. Mimi siyo mfuasi wa chama chochote ila ni mwananchi mwenye uchungu na maendeleo ya nchi yangu na ni mpiga kura tangia nilipofikia umri wa kuanza kupiga kura.

    4. #122
      namimih's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 65
      Rep Power : 386
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Candid Scope




      Watoto ndio imekuwa target ya CCM kujazia nafasi kwenye mikutano yao. Hawa ni malaika wasiojua yanayoendelea, wakishakua watakuwa na fikra nyingine dhidi yao.

      Nakumbuka bado maneno aliyotoa mwandamizi Mzindakaya alipojing'atua kugombea ubunge jimboni kwake, kwamba anataka kupumzika. Aliishoshea CCM na kusema imepotea njia na hawa tunaowasomesha shule za Kata ndio watakao iondoa CCM madarakani. Maneno ya mzee huyu ni kama mwiba kwani yanayojilia sina haja ya kuyaanika hapa.

      Sasa hawa watoto kuwatoa shule kwa ajili ya siasa hivi kweli ni ubinadamu au ilikuwa jumapili?, hawa wanajua kitu kinachoendelea kweli??!! Hivi hawa watoto wanajua maana halisi ya UFISADI ??!? , hivi hawa watoto wanaweza KUPIGA KURA 2015?!!?? hivi hawa watoto wanajua kuwa mashamba makubwa yanauzwa kwa bei ya kutupwa kwa wawekezaji na wananchi wanahamishwa kupelekwa kuanza upya ulimaji kwenye mapori?!?!?! hivi hawa wanajua kuwa juzi juzi tu nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupwa na leo hii baadhi ya viongozi wanaishi kwenye mahoteli !?!?!??, hivi wanajua kuwa kuna wanyama pori wanaouzwa nje waziwazi kupitia airport zetu?!!?, Hivi wanajua kuwa hali ya uchumi wa Tanzania inazidi kuwa duni kila kukicha chanzo kikiwa hicho chama wanachokipigia dole gumba??!?!?!, Ebwana Nape wewe mtu mzima, hao hawajui zaidi ya kuwa siku hiyo alikuja mtu sana sana aliwapa mabakuli ya uji na slice za mikate kama walipewa baada ya kupiga picha ya pamoja. Nape ongeza bidii, utafanikiwa tu. Ila angalia kuna Mungu ambaye anaweza kukupa dhambi kwa kuwatumia watoto kwenye mambo yasiyowahusu. CCM juu juu zaidi. Mimi siyo mfuasi wa chama chochote ila ni mwananchi mwenye uchungu na maendeleo ya nchi yangu na ni mpiga kura tangia nilipofikia umri wa kuanza kupiga kura.

    5. #123
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,085
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Haya mimi Maige, tangu mmenitoa uwaziri ni kama mmenipa honey-moon kama ile ya Rais wa AR Godbless Lema. Na ninakuangamiza wewe na siasa zako za visasi. Mwanaume mzima unakalia propaganda za dokta feki na halali? Hayo waachie wale unao wapa bukubuku wewe toa hoja zenye mashiko.

    6. #124
      Josephine03's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 733
      Rep Power : 514
      Likes Received
      285
      Likes Given
      373

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!
      Poor Nape, you don't even know your position. Yaani wewe mkeo akisutwa na wamama wenzie na wewe unaingilia na kumsaidia kuzomea?????? Sidhani kama hapa JF kuna wakuweza kujidhalilisha kwa kukujibu haya. Nilitegemea haya ungejibu na zile ID zako za Ritz na Reboson!!!!!!

      Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums
      Ruhazwe JR likes this.

    7. #125
      Josephine03's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 733
      Rep Power : 514
      Likes Received
      285
      Likes Given
      373

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Yaani kwasababu wewe leo umeacha kutumia zile zako za ritz, Zomba, Ribson na nyingine unataka wengine wote tukufuate, kama umejiamini endelea kupokea makombora ya gizani bila kujali kama ni Benno Malisa, Maige, EL, Rostam au mkeo.

      Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums

    8. RukaaJuu Final

    9. #126
      Idimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2007
      Location : Ikwiriri
      Posts : 4,690
      Rep Power : 13628
      Likes Received
      858
      Likes Given
      325

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Candid Scope
      Huo ni mwono wa wachache. Badala ya kukazana kutekeleza ilani ya uchaguzi yeye anahangaika kuuza sera kama wapinzani wanaonadisha sera ili kupata ridhaa ya kukubaliwa na wananchi kushika dola. Kuna tofauti gani ya kinachofanyika kwa vyama vya upinzania na utendaji wa Nape kufuata nyuma kujaribu kufuta nyazo za wapinzani bila mafanikio?

