Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

    Report Post
    Page 4 of 15 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 287
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe





      Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      Mangandula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th November 2011
      Posts : 88
      Rep Power : 395
      Likes Received
      9
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      lakini mkuu unafahamika kwa kuikana Id yako pindi mambo yakikuendea vibaya, tumeona huko nyuma uliwahi kuiruka Id yako futi 100.
      alberaps and MR.SILVER like this.

    4. #62
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Msengapavi
      Mkuu Nauye Jr. katika wana CCM wewe ni mmoja wa kuheshimiwa sana. You have to demonstrate political maturity and tolerance. Kumuita Dr. Slaa (Dr wa ukweli) kuwa ni feki, ni ku-stoop too low for your caliber. shape up man! dignify your self by what you do and say!
      Nnauye Jr, nadhani huu ni ushauri wa maana kwako. Binafsi nikupongeze kwa ujasiri wako wa kujenga na kujibu hoja, big up guy!
      Wenzako wengi wameshaukimbia huu mtandao kwa aibu yao!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    5. #63
      Gracious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Location : Republic of Tanganyika
      Posts : 643
      Rep Power : 597
      Likes Received
      303
      Likes Given
      405

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Ha ha ha.Nape,you have lost your temper my friend.Kiongozi,miliki hasira yako.Kubaliana na ukweli,pia ni ukomavu.Usiwe kama yule waziri wa Propaganda wa Sadam Husein.Jibu hoja mkuu,mambo ya ID yanahusu nini hapa,hakuna anayejadili personalities hapa,au mnataka mlete mambo yenu ya taarab ya Ki CCM.Anyway ntakuja Jangwani kumwona Diamond akitumbuiza
      "Peace under Poverty-This Scenario is only found in Tanzania,the friend of Tripolitania"

    6. #64
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,571
      Rep Power : 5617
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2283

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
      poor you......
      Badala ya kutoa povu, ni vyema ungetafiti wapi mlipoangukia ili mkarekebishe mapungufu kujenga chama chako.

      Hao unaowaita wanaharakati ndo wanaota mizizi huku mtaani, hao mnaodharau maandamani yao ndo wanachukua wanachama toka wazee mpaka vijana.........

      Ccm mnahitaji mpango wa dharura kukinusuru chama, na muachane na sera za kutaka kugawanya watu kidini, divide and rule haifanyi kazi siku hizi...... Hata kundi mnalolitumia kufanya hivvyo linaelekea kuamka......

      Huu ni mtazamo wangu,ukikufaa uchukue, usipokufaa uache
      Bigirita and mpenda like this.

    7. #65
      MR.SILVER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 287
      Rep Power : 428
      Likes Received
      78
      Likes Given
      337

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Ni kweli je nikija kukana ID yangu yenye jina la ukweli? actual kama ulivyofanya wewe hapo nyuma...

    8. Miaka 50

    9. #66
      Maganiko's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 131
      Rep Power : 444
      Likes Received
      58
      Likes Given
      986

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Jamaa wewe una roho ngumu kweli kweli, unajua kuitangaza CCM kwa sasa inakubidi uwe na moyo kama wa mwendawazimu...

    10. #67
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,712
      Rep Power : 907
      Likes Received
      433
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By Honolulu
      Ama kweli Nape na ccm ni kama kupe:
      Ng'ombe anachinjwa kupe hana habari!!!
      Ng'ombe anachunwa kupe hana habari!!!!
      Ngozi inawambwa kupe hana habari!!!!
      Ngozi ikianza kukauka kupe ndo anastuka!!!!"

      Alaa! Huyu ngo’mbe kumbe keshachinjwa!!!
      Hii nimeipenda.....safi sanaaa

    11. #68
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,712
      Rep Power : 907
      Likes Received
      433
      Likes Given
      440

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Nape,hebu jaribu kuwa muwazi na mkweli!...kweli hakuna tofauti ya hizo picha zako na za Dr slaa?...khaaa!

