Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
we nape uwe unatumia akili kijana,,,kwani tukiweka majina ndo tunabadilisha maada iliyopo??AU NDO UNAPOTEZEA??
[QUOTE=Nnauye Jr;4001385]Aaah afadhali we umesema ukweli! M4C ni kwa ajili ya kukusanya chenji ya walalahoi. Inasikitisha kuwa hamuwaonei huruma watu wanahangaika kujitafutia kipato nyie mwaja kukusanya vijisenti vyao! Wizi mkubwa.
Sisi tunatoa 'willingly' kwa ajili ya kazi ya ukombozi wetu na vizazi vyetu. Wezi ni nyie mnaokula kodi zetu through EPA, Richmond, Meremeta..(the list goes on) then mnakuja kutukebehi na kanga na T.shirt. Shame on you gghhrrrr!!!
Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.
The way you sound ni kama wale kina mama wanaoimba mipasho.
Wakati wewe unapita kugawa pesa kwa wapiga kura kwa nia ya kukwamisha mageuzi, chadema wanapita kukusanya pesa za michango ya kusaidia mageuzi, hebu ona iyo tofauti kati ya kichwa maji na werevu.
Hebu re-think namna ya kukabiliana na werevu bwana nape.[/QUOTE][/QUOTE]
nape kweli akili hunazo umequote Daudi mwenzake amekuponda usivyo na uwezo wa kufikiri unaona amekusapoti.
alafu mbona unajibu hoja zako kitaarabu taarabu.
Badilika bwana ikiwezekana tafuta mtu awe anakujibia kwa id yako other wise unajiaibisha
Chezea nguvu ya umma wewe; utaumia
Chenge kawa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya fedha na uchumi- unacheza nini. Kina chenje na lowasa sio oil chafu, isipokuwa kina Ole Ndesambu wa kawaida ambao ni wanachama wa kawaida wanaohamia CDM ndio oil chafu. Now i get it, ukiwa mwanachama wa ccm na ni mkulima huna fedha basi wewe ni oil chafu. Great Nape!!! Got it
Wajanja walishajua kwamba halifiki 2015 wamewaachia Mazoba tu ambao wamebaki kuwa Matomaso mpaka waone CCM ikiingia kaburini. Ndo maana wengi hawampi ushirikiano wamesha-switch mind zao kwa CDM 2015, hata huyo jamaa analijua hilo. Halafu anatawanya nguvu zake sana, mara kwa Lowasa na Chenge, mara kwa Maige, ambao tayari ameshawashindwa.
Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!
Wajanja walishajua kwamba halifiki 2015 wamewaachia Mazoba tu ambao wamebaki kuwa Matomaso mpaka waone CCM ikiingia kaburini. Ndo maana wengi hawampi ushirikiano wamesha-switch mind zao kwa CDM 2015, hata huyo jamaa analijua hilo. Halafu anatawanya nguvu zake sana, mara kwa Lowasa na Chenge, mara kwa Maige, ambao tayari ameshawashindwa.
Huku Magamba wakiendelea kusambaratishwa; Chadema Rahaaa!!!!! Si Rahaa!!!! WOTE: RAHAAAA!!!!!!!!!!
"Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker
Hivi we Nape unajua hata majukumu yako kweli, we ID za nini, jibu hoja ww, cyo unambwerambwera badala uimarishe chama chako unabaki unaleta sound hapa, eti Dr wa chadema feki afu huyo gamba lenzio linalokubeba ingawa hubebeki JK ni nani, ndo mana masaburi huwa anawatukana, badilika kijana sysytem itakutema soon so jiandae kujiunga cck mana ccj ilikushinda, kijana mdogo mawazo ya miaka 1890
Wengine nape hatuna tv wala hatuko kwenye msafara wako alafu unauwezo.WA kila kitu,pesa vituo vya redio,TV,magazeti mbona vyote havikusaidi hebu tuwekee.wewe mwenyewe video,au picha Bosi Kaka nape Ccm isha kufa utaumbuka nape nakuapia utaumbuka
Umesema kweli kabisa. Kumpinga Dr.Slaa kisiasa hakuna sababu ya kumtukana. Ndio kama akina Ole Sendeka leo anamtukana Lisu hajui sheria, kesho anamsifia anajua sana sheria. Nchi hii watu wapo radhi wafanye lolote in the name of politics...ukimwita Dr.Slaa ni Dr.Feki unataka kutuambia ni hatua gani mtu anapitia kupata PhD?
"If you are going through HELL, keep going..."-W.Churchill
Follow Us Here