      Hapo kwenye bold umegonga kunako ubovu.
      Inashangaza sana na yeye anapiga kampeni kama akina Lema badala ya kuwaambia wananchi chama chake kimetekeleza kazi gani tangu waingie madarakani mwaka 2010. Je ahadi walizowaahidi wana Njombe zimetekelezeka? Kwa kiasi gani?ikama bado, tatizo nini? Hayo ndio ambayo Nape anapaswa kuwaambia wananchi wa mkoa wa Njombe, mengine ni porojo tu!
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man!
      [email protected]

    10. #127
      FairPlayer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2006
      Location : UK
      Posts : 4,383
      Rep Power : 1551
      Likes Received
      456
      Likes Given
      205

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Candid Scope




      Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
      Bwana Candid Scope,

      Picha hizo na hasa yenye watu kwenye mkutano imepigwa kwa upande. Je nyuma ya hao watu unajuaje hamna watu wengine?.

      Tofauti ya picha ya Dr Slaa na ya Nape ni side au angle picha zilipochukuliwa. Huwezi kulinganisha picha mbili zilizochukuliwa in different angles ili kulete uhalisia.

      Ndugu Nape, mimi natumia jina la bandia humu; ila ningekuomba nitafute kwenye PM.
      A positive thinker!

    11. #128
      Bushloiaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 386
      Rep Power : 511
      Likes Received
      135
      Likes Given
      51

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Nape tunajua kama wewe ni katibu mwenezi wa ccm lakini hiyo position navyoona ulipewa ili watu wakujue ulivyo empty,ushauri wangu kama huna cha kusema ni bora ukae kimya kuliko kudhihirisha upumbavu wako.A lot is expected from you brother but if this is what you have to offer keep your mouth shut for your own sake.
      Ruhazwe JR likes this.
      I am who I am and content.

    12. #129
      kbhj's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 9
      Rep Power : 401
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
      Mbona umesahau kusema kuwa waendesha bodaboda wa njombe walilipwa pesa kabla na kujaziwa mafuta kwa ajili ya kujiunga na msafara wa mapokezi yako na kuwapa bendera bure.
      Ruhazwe JR likes this.

    13. #130
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 508
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!

      Du Kaka we mkare. Yaani nyumba inaungua we ndo kwanza unazima moto kwa kupuliza na mdomo ukiamini utazimika taratibu? Du!!
      Ruhazwe JR likes this.
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    14. #131
      lm317's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2009
      Posts : 391
      Rep Power : 564
      Likes Received
      24
      Likes Given
      32

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Honolulu
      Ama kweli Nape na ccm ni kama kupe:
      Ng'ombe anachinjwa kupe hana habari!!!
      Ng'ombe anachunwa kupe hana habari!!!!
      Ngozi inawambwa kupe hana habari!!!!
      Ngozi ikianza kukauka kupe ndo anastuka!!!!"

      Alaa! Huyu ngo’mbe kumbe keshachinjwa!!!
      Du! Nungekuwa mimi Nupe ningeachia ngazi!
      Mifano gani sasa hii?
      Ruhazwe JR likes this.

    15. #132
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,695
      Rep Power : 1915
      Likes Received
      1594
      Likes Given
      677

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By zomba
      CCM walikuwa wanaandamana kuhusu nini? mie naona ni msafara tu huo.

      Halafu hoo hakuna maendeleo, lami utafikiri tuko Switzerland.
      Mkuu zombi vipi huendelei na ile thread yako ya zito na CDM imekushinda jibishie mwenyewe

    16. #133
      Bukutonaga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 206
      Rep Power : 464
      Likes Received
      41
      Likes Given
      1

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Candid Scope




      Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
      Hii aibu sana yaani wale watu na magari yao tokea Iringa na bodaboda waliufikisha msafara wakala chao wazee wakasepa maana wangekaa wakaongeza idadi yaani kama mkutano wa tawi tu na mwenyekiti wa tawi ndo anahutubia wanakijiji wake.
      Ruhazwe JR and Ulimakafu like this.