    12. #69
      iseesa's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 940
      Rep Power : 0
      Likes Received
      204
      Likes Given
      53

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By sabasita
      aisee we jamaa ni mbishi mpaka unafurahisha...dokta feki? are you sure..na madokta wa kutunikiwa wasemaje....ila ubsihi wako unafurahisha sana kama comedy vile
      Bwana Nape hana tofauti na yule waziri wa Saadam Hussein aliyeitwa Alli "the comedian".

    13. #70
      Mpanzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 418
      Rep Power : 507
      Likes Received
      93
      Likes Given
      7

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!
      Nape wewe ni kiongozi mkubwa, anza kuwact kama kiongozi, hizo kauli za oh Dr Feki hazitakusaidia, jaribu kujaza viatu ulivyopewa, maoni mengine hapa yana lengo la kukusaidia!

    14. #71
      ntamaholo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : Mwilavya
      Posts : 4,116
      Rep Power : 1387
      Likes Received
      918
      Likes Given
      412

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Candid Scope




      Watoto ndio imekuwa target ya CCM kujazia nafasi kwenye mikutano yao. Hawa ni malaika wasiojua yanayoendelea, wakishakua watakuwa na fikra nyingine dhidi yao.

      Nakumbuka bado maneno aliyotoa mwandamizi Mzindakaya alipojing'atua kugombea ubunge jimboni kwake, kwamba anataka kupumzika. Aliishoshea CCM na kusema imepotea njia na hawa tunaowasomesha shule za Kata ndio watakao iondoa CCM madarakani. Maneno ya mzee huyu ni kama mwiba kwani yanayojilia sina haja ya kuyaanika hapa.

      ubwabwa hakuna? watoto ndo huwa kiu yao. halafu wamewashonea green
      UTUMISHI WA HAKI, NI SULUHISHO LA MAOVU YOTE

    15. #72
      mbumbumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2010
      Location : Nyasamba, Shinyanga vijijini
      Posts : 471
      Rep Power : 523
      Likes Received
      75
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By juu kwa juu
      kizuri hakìhitaji kujiuza,kibaya lazima kijiuze, cdm jitahidini lakini ukabila na ukanda WENU utawafanya mfe kifo cha kawaida tu. Wapi nccr ya mrema.
      Huyu na ye katoka wapi?? Au ni mgeni JF, wenye kutumia PC watujuze mi natumia simu..

      Kama amekurupushwa vile.. Na kweli maoni yake ni ”juu kwa juu” anafikiri kwa miguu!

    16. #73
      Ndekirhepva's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Lubumbash
      Posts : 304
      Rep Power : 413
      Likes Received
      27
      Likes Given
      77

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Napeeeeeee...........
      unabwabwaaaaaaaja kama umelishwa *****?????
      we tulia, kama watoto mnao sasa unawasiwasi gani wa kuendelea kutumika na magamba????????
      kwani huko uliko sijui ni mtwara sijui ni wapi, upo na nani??????
      wewe unaeneza siasa chafu za maslahi kwa baadhi ya wakoloni wenzetu, wao wakubwa zako wako wapi????kama sio wanabeembea na kunywa mbege hko Moshi??????
      jitizame wewe, wajanja wanakula na wewe unajimiiiiiiinya kupingana na nguvu ya umma, ila sio kosa lako, kosa ni kwamba UMESHIKIWA REMOTE, so wale wanakupeleka vile wanavyoweza na wew unaenda tu kama jing'ombe

    17. #74
      mpenda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Posts : 172
      Rep Power : 483
      Likes Received
      5
      Likes Given
      100

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
      Pole Nape, the problem is you wanted all the glory to yourself, si ungeambatana na makada wengine kama kina Deo Fili, mkutano ungejaa. but you are so selfish...

