Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
Some people are simply alive because it's illegal to kill them
nape samahani naomba nikuulize swali.
HIVI UMEKOSA MAFUSO YA KUBEBEA WATU?MBONA UNAJITIA AIBU NAMNA HII.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
We si umwage hoja ujibiwe?! Unatafuta watu uwajue ili ikusaidie nini?? Kwanza kwa mipasho yako ya taarabu hakuna type yako humu. Sana sana huku unawadhihirishia watu jinsi ulivyo na mawazo madogo! Ndo maana kila post yako haina mshiko hata kidogo. Ungekua na busara ungechapa kazi uache mipasho huku jf.!
MIMI NAINGIA KWA JINA LANGU KAMILI JAPHARI SHABANI.Nakuuliza na nataka unijibu.Kamamtu unaakili timamu unaposima jukwaani na kupigaga porojo za kupiga vita rushwa ,ufisadi na uwajibikaji.Tupe kwanza tathimini ya kujivua gamba.Tunawaelewa CHADEMA kwa maandamano yao kwani wao hawana dola hawawezi kuchukua hatua zozote mbali na kuwakumbusha madudu yanayoendelea katika serikali ya chama tawala.Tulichokitegemea kutoka CCM nikuchukua hatua panda jukwaaninakusema tumechukua hatua zifuatazo mafisadi wamefukuzwa katika chama,wamefikisha mahakamani au katika vyombo vya sheria.Mwenye haki ya kuoonya ni vyama vya upinzani kwa CCM ni kuchukua hatua.TUWACHE USANII MUNGU IBARIKI TANZANI.
wewe ni kati ya wana ccm wachache sana waliopo wenye kukubali kusema ukweli uliowazi kuhusu ubovu wa ccm na uongozi wake.....i wish people like nape wangekuwa wana upeo wa kuona mambo kama wewe....ni kweli kabisa watu wazuri ccm wako weengi tu lakini nafasi za kutoa michango yao hawapati.....mfano kina Filikunjombe......kinachobaki tunaona mafisadi wakizidi kupewa vyeo....refer kina chenge et al......so sad yaani...Ndugu yangu kinachobaki kama hamuwezi kutoa michango yenu ccm ikasikilizwa...basi hameni chama.....hivi vyama havikuundwa vitawale milele..tumeona kenya...zambia...senegal etc etc .its the only way forward for you.....kama mna mapenzi ya kweli na Tz.....
....real change begins with PEOPLE.......
Nauye Jr
Kipindi pekee ulichojitahidi katika harakati za kisiasa ni wakati ulipojenga hoja ya kunusuru jengo la umoja wa vijana lisichukuliwe kwa mkataba wa kinyonyaji
Bwana mkubwa moja alifikia hatua ya kutangaza kwamba jina lako limefutwa duniani na mbinguni, baada ya mapambano ya wakati huo hujaweza kunishawishi tena
NJOMBE YETU LEO SI ILE YA JANA,pole NNAYE HILO NDO JIMBO LA SPIKA WENU MAKINDA
Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko
Napita jaman ntarudi!
Kwa hiyo Nape sisi tunajitahidi kuleta mabadiliko na kuilazimisha serikali itimize ahadi zake na kuachwa wizi na kulindana wewe umeamua kupambana na wanyonge kwa maigizo yako? watu tunateseka hapa duniani kama jehanamu kwa sababu ya CCM wewe unawatetea na ujana wako wote? Kwa hiyo kama upinzani tuseme ukakosa nguvu si CCM mtagawana hazina yote rafiki yangu? nani atawauliza? Hakuna anayewatisha? Tunamshukuru Mungu ametuletea watetezi na wafichua maovu serikalini na ndani ya CCM. Wewe unawatukana na kuwapiga vita? Unatukana watanzania maskini wanaotafuta walao nafuu ya maisha. Si unakumbuka wakati upinzani ulipokuwa hauna nguvu jinsi rushwa ilivokidhiri na ufisadi? EPA ilifanyika miaka ya 2003-2007 wakati kikwete amepata land slide victory. Tuonee huruma Nape kuna watu tunateseka sana kwa sababu ya CCM. Utakuwa na mwisho mbaya km utaendelea na unafiki wako!
Follow Us Here