    17. #134
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,968
      Rep Power : 2608
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Bukutonaga
      Hii aibu sana yaani wale watu na magari yao tokea Iringa na bodaboda waliufikisha msafara wakala chao wazee wakasepa maana wangekaa wakaongeza idadi yaani kama mkutano wa tawi tu na mwenyekiti wa tawi ndo anahutubia wanakijiji wake.
      Aibu,chama hakina mvuto.
      Ruhazwe JR likes this.

    18. #135
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1255
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      By Nnauye Jr

      picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!
      Hiyo kitu kweli ni appropiate kwa Dr. Slaa? Mimi naona inamfaa yule jamaa wa magogoni. Halafu kwa hadhi ya ukatibu mwenezi kuanza kumuita Katibu mkuu wa CDM Dr. feki ni kujishushia hadhi kwa kweli...
      Ruhazwe JR likes this.

    19. #136
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!
      mzee wa lopolopo naona umeenda Njombe kuosha na watoto wa shule ya awala,njoo basi Jangwani nenda Lindi na mtwara nenda Mwanza na Arusha ujione mziki
      ......mateso yakizidi ujue saa ya wokovu imekaribia.......

    20. #137
      alberaps's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 242
      Rep Power : 481
      Likes Received
      54
      Likes Given
      77

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By zomba
      CCM walikuwa wanaandamana kuhusu nini? mie naona ni msafara tu huo.

      Halafu hoo hakuna maendeleo, lami utafikiri tuko Switzerland.

      Wananchi Watakula Lami?

    21. #138
      acer's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 365
      Likes Received
      0
      Likes Given
      21

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Kweli Nape wewe Gamba gumu wenzio wameshaacha,ona aibu hiyo sasa itabidi na watoto nao waanze kupiga kura...

    22. #139
      SEBM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2012
      Posts : 336
      Rep Power : 3533
      Likes Received
      258
      Likes Given
      98

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Kama kuna kitu najisikitikia katika maisha yangu, ni kusoma Chuo Kimoja na wewe Nape.

      Yaani wasifu wangu(CV) unanitambulisha kuwa nilipata Elimu yangu pale Upanga; kwa masomo ya jioni kwa Dr. Andrew Mbwambo.Nawe utaandika hivyo hivyo katika wasifu wako.

      Hivi ulimalizaga kweli?Maana najua ulikuwa unasuasua sana darasani..

      Poor me!


      NGUVU YA UMMA

    23. #140
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Nape nafasi yako wewe ni ya KUVUTIA WATU kwenye chama kwa kuyaongelea yale ambacho chama kimefanya na kinatarajia kufanya. Lengo kubwa hasa linatakiwa liwe persuasion na siyo confrontation. Hapa JF kuna watu wengi sana hawana kadi za chama chochote na huenda wamejikuta kuwa mbali na CCM baada ya kutoona la maana on ground lililofanywa na CCM katika maisha yao yote ambayo hawajawahi kuona au kusikia utendaji wowote wa serikali isiyojiita CCM. Sasa hawa watu ambao wengi wao ni Generation Y, unatakiwa kuwa-persuade kwa facts ili angalau CCM kiweza ku extend life at least for one term. Ukichukua confrontational approach you will fail as Nape and so does your party.

      Unataka kujua majina ya watu ili iweje?, kama mimi nikijiandika kwa jina langu halisi kuwa ni 'KAUNGA KARAME' itakuongezea nini wewe katika hoja zako?. Mfano mzuri wakati wa uchaguzi wa igunga mtu anayejiita 'Nnauye Jr' alikuja hapa na matokeo ya uchaguzi kabla hata msimamizi hajayatangaza na baadae Nape Person siyo ID akakanusha kuwa huyo si yeye je kuna mtu aliendelea kumsakama?.

      Kwa kuwa wote tunaandika kiswahili na kwa kuwa wote tunaandika hoja za kuipeleka nchi yetu mbele japo kuna wanaotoa povu ili kulinda matumbo yao basi hiyo inatosha kabisa kukufanya wewe Nape ID kutoa hoja kwa ajili ya kuvutia na si confrontation ambayo huzidi kukimbiza.

      OT Question: Naona leo Lukwiri ulikuwa online na wewe uliamka kuangalia life time event ya 'Venus crossing the sun' during sunrise?,





      Last edited by Hofstede; 6th June 2012 at 17:05.

    Page 7 of 15 FirstFirst ... 56789 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...