Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

    Report Post
    Page 11 of 15 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast
    Results 201 to 220 of 287
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,602
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2862

      Default Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe





      Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.

    2. FemaTV & Radio

    3. #201
      Tungaraza Jr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 480
      Likes Received
      45
      Likes Given
      82

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!
      Dr Slaa kasomea, niambie Dr. ya JK kama hata proposal anajua kuandika na GPA yake ya 2.3? Acha kurukaruka ulikua unahutubia watoto wa darasa la kwanza na chekechea ambao wakifika darasa la 6 wanaona uozo wa CCM. Ulipoona maandamano ya chekechea ulijisikiaje?

    4. #202
      Tungaraza Jr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 480
      Likes Received
      45
      Likes Given
      82

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!
      NAPE is an Idiot when under pressure huh! Hapo anaongea kama katibu mwenezi au just a street Mwajumandalandefu?

    5. #203
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By mkomatembo
      Mimi mmoja wapo, japo kuna baadhi ya mambo yanahitaji kurekebishwa kama OIL CHAFU , inabidi imwagwe ! na hatutayanyamia mambo haya ila sio siri CCm naipenda!
      Sio Bure. Umelogwa wewe.

    6. #204
      Chenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Posts : 485
      Rep Power : 482
      Likes Received
      183
      Likes Given
      47

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe






      Some people are simply alive because it's illegal to kill them


    7. #205
      jingalao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Location : kikonga
      Posts : 728
      Rep Power : 529
      Likes Received
      127
      Likes Given
      27

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      nape samahani naomba nikuulize swali.

      HIVI UMEKOSA MAFUSO YA KUBEBEA WATU?MBONA UNAJITIA AIBU NAMNA HII.

      KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

    8. Study Abroad

    9. #206
      Chenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Posts : 485
      Rep Power : 482
      Likes Received
      183
      Likes Given
      47

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By MAGAMBA MATATU
      Ulitegemea kuona wanachama wa kutosha lakini imekuwa tofauti,,,yani hata hawafiki 100 duuu pole sana,, wewe nape wala usitake kujifariji,,hayo matembezi yakoje,,,mbona pikipiki hizo mmeamua kuzikodi ila jua hata hao waliokuwa kwenye hizo pikipiki hawakukubali tuu ila kwakuwa mliwapa chao ilibidi wawape sappoti ila mkutano ndoo aibu HII NI AIBU YA NAPEW AU AIBU YA CCM??/
      mwingine huyu hapa






      Some people are simply alive because it's illegal to kill them


    10. #207
      msnajo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 665
      Rep Power : 555
      Likes Received
      75
      Likes Given
      92

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      We si umwage hoja ujibiwe?! Unatafuta watu uwajue ili ikusaidie nini?? Kwanza kwa mipasho yako ya taarabu hakuna type yako humu. Sana sana huku unawadhihirishia watu jinsi ulivyo na mawazo madogo! Ndo maana kila post yako haina mshiko hata kidogo. Ungekua na busara ungechapa kazi uache mipasho huku jf.!

    11. #208
      Advocate Jasha's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 714
      Rep Power : 1002
      Likes Received
      161
      Likes Given
      325

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      MIMI NAINGIA KWA JINA LANGU KAMILI JAPHARI SHABANI.Nakuuliza na nataka unijibu.Kamamtu unaakili timamu unaposima jukwaani na kupigaga porojo za kupiga vita rushwa ,ufisadi na uwajibikaji.Tupe kwanza tathimini ya kujivua gamba.Tunawaelewa CHADEMA kwa maandamano yao kwani wao hawana dola hawawezi kuchukua hatua zozote mbali na kuwakumbusha madudu yanayoendelea katika serikali ya chama tawala.Tulichokitegemea kutoka CCM nikuchukua hatua panda jukwaaninakusema tumechukua hatua zifuatazo mafisadi wamefukuzwa katika chama,wamefikisha mahakamani au katika vyombo vya sheria.Mwenye haki ya kuoonya ni vyama vya upinzani kwa CCM ni kuchukua hatua.TUWACHE USANII MUNGU IBARIKI TANZANI.