    18. #75
      Baba Collin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 440
      Rep Power : 483
      Likes Received
      57
      Likes Given
      18

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      nape kwel mipasho unaiweza yaan nimecheka sana the way unavyo deffence hoja zako.
      Kutoficha ids au kuficha ids kuna uhusiano gan ktk kutetea ama kujenga hoja?
      Mkuu wewe kwel ni katibu mwenezi wa ccm hii ya nyerere?du!inatia mashaka

    19. #76
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,113
      Rep Power : 629
      Likes Received
      196
      Likes Given
      31

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Filipo
      Okey! Embu tuongee mambo ya msingi. Hivi swala la chama kujivua gamba kwa EL na CH limeishia wapi?
      kweli bwana filipo ngoja niongezee kidogo hoja yako
      nape na ccm yao wanasubiri tu muda ufike kwani haijulikani wanafanya nini kila siku wanakuja na mambo mapya hakuna la maana yaani ukiunganisha matukio na maneno na matendo ya serikali hata hawajui nini wanatakiwa kufanya.
      nape na wote mmekaa kikao dom mkasema wajivue gamba ukazunguka nchi nzima na kuwataja baadhi ya watu leo hii hakuna hata mmoja na wengine wanazidi kupewa nyadhifa mbali mbali ndani ya chama na serikali na wana ccm wenzako wenyeviti kamati za bunge sito ona ajabu mawaziri walioondolewa wakapewa ukurugenzi ubalozini .
      si msemei mtu mimi binafsi nimewachoka hata nikawaoona nasikia kutapika mnanuka harufu ya ubaya

      watu wanateseka kwa ajili ya chama chenu kushika dola unaibiwa, ukienda police inabidi utoe pesa ndio usaidiwe ,damu hospital lazima utowe mfukoni.ukitaka uongozi ccm lazima uwe na pesa za kuwapa wapiga kura .
      acha angalia shida au mtatuwe shida zilizopo ...hayo mnayofanya hayawasaidii
      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    20. #77
      Nyamizi's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 19th February 2009
      Posts : 351
      Rep Power : 592
      Likes Received
      115
      Likes Given
      646

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Alokwambia JF ni ya wanaume tu ni nani? Wewe ulilazimishwa utumie ID yako? Jibu hoja na siyo kulialia wewe katibu Mwenezi wa mipasho.
      Bigirita and ral like this.

    21. #78
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,660
      Rep Power : 1213
      Likes Received
      544
      Likes Given
      416

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Mheshimiwa Nnauye Jr usikate tamaa endelea kuimarisha uhai wa chama tawala. Wapinzani wako wanakwenda kwenye uwanja wa mapambano kama "team" ikijumuisha mtendaji mkuu (Katibu Mkuu) na wabunge wao; wewe mbona kama wamekuacha peke yako "Front line"?
      Kichwa Ngumu likes this.
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    22. #79
      Gracious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Location : Republic of Tanganyika
      Posts : 643
      Rep Power : 597
      Likes Received
      303
      Likes Given
      405

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By English Learner
      Better them who hide IDs and write sense than you who reveals it and paste stupid non-senses.

      I admit, Nape hashauriki, hafundishiki. He doesn't know the tone of writting for a person of his position. He does it as a mediocre FB adolescent.

      Can the JF mods create a Childish forum to be called and used by Napes?
      Kwa vijana wa CCM Mwigulu is Smart,Mzee Mkama hakukosea aliposema Nape hovyo na akamsifia Mwigulu kwamba ni kijana msikivu.Makama kiasi ingawa naye ni mnafiki
      "Peace under Poverty-This Scenario is only found in Tanzania,the friend of Tripolitania"

    23. #80
      iseesa's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 940
      Rep Power : 0
      Likes Received
      204
      Likes Given
      53

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Baba Collin
      nape kwel mipasho unaiweza yaan nimecheka sana the way unavyo deffence hoja zako.
      Kutoficha ids au kuficha ids kuna uhusiano gan ktk kutetea ama kujenga hoja?
      Mkuu wewe kwel ni katibu mwenezi wa ccm hii ya nyerere?du!inatia mashaka
      Ha! ha ha haaaa! Nape amenikumbusha zile ngumi za utotoni za kuchora mstari chini na kumwambia opponent wako "kama wewe ni mwanaume ruka mstari huu tuzipige". Hizo ndizo burudani ya Katibu Mwwenezi wa Chama Tawala. Mtoto kama baba kwa burudani!

    Page 4 of 15 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...