    12. #209
      nderingosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2011
      Posts : 811
      Rep Power : 1446
      Likes Received
      437
      Likes Given
      118

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Sn2139
      CCM yangu haiwezi kupona ugonjwa wake kwa sababu viongozi tulio nao kusema kweli sio viongozi hata kwa kubahatisha tu. Tuna viongozi dhaifu haijapata kutokea tangu CCM izaliwe! Ndio maana hakuna kinachoendelea cha maana sasa hivi.

      Watu wazuri wapo, lakini hawapewi nafasi za kukijenga chama kwa sababu ya kuchagua kwa vigezo vya majina, uswahiba, mahusiano-ngono, mitandao, mahusiano-dini, nk

      Kikwete ana sifa nyingi anazozitumia kuongoza nchi hii, na zote ndio zinaangamiza chama na nchi. Inaniuma kiukweli ndani ya moyo wangu...CCM haiwezi kupona milele...
      wewe ni kati ya wana ccm wachache sana waliopo wenye kukubali kusema ukweli uliowazi kuhusu ubovu wa ccm na uongozi wake.....i wish people like nape wangekuwa wana upeo wa kuona mambo kama wewe....ni kweli kabisa watu wazuri ccm wako weengi tu lakini nafasi za kutoa michango yao hawapati.....mfano kina Filikunjombe......kinachobaki tunaona mafisadi wakizidi kupewa vyeo....refer kina chenge et al......so sad yaani...Ndugu yangu kinachobaki kama hamuwezi kutoa michango yenu ccm ikasikilizwa...basi hameni chama.....hivi vyama havikuundwa vitawale milele..tumeona kenya...zambia...senegal etc etc .its the only way forward for you.....kama mna mapenzi ya kweli na Tz.....
      Sn2139 likes this.
      ....real change begins with PEOPLE.......

    13. #210
      nderingosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2011
      Posts : 811
      Rep Power : 1446
      Likes Received
      437
      Likes Given
      118

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Advocate Jasha
      MIMI NAINGIA KWA JINA LANGU KAMILI JAPHARI SHABANI.Nakuuliza na nataka unijibu.Kamamtu unaakili timamu unaposima jukwaani na kupigaga porojo za kupiga vita rushwa ,ufisadi na uwajibikaji.Tupe kwanza tathimini ya kujivua gamba.Tunawaelewa CHADEMA kwa maandamano yao kwani wao hawana dola hawawezi kuchukua hatua zozote mbali na kuwakumbusha madudu yanayoendelea katika serikali ya chama tawala.Tulichokitegemea kutoka CCM nikuchukua hatua panda jukwaaninakusema tumechukua hatua zifuatazo mafisadi wamefukuzwa katika chama,wamefikisha mahakamani au katika vyombo vya sheria.Mwenye haki ya kuoonya ni vyama vya upinzani kwa CCM ni kuchukua hatua.TUWACHE USANII MUNGU IBARIKI TANZANI.
      kweli shabby mwambie....by the way..privet!!! kak tam v russiya!!!..kak tam y Putiny!!kak zhizhny v obshee!! eta ya tavarish....
      Last edited by nderingosha; 6th June 2012 at 18:25.
      ....real change begins with PEOPLE.......

    14. #211
      plawala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 627
      Rep Power : 548
      Likes Received
      56
      Likes Given
      1

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Nauye Jr

      Kipindi pekee ulichojitahidi katika harakati za kisiasa ni wakati ulipojenga hoja ya kunusuru jengo la umoja wa vijana lisichukuliwe kwa mkataba wa kinyonyaji

      Bwana mkubwa moja alifikia hatua ya kutangaza kwamba jina lako limefutwa duniani na mbinguni, baada ya mapambano ya wakati huo hujaweza kunishawishi tena

    15. #212
      HISIA KALI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Location : Mjini kwa mjomba
      Posts : 643
      Rep Power : 562
      Likes Received
      80
      Likes Given
      1

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By nnauye jr
      anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. Wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      huwezi kukata tamaa kwani hiyo ni ajira yako. Ukiacha kuzunguka huko mikoani per diem huna. Lowasa mwenyewe alisema wewe unatumia hela za chama kutembea mikoani.

    16. #213
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,219
      Rep Power : 905
      Likes Received
      283
      Likes Given
      59

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Lazima tuogope, Mmajeshi,polisi na TISS, mbona wewe ulienda CCJ kimya kimya?
      Albedo likes this.

    17. #214
      Njilembera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2008
      Posts : 782
      Rep Power : 723
      Likes Received
      89
      Likes Given
      155

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
      Aisseeee Nnauye una roho ngumuuu!

    18. #215
      Kinyamagala's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th October 2011
      Posts : 118
      Rep Power : 407
      Likes Received
      19
      Likes Given
      7

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      NJOMBE YETU LEO SI ILE YA JANA,pole NNAYE HILO NDO JIMBO LA SPIKA WENU MAKINDA
      Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko

    19. #216
      Ngwada's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 60
      Rep Power : 420
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Napita jaman ntarudi!

    20. #217
      sem2708's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 688
      Rep Power : 570
      Likes Received
      118
      Likes Given
      141

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Candid Scope




      Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
      ha ha ha ha !! it is really funny.Nape una kazi kubwa sana....
      duuuuuuuuuuuuu!!! halafu hawa naona kama wanashangaa huyu ndio nani? hawaoneshi hata kama wanasikiliza

    21. #218
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,962
      Rep Power : 1641
      Likes Received
      1127
      Likes Given
      408

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Quote By Nnauye Jr
      Halafu kwa taarifa yenu huwa hatufanyi maandamano,haya yalikuwa mapokezi SIO MAANDAMANO, MAANDAMANO NI UGONJWA WA VYAMA VYA WANAHARAKATI. ULIYEPO MADARAKANI UNAPOANDAMANA UNAMWANDAMANIA NANI?!!! UKIONA TWATEMBEA UJIE NI MATEMBEZI YA MSHIKAMANO. sitachoka kutoa darasa, mtaelewa tu taratibu
      mkuu nasikia umewaonesha watu 'kidole cha khadija kopa'.

      punguza uswahili mkuu.

      kufa taratibu na ccm yako.
      Daniel Anderson likes this.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    22. #219
      mcfm40's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 127
      Rep Power : 458
      Likes Received
      59
      Likes Given
      1

      Default Re: Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

      Kwa hiyo Nape sisi tunajitahidi kuleta mabadiliko na kuilazimisha serikali itimize ahadi zake na kuachwa wizi na kulindana wewe umeamua kupambana na wanyonge kwa maigizo yako? watu tunateseka hapa duniani kama jehanamu kwa sababu ya CCM wewe unawatetea na ujana wako wote? Kwa hiyo kama upinzani tuseme ukakosa nguvu si CCM mtagawana hazina yote rafiki yangu? nani atawauliza? Hakuna anayewatisha? Tunamshukuru Mungu ametuletea watetezi na wafichua maovu serikalini na ndani ya CCM. Wewe unawatukana na kuwapiga vita? Unatukana watanzania maskini wanaotafuta walao nafuu ya maisha. Si unakumbuka wakati upinzani ulipokuwa hauna nguvu jinsi rushwa ilivokidhiri na ufisadi? EPA ilifanyika miaka ya 2003-2007 wakati kikwete amepata land slide victory. Tuonee huruma Nape kuna watu tunateseka sana kwa sababu ya CCM. Utakuwa na mwisho mbaya km utaendelea na unafiki wako!

    23. #220
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By Candid Scope




      Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
      hayaaa maandamano , au msibaa wa kuizika shshiemu
      Ng'wanangwa likes this.

    24. Miaka 50
    Page 11 of 15 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...